×

Habari

Ndugu Wadhibitiwa Kuwaona Wagonjwa, Kisa Corona – Video

KUFUATIA ongezeko la wagonjwa wa Corona nchini, Hospitali ya KCMC imezuia ndugu wa wagonjwa kulundikana hospitali na badala yake mtu...

READ MORE

Zitto Aanza Kujitetea Kesi ya Uchochezi – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameanza kujitetea katika kesi yake ya uchochezi...

READ MORE

Mwanamke Awekewa Virusi vya Corona, Ajitoa Muhanga -Video

Mwanamke mmoja nchini Marekani, Jeniffer Haller mwenye umri wa miaka 43 leo Machi 17, 2020 amekubali kufanyiwa majaribio ya dawa...

READ MORE

 Hawa Ndio Majaji wa Public Speaking na Timu Zao

MAJAJI wa Shindano la National Public Speaking tayari wameshagawana washiriki 30 katika makundi matatu kwa ajili ya mafunzo yatakayotolewa kambini....

READ MORE

Shule Zafungwa Nchini, Michezo Yasitishwa Kisa Corona -Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Machi 17, 2020, ametangaza kufungwa kwa shule zote kuanzia za awali mpaka kidato cha sita...

READ MORE

Achomwa Moto Akituhumiwa Kuiba Mahindi Shambani

POLISI mkoani Shinyanga linafanya uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwanamme anayekadiriwa kuwa na umri wa 25-30 ambaye hajafahamika jina...

READ MORE

Video: Dereva Aliyembeba Mama Mwenye Corona Apatikana, Rc Gambo Athibitisha..

 MKUU wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, leo Macji 17, amethibitisha kupatikana kwa dereva aliyembeba mama Isabella, ambaye ni...

READ MORE

Vodacom yaandaa semina ya wabunifu wa Teknolojia

Mkurugenzi wa Huduma za Kidijitali wa Vodacom Tanzania PLC, Nguvu Kamando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya...

READ MORE

Dereva Aliembeba Mgonjwa wa Corona Apatikana

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amesema Dereva tax aliyembeba mgonjwa wa Corona amepatikana na kuchukuliwa sampuli kwa ajili...

READ MORE

‘Chomoka na Gari Mpya’ ya Championi, Spoti Xtra Yatikisa Mwanza

AMA kweli wanasema hayawi hayawi sasa yamekuwa!  Ile  promosheni namba moja kwa sasa hapa Tanzania  ya bahati nasibu ya Chomoka...

READ MORE

Kisa Corona, DC Sabaya: Tutafunga Bar, Supermarket Zote – Video

WAKATI kisa cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya Corona kikiripotiwa rasmi nchini Tanzania, juhudi mbalimbali zimeanza kuchukuliwa na serikali...

READ MORE

Zimbabwe: Corona ni Adhabu kwa Ulaya na Marekani

WAZIRI wa Ulinzi wa Zimbabwe, Oppah Muchinguri,  amesema  virusi vya Corona ni adhabu kwa Marekani na Ulaya kwa kuiwekea nchi...

READ MORE

Utaratibu wa Kufuata Unapopoteza Kitambulisho cha NIDA

MAMLAKAya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa maelekezo kuhusu hatua za kufuata mtu anapopoteza kitambulisho chake ili aweze kupata kitambulisho kipya....

READ MORE

Arusha: Hoteli Aliyofikia Mgonjwa wa Corona Yafungwa, Hakuna Kutoka Ndani

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya mkoa huo umebainika kuwa na mgonjwa mmoja wa Corona...

READ MORE

Vodacom Tanzania yaja na Teknolojia ya kilimo

Mkurugenzi wa kitengo cha Vodacom Business, Arjun Dhillon (kushoto) akichangia mada kwenye mdahalo wa teknolojia ya kilimo ikiwa ni sehemu...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu nchini

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia akizungumza na wageni waalikwa kwenye kufunga maadhimisho ya wiki ya...

READ MORE

Yanga: Simba SC Wanatuhujumu

MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela, amefunguka kuwa wamebaini kuwepo kwa kamati za chinichini kutoka kwa wapinzani wao Simba wanaotaka...

READ MORE

VODACOM YATAMBULISHA PEPPER ROBOT KWENYE MAONESHO YA UBUNIFU DODOMA

Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Vodacom Tanzani ,Jaqueline Materu (kulia) akiwapa maelezo baadhi ya wananchi kuhusu kazi anazofanya roboti 

READ MORE

BMT yapongeza Kilimanjaro Premium Lager kwa udhaminiwa wa aina yake

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT), limesema Kilimanjaro Premium Lager ni mfano pekee wa kuigwa katika udhamini wa mchezo wa...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Jishindie Ndinga Yatikisa Kibaha

ILE PROMOSHENI kubwa nchini ya Bahati Nasibu ambayo mshindi wa droo kubwa anatarajia kujishindia ndinga mpya kwa kusoma magazeti ya...

READ MORE

JPM Atua Kwenye Daraja Moro, Asimamisha Kazi Wahandisi 12, Amuonya Waziri – Video

RAIS John Magufuli leo amewasimamisha kazi wahandisi 12  wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Morogoro na kuwapa onyo...

READ MORE

Makonda Atoa Maagizo Kukabiliana na Corona

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku msongamano wa abiria katika vyombo vya usafiri, maeneo ya...

READ MORE

Mbowe Atangaza ‘Vita’ Aprili 4; ‘Hatuogopi Jela’ – Video

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,  amesema kutokana na ukimya kwa upande wa serikali...

READ MORE

Breaking News: Corona Yaingia Tanzania, Serikali Yathibitisha – Video

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amethibitisha kuwa Tanzania ina mgonjwa mmoja mwanamke (46)...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Waongezeka Kenya, Kenyatta Afanya Maamuzi

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amethibitisha kisa cha tatu cha maambukizi ya virusi vya Corona na kuamuru shule zote za...

READ MORE

Ewura Yataja Chanzo cha Mlipuko wa Gesi Moro

Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji, Titus Gaguo amebainisha chanzo cha mlipuko wa gesi...

READ MORE

JPM Ashtukiza Ubungo, Aahirisha Mbio za Mwenge – Video

RAIS John Pombe Magufuli, amesitisha mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2020 zilizotarajiwa kuanza hivi karibuni ili kuepuka  maambukizi...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Machi 16, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 16, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

Msemaji Wa Serikali Ataja miradi Inavyotekelezwa, Atoa pole Kwa Waandishi – Video

Katibu Mkuu Wizara Ya Habari  na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbasi, leo Machi 15, 2020 amezungumza na wanahabari...

READ MORE

Maalim Seif Aukwaa Uenyekiti, Zitto Atetea Nafasi

Mkutano Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, umemchagua Maalim Seif Sharif hamad, kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kwa kura 337,...

READ MORE

Video: Muna Afunguka Kuolewa, Kubadilisha Dini

Msanii wa filamu nchini, Rose Alphone ‘Muna Love’ amefunguka juu ya maisha yake usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi...

READ MORE

Harmonize Afunika Mlimani City (Picha +Video)

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Abdul Kahali maarufu Harmonize au Konde Boy usiku wa kuamkia leo alijaza umati mkubwa wa mashabiki...

READ MORE

Utajiri Au Umaskini Unatokana Na Wewe!

SIKU moja nilifundisha mahali na nikatoa changamoto kuwa kila mtu anaweza kupata muda wa kusoma kitabu kama akiamua.   Nilieleza...

READ MORE

Mambo 4 ya Kujifunza Kuachana Mondi na Tanasha

SIYO stori tena kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameachana na baby mama wake mwingine, Tanasha Donna, raia...

READ MORE

Moto wa Gesi Wateketeza Nyumba Moro, Waandishi 4 Wajeruhiwa

WAANDISHI wa habari wanne Mkoani Morogoro wameungua moto wakati wakifuatilia tukio la nyumba kuwaka moto katika eneo la Msamvu Mizambarauni,...

READ MORE

Watu wa Buza Wanataka Gari

WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam wa maeneo ya Buza na maeneo ya Kijiwe Samli wamejinasibu kununua kwa wingi...

READ MORE

Ndinga Mpya ya Championi, Spoti Xtra Yatua Arusha

VIJANA wa siku hizi wanasema, mambo ni yente au safi ndani ya Jiji la Arusha, wenyeji hupaita R-Chuga, hii ni...

READ MORE

Prof Lipumba: Mashinji Amewaokoa Chadema Kufungwa – Video

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba,  amesema kitendo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt. Vincent...

READ MORE