×

Habari

Tofauti Kati ya 3G, 4G na 5G Je, Unajua Uwezo wa Kila Moja? Soma Hapa

Teknolojia ya mawasiliano imepiga hatua kubwa kutoka 3G hadi 5G, na mabadiliko hayo yamebadilisha kabisa namna watu wanavyowasiliana, kutazama video,...

READ MORE

Video: Msikilize Wakili Kibatala Akifanua Mashtaka yanayomkabili Niffer

Mfanyabiashara na mtangazaji wa mitandaoni, Jenifer Bilikwiza Jovin maarufu Niffer, amepewa mashtaka ya uhaini na kusomewa mahakamani, hatua inayohusiana na...

READ MORE

Mkutano Wa SADC Wampongeza Rais Samia Kwa Ushindi Katika Uchaguzi Mkuu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia...

READ MORE

Hii Hapa Orodha ya Wabunge Wanawake wa Viti Maalumu 115 walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi – Video

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo Novemba 7, 2025, imetangaza orodha ya Wabunge Wanawake wa Viti Maalumu 115...

READ MORE

RC Chalamila Akutana na Wadau wa Nishati ya Mafuta Dar

-Aongoza mjadala mpana kuhusu ulinzi na namna bora ya uuzaji wa Nishati ya mafuta. -Atoa pole kwa wakazi wa mkoa...

READ MORE

Ligi Kuu Tanzania Bara Kurejea Wikiendi Hii Baada ya Kusimama kwa Muda

Burudani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inarejea wikiendi hii. Sababu kubwa ya ligi kusitishwa...

READ MORE

Spika wa Kwanza Mwanamke Marekani Atangaza Kustaafu, Acha Historia

Nancy Pelosi, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Marekani, ametangaza kustaafu kutoka Kongresi, akiisha safari ya kisiasa ya miongo kadhaa...

READ MORE

Gamondi Atangaza Kikosi cha Taifa Stars Kwaajili ya Mechi Dhidi ya Kuwait

Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, ametangaza kikosi kitakachoingia kambini kuanzia Oktoba 10,...

READ MORE

Rais wa Mexico Amshtaki Mwanamume Aliyempapasa Barabarani

Rais wa Mexico, Claudia Sheinbaum, amefungua mashtaka dhidi ya mwanamume aliyempapasa hadharani wakati akizungumza na wafuasi wake karibu na Ikulu...

READ MORE

Mahakama Kuu Kusikiliza Maombi ya Heche, CHADEMA Yataka Haki Itendeke

Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wakili Gaston Garubindi, amethibitisha kuwa maombi...

READ MORE

Washiriki Kili Marathon 2026 Watakiwa Kujiandikisha kwa Wakati

Waandaji wa Mbio za Kimataifaiza za Masafa Marefu (Marathoni) za Kilimanjaro Premium Lager 2026 wamewasihi washiriki kujiandikisha kwa wakati kuepuka...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuapisha Mwanasheria Mkuu Wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria...

READ MORE

Trump Amchimba Mkwara Meya Mpya wa New York, Zohran Mamdani

Rais wa Marekani, Donald Trump amemchimba mkwara meya mpya (Mteule) wa New York, Zohran Mamdani kwamba anapaswa kuwa na heshima...

READ MORE

Zubeir Ali Maulid Achaguliwa Tena Kuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar

Zanzibar, Novemba 6, 2025 — Zubeir Ali Maulid amechaguliwa tena kuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kwa kipindi cha...

READ MORE

Sheikh Alhadi Musa Atoa Ujumbe Mzito Kwenye Mazishi ya Sheikh Sharif Majini – Video

Msomaji maarufu wa dua na mihadhara ya kiislamu, Sheikh Alhadi Musa, ametoa ujumbe wa kutafakari na maonyo kwa waumini wakati...

READ MORE

Khamenei: Ushirikiano na Marekani Unawezekana Ikiwa Masharti Yatatimizwa

Kiongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa Iran na Marekani zina “tofauti za kutoelewana” na...

READ MORE

Burudani Inapaa, Cheza Super Heli Ujishindie Samsung A26 Mpya

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni nchini Tanzania, imezindua promosheni ya kipekee inayowapa wachezaji nafasi ya kubeba...

READ MORE

CCM Yatoa Maazimio ya Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maazimio ya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika jijini Dodoma...

READ MORE

Yanga Kutumia Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa Mechi za Nyumbani za Makundi

Klabu ya Yanga SC imetangaza rasmi kuwa itacheza mechi zake zote tatu za nyumbani katika hatua ya makundi ya michuano...

READ MORE

LATRA Yatoa Vibali 150 vya Mabasi Kubeba Abiria 26+ Kuendeleza Huduma za Usafiri Dar

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), CPA Habibu Suluo, amewatangazia...

READ MORE

CCM Yafanya Uteuzi wa Wagombea wa Spika na Naibu Spika wa Bunge la Muungano na Baraza la Wawakilishi

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza...

READ MORE

Zohran Mamdani Awa Meya Mteule wa New York, Meya wa Kwanza Muislamu – Video

Zohran Mamdani, mwenye umri wa miaka 34, amechaguliwa kuwa Meya mpya wa Jiji la New York, na kwa mara ya...

READ MORE

Bunge la 13 Kuanza Novemba 11, Wabunge Wateule Wapewa Maagizo

Wabunge wote Wateule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametakiwa kufika katika Ofisi ya Bunge Dodoma kwa ajili ya shughuli...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli Novemba

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) yatangaza wajumbe wa viti maalum vya wanawake

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya wajumbe wa viti maalum vya wanawake watakaokuwemo katika Baraza la Wawakilishi,...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Hamza Said Johari Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Dodoma, Novemba 5, 2025 — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha BHamza Said Johari...

READ MORE

Ajali ya Ndege ya UPS: Wafanyakazi 11 Wajeruhiwa, Watu 7 Wafariki

Watu 7 wamefariki dunia na 11 kujeruhiwa baada ya ndege ya UPS kuangukia karibu na Uwanja wa Ndege wa Louisville...

READ MORE

Dick Cheney, Makamu wa Rais wa Marekani Mwenye Nguvu Afariki

Aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wa Marekani, Dick Cheney, ambaye alihudumu chini ya Rais George W. Bush na alikuwa miongoni...

READ MORE

Wakili wa Zamani wa Jeshi la Israel Akamatwa baada ya kuvuja kwa Video ya Unyanyasaji

Tel Aviv, Israel — Wakili wa zamani wa kijeshi wa Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF), Meja Jenerali Yifat Tomer-Yerushalmi,...

READ MORE

Athari za Vita vya Sudan Zasambaa Mashariki mwa Chad: Mgogoro wa Kibinadamu Wazidi Kutikisa

Athari za vita vya Sudan, vilivyoanza katikati ya Aprili 2023, hazijaishia tu kwa raia wa nchi hiyo; moto wa mzozo...

READ MORE

New Foundation Targets Education Infrastructure to Fuel Transformation in Tanzania

Dodoma, Tanzania — Mr. Sanjeev Mansotra, Chairman, Planet One Group today announced the launch of the Sanjeev Mansotra Foundation (SMF)...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Amshukuru Dkt. Mpango kwa Mchango Mkubwa Katika Awamu ya Sita

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amempongeza na kumshukuru Makamu wa Rais Mstaafu ...

READ MORE

CCM Yatoa Fomu za Uteuzi wa Spika na Naibu Spika wa Bunge 2025

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kwa Wanachama ambao ni Wabunge wateule na Wanachama wenye sifa za kuwa Mbunge, kuwa fomu...

READ MORE

Chadema Yatoa Taarifa Kuhusu Makamu Mwenyekiti Wao, John Heche

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kwa umma kuwa leo, Alhamisi tarehe 28 Oktoba 2025, Makamu Mwenyekiti wa...

READ MORE

Rais Samia Apokelewa Kwa Shangwe Ikulu ya Chamwino Baada ya Kuapishwa

Dodoma, Tanzania – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokelewa kwa shangwe na watumishi wa...

READ MORE

Rais Dkt.Samia amteua Hamza Said Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Hamza Said Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali....

READ MORE

Rais Dkt. Samia Aapishwa Kuendelea Kuongoza Tanzania

  Dodoma, Tanzania – Dkt. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla...

READ MORE

China Yazindua Roboti za Mbwa Vita na Gari la Kijeshi la AI

Kampuni ya Norinco ya China, kwa msaada wa jeshi la nchi hiyo, imetengeneza roboti za mbwa vita zinazoweza kushiriki moja...

READ MORE

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA – Video

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04,...

READ MORE

RC Chalamila “JIitokezeni Kupiga Kura Dar ni Salama Sana

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wananchi wakazi wa Mkoa huo kupuuza taarifa za uzushi...

READ MORE