×

Habari

#Coronavirus Uganda: Idadi ya Wagonjwa Yafikia 9

UGANDA imethibitisha kuwepo wagonjwa tisa waliokumbwa na virusi vya Corona nchini humo kwa mujibu wa Waziri wa Afya, Dr Jan...

READ MORE

Corona Afrika Kusini: Nchi Nzima Yawekwa Karantini kwa Siku 21

RAIS wa Afrika Kusini, Cyrill Ramaphosa,  ametangaza siku 21 za wananchi wote wa nchi hiyo kujifungia ndani ilikiwa ni sehemu...

READ MORE

ATCL Yafuta Safari za Ndege Kuikabili Corona

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imefuta safari zake za kwenda nchini Comoro, na hivyo kuifanya iwe imefuta safari zake kwenda...

READ MORE

Corona: Zanzibar Yafunga Baa “Ukiingia Tunakuweka Karantini”

Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed amesema serikali imewaweka karantini wananchi 65 wakiwemo vigogo wa serikali na maofisa...

READ MORE

Majaliwa Aunda Kamati Tatu Kupambana na Corona

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa,  amesema serikali imeunda kamati tatu kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona ambapo ya kwanza...

READ MORE

NMB Yazipiga Jeki Shule za Kibamba, Kinzudi na Makuburi Jeshini

BENKI ya NMB, imekabidhi msaada wa viti, meza na madawati vyote vikiwa na thamani ya Sh. Milioni 15 kwa ajili...

READ MORE

Ubongo Yatoa Programu za Watoto Kujifunza Majumbani Kutokana na Ugonjwa Wa Colona

Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inangoza...

READ MORE

Pozi la Rais Magufuli Kwenye Mawe ya Ikulu

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amejipumzisha juu ya mwamba ndani ya Ikulu Chamwino Dodoma, jana Jumatatu, Machi 23, 2020....

READ MORE

Wizara yaUchukuzi Yatekeleza Agizo la Magufuli Kabla ya Siku 7

  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amezindua rasmi magari kupita katika daraja la Kiyegeya la mchepuko...

READ MORE

Mjukuu wa Mandela Akutwa na Corona

NDABA MANDELA, mjukuu wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amekiri kwamba ameambukizwa virusi vya Corona.   Ndaba amethibitisha...

READ MORE

Makonda Ampa Maagizo Mkandarasi wa Mwendokasi ya Mbagala

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda, amemtaka mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mabasi ya...

READ MORE

Chadema ‘Yaitegea’ Corona “Tutafunga Mipaka Watu Wameshakufa” – Video

MIKUTANO ya ndani na hadhara iliyopangwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuanza tarehe 4 Aprili 2020, sasa haitafanyika ...

READ MORE

Mdee, Bulaya, Jacob Watuhumiwa kwa Makosa 7

VIONGOZI na wafuasi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwemo wabunge  watatu:  Halima Mdee (Kawe), Ester Bulaya (Bunda...

READ MORE

Madaktari Bingwa Kiboko ya Corona Watua Italia – Video

MADAKTARI bingwa wa magonjwa ya mlipuko kutoka nchini Cuba wametua nchini Italia kupambana na virusi hivyo. Madaktari hao ambao hawana...

READ MORE

Ajali ya Treni Yaua Watumishi Watano wa TRC

  Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania – TEC unatangaza taarifa za Vifo vya watumishi 5 wa TRC. Vifo hivyo...

READ MORE

Fahamu: Kikohozi Kimoja Kinasambaza Virusi 3,000 vya Corona

Jinsi hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 inavyozidizidi kupanda, hofu ya kushika vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwa na virusi pia...

READ MORE

Mkulima Auawa kwa Mapanga na Watu Wasiojulikana, Mtoto Ajeruhiwa

MKAZI wa Mgongoro wilayani Igunga mkoani Tabora, Muya Kasanzu (48), anadaiwa kuuawa kikatili kwa kucharangwa mapanga, huku mtoto wake Abdallah...

READ MORE

Tanzia: Dkt. Makongoro Mahanga Afariki Dunia

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kichama wa Ilala Jijini Dar es Salaam, Dkt. Milton...

READ MORE

Mafuriko Yaacha Maafa Kilombero

Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero kuathirika na athari za maafa ya...

READ MORE

Wenye Virusi vya Corona Kenya Wafika 15

WAZIRI wa Afya wa Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kuwa, watu wengine wanane wamethibitishwa kuwa na ugonjwa wa Corona nchini humo....

READ MORE

Mpango Ateua Watakaoiwakilisha Serikali vs Ubia na Barrick

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), amewateua wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Chomoka Na Gari Mpya Na Championi Yatikisa Dodoma

HII inaitwa kanyaga twende, baada ya bahati nasibu ya Chomoka na Gari Mpya na Championi, kuendelea kupepea katika mikoa mbalimbali...

READ MORE

Kagere, Molinga Matatani, Wameondoka Nchini

TAMKO la Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia kuwataka wachezaji wakiwemo wa kimataifa wanaocheza soka hapa nchini...

READ MORE

Washambuliaji Wanne Yanga = Meddie Kagere

MEDDIE Kagere ambaye ni mshambuliaji wa Simba, ameipoteza safu ya ushambuliaji ya Yanga katika upande wa kufunga mabao. Kagere mwenye...

READ MORE

Rais Magufuli: Mgonjwa wa Kwanza wa Corona Tanzania, Amepona – Video

Rais John Magufuli, leo Jumapili, Machi  22, 2020 amehutubia taifa kuhusu Covid-19 akiwa Ikulu jijini Dodoma anasema wagonjwa wamefikia 12...

READ MORE

Maalim Seif: Nimepindua Meza CUF

DAR: Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Shariff Hamadi amesema kutokana na misingi aliyoijenga kwa wafuasi wake visiwani...

READ MORE

Rais Magufuli Ataka Watanzania Wasitishane Na Corona

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa...

READ MORE

Bahati Nasibu ya ‘Shinda Gari’ Yatikisa Kigamboni

Adam (kushoto) akimpatia zawadi ya sabuni mmoja wa wasomaji wa magazeti ya championi baada ya kukata kuponi yake. Hiyo inatokana...

READ MORE

Majaliwa Aonya Upotoshaji Taarifa za Ugonjwa wa Corona

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Jumamosi, Machi 21, 2020 ameonya kuhusu upotoshwaji na utoaji holela wa taarifa kuhusu ugonjwa wa...

READ MORE

Corona Inatisha! Kufungwa Makanisa Msikitiki Itakuwaje?

WAKATI tishio la virusi vya mafua ya Corona likizidi kushika kasi nchini na mataifa mengine kibao, suala la makanisa na...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuua, Kufukia Mwili Shambani

POLISI mkoani Pwani inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumwua mwanamke mmoja (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za kumfumania siku ya...

READ MORE

Bosi TAKUKURU, Msaidizi Wake Wanasa Kwenye Mtego wa Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU inapenda kuufahamisha umma kwamba, watumishi wake wawili akiwemo Mkuu wa TAKUKURU...

READ MORE

Akutwa Gesti Ametoa Mimba na Kuua Kichanga

  JESHI LA POLISI Mkoa wa Morogoro linamshikilia Rehema Fabiani (18), mfanyakazi wa Mgahawa wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha...

READ MORE

Vodacom Tanzania yatoa Elimu ya Kujikinga na Virusi vya Corona

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini  Dkt. Ismail Gatalya  wakati akitoa elimu...

READ MORE

Geita: Mjamzito Anyongwa Usiku wa Manane – Video

  Watu watatu nchini Tanzania wameuawa kwa matukio matatu tofauti likiwamo la mama mwenye ujauzito unaokadiriwa kuwa na miezi 8-9...

READ MORE

Wananchi Waliyowazomea Watalii na Kuwaita Corona Yawakuta

MKUU wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Christopher Ngubiagai amekemea vikali na kuahidi kuwachulia hatua kali, baadhi ya wananchi wa...

READ MORE

Agizo Hili la JPM na Majaliwa Halijatekelezwa – Video

Mfanyabiashara anayetambulika zaidi kwa jina la Babu Rama, ambaye alidai kuingia katika mgogoro na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) baada...

READ MORE

Tamko la Maaskofu wa Anglikana Kuhusu Corona

O. Box 899, Dodoma, Tanzania Tel: +255 (0) 262321437/2324574 Fax: +255 (0) 262324565  Email: [email protected]  Archbishop: The Most Rev. Maimbo...

READ MORE

Mkutano wa G7 Utafanyika Kupitia Video

Rais wa Marekani Donald Trump amefuta Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 na badala yake watazungumza kwa...

READ MORE

Droo Ya Kwanza Bahati Nasibu Ya Baba Lao Machi 25

Droo ya kwanza ya Bahati Nasibu ya Baba Lao ambayo mshindi anatarajiwa kuibuka na gari aina ya Fun Cargo kwa...

READ MORE