×

Habari

Makonda Ampa Maagizo Mkandarasi wa Mwendokasi ya Mbagala

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda, amemtaka mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mabasi ya...

READ MORE

Chadema ‘Yaitegea’ Corona “Tutafunga Mipaka Watu Wameshakufa” – Video

MIKUTANO ya ndani na hadhara iliyopangwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuanza tarehe 4 Aprili 2020, sasa haitafanyika ...

READ MORE

Mdee, Bulaya, Jacob Watuhumiwa kwa Makosa 7

VIONGOZI na wafuasi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwemo wabunge  watatu:  Halima Mdee (Kawe), Ester Bulaya (Bunda...

READ MORE

Madaktari Bingwa Kiboko ya Corona Watua Italia – Video

MADAKTARI bingwa wa magonjwa ya mlipuko kutoka nchini Cuba wametua nchini Italia kupambana na virusi hivyo. Madaktari hao ambao hawana...

READ MORE

Ajali ya Treni Yaua Watumishi Watano wa TRC

  Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania – TEC unatangaza taarifa za Vifo vya watumishi 5 wa TRC. Vifo hivyo...

READ MORE

Fahamu: Kikohozi Kimoja Kinasambaza Virusi 3,000 vya Corona

Jinsi hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 inavyozidizidi kupanda, hofu ya kushika vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwa na virusi pia...

READ MORE

Mkulima Auawa kwa Mapanga na Watu Wasiojulikana, Mtoto Ajeruhiwa

MKAZI wa Mgongoro wilayani Igunga mkoani Tabora, Muya Kasanzu (48), anadaiwa kuuawa kikatili kwa kucharangwa mapanga, huku mtoto wake Abdallah...

READ MORE

Tanzia: Dkt. Makongoro Mahanga Afariki Dunia

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kichama wa Ilala Jijini Dar es Salaam, Dkt. Milton...

READ MORE

Mafuriko Yaacha Maafa Kilombero

Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero kuathirika na athari za maafa ya...

READ MORE

Wenye Virusi vya Corona Kenya Wafika 15

WAZIRI wa Afya wa Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kuwa, watu wengine wanane wamethibitishwa kuwa na ugonjwa wa Corona nchini humo....

READ MORE

Mpango Ateua Watakaoiwakilisha Serikali vs Ubia na Barrick

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), amewateua wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Chomoka Na Gari Mpya Na Championi Yatikisa Dodoma

HII inaitwa kanyaga twende, baada ya bahati nasibu ya Chomoka na Gari Mpya na Championi, kuendelea kupepea katika mikoa mbalimbali...

READ MORE

Kagere, Molinga Matatani, Wameondoka Nchini

TAMKO la Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia kuwataka wachezaji wakiwemo wa kimataifa wanaocheza soka hapa nchini...

READ MORE

Washambuliaji Wanne Yanga = Meddie Kagere

MEDDIE Kagere ambaye ni mshambuliaji wa Simba, ameipoteza safu ya ushambuliaji ya Yanga katika upande wa kufunga mabao. Kagere mwenye...

READ MORE

Rais Magufuli: Mgonjwa wa Kwanza wa Corona Tanzania, Amepona – Video

Rais John Magufuli, leo Jumapili, Machi  22, 2020 amehutubia taifa kuhusu Covid-19 akiwa Ikulu jijini Dodoma anasema wagonjwa wamefikia 12...

READ MORE

Maalim Seif: Nimepindua Meza CUF

DAR: Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Shariff Hamadi amesema kutokana na misingi aliyoijenga kwa wafuasi wake visiwani...

READ MORE

Rais Magufuli Ataka Watanzania Wasitishane Na Corona

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa...

READ MORE

Bahati Nasibu ya ‘Shinda Gari’ Yatikisa Kigamboni

Adam (kushoto) akimpatia zawadi ya sabuni mmoja wa wasomaji wa magazeti ya championi baada ya kukata kuponi yake. Hiyo inatokana...

READ MORE

Majaliwa Aonya Upotoshaji Taarifa za Ugonjwa wa Corona

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Jumamosi, Machi 21, 2020 ameonya kuhusu upotoshwaji na utoaji holela wa taarifa kuhusu ugonjwa wa...

READ MORE

Corona Inatisha! Kufungwa Makanisa Msikitiki Itakuwaje?

WAKATI tishio la virusi vya mafua ya Corona likizidi kushika kasi nchini na mataifa mengine kibao, suala la makanisa na...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuua, Kufukia Mwili Shambani

POLISI mkoani Pwani inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumwua mwanamke mmoja (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za kumfumania siku ya...

READ MORE

Bosi TAKUKURU, Msaidizi Wake Wanasa Kwenye Mtego wa Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU inapenda kuufahamisha umma kwamba, watumishi wake wawili akiwemo Mkuu wa TAKUKURU...

READ MORE

Akutwa Gesti Ametoa Mimba na Kuua Kichanga

  JESHI LA POLISI Mkoa wa Morogoro linamshikilia Rehema Fabiani (18), mfanyakazi wa Mgahawa wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha...

READ MORE

Vodacom Tanzania yatoa Elimu ya Kujikinga na Virusi vya Corona

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini  Dkt. Ismail Gatalya  wakati akitoa elimu...

READ MORE

Geita: Mjamzito Anyongwa Usiku wa Manane – Video

  Watu watatu nchini Tanzania wameuawa kwa matukio matatu tofauti likiwamo la mama mwenye ujauzito unaokadiriwa kuwa na miezi 8-9...

READ MORE

Wananchi Waliyowazomea Watalii na Kuwaita Corona Yawakuta

MKUU wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Christopher Ngubiagai amekemea vikali na kuahidi kuwachulia hatua kali, baadhi ya wananchi wa...

READ MORE

Agizo Hili la JPM na Majaliwa Halijatekelezwa – Video

Mfanyabiashara anayetambulika zaidi kwa jina la Babu Rama, ambaye alidai kuingia katika mgogoro na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) baada...

READ MORE

Tamko la Maaskofu wa Anglikana Kuhusu Corona

O. Box 899, Dodoma, Tanzania Tel: +255 (0) 262321437/2324574 Fax: +255 (0) 262324565  Email: [email protected]  Archbishop: The Most Rev. Maimbo...

READ MORE

Mkutano wa G7 Utafanyika Kupitia Video

Rais wa Marekani Donald Trump amefuta Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 na badala yake watazungumza kwa...

READ MORE

Droo Ya Kwanza Bahati Nasibu Ya Baba Lao Machi 25

Droo ya kwanza ya Bahati Nasibu ya Baba Lao ambayo mshindi anatarajiwa kuibuka na gari aina ya Fun Cargo kwa...

READ MORE

Waliombaka Mwanamke Ndani ya Basi Wanyongwa

WANAUME wanne raia wa India waliofungwa kwa kumbaka na kumuua na mwanafunzi mjini Delhi mwaka 2012 wamenyongwa. Akshay Thakur, Vinay...

READ MORE

Video: Msanii Idris Sultan Afikishwa Mahakamani Dar

MSANII wa vichekesho nchini, Idris Sultan (27) na wenzake wawili leo Machi 20, 2020, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Dereva wa ‘Isamilo’ Afariki Kwenye Basi Lake Akiwa Safarini

DEREVA wa basi la Isamilo lenye namba za usajili T609 CQB aina ya Scania linalofanya safari zake kati ya Mwanza...

READ MORE

Makonda: Msiende Club, Baa Kaeni Nyumbani Kukwepa Corona -Video

 WAKAZI wa Mkoa wa Dar es Salaam na Watanzania kwa jumla wameombwa kutulia majumbani mwao baada ya shughuli zao...

READ MORE

Auawa Akishukiwa Kuwa na Virusi vya Corona

POLISI huko Kwale, Kenya,  wanakisaka kikundi cha watu ambao wanadaiwa kumuua kijana Hezron Kotin eneo la Kibundani baada ya kumtuhumu...

READ MORE

Video: Safari ya Salim Kikeke Kutoka Ukulima Mpaka BBC

MTANGAZAJI maarufu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Salim Kikeke, amefunguka maisha aliyoyapitia kabla ya kuwa mtangazaji mkubwa akiiwakilisha...

READ MORE

TANZIA: Aurlus Mabélé Afariki kwa Kansa na Corona

STAA na nguli wa muziki wa Soukous kutoka Jamhuri ya Congo, Aurlus Mabélé,  amefariki dunia akiwa na umri wa miaka...

READ MORE

Maswali & Majibu Muhimu Kuhusu Ugonjwa wa COVID-19

MLIPUKO wa maambukizi ya Virusi vya Corona umeathiri mataifa mbalimbali duniani na bado athari zake zinaendelea kwa kasi, awali ilionekana...

READ MORE

Madaktari: Msitishwe, Fanyeni Haya Mkiambukizwa Msife

WAKATI nchi 163 duniani zikihaha kudhibiti kuenea kwa virusi ya Corona (COVID-19), madakari Bongo wamewatoa hofu wananchi kwa kusema wasitishwe...

READ MORE

Buguruni Waapa Kuchomoka na Ndinga ya Championi, Spoti Xtra

  WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi, Machi 19, 2020, wamemiminika kama...

READ MORE