×

Habari

Trump Azindua Kampeni Zake za Uchaguzi Mkuu 2020

RAIS wa Marekani, Donald Trump,  amezindua kampeni zake kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo ameuthibitishia umma wa...

READ MORE

NAPE Awatetea Akina DIAMOND, ALIKIBA Bungeni “Sheria Ibadilishwe” – Video

IKIWA ni siku chache tangu kuwasilishwa kwa Bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2019 /20, wabunge wameendelea kutoa...

READ MORE

Wanasayansi wagundua chumvi Mwezini

BAHARI kubwa inayopatikana katika mwezi wa sayari ya Jupiter ina chumvi kama ile inayotumika katika sayari hii (duniani).   Kulingana...

READ MORE

Wakutwa Mlimani Wakitaka Kumtoa Kafara Mtoto

JESHI  la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watuhumiwa wanane wakiwemo wanne wa kutoka mkoani Njombe wakitaka kumtoa mtoto mdogo kafara katika...

READ MORE

Rais Morsi Azikwa Saa Chache Baada ya Kufariki Dunia

RAIS  wa zamani wa Misri, Mohamed Morsi, amezikwa saa chache baada ya kufariki dunia akiwa mahakamani siku ya Jumatatu. Wakili...

READ MORE

Watumishi 7 NIDA Wanaswa na Vitambulisho 15,000, BVR na Vifaa Kibao

WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wanashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, kwa tuhuma za...

READ MORE

Lori Lagonga Treni Dodoma, 29 Wajeruhiwa

Watu 29 wamejeruhiwa baada ya lori kugonga treni jijini Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Protas Katambi, amesema leo asubuhi...

READ MORE

RAIS WA ZAMANI UEFA, MICHEL PLATINI AKAMATWA NA POLISI

RAIS wa zamani wa shirikisho la soka Ulaya (Uefa),  Michel Platini,  amekamatwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi unaoendelea dhidi ya...

READ MORE

Inasikitisha! Mtoto Miaka 16 Alivyobobea Kwenye Ukahaba – Video

Ni kisa cha kusisimua cha Binti (Jina linahifadhiwa) mwenye umri wa miaka 16, ambaye amemaliza darasa la saba na kushindwa...

READ MORE

BREAKING NEWS: SHIGONGO AFIWA NA DADA YAKE MWANZA

MKURUGENZI Mtendaji wa Global Group, Eric Shigongo,  amefiwa na dada yake, Vaileth James Bukumbi, usiku wa kuamkia leo, Juni 18,...

READ MORE

WAPENZI WAKUTANA BAADA YA KUPOTEANA TANGU VITA YA PILI YA DUNIA -VIDEO

Mwanajeshi mstaafu wa jeshi la Marekani KT Robbins, (97) ambaye alishiriki katika vita ya pili ya dunia amekutana na  mpenzi wake...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Afariki Dunia Kwa Kuchomwa Visu

MWANAFUNZI wa Stashahada ya Maabara katika Chuo Kikuu cha Kampala, Tawi la Tanzania (KIU), Anifa Mgaya, amefariki dunia juzi Jumapili...

READ MORE

Mtandao wa 5G Waanza Kupatikana Marekani

HATIMAYE mtandao wa 5G umeanza kupatikana katika baadhi ya majiji nchini Marekani. Kampuni ya Verizon imefunga miundombinu ya 5G katika...

READ MORE

JPM Amtumbua Mwenyekiti REA, Ateua Mwingine

Rais John Magufuli amemteua Wakili Julius Kalolo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), akichukua...

READ MORE

Mtoto Miaka 15 Aliyehukumiwa Kuuawa

AKIWA na umri wa miaka 15, Magai Matiop Ngong hakuwa na msaada wowote wa kisheria wakati wa mashtaka yake kabla...

READ MORE

BREAKING NEWS: RAIS MORSI AFARIKI DUNIA GHAFLA MAHAKAMANI

ALIYEKUWA rais wa Misri, Mohammed Morsi, akatimuliwa madarakani na jeshi mnamo 2013, ameaga dunia ghafla akiwa mahakamani, televisheni ya taifa...

READ MORE

#BREAKING! MTANDAO wa Madawa ya Kulevya WANASWA – Video

JESHI  la polisi nchini,  kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya,  linawashikilia watu saba ambao wanadaiwa wapo...

READ MORE

CHUO CHA KILIMANJARO CHAENDELEA KUPOKEA WANAFUNZI

Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) kilichopo katika jengo la Mama Ngoma, Mwenge na Afrikasana, Sinza jijini...

READ MORE

Wafanyabiashara wahakikishiwa usalama katika Biashara zao

    MKUU wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza Jumanne Murilo amewahakikisha usalama wa pesa na mali zao.Akizungumza na wafanyabiashara...

READ MORE

Wema Sepetu Aswekwa Ndani Hadi Juni 24

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemwamuru msanii wa filamu nchini na Miss Tanzania wa mwaka 2006,...

READ MORE

WAZIRI MKUU MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA

WAZIRI mkuu wa zamani wa Algeria,  Ahmed Ouyahia,  alifikishwa mahakamani  jana (Jumapili) kuhusu tuhuma za ufisadi unaohusu shirika moja la...

READ MORE

Trafiki Kuwachapa Bakora Madereva Bodaboda, Waziri Abanwa – Video

Mbunge wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe amesema kuwa bado kuna baadhi ya askari wa barabarani wamekuwa wakiwakimbiza waendesha boda boda...

READ MORE

Kenya: Mwamamke Ashukiwa Kuwa na Ebola, Awekwa Chumba Maalum

Taarifa kutoka Ofisi ya Gavana Jimbo la Kericho nchini Kenya imesema imemweka mwanamke mmoja aliyeonesha dalili za ugonjwa wa ugonjwa...

READ MORE

Kigwangalla: Fedha za Mlima Kilimanjaro Kutokomeza UKIMWI

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk. Khamis Kigwangala amesema anatarajia kuandaa utaratibu wa makundi ya watu mbalimbali wakiwamo viongozi mashuhuri...

READ MORE

GLOBAL EDUCATION LINK YAWATANGAZIA OFA WAHITIMU KIDATO CHA NNE NA SITA

Wewe ni mhitimu wa kidato cha nne au cha sita na una ndoto za kwenda kusoma nje ya nchi? Basi...

READ MORE

Ripoti Kifo cha Kabote, Wafungwa Kutoroka Zatua kwa Lugola

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amepokea ripoti mbili za uchunguzi ikiwemo ya kifo chenye utata cha...

READ MORE

DARAJA LINALOTIKISA KWA MIZIMU NA MASHETANI KUTOKEA!

White Rock Bridge ni Daraja Lililopo Katika Ziwa la White Rock (White Rock Lake) Dallas Texas Kaskazini Mashariki mwa MarekanI,...

READ MORE

BASI LA PREMIER EXPRESS LAPATA AJALI MBEYA

  Basi la Premier lilokuwa likitoka Mbeya kuelekea Mwanza, leo Juni 16, 2019 limepata ajali maeneo Uyole Mbeya baada ya...

READ MORE

Majaliwa Ampa Pole Abbas Tarimba kwa Msiba wa Wanaye

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimpa pole, Mkurugenzi wa Uendeshaji Sport Pesa Tanzania, Tarimba Abbas, kwa kufiwa na watoto wake wawili,...

READ MORE

Polisi Mtwara Wamshikilia Mwanaume Aliyejikata ‘Nyeti Zake’ – Video

Polisi Mtwara wanamshikilia Karimu M. Mshamu (35) ambae video yake inasambaa akiwa ameshikilia kipisi cha sehemu ya uume wake akidai...

READ MORE

KUBWA KULIKO: MAKONDA Agawa Kiwanja Kwa YANGA – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwenye tamasha maalumu la kuichangia klabu ya Yanga ambalo limefanyika ukumbi...

READ MORE

Polisi Yasitisha Mkutano wa Chadema Morogoro Kesho

JESHI  la Polisi Wilaya ya Morogoro limezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliokuwa unatarajiwa kufanyika ...

READ MORE

NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 33

Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha kiasi kilichopendekezwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM), uliofanyika leo jijini Dar es...

READ MORE

Majaliwa Atoa Mwaka 1 kwa Viongozi wa Dar, Morogoro, Njombe, Mbeya… Kisa…. – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa mwaka mmoja kwa viongozi wa mikoa ya Dar es salaam, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa,...

READ MORE

Shahidi aomba maji mahakamani kesi ya Aveva

SHAHIDI namba tano, Jovin Kalinga ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar kuwa, alikuwa anafahamiana na kiongozi wa zamani...

READ MORE

M-BET kuwapeleka mashabiki wa soka Afcon

Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-BET itapeleka mashabiki wa soka katika fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) yaliyopangwa kuanza...

READ MORE

JESHI LA MAGAREZA LAISHUKURU NMB KWA USHIRIKIANO KIMICHEZO

  JESHI la Magereza limekabidhi cheti maalum cha kuishukuru Benki ya NMB kwa msaada wa fulana ambao iliutoa kwa wanamichezo...

READ MORE

JPM: Tshisekedi Naomba Ukashughulikie Shida za Watu wa DRC – Video

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Antoine Tshisekedi,   amemaliza ziara ya kitaifa ya siku mbili nchini akiwa...

READ MORE

‘HEPI BETHIDEI’ RAIS FELIX TSHISEKEDI

Rais Magufuli akimtumbuiza mgeni wake Rais Tshisekedi akiwa na wanamuziki Christian Bella, King Kikii na Christina Shusho  (kushoto) baada ya...

READ MORE

Mwenyekiti Mpya Bodi ya Airtel Atembelea Makao Makuu

MWENYEKITI mpya wa bodi ya Airtel Tanzania, PLC Dkt Omary Nundu,  leo Juni 14, 2019,  ametembelea makao makuu ya Airtel...

READ MORE