×

Habari

Madai Mazito… Mjeshi Amuua Msanii Kinyama

DAR ES SALAAM: DAMU, majeraha na jasho vilionekana mwilini mwa Elius Mathew (28) msanii wa maigizo na mkazi wa Kwalulenge,...

READ MORE

Sakata Kulipia Maiti Latikisa Bunge, Waziri Asimama – Video

SERIKALI imetakiwa kupitisha utaratibu ambao hautawabana watu kuchukua miili ya ndugu zao waliofariki wakati wa matibabu katika hospitali zake. Wito...

READ MORE

Kambi Yaundwa Kuwasaidia Kidato cha Nne Wenye Ufaulu Hafifu

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amezindua rasmi kambi ya kitaaluma ya siku 60 kwa wanafunzi wa kidato...

READ MORE

JPM: Tumempoteza Mugabe Aliyekataa Ukoloni kwa Vitendo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), ...

READ MORE

Burundi Watua Dar, Watamba “Hatuwaogopi Stars” – Video

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Burundi kimewasili salama katika ardhi ya Tanzania kikitokea kwao Burundi kwa ajiri ya mechi...

READ MORE

Elfu 50 Tu Unapanda Precision Air, Ni Ofa Kabambe! – Video

Shirika la Ndege la Precision la Tanzania, limekuja na OFA kabambe kwa wateja wake ambapo kila Alhamis kutakuwa na HAPPY...

READ MORE

Mradi wa VectorWorks wafikia tamati, kiwango cha Malaria Chapungua

  MRATIBU wa Malaria kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI), Stella Kajange, amesema ugonjwa...

READ MORE

Breaking News: Mugabe Afariki Dunia

RAIS  mstaafu wa Zimbabwe, Robert Mugabe,  amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95. Rais Mugabe alikuwa nchini Singapore akipatiwa...

READ MORE

BENKI YA KCB YADHAMINI LIGI KUU YA SOKA TANZANIA BARA 2019/20

Benki ya KCB Tanzania imengia mkataba na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ili kuwa mdhamini mwenza wa Ligi...

READ MORE

Waitara Ajibu Mapigo ya Mnyika Bungeni – Video

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), MWITA WAITARA amesema Kanuni za uchaguzi...

READ MORE

Tanesco Yamsaidia Kijana Anayeishi kwa Msada wa Mashine ya Oxygen

KIJANA anayeishi kwa msaada wa mashine ya Oxygen ili kumuwezesha kupumua, Bw. Hamad Awadhi amelishukuru Shirika la Umeme Nchini TANESCO...

READ MORE

RPC Muroto Anasa Makahaba, Bastola… “Wameangukia Pua” – Video

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Giles Muroto, amesema Jeshi hilo mkoani humo limefanikiwa kukamata bunduki aina ya bastola aina...

READ MORE

Nigeria Nao Wakikinukisha, Wapora Maduka ya Wasauz

Maduka ya wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Nigeria yalivamiwa jana ikiwa ni hatua ya kujibu, mashambulizi ya hivi karibuni katika...

READ MORE

Air Tanzania Yasitisha Safari za Kwenda Afrika Kusini

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe amesema Serikali imesitisha kwa muda huduma ya usafiri wa ndege zake nchini...

READ MORE

JPM Amjulia Hali Kigogo Usalama wa Taifa

RAIS  John Magufuli leo Alhamisi, Septemba 5, 2019, amemtembelea na kumjulia hali Mkurugenzi Mkuu mstaafu wa Idara ya Usalama wa...

READ MORE

Askofu Kakobe Aanika Wakristo Wanavyoibiwa

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe ameanika kile alichodai, jinsi baadhi ya wachungaji na mitume...

READ MORE

Azam kuja na vifungashio vipya vya unga wa ngano

  UONGOZI wa kampuni ya kutengeneza vyakula inayomikiliwa na makampuni ya Said Salim Bakhresa &Ltd,  na inayozalisha unga bora wa...

READ MORE

Icardi aaga Inter na dongo

STRAIKA wa Inter Milan, Mauro Icardi ameaga zake kwenda kuichezea Paris Saint-Germain huku akirusha madongo kwa klabu hiyo.   Icardi...

READ MORE

Hawa Burundi Hawatoki Jumapili Taifa

JUMAPILI hawatoki Taifa. Inyeshe mvua au liwake jua, Burundi lazima wapigwe. Ndio msisitizo wa Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta...

READ MORE

Siri ya Neymar yafichuka Real

SABABU kuu tatu ndizo zinaelezwa kuwa zilisababisha Real Madrid kuachana na mpango wa kumsajili staa wa Paris St. Germain, Neymar....

READ MORE

Ujenzi wa Bomba la Mafuta Uganda-Tanzania Wasitishwa

UJENZI wa mradi wa bomba kubwa la kusafirishia mafuta kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Bandari ya Tanga nchini Tanzania umesitishwa...

READ MORE

Zahera Aitafuta Rekodi ya Aussems Afrika

KOCHA mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ametamba kwamba atafanya njia yoyote kuhakikisha kwamba anafikia rekodi ya kocha wa Simba, Patrick...

READ MORE

WAFANYABIASHARA KIGOMA WAIOMBA NMB KUONGEZA WIGO WA MATAWI

    BAADHI ya wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameziomba taasisi mbalimbali za kifedha kuongeza vituo vya kutolea huduma za kibenki...

READ MORE

Bolt na Teknolojia ya Kisasa Kutua Zanzibar na Arusha

KAMPUNI inayokua kwa kasi katika utoaji wa huduma za usafiri kwa njia ya mtandaoni Barani Ulaya na Afrika- BOLT, inatarajia...

READ MORE

Ndege Iliyozuiliwa Sauzi Yatua Dar, Rubani Asimulia – Video

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa ikishikiliwa nchini Afrika Kusini, iliwasili katika Uwanja...

READ MORE

Dakika 450 za hatari Yanga

KIKOSI cha Yanga ambacho kimeanza Ligi Kuu Bara msimu huu kwa kichapo, kina dakika 450 mbele za hatari, ambazo ni...

READ MORE

Betika linakata mitaa tu

NI siku nyingine tena ambapo gazeti lako pendwa linalotolewa bure la Betika limeingia mtaani ikiwa ni wiki ya 30. Tangu...

READ MORE

Hatimaye Ndege Iliyozuiliwa Sauzi Yakabidhiwa Tanzania

NDEGE  ya Air Tanzania Airbus A220-300 iliyokuwa ikishikiliwa Afrika Kusini imekabidhiwa kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Dk. Damas...

READ MORE

BREAKING: MTN Ya Sauzi Yafunga Maduka Yake Nigeria

KAMPUNI la mawasiliano la Afrika Kusini la MTN, limetangaza kufunga maduka yake yote nchini Nigeria kutokana na baadhi ya raia...

READ MORE

Kisa Mastaa… Mwinyi Zahera Agoma Kucheza na Mbao FC

KOCHA mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amegoma kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbao wakati timu hiyo itakapokuwa kambini jijini...

READ MORE

Nape Aitaka Serikali Itimize Ahadi – Video

MBUNGE wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, pamoja na kuishukuru serikali kwa kuahidi kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa...

READ MORE

Lissu Asogeza Mbele Tarehe Kurejea

ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema hatarejea Tanzania Septemba 7, 2019,  kama ilivyopangwa badala yake atasubiri ruhusa...

READ MORE

Polisi: ‘Mchawi’ Aliyedondoka Juu ya Paa ni Kiki ya Mchungaji

JESHI la Polisi mkoani Iringa, limesema kuwa limebaini tukio lililotokea la ‘mchawi’ kudondoka juu ya paa la nyumba ya mchungaji...

READ MORE

Rais Museveni Kuwasili Nchini Kesho

RAIS  wa Uganda, Yoweri Museveni, anatajiwa kuwasili kesho nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kuanzia Septemba 5 hadi...

READ MORE

Ashitaki Majirani Akikerwa kwa Harufu ya Nyama-Choma

MWANAMKE mmoja nchini Australia amewafungulia mashitaka mahakamani majirani zake kwa kuchoma nyama. Mwanamke huyo Cilla Careden kutoka jijini Perth,  amedai...

READ MORE

JPM: Nimewasamehe Makamba na Ngeleja – Video

  RAIS John Magufuli amesema amewasamehe wabunge January Makamba wa Bumbuli na William Ngeleja wa Sengerema kwa kile alichosema walimtukana...

READ MORE

DSTV Yazindua Punguzo Kubwa Bei ya Vifurushi Dar -Video

KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania kupitia huduma zake za DStv usiku wa Septemba 3,  2019, imezindua punguzo la bei kwa vifurushi...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Wahandisi na Wadau wa Ujenzi – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Sept. 4, 2019 amekutana na wahandisi na wadau wa sekta ya ujenzi katika Ukumbi wa...

READ MORE

Bi Samia Amuwakilisha Rais JPM Kuaga Mwili wa Kaduma – Video

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan jana Septemba 3, 2019, amemuwakilisha Rais wa...

READ MORE

Ndugai Atangaza Utaratibu Mpya wa Kidigitali Bungeni

SPIKA wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amesema Bunge lina mpango wa kuacha kutumia mfumo wa sasa wa makaratasi Bungeni,...

READ MORE