×

Habari

CRDB Yapongezwa Kwa Kuisaidia Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar Sekta Ya Utalii

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa kinara katika kuisaidia Serikali...

READ MORE

Mkapa Afurahia Uamuzi Kuibinafsisha Benki ya NMB

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa amesifu uamuzi wa Serikali yake kwa...

READ MORE

Nugaz ‘Apigana’ Uwanjani Baada ya Sare ya Yanga Vs Coastal – Video

Msemaji wa klabu ya Yanga, Antonio Nugaz, ameonekana akipigana uwanjani baada ya kumalizka kwa mechi ya Ligi Kuu kati ya...

READ MORE

Mke Aachika, Bintiye Aolewa na Mume Huyo

MWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Grace, aliolewa zaidi ya miaka 18 iliyopita. Kama wanawake wengine, aliwaza kuwa na...

READ MORE

Auawa kwa Radi Akinyolewa Saluni Njombe

MARTIN NYIGU (35) mkazi wa kijiji cha Lusitu, kata ya Luponde, halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe,  amefariki dunia...

READ MORE

Mkapa Awafunda Wanagenzi Kuwa Viongozi Bora Baadae

  RAIS mstaafu Benjamini Mkapa ametoa wito kwa viongozi wa nchi za Afrika na wadau wa sekta ya biashara kutumia...

READ MORE

Yanga Yashtukia Mchezo Mchafu, Yabadili Mbinu

ZILE sare tatu mfululizo walizozipata Yanga katika mechi zilizopita za Ligi Kuu Bara, zimewakera mashabiki, viongozi na hata wachezaji wa...

READ MORE

VIDEO: WAZIRI MKUU Aanika Serikali Ilivyothibiti Wizi wa Madini

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Jumapili Feburuari 23, 2020 anazindua Hati ya uhalisia ya madini kwa Tanzania ambayo...

READ MORE

Kili Canvas Yawa Gumzo Moshi Kilimanjaro

Dar es Salaam Februari 15, 2020: Kili Canvas iliyozinduliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro...

READ MORE

Video: Rc. Makonda ‘Anusa Viashiria’ Silaha Za Kibaiolojia Tanzania

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewataka wachimbaji wa madini nchini kushirikiana na Rais Magufuli katika vita...

READ MORE

Usajili Kili Marathon Wapamba Moto

Mashindano ya mbio za marathon yakiwa katika hatua za mwishoni kuanza kutimua vumbi Machi 1 mwaka huu Mjini Moshi mkoani...

READ MORE

Chato: Baba Kizimbani kwa Kumlawiti Mtoto Wake

Jeshi la Polisi wilayani Chato mkoani Geita, limemfikisha Mahakamani, Kazimili Dotto akituhumiwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kambo, ambaye...

READ MORE

Mtu wa Kwanza Afariki kwa Corona Ulaya

MWANAMUME mmoja wa Italia aliyekuwa ameathirika na virusi vya Corona amefariki dunia na hivyo kifo hicho kuwa cha kwanza kutokea...

READ MORE

Mr. Championi Akutana na Wasomaji Championi, Awarudishia Pesa Zao

Gazeti namba moja Tanzania la Michezo la Championi jana kupitia Mr. Championi liliendelea kuwarudishia wasomaji fedha zao walizonunulia  gazeti hilo...

READ MORE

Waziri Mkuu Anayekabiliwa na Mauaji ya Mkewe Aondoka Nchini

WAAZIRI mkuu wa Lesotho Thomas Thabane anayekabiliwa na mashitaka ya kumuua mke wake wa kwanza Lipolelo Thabane hakufika mahakamani, wakati...

READ MORE

Jackline Mengi: Nimezuiwa Kufika Kwenye Kaburi la Mume Wangu

MKE wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni za IPP Media, Jacquiline Ntuyabaliwe amelalamika kuzuiwa yeye na watoto wake kutembelea kaburi la...

READ MORE

TAKUKURU Yatoa Ripoti Sakata la Lugola – Video

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imesema uchunguzi wa sakata la manunuzi ya vifaa vya zimamoto na...

READ MORE

Waganda, Wasomali Wawageuza Nzige Kuwa Kitoweo

RAIA wa Uganda wanaoishi kaskazini mwa wilaya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibu mimea yao kulingana na kituo...

READ MORE

Abdul Nondo Afanya Maamuzi Magumu ACT-Wazalendo – Video

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo, jana Februari 21, 2020 amechukua fomu ya kugombea nafasi ya...

READ MORE

Mwili wa Baba Mzazi wa Mtume Mwingira Kuzikwa Pwani Leo

Mazishi ya Elias Mwingira ambaye ni baba mzazi wa Mtume Josephat Mwingira yanafanyika leo Jumamosi Februari 22, 2020 Kibaha mkoani...

READ MORE

VIDEO: Mbunge Wa Lipumba Ajiuzulu Na Kuhamia CCM

 Mbunge wa Tandahimba Mkoani Mtwara (CUF) Katani Ahmed Katani amejiuzulu Ubunge wake na kutangaza kuhamia CCM kwenye mkutano uliofanyika...

READ MORE

Ado Achua Fomu Kuwania Ukatibu Mkuu ACT Wazalendo

KATIBU wa Kamati ya Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma ya chama hicho, Ado Shaibu amekuchukua fomu ya kuwania nafasi...

READ MORE

Kisa DNA ya Watoto, Mke Achezea Kipigo Nusura Auawe

MWANAMKE mmoja nchini Nigeria amechakazwa vibaya na mwanamume anayedhaniwa kuwa ni mume wake baada ya kutokea hali yenye utata dhidi...

READ MORE

Daktari Asema Corona Haiwezi Kuishi Kwenye Damu ya Mwafrika

CORONAVIRUSES (CoV) ni virusi vinavosababisha mafua na ugonjwa unaoathiri mfumo wa hewa  wa  Middle East Respiratory Syndrome (MERS-CoV) na Severe...

READ MORE

Mwanafunzi Asimulia Alivyobakwa na Kupata Ujauzito

MWANAFUNZI wa kidato cha nne ambaye pia ni shahidi wa kwanza kwenye kesi ya ubakaji inayomkabili Boniface Malila (20), amedai...

READ MORE

Rwanda Yakataa Uchunguzi Huru Kifo cha Msanii Mihigo

RWANDA imepinga shinikizo kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu ya kutaka uchunguzi huru kufanywa kuhusu kifo cha msanii...

READ MORE

Mwanamke Aliyeishi Kwenye Ndoa na Binamu Yake, Aanika Mazito

CARO NDUTI ni mama ya watoto wawili na kwa muda wa miaka minne ndoa yake ilifana sana, lakini anasema alifurahia...

READ MORE

‘Bi Kidude’ Azua Taharuki Bandari ya Zanzibar

Bibi mmoja (pichani) ambaye majina yake hayajafahamika mara moja amezua taharuki miongoni mwa wasafiri na wananchi wengine katika Bandari ya...

READ MORE

Vodacom yazindua duka la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania Plc, George Lugata (kulia) akikata utepe kuzindua...

READ MORE

Bosi Spoti Xtra Aula TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limempa ulaji Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally ambaye ni bosi wa magazeti ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Lesotho Thomas Thabane Atakiwa Kujiuzulu

Chama tawala nchini Lesotho kimemtaka waziri mkuu kujiuzulu leo Februari 20, 2020, ikiwa ni siku 2 tu tangu mkewe wa...

READ MORE

NEC Yaongeza Siku za Kujiandikisha Dar

T ume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Corona Iran

SERIKALI ya Iran imethibitisha vifo vya watu wawili vilivyotokana na maambukizi mapya ya virusi vya Corona na kuvifanya kuwa vifo...

READ MORE

Binti Aliyevunja Ndoa ya Wazazi Wake Ili Asome, Asimulia

NI nadra sana kwa maeneo ya vijijini mkoani Shinyanga kuona mwanamke anapewa nafasi ya kuwa kiongozi na wakati mwingine mwanamke...

READ MORE

Mbunge Atinga Bungeni na Nzige

MBUNGE David Obala kutoka Ngora Mashariki, Uganda amepeleka nzige bungeni juzi Jumanne, akilenga kupinga serikali kuchelewa kukabiliana na janga hilo...

READ MORE

Huduma za bima sasa kupatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB

Benki ya NMB imeanza kutoa huduma za bima katika matawi yake yote 224 nchini kote.Huduma hii imefuatia uzinduzi wa huduma...

READ MORE

Wadhamini Waomba Lissu Akamatwe – Video

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,  wamewasilisha maombi mahakamani kutaka itoe kibali cha Lissu kukamatwa baada ya...

READ MORE

Akimbiwa na Mumewe Kisa Unene, Hawezi Kutembea – Video

MKAZI mmoja mwanamke wa Kijiji cha Mwendakulima, Kata ya Uyoa, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, amejikuta akishindwa kutembea na hata...

READ MORE

Mwanamke Aliyetinga Ikulu na Kumdanganya Magufuli Yamkuta

POLISI mkoani Mbeya imemrejesha mkoani humo mwanamama Atughanile Kalenga, ambaye alikamatwa  jijini Dar es Salaam kwa amri ya Mkuu wa...

READ MORE