×

Habari

Wabunge Walivyowasili Bungeni Kwa Kikao cha Pili cha Bunge la 13 leo

Wabunge wa Bunge la Kumi na Tatu walivyowasili katika viwanja vya Bunge, Jijini Dodoma, leo Novemba 12, 2025, kwa ajili...

READ MORE

Ukurasa Mpya wa Historia: Mhe. Shigongo Aapa Kulitumikia Taifa kwa Uzalendo na Uadilifu

Katika ukumbi wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana taifa lilishuhudia tukio lenye thamani ya kipekee...

READ MORE

DR Congo: Askari Mwenye Umri wa Miaka 102 Bado Anahudumu Baada ya Miaka 78

Mwanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sajenti Meja wa Kwanza Luhembwe Alfani, amevutia hisia za wengi baada ya kutimiza...

READ MORE

Unatamani Uhusiano wa Wenzako, Wako Majanga? Soma Hapa!

VUTA picha ni watu wangapi sasa hivi hawafurahii uhusiano wao. Wanatamani uhusiano wa wengine kwa jinsi wanavyoutazama, wengi sana wapo...

READ MORE

Familia Ya Rais Aliyepinduliwa Yasomewa Kesi Ya Ufisadi

Kesi ya Sylvia Bongo Ondimba na mwanawe Noureddin Bongo Valentin, mke na mtoto wa aliyekuwa rais wa Gabon Ali Bongo...

READ MORE

Taasisi ya The Same Qualities Yaandaa Marathoni Kuchangia Watoto

Taasisi ya The Same Qualities Foundation inayotoa matibabu bure ya watoto wenye mdomo wazi (sungura) yaandaa marathon itakayo fanyika Tanzania...

READ MORE

Wabunge Wapya Waapishwa Bungeni Dodoma Leo (Picha +Video)

Wabunge wameapishwa leo Novemba 11, 2025, katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu,...

READ MORE

Kibatala Afunguka Mazito kesi ya Niffer leo Mahakamani

Wakili Peter Kibatala anayewatetea mwanadada Jennifer Jovin almaarufu Niffer na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya uhaini, amefunguka kuhusu kilichoendelea leo...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari Aapishwa Kuwa Mbunge

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amekula kiapo cha Uaminifu mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Heche azungumzia kwa mara ya kwanza kuachiwa kwao na Jeshi la Polisi – Video

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, amesema hakuna makubaliano yoyote yaliyofanyika kati yao na...

READ MORE

Video: Mussa Zungu Achaguliwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

Mbunge wa Jimbo la Ilala, (CCM) Mhe. Mussa Azzan Zungu, amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Tchiroma ampa Biya na Serikali Yake Saa 48 Kuachilia Huru Wafungwa wa Kisiasa

Yaoundé, Cameroon – Issa Tchiroma Bakary, mgombea wa upinzani ambaye pia amejitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais, amempa Rais Paul...

READ MORE

TLS kutoa msaada wa kisheria bure kwa watuhumiwa wa matukio ya Uchaguzi 2025

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetangaza mpango maalumu wa kutoa msaada wa kisheria bila malipo kwa watuhumiwa waliokamatwa au kufunguliwa...

READ MORE

Bunge jipya la 13 laanza rasmi leo Dodoma, uchaguzi wa Spika wavutia

Dodoma, Novemba 11, 2025 — Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza rasmi vikao vyake leo kwa...

READ MORE

Watanzania Waonesha Uwezo Katika Kampuni za Ubia

Kwa muda mrefu, kampuni nyingi za ubia kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji wa kimataifa ziliongozwa na wataalamu kutoka...

READ MORE

Ruby Play Yaleta Ubunifu na Ushindi Ndani ya Meridianbet

Meridianbet inazidi kuteka mioyo ya wapenzi wa kasino mtandaoni kwa kuleta ushirikiano na Ruby Play, mtoa huduma mpya wa michezo...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 11, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Viongozi Wakuu wa CHADEMA Waachiwa kwa Dhamana

Viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA): Makamu Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanzania Bara John...

READ MORE

Wagombea wa nafasi ya Spika wa Bunge Wapo Hapa… CCM, NRA, NLD, AAFP na ADC

Taarifa kuhusu uteuzi wa Wagombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

READ MORE

Rais Samia Ateua Wabunge Sita Wapya wa Bunge la 13 – Video

Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameteua wabunge sita kwa mujibu wa kifungu cha katiba kinachompa...

READ MORE

Mahakama Yakataa Ombi la Ahirisho la Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imekataa ombi lililotolewa na upande wa Jamhuri la kutaka kuahirishwa kwa siku...

READ MORE

Burkina Faso: Daktari Aliyekosoa Rais Traoré Atumwa Vitani Baada ya Kupata Mafunzo ya Kijeshi

Tukio lisilo la kawaida limetokea nchini Burkina Faso, baada ya daktari mmoja aliyemkosoa vikali Rais Kapteni Ibrahim Traoré kukamatwa na...

READ MORE

Denmark Kupiga Marufuku Mitandao ya Kijamii kwa Watoto Chini ya Miaka 15

Serikali ya Denmark imetangaza mpango wa kupiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto walio na umri chini ya...

READ MORE

Rais Kagame Akana Madai ya Kumuandaa Mtoto Wake Kurithi Urais

Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ametupilia mbali madai yanayoenea kwamba anamuandaa mmoja wa watoto wake kuchukua nafasi yake ya Urais...

READ MORE

Leo Tengeneza Pesa Ndefu na Meridianbet – Bashiri Mechi za Moto Duniani!

Meridianbet wanakwambia kuwa huku timu zingine zikienda kwenye mapumziko ya Kimataifa, kuna ligi nyingine za pesa zitaendelea huku wewe ukiwa...

READ MORE

Simu Janja Si Chombo Cha Mawasiliano Tu Bali Ni Sehemu Ya Maisha Ya Kila Siku

Samsung Galaxy A07 simu janja, Maridadi na Yenye Nguvu Teknolojia inaendelea kukua kwa kasi, na kupitia Samsung Galaxy A07 mpya,...

READ MORE

Lukuvi Kuongoza Tena Uchaguzi wa Spika wa Bunge la 13

Joto la uchaguzi wa Spika wa Bunge la 13 likizidi kupanda ndani ya vyama vya siasa, Mbunge wa Isimani (CCM),...

READ MORE

Kendrick Lamar na Lady Gaga Wavunja Rekodi, Watawala Uteuzi wa Grammy 2026

Orodha ya uteuzi wa Tuzo za Grammy 2026 imetangazwa rasmi ambapo staa wa Not Like Us, Kendrick Lamar ameongoza kwa...

READ MORE

Kimbunga Fung-wong: Watu 900,000 Wahamishwa Ufilipino Kabla ya Kimbunga Kikubwa Kutua

Zaidi ya watu 900,000 wamehamishwa nchini Ufilipino kabla ya Kimbunga Fung-wong, ambacho kinatarajiwa kutua nchini humo jioni ya leo, Jumapili,...

READ MORE

Marais Wastaafu Wa Zanzibar Wampongeza Rais Dk.Mwinyi Kwa Ushindi Na Kudumisha Amani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Marais Wastaafu wa Zanzibar, Dkt....

READ MORE

Zaidi ya Safari 1,400 za Ndege Zafutwa Marekani Kufuatia Kufungwa kwa Serikali

Washington, Marekani — Zaidi ya safari 1,400 za ndege zimefutwa nchini Marekani Jumamosi hii, huku takribani safari 6,000 nyingine zikiahirishwa,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 9, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Vyuo Kufunguliwa Novemba 17, Wizara Yatoa Ratiba Mpya ya Masomo 2025/26

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Novemba 8, 2025 imewatangazia Wanafunzi wote wa elimu ya juu na ya kati...

READ MORE

Mahakama ya Uturuki yatoa vibali vya kukamatwa kwa Netanyahu na waziri wake

Mamlaka ya mahakama nchini Uturuki imetoa hati ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Waziri wake wa Ulinzi,...

READ MORE

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Amani Golugwa Akamatwa Arusha

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimethibitisha kukamatwa kwaNaibu katibu Mkuu wake, Amani Golugwa leo Jumamosi, Novemba 8, 2025 majira...

READ MORE

Wanafunzi 937,581 Wafaulu Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2025, Matokeo Yapo HAPA – Video

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed,...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuapisha Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamu...

READ MORE

Picha: Wabunge wa Bunge la Kumi na Tatu Wanza Zoezi la Kujisajili Dodoma

WABUNGE wa Bunge la Kumi na Tatu wameanza rasmi zoezi la kujisajili leo, tarehe 8 Novemba 2025, katika viwanja vya...

READ MORE

Watu 172 Kortini Wakituhumiwa Kufanya Vurugu, Unyang’anyi Wa Kutumia Silaha Mwanza

Watu 172 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nyamagana, mkoani Mwanza na kusomewa mashtaka kadhaa yakiwemo ya...

READ MORE

Jeshi la Polisi: Gwajima, Mnyika, Lema na Wengine Watajwa Kwenye Orodha ya Wanaosakwa

Jeshi la Polisi Nchini limeutangazia umma wa Watanzania kuwa kufuatia matukio ya vurugu, uporaji wa mali na uvunjifu wa amani...

READ MORE