×

Habari

MTOTO AUAWA! MACHO, UBONGO, NGOZI VYANYOFOLEWA

LINDI: Unyama usioelezeka! Ndivyo unavyoweza kutokwa na maneno hayo baada ya kuambiwa mtoto Mutifati Abdilahi (5), Mkazi wa Kata ya...

READ MORE

ALIYEKUFA AJALI YA MWENDOKASI MAPYA YAIBUKA!

KILOSA: Moja ya ajali mbaya zilizotokea katika msimu huu wa Sikukuu ya Pasaka ni pamoja na ile iliyotekea siku ya...

READ MORE

BINTI AMHENYESHA MCHUNGAJI STENDI

NI mshikemshike nguo kuchanika! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la binti mmoja kumhenyesha vilivyo Mchungaji Daudi Nkuba Mashimo wa Kanisa...

READ MORE

EXCLUSIVE: Ebitoke Atinga Studio Kurekodi Ngoma Yake! – Video

MUIGIZAJi wa vichekesho ambaye kwa sasa amegeukia gemu la Bongo Fleva, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’,  kwa mara ya kwanza amezungumzia jinsi...

READ MORE

Makonda Aahidi Kuendeleza Miradi ya Vijana Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es  Salaam, Paul Makonda, ameendelea na ziara ya kukagua miradi ya serikali inayojengwa kupitia fedha...

READ MORE

‘Mchungaji’ Akamatwa na Madawa ya Kulevya Dar – Videos

MTU Mmoja, raia wa Latvia, Linda Mazule, amekamatwa leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa...

READ MORE

MAAMUZI MENGINE ALIYOFANYA RAIS MAGUFULI LEO

Rais Dkt John Magufuli ameiongezea muda wa miaka mitatu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) iliyokuwa imalize muda wake leo Aprili...

READ MORE

SERIKALI YATOA KAULI KUHUSU KUMILIKI LAINI MOJA TU YA SIMU!

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Astashata Nditiye amesema Serikali haijatoa tamko la kupiga marufuku kumiliki laini nyingi za...

READ MORE

SERIKALI: HATUJAZUIA IMF KUCHAPISHA RIPOTI YA UCHUMI WETU

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, amesema serikali haijalizuia Shirika la Fedha Duniani (IMF) kuchapisha ripoti ya uchumi...

READ MORE

Mwakyembe Amjibu Musukuma Wasanii Kumiliki Madanguro, Kula Fedha za Misiba

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema hoja ya Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Musukuma,...

READ MORE

MTUHUMIWA KUTEKA, KUUA MTOTO HUYU HAPA!

MBEYA: SIKU chache baada ya kukamatwa kwa kijana Mussa Mbelechamo (27) anayetuhumiwa kumteka kisha kumuua mtoto Junior Bakari Siame (8),...

READ MORE

Tamko la Chadema Kuhusu Sakata la Serikali na IMF – Video

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeonyeshwa kushtushwa na ukimya wa serikali kufuatia madai mazito ya Shirika la Fedha Duniani...

READ MORE

WATATU WAHOFIWA KUFA KWA KUFUNIKWA NA KIFUSI ARUSHA

Watu watatu wamefukiwa na kifusi kwenye Machimbo ya Moram Tanganyika Parkers KATIKA eneo la Moshono jijini Arusha. Kamanda wa Polisi...

READ MORE

LIPUMBA AIVAA SERIKALI RIPOTI YA UCHUMI YA IMF – VIDEO

MWENYEKITI wa Chama cha Civic Union Front (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba,  amesema kitendo cha serikali kukataa taarifa ya Shirika la...

READ MORE

BREAKING: Katibu wa CCM Amfukuza Daktari, Rais Atoa Tamko! – Video

RAIS wa Chama cha Madaktari nchini, Elisha Osati, amezungumzia suala la kufukuzwa kwa  daktari wa Kituo cha Afya Ngarenaro, Dkt....

READ MORE

Inasikitisha! Wafariki Ajalini Wakiwahi Nyama Choma ya Pasaka

WATU wawili wamefariki dunia na watano kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari iliyokuwa ikiendeshwa kwa mwendo kasi kuwahi nyama choma...

READ MORE

SHAMBULIO LA KIGAIDI LAUA 290, HALI YA HATARI YATANGAZWA

RAIS wa Sri Lanka, Maithripala Sirisena, ametangaza hali ya hatari kuanzia saa sita usiku wa jana (Jumatatu) kufuatia shambulizi la...

READ MORE

Majambazi Wavamia Duka Kariakoo Pasaka, Wakamatwa – Video

JESHI la polisi limefanikiwa kuwatia nguvuni majambazi watatu kati ya sita wenye silaha waliovamia duka la Almore Flight Services Ltd,...

READ MORE

Bobi Wine Akamatwa Tena, Apelekwa Kusikojulikana

  MBUNGE  wa Kyadondo Mashariki, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine leo asubuhi amekamatwa na jeshi la polisi nchini Uganda...

READ MORE

Kigwangalla Ampa Shavu Dogo Huyu wa Uingereza – Video

BAADA ya kijana maarufu mitandaoni nchini Uingereza, Braydon Bent (10), kutupia video hii katika ukurasa wake wa Twitter, Waziri wa...

READ MORE

Mwanri Aomba Radhi Kauli Yake ya “Mungu Amshukuru Rais Magufuli”

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Agarey Mwanri,  amefafanua kauli yake ya kumtaka Mungu amshukuru Rais  John Magufuli ambayo aliitoa hivi...

READ MORE

Comedian Zelensky Ashinda Urais

Mchekeshaji wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa urais baada ya kumshinda mpinzani wake, Petro Poroshenko, ambaye...

READ MORE

Auawa Akigombania Mwanamke Usiku wa Pasaka

MKAZI wa Mji Mdogo wa Sirari tarafa ya Inchugu, wilayani Tarime mkoani Mara, Charles Mkono (26) aliyejulikana kwa jina la...

READ MORE

Zahera amvaa Haji Manara

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amemtaka Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Simba, Haji Manara aache kumfuatilia kwa kuwa...

READ MORE

Vigogo Kurudishwa Yanga SC

VIGOGO wa Yanga ambao walikatwa majina yao kwenye mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa Yanga unaotarajiwa kufanyika Mei 5, mwaka...

READ MORE

BREAKING NEWS: AJALI YAUA ARUSHA, MAGARI YAGONGANA

AJALI imetokea leo Aprili 21, 2019 baada ya magari mawili ya mashindano kugongana eneo la Oldonyosambu, Arumeru jijini, Arusha na...

READ MORE

MILIPUKO YAUA WATU TAKRIBANI 207 SRI LANKA WAKIWEMO WATALII

Watu wapatao 207 wameuawa kutokana na mfululizo wa mabomu yaliyolipuka kwenye mji mkuu wa Sri Lanka, Colombo. Polisi imethibitisha kuwa...

READ MORE

MREMBO ATEKWA, ABAKWA NA WANAUME WANNE

DAR ES SALAAM: Unyama gani huu? Tukio baya limejiri jijini Dar likimhusisha mrembo mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa...

READ MORE

Malima amkalia kooni meneja mkuu Acacia

MARA: MKUU wa Mkoa wa Mara, Adam Kighoma Malima amemtaka Meneja Mkuu wa Kampuni ya Acacia ya Mgodi wa Dhahabu...

READ MORE

Pasaka HUMA ANISHA NINI HASA?

WATU wengi wamejikuta wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka pasipo kujua wanachokisherehekea; wengine ukiwauliza Pasaka ni nini, hawana majibu. Wengine watakujibu kwamba...

READ MORE

Bodi ya Filamu Yalaani Kauli ya Musukuma ‘Wasanii Wanategemea Michango ya Misiba’

BODI ya  Filamu nchini imesema kauli iliyotolewa na Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’, inaidhalilisha bodi hiyo na...

READ MORE

RC MWANRI TENA: KAMATA OFISA HUYU, SUKUMA NDANI – VIDEO

Ofisa Kilimo wa Kata ya Chama, mkoani Tabora, Gasper Olimba amejikuta akiswekwa ndani kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo,...

READ MORE

Hatimaye CCM Walitwaa Jimbo la Nassari

  MGOMBEA ubunge wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pallangyo, ...

READ MORE

SAMORA MACHEL: Rais Aliyetolewa UHAI Kwa Njama… Kisa Mabeberu!

UKILITAJA jina la Samora Machel wazalendo wote tunagonga ‘cheers’, washenzi wananuna kwa sababu wanajua alivyowakaba, wakaishia kumtungua kwenye ndege na...

READ MORE

MKE AMFANYIA MBAYA MUMEWE – VIDEO

SHINYANGA: Kijana aliyefahamika kwa jina la Andrew Albert (26), mkazi wa Kata ya Mhungula, wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga amedai...

READ MORE

ASLAY: Kipaji Chako MPIRA Unafosi KUIMBA, Looh! – Video

KWA mara nyingine tena radio yako ya mtandaoni ambayo inafanya vizuri kwa sasa, +255 Global Radio inakuletea Exclusive Interview nyingine na...

READ MORE

NYOKA WEUSI WAVAMIA IKULU, RAIS AKIMBIA OFISI

MSEMAJI wa Ikulu ya Liberia amesema rais wa nchi hiyo hivi sasa anafanyia kazi nyumbani kwake baada ya nyoka wawili...

READ MORE

WEZI BETRI LA TAA ZA BARABARANI ‘WATESTI’ SHARUBU ZA MWANRI – VIDEO

ZAIDI  ya shilingi milioni tatu zimetumika kununua betri jingine la kuongozea taa za barabarani lililoibwa katika Barabara ya Isevya wilayaniTabora...

READ MORE