×

Habari

Rais Magufuli Afanya Mazungumzo Na Rais Wa Afrika Kusini Ikulu Ya Pretoria

RAIS Magufuli  leo amekutana na kuzungumza na Mhe. Rais Ramaphosa siku moja baada ya Rais Ramaphosa kuapishwa kuwa Rais wa...

READ MORE

Mafuriko Yatokea Bukoba Mjini, Nyumba Zafunikwa

Mafuriko yameikumba Bukoba mjini leo kuanzia majira ya saa mbili asubui kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kwa kufunika  na...

READ MORE

Mateso ya Mtoto Huyu… Mungu Tenda Muujiza!

MUNGU tenda muujiza juu ya mtoto huyu! Ndiyo maneno pekee yanayoweza kukutoka baada ya kusoma mateso anayopitia mtoto huyu huku...

READ MORE

VIDEO: Kumekucha, MNYIKA wa CHADEMA Aanika ‘Bajeti ya Nishati’

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni mbunge wa Kibamba Mhe. John Mnyika, leo akiongea...

READ MORE

MALAWI: MAHAKAMA KUU YAAMURU KURA KUHESABIWA UPYA

Mahakama Kuu imeiamuru Bodi ya Uchaguzi kutotangaza matokeo ya Urais hadi kura kutoka kwenye theluthi ya Majimbo zirudiwe kuhesabiwa.  ...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Papua New Guinea Ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Papua New Guinea, Peter O’Neill amejiuzulu baada ya wiki kadhaa za kutofautiana na chama tawala. Katika mkutano...

READ MORE

Makaburini Ndipo Walipolala Wenye Utajiri Mkubwa!

KUZALIWA na kuishi duniani ni kutimiza kusudio la Mungu. Lipo kusudi ambalo Mungu analitaka ulitimize katika dunia hii nzuri yenye...

READ MORE

RAMAPHOSA AAPISHWA KUWA RAIS WA SAUZI (PICHAZ + VIDEO)

CYRIL RAMAPHOSA ameapishwa leo kuwa Rais wa Afrika Kusini kwa kipindi cha miaka mitano ijayo akiwa anakabiliwa na jukumu la...

READ MORE

Maelfu ya Wasauzi Wamshangilia JPM Akiwasili Uwanjani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt Jakaya Kikwete,...

READ MORE

NEMC yawaondoa hofu wadau viwanja vya ndege

  BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),  limewaondolea hofu wadau wanaoendesha huduma mbalimbali kwenye Viwanja vya...

READ MORE

MTOTO AFANYIWA OPERERSHENI MARA SABA, AWA NA UPOFU – VIDEO

AMA kweli hujafa hujaumbika!, Masikini Mtoto Daniela Wilfred Kalanjo(9), mkazi wa Tabata Kinyerezi jijini Dar es salaam amejikuta akiteseka baada...

READ MORE

UMAFIA! WATEKA MTOTO WAPATELI FEDHA WAOANE

DAR ES SALAAM: Watu wawili waliotajwa kuwa ni wachumba waliofahamika kwa majina ya James na Happy wakazi wa Kivule jijini...

READ MORE

Lugola Awasimamisha Kazi OCD, OCS na OC CID, Kisa Mahabusu 15 Kutoroka

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amewasimamisha kazi Mkuu wa Polisi Wilaya ya Geita (OCD), Mkuu...

READ MORE

Halotel Yazindua Huduma Mpya ya ‘Mpango Mzima’

Kampuni ya Halotel Tanzania imekuja na huduma mpya ya mawasiliano iitwayo ‘MPANGO MZIMA’ ambayo pamoja na faida zake nyingine inamuwezesha...

READ MORE

Benki ya NMB Kuendelea Kutoa Elimu ya Fedha

    SPIKA wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, ameiomba Benki ya NMB kutoa elimu kwa...

READ MORE

BREAKING NEWS: WAZIRI MKUU WA UINGEREZA AJIUZULU – Video

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Theresa May,  ametangaza kujiuzulu wadhifa huo leo, Ijumaa, Mei 24, 2019, kutokana na shinikizo la chama...

READ MORE

JPM, JK WAPAA SAUZI KWENYE SHEREHE – (PICHA + VIDEO)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  John  Magufuli,  leo Ijumaa, Mei 24, 2019 amkwenda Afrika Kusini ambapo kesho atahudhuria...

READ MORE

Walichokifanya Airtel, Hakijawahi Kutokea, Unapiga Mitandao Yote? – Video

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeendelea kuwapa wateja wake huduma kabambe na za kipekee ikiwa ni...

READ MORE

Breaking News: Mabweni ya Sekondari Ashira Yateketea Kwa Moto – Video

MABWENI ya Shule ya Sekondari Wasichana Ashira, iliyopo Marangu mkoani Kilimanjaro, yanaungua kwa moto. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi....

READ MORE

BREAKING NEWS: SPIKA ASEMA ‘TUMPUUZE, TUMSAMEHE MASELE’

KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iliyomtia hatiani kwa makosa manne Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) ambaye pia...

READ MORE

TIMBWILI ZITO NJEMBA, DEMU WAZICHAPA BAADA YA KUTOKA GEST

MSICHANA na mvulana ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja, mwishoni mwa wiki iliyopita walizua timbwili na kufunga mtaa kwa...

READ MORE

MADAI MAZITO ASKARI WAUA RAIA KWA MAPANGA

ASKARI wa Maliasili eneo la Kola, Kisarawe Mkoani Pwani, wameangushiwa madai mazito ya kumuua raia mmoja aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

Mtetezi Maarufu wa Mashoga Afariki Dunia

  MWANAHARAKATI wa kupigania haki za wapenzi wa jinsia moja nchini Kenya, Binyavanga Wainaina, amefariki. Nduguye James Wainaina amethibitisha kwa...

READ MORE

MLINGA AHOJI BUNGENI KONDOM KUGAWIWA BURE!

MBUNGE  wa Ulanga, Goodluck Mlinga (CCM) ameomba mwongozo bungeni akihoji sababu ya serikali kutoa mipira ya kiume (kondomu) bure badala...

READ MORE

MAGARI ya Kisasa Kuuzwa Dar, BEI CHEE kwa Mnada – Video

KAMA ilivyo kawaida, Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd, inakuletea mnada mwingine mkubwa wa hadhara...

READ MORE

Betika ndiyo habari ya mjini

  WASOMAJI wa Gazeti la Betika, wameendelea kutoa ushuhuda wao juu ya gazeti hilo huku wakisema ni habari ya mjini...

READ MORE

MO DEWJI Awapa Bodaboda Wachezaji Wote Simba, Afungukia Usajili – Video

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji, ametoa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba msimu huu ikiwa ni...

READ MORE

JPM Atoa Heshima za Mwisho kwa Brigedia-Jenerali Ngwilizi

          PICHA NA IKULU RC MWANRI ‘ALIVYOMNING’INIZA’ MTU – VIDEO

READ MORE

IRAN YAMPUUZA TRUMP NA VITISHO VYAKE

Waziri wa mambo  ya kigeni nchini Iran Javad Zarrif amepuuzia vitisho vya  Rais wa Marekani Donald Trump juu ya kuliangamiza...

READ MORE

MWILI WA SAVIMBI KUFUKULIWA BAADA YA MIAKA 27

MWILI wa aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Angola. Jonas Savimbi, aliyeuawa mwaka 2002, unatarajiwa kufukuliwa mwezi ujao kwa ajili ya...

READ MORE

MAITI YA TSHISEKEDI KUREJESHWA DRC BAADA YA MIAKA MIWILI

MWILI wa aliyekuwa kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Étienne Tshisekedi, utarejeshwa nyumbani Mei 30 na kuzikwa...

READ MORE

CHADEMA WASHUHUDIA ALIYEMRITHI NASSARI AKIAPISHWA – VIDEO

Kwa mara ya kwanza wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) wamebaki ndani ya ukumbi wa Bunge wakati zoezi...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Argentina Afunguliwa Mashtaka

RAIS  wa zamani wa Argentina, Cristina Fernandez de Kirchner,  amefunguliwa mashitaka ya rushwa,  tukio lililokuja siku tatu baada ya kutangaza...

READ MORE

Tundu Lissu Ataja Tarehe ya Kurejea Bongo

Mbunge Tundu Lissu amesema atarejea nchini Septemba 7, 2019, siku ambayo itatimia miaka miwili tangu aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma...

READ MORE

KISIWA CHENYE MTU MMOJA TU MAARUFU! – VIDEO

Sio kila mara utapata kusikia kuhusu kisiwa cha Guam ambacho ndio kikubwa zaidi katika Bahari ya Pacific na kinamilikiwa na...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Mazishi ya Askofu Mmole Mtwara – Video

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania wote wamuenzi marehemu Askofu Mstaafu Gaberiel Mmole (80) wa Jimbo Katoliki...

READ MORE

MAAJABU: Mtoto Aliyepandishwa Juu ya BATI, Asimulia Alivyomuita ‘YESU’ – Video

SIKU chache zilizopita mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Maziwa, jijini Mbeya mkoani Mbeya alipatwa na tukio...

READ MORE