×

Habari

Dkt. Nchimbi: Heshima uliyonipa ni ya Wanaruvuma Wote

  MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari...

READ MORE

Malawi: Mutharika Aongoza Kwa Matokeo ya Awali, Chakwera Akiwa Nyuma

Lilongwe, Malawi – Rais wa zamani wa Malawi Peter Mutharika (85) ameibuka kinara katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu...

READ MORE

Serikali Yalaani Mauaji ya Mwanafunzi Mzumbe Mbeya – Video

Serikali mkoani Mbeya imeelekeza Jeshi la Polisi kufanya kazi usiku na mchana ili wahusika wa mauaji ya Shyrose Mahande, mwanafunzi...

READ MORE

Pemba: Dkt. Samia Ahimiza Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kudumisha amani na utulivu kuelekea uchaguzi...

READ MORE

Askofu Novatus Rugambwa Kuagwa Dar, Kuzikwa Bukoba

Sekretarieti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) imetangaza ratiba ya kuaga na mazishi ya Askofu Mkuu Novatus Rugambwa aliyefariki...

READ MORE

NMB Yapokea Tuzo ya Uwajibikaji wa Kijamii Katika Elimu kwenye Tuzo za Mufti 2025

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema kuwa  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo...

READ MORE

Wasifu wa Shyrose Mahande: Ndoto za Mwanasheria Chipukizi Zilizokatishwa – Video

Wasifu wa Mwanafunzi wa shahada ya sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe Tawi la Mbeya, Shyrose Mahande (21), aliyeuawa kikatili baada...

READ MORE

Chiku Issa Awahamasisha Wanawake Kumpigia Kura Dkt. Samia

Mbunge mteule wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Chiku Issa, amewataka wanawake wa mkoa...

READ MORE

Ngawaiya Amuombea Kura Prof. Kitila Mkumbo Jimbo la Ubungo

  Kada wa Chama Chama Cha Maponduzi na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Moshi Vijijini, Thomas Ngawaiya jana amemuombea...

READ MORE

Md Twange Aridhishwa Na Maendeleo Ya Mradi Wa Taza – Aagiza Kuongezwa Kwa Kasi Ya Utekelezaji

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania-Zambia Transmission Interconnector (TAZA), kupitia...

READ MORE

NMB Kukopesha Zaidi ya Sh. Bilioni 500 kwa Biashara, Kilimo, Viwanda na Madini

  BENKI ya NMB imesema kuwa kwa sasa ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh. Bilioni 500 kwa...

READ MORE

TLS Yakutana Na Kufanya Mazungumzo Na Jaji Mkuu Wa Mahakama Ya Tanzania

Viongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Septemba 19, 2025, wamefanya mazungumzo na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe....

READ MORE

Binti wa Rais Paul Biya Aomba Umma Wasimpigie Kura Baba Yake

Yaoundé – Dunia imetaharuki baada ya Brenda Biya, binti wa Rais wa Cameroon Paul Biya, kuwataka wananchi wa nchi hiyo...

READ MORE

Mwenyekiti wa NEC Jaji Mwambegele Akagua Maandalizi ya Uchaguzi Mbeya

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, Septemba 19, 2025 ametembelea Halmashauri ya...

READ MORE

TLS Yatisha Maandamano ya Amani Nchi Nzima Kupinga Shambulio kwa Wakili

Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limetangaza kuandaa maandamano ya amani nchi nzima, ikiwa ni ishara ya...

READ MORE

DC Nyamagana: Serikali Inatambua Kazi Nzuri ya OSHA Nchini

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali...

READ MORE

Meridianbet Yachangia Mashine za Sanitizer Mwenge Hospitali

Kama kawaida wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanaendelea na harakati zao za kurejesha kwenye jamii ambapo leo hii waliigusa hospitali...

READ MORE

Airtel Tanzania Yaifikisha SmartWASOMI Kwa Walimu Wa IT Visiwani Zanzibar

Airtel Tanzania, kupitia Airtel Africa Foundation na kwa kushirikiana na UNICEF pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imeendesha...

READ MORE

Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa Mjini, Frank Nyalusi Afariki

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

Ubia Serikali na Sekta Binafsi Nguzo Kuu ya Dira 2025

Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya...

READ MORE

Mwanariadha wa Kenya Akamatwa Ukraine, Adai Kudanganywa na Jeshi la Urusi

Familia na marafiki wa mwanariadha wa Kenya, Evans Kibet, wamesema wameshtushwa na taarifa kwamba mtoto wao amekamatwa nchini Ukraine akiwa...

READ MORE

Mawakili wa Serikali Watakiwa Kuzingatia Sheria za Hifadhi ya Jamii

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari afungua mafunzo ya hifadhi ya jamii kwa Mawakili wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,...

READ MORE

Miili ya Masista waliofariki ajali ya gari yawasili Dar – Video

Miili ya Masista wa Kanisa Katoliki waliopoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, imewasili jijini Dar...

READ MORE

Kesi ya Kabila Yakabiliwa na Mashtaka Makali ya Mauaji, Ubakaji na Usaliti

Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Mahakama Kuu ya Kikosi cha Jeshi imeweka Ijumaa kama siku ya kutoa uamuzi...

READ MORE

Nilishindwa Mitihani Mara Nne, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Nifaulu Kwa Alama Za Juu

Jiji lote la wanafunzi wa chuo kikuu lilijua jina langu kwa sababu ya kushindwa mitihani. Nilikuwa maarufu kwa sababu zisizo...

READ MORE

THBUB  Yatoa Mafunzo Kwa Jeshi La Polisi Kuhusu  Haki Za Binadamu 

Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na utawala bora (THBUB), Bw. Patience Ntwina amesema kuwa uchaguzi ni mchakato...

READ MORE

Rais Chekera wa Malawi Anaelekea Kushindwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi mkuu wa Malawi unaoendelea umeingia katika hatua ya kusisimua baada ya matokeo ya awali kuonyesha kwamba Rais Lazarus Chakwera,...

READ MORE

Ziara ya Rais Trump Uingereza Yagubikwa na Vita ya Ukraine

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameanza ziara yake rasmi nchini Uingereza, ziara inayotajwa kuwa na umuhimu wa kisiasa na kidiplomasia...

READ MORE

Dkt. Samia Amnadi Dkt. Mwinyi Katika Kampeni za CCM, Makunduchi

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, Septemba 17,...

READ MORE

Jiko Linalotumia Mfumo wa Nishati Safi Lazinduliwa ya Sekondari Yusuf Makamba

Dar es Salaam, 19 Septemba 2025: Kampuni ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) wamezindua jiko...

READ MORE

Dkt. Samia: Uchaguzi si Vita, Ni Tendo la Demokrasia Tukapige kura, Turudi Nyumbani – Video

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Kesi ya Uhaini Dhidi ya Tundu Lissu Kuendelea Leo Mahakama Kuu, Dar

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo, Alhamisi Septemba 18,...

READ MORE

Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu

Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar...

READ MORE

Waandamanaji Wapinga Ziara ya Rais Donald Trump Nchini Uingereza

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump,...

READ MORE

Dkt. Samia Aendelea na Kampeni za CCM Kusini Unguja (Picha +Video)

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt....

READ MORE

Ajali Iliyochukua Maisha ya Baba na Watoto: Shuhuda Aeleza Dakika za Mwisho

Dar es Salaam imekumbwa na simanzi kubwa kufuatia ajali mbaya iliyopoteza maisha ya Baba wa familia, Francis Elineema Kaggi, watoto...

READ MORE

Mmoja Auawa Kwa Kisu Kisa Simba, Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limethibitisha mauaji yaliyotokea Septemba 16, 2025 saa 12:50 jioni Kitongoji cha Ululu, Idiwili –...

READ MORE

Makunduchi Wamkaribisha Dk. Samia Kwa Kishindo

Kutoka Makunduchi, Zanzibar safari ya maendeleo inaendelea kusonga mbele chini ya uongozi wa Rais na Mgombea Urais wa Chama Cha...

READ MORE

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa Afariki Dunia

Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu (Vatican) katika nchi mbalimbali duniani, Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, amefariki dunia usiku wa Septemba...

READ MORE

Kongamano Kuhusu Uchumi Jumuishi Tanzania Kuimarisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kigoda cha Uprofesa cha Mwalimu Julius K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa...

READ MORE