×

Habari

Ajali Mbaya ya Ndege Ndogo Kwale Yaua Watu 12 – Video

Ndege ndogo iliyokuwa imebeba watu 12 imeanguka katika eneo la kaunti ya Kwale, pwani ya Kenya, na kusababisha vifo vya...

READ MORE

Rais na Mgombea wa CCM Dkt. Samia Afunga Kampeni za CCM Uwanja wa Kirumba

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu...

READ MORE

Dkt. Nchimbi: Watanzania Wameridhika na Utendaji Kazi wa Dkt. Samia

Mwanza, Oktoba 28, 2025 — Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi,...

READ MORE

Wazanzibari Wapiga Kura ya Mapema Leo, Uchaguzi Mkuu Kufanyika Kesho

Wapiga kura visiwani Zanzibar leo, Jumanne Oktoba 28, 2025, wameanza zoezi la kupiga kura katika kile kinachofahamika kama kura ya...

READ MORE

CCM Yafunga Kampeni Kwa Kishindo Uwanja wa Kirumba, Mwanza

Mwanza, Oktoba 28, 2025 — Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mkutano mkubwa wa kufunga kampeni zake kitaifa katika uwanja wa...

READ MORE

Kesi ya Jinai Dhidi ya Vigogo wa CHADEMA Kuendelea Mahakama Kuu Leo

Kesi ya jinai namba 48250 ya mwaka 2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohamed,...

READ MORE

Ijumaa Ina Ladha Mpya, Ni Lucky Friday Ya Meridianbet

Katika ulimwengu wa promosheni na ofa nyingi, ni nadra kukutana na kitu kinachobadilisha kabisa namna unavyoona michezo ya kasino. Sasa...

READ MORE

Polisi Yataja Sababu ya Kumkamata Niffer – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumkamata mfanyabiashara wa mtandaoni Jenifer Bilikwiza Jovin, maarufu kama Niffer,...

READ MORE

Doreen Peter Noni: Watanzania tumchague Rais Samia, Nchimbi, Wabunge, Madiwani kwa maendeleo ya nchi

Doreen Peter Noni: Watanzania tumchague Rais Samia, Nchimbi, Wabunge, Madiwani kwa maendeleo ya nchi Dar es Salaam. Mmoja wa kada...

READ MORE

Mgeja: Samia Anatosha Urais Haujaribiwi

Kada wa chama cha Mapinduzi na Mwanasiasa mkongwe nchini Ndugu Khamisi Mgeja amewatahadhalisha watanzania wasifanye makosa kufanya majaribio ya kuchagua...

READ MORE

Polisi watoa onyo kwa wanaotumia mitandao kuvuruga amani Shinyanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewataka waumini wa Kanisa la Deliver Hope for All Nations lililopo Kata ya Kizumbi,...

READ MORE

Dkt. Samia aandika historia mpya soka la Tanzania, Simba, Yanga, Azam na Singida zafuzu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka rekodi ya kipekee katika historia ya michezo nchini...

READ MORE

Mama Malema, atuma salamu za kheri kwa Rais Samia na Dkt. Nchimbi kuelekea Uchaguzi Mkuu

MWANACHAMA na kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama Jacqueline Malema Daniel, ametuma salamu za kheri na...

READ MORE

Ubalozi wa Uganda waadhimisha miaka 63 ya Uhuru, watilia mkazo ushirikiano na Tanzania

Ubalozi wa Jamhuri ya Uganda nchini Tanzania uliadhimisha miaka 63 ya Uhuru kwa hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, ikisisitiza...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 27, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu 2025: Polisi Watoa Onyo Kali ‘Atakayethubutu Kuvunja Sheria Asitulaumu’

Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko rasmi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo wananchi wamehakikishiwa usalama na kwamba hakuna tishio lolote...

READ MORE

Dkt. Mwinyi: Nitaendelea Kuimarisha Udhamini Na Miundombinu Ya Michezo

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti...

READ MORE

Mwanachama wa CHADEMA, Lulu Mapunda, Aitaka Jamii Kuheshimu Taratibu za Uchaguzi – Video

Mwigizaji wa filamu, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na mwanaharakati, Lulu Mapunda, ambaye awali alikuwa akihamasisha maandamano...

READ MORE

Mgombea wa Urais Zanzibar, Othman Masoud, Afunga Kampeni Pemba

  Kampeni za mgombea wa Urais wa Zanzibar, Ndugu Othman Masoud, Kisiwani Pemba zimefungwa zikihudhuriwa na wafuasi wengi na viongozi...

READ MORE

Dkt. Samia Azungumza na Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Misheni ya...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum Kutoka kwa Rais wa DRC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Polisi Manyara: Mchungaji Mtaita hakutekwa tunamshikilia kwa Uchochezi – Video

Jeshi la Polisi mkoani Manyara linamshikilia Mchungaji Eleth Mtaita wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Boay,...

READ MORE

Kamanda SACP Richard Apinga Maandamano Atoa Wito Wa Kulinda Amani Wakati Wa Uchaguzi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao ametoa wito kwa wananchi wote wa...

READ MORE

Meridianbet Kukupa Samsung A26 Ukicheza Super Heli

Rubani wa bahati yako sasa ni wewe mwenyewe. Meridianbet imeleta kampeni mpya yenye moto kuliko moto wenyewe kupitia mchezo wa...

READ MORE

OSHA Yadhamiria Kuongeza Uelewa wa Wadau Kupitia Vyama vya Wafanyakazi

Mwenyekiti na Katibu wa TUGHE Mkoa wa Dar es Salaam (Brendan Maro na Sara Rwezaula-Kulia) wakimpokea Mtendaji Mkuu wa OSHA,...

READ MORE

Video: Eric Shigongo awahimiza vijana kuanzisha vyanzo vingi vya mapato

MWANZA — Zaidi ya wanafunzi 1,500 kutoka vyuo vikuu mbalimbali jijini Mwanza wamehudhuria kongamano maalum la vijana lililoandaliwa na Mwandishi...

READ MORE

Dkt. Samia Atoa Wito kwa Vijana Kuijenga Tanzania “Nchi Hii Ni Mali Yenu, Si ya Mwingine” – Video

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza vijana wa...

READ MORE

Mnyika: Heche Yupo Kituo Cha Polisi Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema ufuatiliaji wao umewezesha kugundua kuwa Makamu Mwenyekiti wa...

READ MORE

Polisi Watoa Tahadhari kwa Mashabiki wa Soka kuelekea Wikiendi

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro ametoa tahadhari kwa mashabiki wa soka nchini, kuelekea kwenye...

READ MORE

Uchumi wa Tanzania Umezidi Kuimarika Katika Kipindi cha Miaka Minne Iliyopita

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu ambaye pia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu...

READ MORE

Airtel Africa Foundation Washirikiana Na ITU, RISA Na Cisco Kukuza Maendeleo Ya Ujuzi Wa Kidijitali Nchini Rwanda

Kigali, Rwanda – Oktoba 24, 2025: Airtel Africa Foundation imeingia katika ushirikiano wa pamoja na Shirika la Kimataifa la Mawasiliano...

READ MORE

Pesa Kubwa Ipo Kwenye Mechi za Leo na Meridianbet

Mtanange wa kutosha upo kwenye mechi za Ijumaa ya leo ambapo West Ham, Sevilla, Paris na wengine kibao wakiwa dimbani...

READ MORE

Ushirikiano Wa Taasisi Ya Puma Energy Foundation Na Solar Sister Unavyowawezesha Wajasiriamali Wanawake Nchini Tanzania

Katika nchi za Afrika zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara, zaidi ya watu milioni 940 bado hawana upatikanaji wa uhakika...

READ MORE

Rais Samia Aidhinisha 29 Oktoba 2025 Kama Siku ya Mapumziko Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutumia mamlaka aliyonayo chini ya Sheria ya Sikukuu...

READ MORE

Mmisionari wa Kimarekani Atekwa Nyara Jijini Niamey, Niger

Mmisionari wa Kimarekani ametekwa nyara katika mji mkuu wa Niger, Niamey, kwa mujibu wa vyanzo vya usalama na vyombo vya...

READ MORE

Wawili Wahukumiwa Kifungo Cha Miaka 35 Jela Kwa Unyang’anyi Wa Kutumia Nguvu Na Kujaribu Kubaka

Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam Oktoba 22,2025 imewahukumu kutumikia kifungo cha miaka 35 jela Mohamed Aloyce Mtangile...

READ MORE

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI

Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua...

READ MORE

Tindwa  Amuombea Dkt. Samia Kura Na Dkt Jafo Kisarawe Wakati CCM Ikifunga Kampeni Zake Makurunge 

Pwani, Octoba, 26,2025 Chama Cha Mapinduzi CCM kimefunga Kampeni zake za kunadi sera zake kupitia chama hicho, eneo la Makurunge...

READ MORE

Nmb Yapata Tuzo Kuwa Benki ya Kwanza Kuja na Kadi ya Wajasiriamali

Benki ya NMB imepokea tuzo maalum ya kuwa benki ya kwanza katika Afrika Mashariki kutoa kadi maalum iliyobuniwa kwaajili ya...

READ MORE

Mgombea Urais CCM, Dkt. Samia Aahidi Kuendeleza Uhuru na Furaha ya Watanzania

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE