×

Habari

Wakenya Watumika Yanga Kuwaua Zesco

KABLA ya kucheza na Zesco, Yanga imepanga kucheza michezo miwili ya kirafiki ukiwemo mmoja wa kimataifa kutoka moja ya klabu...

READ MORE

Ajibu Amrahisishia Kazi Kagere

IBRAHIM Ajibu, nyota wa Simba aliyejiunga msimu huu akitokea Yanga ameweka wazi kuwa amejipanga kutoa asisti zaidi ya 17 alizotoa...

READ MORE

Mwanamke Mshona Viatu Aliyejenga Nyumba, Asimulia Aliyopitia – Video

INGAWA dunia ya sasa wanawake wengi wamejikuta wakihamasishana kuwa na haki sawa na wanaume, lakini bado kuna kazi nyingi zinazofanywa...

READ MORE

Funga Mtaa, Mke Atumia Mdundiko Kumtoa Mumewe Kwa Mchepuko Wake

DAR ES SALAAM: MAISHA ya uswahilini raha sana jamani! Mambo yalikuwa burudani kwenye sherehe iliyofunga Mtaa wa Bi. Ndege uliopo...

READ MORE

Paka wa Ajabu Azua Tafrani Mjumbe

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya firauni! Paka wa ajabu amezua taharuki si ya nchi hii nyumbani kwa mjumbe wa nyumba...

READ MORE

Zahera: Nina Suti Zaidi ya 100, Mtanipenda Tu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa ana suti zaidi ya pea 100 kabatini ambazo ataanza kutupia kila anapokuwa...

READ MORE

Simba Watoa Kipigo Kikali Kwa JKT Tanzania

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba SC, wameanza ligi hiyo msimu huu kwa sifa baada ya jana Alhamisi kuinyuka...

READ MORE

Watoto Mapacha Walioungana Watenganishwa, Warejea Nchini – Video

Hakika Mungu ni muweza… hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya watoto mapacha waliozaliwa wakiwa  wameungana na hatimaye kwenda kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Championi Lamuuza Tambwe Uarabuni

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe anatarajiwa kujiunga na timu ya Fanja ya nchini Oman, Jumanne ijayo.   Tambwe...

READ MORE

Kabendera Apooza, Ashindwa Kupumua, Wakili Aiangukia Mahakama

UPANDE wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera, umeiomba mahakama kuliamuru Jeshi...

READ MORE

IGP SIRRO AKUTANA NA IGP WA SUDAN

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro,  leo Agosti 30, 2019,  amekutana na Mkuu wa Jeshi la Polisi...

READ MORE

MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA UNHCR

  SERIKALI ya Tanzania itaendelea kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) katika kutatua changamoto zinazotokana...

READ MORE

Kizaazaa: Msafara wa DC Washambuliwa kwa Mawe, 40 Wakamatwa – Video

WATU 40 wanashikiliwa na jeshi la Polisi Wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za kuzuia na kushambulia msafara wa...

READ MORE

Japan Yabuni Kifaa Kuwatambua Wapapasaji Kingono

KAMPUNI moja nchini Japan  imetengeneza kifaa maalum cha kuwatambua wanyanyasaji (wapapasaji) wa kingono katika magari ya usafiri wa umma. Kampuni...

READ MORE

Mume wa Dereva wa Lori la Mafuta Afunguka Mazito! – Video

Mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Stella Aradini ameelezea safari yake ya udereva pamoja na changamoto alizokumbana nazo mpaka sasa alipofikia....

READ MORE

TANZIA: Makamu wa Pili wa Rais TFF Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ramadhan Nassib amefariki dunia alfajiri ya jana...

READ MORE

Kigogo Simba afunguka matumizi ya fedha za Okwi

MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na shahidi namba nane katika kesi inayowakabili waliokuwa viongozi Simba, Kassim Dewji ameieleza...

READ MORE

Alichokifanya Ronaldo Mbele ya Messi Usiku

USIKU wa jana ulikuwa wa kihistoria kwa mahasimu wawili wa soka duniani kwa sasa, Cristiano Ronaldo wa Juventus ya Italia...

READ MORE

SAMATTA APANGIWA LIVERPOOL UEFA

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Mbwana Samatta anayechezea Genk atakuwa na nafasi ya kucheza dhidi ya Liverpool ya England katika Hatua ya Makundi...

READ MORE

SACHEZ ASEPA MAN U, ATIMUKIA INTER MILAN

MANCHESTER United imekubaliana na Inter Milan kuwapa straika Alexis Sanchez kwa mkopo wa msimu mmoja. Lakini Manchester United itapaswa kutimiza...

READ MORE

Polisi Dar ‘Yaua’ Majambazi Sugu – Video

Jeshi la Polisi kanda Maalum ya Dar es salaam mnamo tarehe 25/08/2019 majira ya tatu na nusu usiku huko maeneo...

READ MORE

Makonda Azindua “PEKENYUA TUKUFUKUNYUE”

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo August 29 amezindua Mpango Mkakati wa Kutokomeza Wahamihaji haramu...

READ MORE

Baada ya Kumaliza Kifungo cha TCU, Kampala University Yaja Upya

Kuteleza sio kuanguka” ni msemo tunaoutumia pale tunapokatishwa kabisa tamaa ya kusonga mbele, msemo huu unatupa faraja ya kusimama tena....

READ MORE

JP Apokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi Watano Ikulu – Video

Balozi mteule wa Zimbabwe nchini Tanzania, Meja Jenerali Anselem Nhamo Sanyatwe, amekabidhi hati za utambulisho kwa Rais Magufuli leo Agosti...

READ MORE

SIMBA KUSHUSHA SAPRAIZI LEO UWANJA WA UHURU DAR

YANGA jana imechezea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Ruvu Shooting ikiwa ni mechi ya kwanza ya ligi kuu lakini...

READ MORE

Global FC kuichakaza TSJ kesho

KIKOSI ghali zaidi ndani ya Sinza, Global FC kimetangaza kuichakaza timu ya Chuo cha Uandishi wa Habari cha Times “TSJ”...

READ MORE

Shahidi Aanika Mazito Kesi ya Kina Aveva

SHAHIDI namba saba wa kesi inayowakabili waliokuwa viongozi wa Simba, Evans Aveva na wenzake, Frank Mkilanya(45) ameieleza mahakama jinsi nyasi...

READ MORE

Bibi Miaka 98 Ageuka Milionea Ndani ya Miezi 3

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ametoa miezi mitatu kwa wavamizi 110 waliovamia eneo la Ajuza...

READ MORE

Utabiri Mwaka 2069: Nyumba za Kujifagia, Maghorofa ya Chini ya Ardhi!

WATAALAM wametabiri kwamba baada ya miaka 50 ijayo, kwenye mwaka 2069, dunia itakuwa imebadilika sana kisayansi, ikiwa ni pamoja na...

READ MORE

TIC KANDA YA MASHARIKI YAENDELEA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI KUINUA SEKTA YA VIWANDA

MENEJA wa kanda ya Mashariki wa kituo cha uwekezaji Tanzania TIC Venance Mashiba , ameeleza wanajikita katika uwekezaji wa viwanda...

READ MORE

Mkono wa Fundi Seremala Uliokatwa Waunganishwa – Pichaz

FUNDI seremala ambaye mkono wake ulibaki ukining’inia kati ya ngozi na mfupa baada ya kupata ajali mbaya ya kukatwa na...

READ MORE

Inauma Sana! Baba Akatwa Ulimi, Ateseka

HAKIKA hujafa, hujaumbika! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia habari hii ya baba aliyefahamika kwa jina la Salim Mohammed mkazi wa Tuangoma...

READ MORE

Mrembo Bongo Mwenye Ukimwi Ashitua!

UKIKUTANA na mrembo Doreen Odemba, akakuambia anaishi na virusi vya Ukimwi unaweza kukataa mpaka pale atakapoamua kukuonyesha cheti chake, lakini...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha 5 Awamu ya Pili

SERIKALI imewachagua wanafunzi 1,674 kujiunga kidato cha tano baada ya awamu ya kwanza kukosa fursa hiyo. Awali, serikali ilitangaza kuwa...

READ MORE

Msasani nao hawapoi na Betika

  WASOMAJI wa Gazeti la BETIKA maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam, wamesema gazeti hilo kila siku linazidi kuwa...

READ MORE

Dkt. Mathayo Ataka Same Magharibi Wamuunge Mkono JPM

MBUNGE  wa Jimbo la Same Magharibi  (CCM) Dkt. Mathayo David Mathayo, amewaomba wananchi wa  jimbo hilo kumuunga mkono na kumuombea...

READ MORE

Balozi wa Canada – Tanzania Ampongeza Diwani wa Kijichi

Diwani wa Kata ya Kijichi Bwana Elias Kassim Mtalawanje amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi wa Canada nchini Tanzania Bi.Pamela...

READ MORE

Moto Msitu wa Amazon Brazil Waathiri Bonde la Kongo

MOTO wa msitu wa Amazon umeanza kusababisha matatizo ya kupumua kwa wananchi wa Brazil, huku Shirika la Kulinda Mazingira Duniani, ...

READ MORE