×

Habari

Droo Ya Kwanza Bahati Nasibu Ya Baba Lao Machi 25

Droo ya kwanza ya Bahati Nasibu ya Baba Lao ambayo mshindi anatarajiwa kuibuka na gari aina ya Fun Cargo kwa...

READ MORE

Waliombaka Mwanamke Ndani ya Basi Wanyongwa

WANAUME wanne raia wa India waliofungwa kwa kumbaka na kumuua na mwanafunzi mjini Delhi mwaka 2012 wamenyongwa. Akshay Thakur, Vinay...

READ MORE

Video: Msanii Idris Sultan Afikishwa Mahakamani Dar

MSANII wa vichekesho nchini, Idris Sultan (27) na wenzake wawili leo Machi 20, 2020, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Dereva wa ‘Isamilo’ Afariki Kwenye Basi Lake Akiwa Safarini

DEREVA wa basi la Isamilo lenye namba za usajili T609 CQB aina ya Scania linalofanya safari zake kati ya Mwanza...

READ MORE

Makonda: Msiende Club, Baa Kaeni Nyumbani Kukwepa Corona -Video

 WAKAZI wa Mkoa wa Dar es Salaam na Watanzania kwa jumla wameombwa kutulia majumbani mwao baada ya shughuli zao...

READ MORE

Auawa Akishukiwa Kuwa na Virusi vya Corona

POLISI huko Kwale, Kenya,  wanakisaka kikundi cha watu ambao wanadaiwa kumuua kijana Hezron Kotin eneo la Kibundani baada ya kumtuhumu...

READ MORE

Video: Safari ya Salim Kikeke Kutoka Ukulima Mpaka BBC

MTANGAZAJI maarufu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Salim Kikeke, amefunguka maisha aliyoyapitia kabla ya kuwa mtangazaji mkubwa akiiwakilisha...

READ MORE

TANZIA: Aurlus Mabélé Afariki kwa Kansa na Corona

STAA na nguli wa muziki wa Soukous kutoka Jamhuri ya Congo, Aurlus Mabélé,  amefariki dunia akiwa na umri wa miaka...

READ MORE

Maswali & Majibu Muhimu Kuhusu Ugonjwa wa COVID-19

MLIPUKO wa maambukizi ya Virusi vya Corona umeathiri mataifa mbalimbali duniani na bado athari zake zinaendelea kwa kasi, awali ilionekana...

READ MORE

Madaktari: Msitishwe, Fanyeni Haya Mkiambukizwa Msife

WAKATI nchi 163 duniani zikihaha kudhibiti kuenea kwa virusi ya Corona (COVID-19), madakari Bongo wamewatoa hofu wananchi kwa kusema wasitishwe...

READ MORE

Buguruni Waapa Kuchomoka na Ndinga ya Championi, Spoti Xtra

  WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi, Machi 19, 2020, wamemiminika kama...

READ MORE

Coronavirus: Serikali Kutengeneza Sanitizer Zenye Kilevi na Kuzigawa Bure

Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema...

READ MORE

Janeth Magufuli Atoa Misaada Vituo Vya Watoto Dodoma

JANETH MAGUFULI, mke wa Rais John Magufuli, ametoa wito kwa taasisi mbalimbali, mashirika, wafanyabiashara na watu wenye mapenzi mema kujitolea...

READ MORE

Breaking: Kisa Corona, Spika Azuia Wageni, Wabunge Nao… -Video

 BUNGE  limesitisha utaratibu wa kupokea wageni mbalimbali wakiwamo wanafunzi wanaokwenda kujifunza shughuli za bunge. Spika wa Bunge, Job Ndugai, ...

READ MORE

NECTA Yaahirisha Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu

Baraza la Mitihani nchini (Necta) limetangaza kuahirisha mitihani ya kidato cha sita na ualimu iliyokuwa ifanyike Mei 4, mwaka huu...

READ MORE

Zitto Anashtakiwa kwa Kuwasemea Wananchi – Shahidi

SHAHIDI wa tatu katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo,...

READ MORE

Dereva Aliyembeba Mgonjwa, Wengine 27 Arusha Hawana Corona

 WATU 27 waliofanyiwa uchunguzi kama wameambukizwa ugonjwa wa virusi vya Corona, akiwemo dereva wa teksi aliyembeba mgonjwa wa kwanza...

READ MORE

Video: AJALI Mbaya ILIVYOUA WATU IRINGA, MASHUHUDA, DC Wasimulia – “MAJERUHI 10”

 Usiku wa kuamkia leo watu saba wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea mkoani Iringa baada ya magari kugongana uso kwa...

READ MORE

Magereza Yasitisha Kutembelea Wafungwa

Jeshi la Magereza Tanzania limesitisha huduma za kutembelea wafungwa na mahabusu ikiwamo huduma ya kuwapelekea chakula mahabusu, hadi pale itakavyoelekezwa...

READ MORE

Breaking: Wagonjwa wa Corona Tanzania Wafikia 6

WIZARA ya Afya imesema wagonjwa wapya wawili Watanzania wamethibitika kuwa na virusi vya Corona (COVID-19) jijini Dar es Salaam, na...

READ MORE

Noti za Tanzania Hazitunzi Virusi vya Corona – BoT

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema noti zake zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti.   Katika...

READ MORE

Corona Yaua Mtu wa Kwanza Burkina Faso

BURKINA FASO imetangaza kifo cha kwanza cha mtu aliyekuwa na ugonjwa wa virusi vya Corona nchini humo, hii ikiwa ni...

READ MORE

Mgonjwa wa Corona Atoroka Hospitali, Mtandao Wake Wasakwa

SERIKALI ya  Kenya inawasaka watu 85 wanaohofiwa kuambukizwa virusi vya Corona baada ya kuambatana na mgonjwa wa virusi hivyo katika...

READ MORE

TTCL yawezesha Mkutano Wa SADC Kufanyika Kwa ‘Video Conferece’

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Masiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuelezea namna...

READ MORE

Maajabu! Mtoto Alivyonusurika Ajali ya Moto wa Gesi

  HAKIKA Mungu ni mwema, ndivyo unavyoweza kutafsiri baada ya mtoto Ayubu Mohamed (2) aliyekuwa ameuchapa usingizi kunusurika na kifo...

READ MORE

NMB: Huduma ya Bima Kupitia Benki Hukuza Biashara Endelevu

Meneja Mwandamizi wa Bima wa Benki ya NMB, Martine Massawe akielezea kuhusu Bima ‘Bancassuarance’ wakati wa mkutano wa NMB Business...

READ MORE

Ummy: Wananchi 26 Wanashukiwa Kuwa na Corona Arusha

WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ametangaza ongezeko zaidi la wagonjwa wa Corona na...

READ MORE

NBC Yazindua Klabu ya Biashara Mtwara,Yatoa Mafunzo ya Biashara

  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea na mkakati wao wa kuzindua NBC Biashara Club katika maeneo mbali mbali...

READ MORE

Mama Amfanyia Mbaya Mwanaye

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Emakulata amemfanyia kitu mbaya mtoto wake wa miezi miwili kwa kumtoroka usiku wa...

READ MORE

Wizara ya Afya: Uvaaji Holela wa Mask ni Hatari kwa Afya – Video

WIZARA ya Afya imesema kuwa kuwa si kila mtu anatakiwa kuvaa kifaa cha kuziba uso ‘mask’ ili kujikinga na homa...

READ MORE

Serikali Yataja Sababu Sampuli za Corona Kupimwa Dar

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema kuwa sampuli za washukiwa wa virusi vya Corona zinapimwa...

READ MORE

Wenye Corona Kenya Wafika 7

Waathiriwa wa kirusi cha corona nchini Kenya wamefikia watu saba baada ya watu wengine watatu kuthibitishwa kuambukizwa kirusi hicho.  ...

READ MORE

Maalim: Hatutasusia Uchaguzi Mwaka Huu (Picha + Video)

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Shariff Hamadi amesema licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu...

READ MORE

Alipopita Dereva Aliyembeba Isabella wa Corona Pajulikana

MAPITO ya dereva wa teksi ambaye alimbeba mgonjwa aliyethibitishwa kuwa na virusi vya Corona, Isabela Mwampamba (46) yamefuatiliwa katika Jiji...

READ MORE

Zitto Aishauri Serikali Kuokoa Uchumi Wakati wa Corona

KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameishauri serikali mambo matatu ambayo itatakiwa...

READ MORE

Corona: Mufti wa Tanzania Aagiza Madrasa Zote Zifungwe

MUFTI  wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi,  amewaagiza walimu wa madrasa kufunga madrasa zote hadi utakapotangazwa utaratibu mpya. Aidha amewataka waumini...

READ MORE

Mgonjwa wa Kwanza wa Corona Aongea Laivu ‘Nipo Fiti’ – Video

Mgonjwa wa kwanza wa virusi vya corona nchini Tanzania Isabela Mwampamba amezungunza kwa njia ya simu na Waziri wa Afya,...

READ MORE

EU Wafunga Mipaka Kudhibiti Corona

MUUNGANO wa Ulaya umepiga marufuku wasafiri kutoka nje ya muungano huo kwa siku 30 katika hatua ambayo haikutarajiwa ya kufunga...

READ MORE

Video: Hotuba Ya Waziri Mkuu Kwenye Mkutano Wa SADC Dar Leo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Machi 18, amefunguka mkutano wa baraza la mawaziri wa SADC uliofanyika katika ukumbi wa mikutano...

READ MORE

#BREAKING: Wagonjwa wa Corona Nchini Wafikia Watatu – Waziri Mkuu

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza kuwepo wagonjwa wengine wawili wa virusi vya Corona nchini Tanzania, ambao mmoja ni raia...

READ MORE