×

Habari

Mpina Arejesha Fomu za Urais ACT-Wazalendo Baada ya Uamuzi wa Mahakama

Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Jumamosi Septemba 13, 2025, amerejesha rasmi fomu yake ya kugombea...

READ MORE

‎Mkuu Wa Majeshi Ya Ulinzi Tanzania Aweka Jiwe La Msingi Shule Ya Polisi Jeshi Mafinga

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda Septemba 12, 2025  ameweka  jiwe la msingi la ujenzi wa...

READ MORE

Wasichana Zaidi Ya 3370 Wanufaika Na Programu Ya Komputa Code Like A Girl

Mtaalamu wa mafunzo na vijana kutoka Vodacom Tanzania Plc,Bw Samwel Komba akimkabidhi cheti Mwanafunzi Doris Nisetasi, mhitimu wa mafunzo ya...

READ MORE

Majaliwa Azindua  Kampeni Za Ubunge Jimbo  La  Nachingwea

Aomba wananchi kumchagua Rais Dkt. Samia, Mbunge na Madiwani wa CCM Autaja mradi wa barabara kutoka Ruangwa hadi Nachingwea na...

READ MORE

Samia Aahidi Kuendeleza Maendeleo Tabora kwa Miaka Mitano Ijayo -(Picha + Video)

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Manispaa ya...

READ MORE

Ngome Yazidi Kung’ara BAMMATA

Timu za Ngome zinazomilikiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania zimezidi kung’ara katika mashindano ya  Michezo mbalimbali ya...

READ MORE

Bosi Wangu Alitaka Kuniangamiza Kwenye Kazi, Lakini Hatua Niliyopiga Ilimfanya Aniombe Msamaha

Nilipata kazi yangu ya ndoto baada ya kungoja kwa muda mrefu. Nilijua itakuwa nafasi ya kubadilisha maisha yangu na kusaidia...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Maaskofu Wakuu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Askofu Mkuu wa Jimbo...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yawawezesha Wafanyakazi Wa Migodini Geita Kukua Kifedha

Suluhisho maalumu za kifedha kuwawezesha wahandisi, mafundi na wafanyakazi wa mgodi kujenga mali, kumiliki makazi na kulinda mustakabali wa familia...

READ MORE

Tanesco Yapiga Marufuku Wizi na Uharibifu wa Miundombinu ya Umeme

📌 Baadhi ya wateja wabainika kuchezea mita ili isisome matumizi halisi ya umeme. 📌 Watakaobainika kufanya vitendo hivyo kushtakiwa kwa...

READ MORE

Lulu Diva Afunguka Kuhusu Tuhuma za Kutoka na Ex wa Mobetto

Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva @luludivatz amefungukia tuhuma za kutoka kimapenzi na aliyekuwa X wa Hamisa Mobetto, Kelvin...

READ MORE

Makamu wa Rais Riek Machar Ashtakiwa kwa Ugaidi na Uhaini

Juba, Sudan Kusini – Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kufunguliwa mashtaka mazito dhidi ya Makamu wa Rais wa Kwanza, Riek...

READ MORE

Dkt. Samia Awaomba Wananchi Kujitokeza kwa Wingi Oktoba 29 – Video

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi na...

READ MORE

Majaliwa Afungua Kongamano La Nne La Kitaifa La Ufuatiliaji Na Tathmini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Septemba 11, 2025 amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la Nne la...

READ MORE

Dkt. Samia Ahahidi Miradi Mikubwa ya Maendeleo Kaliua, Tabora

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza...

READ MORE

Tanzania Yazidi Kuvutia Watalii wa Marekani

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Alhamisi Septemba 11, 2025 amekutana na kuzungumza na Kaimu...

READ MORE

Video: Mahakama Yaamuru Mpina Arejeshe Fomu Tume Huru ya Uchaguzi

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, imeamuru mwanachama wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, aruhusiwe kuendelea na mchakato wa kurejesha fomu...

READ MORE

Jeshi La Nepal Lafanya Majadiliano na Waandamanaji Wadai Jaji Mkuu wa Zamani Aongoze Nchi

Jeshi la Nepal litaanza tena mazungumzo na waandamanaji wa “Gen Z” siku ya leo Alhamisi ili kuamua kiongozi mpya wa...

READ MORE

Hatma ya Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Kujulikana Jumatatu – Video

Hatima ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kujulikana Jumatatu,...

READ MORE

Kilombero Sugar Yaadhimisha Miaka 23 ya Kutoa Mafunzo Kwa Viongozi Kupitia Mkutano wa Programu ya MIT 2025

Morogoro, Septemba 11, 2025 – Kampuni ya Sukari Kilombero imefanya Mkutano wa programu ya Managers in Training (MIT) 2025, kusherehekea...

READ MORE

Siku Saba za Champions Clash Na Ushindani Ndani ya Meridianbet

Meridianbet imeizindua rasmi Champions Clash, kampeni ya kasino inayowasha moto kwa mashabiki wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania kwa muda...

READ MORE

Mgombea Mwenza Nchimbi: CCM Imedhamiria Kuboresha Elimu, Maji Na Miundombinu Katavi

Mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa endapo...

READ MORE

Israeli yatishia kuwaua viongozi wa Hamas waliosalia Qatar

Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, ametishia kuwaua tena viongozi wa Hamas walioko nchini Qatar iwapo Doha haitawafukuza maafisa hao,...

READ MORE

NBC Yazindua Msimu wa nne wa Kampeni ya NBC Shambani Kwa Wakulima wa Korosho Mtwara

BENKI  ya Taifa ya Biashara (NBC) imeatambulisha msimu wa nne wa kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ Kwa wakulima...

READ MORE

Video: Dkt. Bashiru: Samia Atashinda Uchaguzi wa 2025 kwa Kishindo

Mratibu wa Kampeni za Kitaifa za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Katibu Mkuu mstaafu wa chama hicho, Dkt. Bashiru Ali,...

READ MORE

Mwabukusi: Wananchi Wana Haki ya Kuhudhuria Kesi ya Lissu – Video

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema ni haki ya kikatiba kwa wananchi kuhudhuria na kusikiliza...

READ MORE

Israel Yashambulia Qatar: Viongozi wa Hamas Wanusurika, Watu Sita Wauawa

Doha, Qatar – Watu sita wamepoteza maisha katika shambulio la anga la Israel lililolenga viongozi wa Hamas waliokuwa kwenye kikao...

READ MORE

Nic Na Benki Ya COOP Wasaini Mkataba Wa Ushirikiano Wa Kimkakati kwa Ajili Ya Kupanua Huduma Za Bima

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Kaimu Abdi Mkeyenge (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa COOP Bank, Godfrey...

READ MORE

Baba Levo Azindua Rasmi Kampeni Kigoma Mjini Kwa Kishindo!

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, Septemba...

READ MORE

Tanesco Yaendelea Kuboresha Huduma Kwa Wateja Kwa Kununua Vitendea Kazi Vya Usafiri

  Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mpango mpya wa kuboresha huduma kwa wateja kwa kununua vitendea kazi ikiwemo magari...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yazindua Dira Ya 2030, Yawekeza Zaidi Ya Dola 100 Milioni Katika Uboreshaji Wa Miundombinu Ya Teknolojia Kwa Uchumi Jumuishi Wa Kidijitali  

14 Septemba 2025, Dar es Salaam: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano, Vodacom Tanzania inapoadhimisha miaka 25 ya huduma hapa nchini...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 10, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Utawala wa Kikatili Waanguka Nepal, Waziri Mkuu Mstaafu Apata Kipigo

Nchini Nepal, hali ya kisiasa imeingia katika sura mpya baada ya utawala uliotajwa na wananchi wengi kuwa wa kikatili kuporomoka...

READ MORE

Samia Azungumza na Wananchi wa Ikungi, Atoa Ahadi Kuu za Maendeleo (Picha +Video)

Wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Ikungi Mashariki, wilayani Manyoni mkoani Singida, wamejitokeza kwa wingi leo Jumanne,...

READ MORE

Exim Bank Na GF Automobile Waingia Ushirikiano Kurahisisha Umiliki Wa Magari

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Shani Kinswaga (Kushoto) na Mkurugenzi wa GF Automobile Bw. Mujtaba...

READ MORE

Wananchi Dar Watakiwa Kupaka Rangi Majengo Yao Kabla ya Septemba 30

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Elihuruma Mabelya, ametoa agizo kwa wananchi wote jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Alipambana sana kupata mapenzi ya huyu binti bila mafanikio ila leo hii wapo pamoja

Yona alikuwa kijana mnyenyekevu na mwenye heshima kubwa katika kijiji chao kilichopo Kagera. Alikuwa mchapakazi, akijishughulisha na biashara ndogo ndogo...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Awahutubia Wananchi wa Jimbo la Kwela, Sumbawanga Vijijini

MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi...

READ MORE

NIRC Yaridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Skimu Ya Makwale-Kyela

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopord Runji, imefanya ziara...

READ MORE

Tajiri wa Madini Aliyefilisika Arejea Tena Katika Biashara kwa Kishindo

Katika kijiji kidogo kilichopo Tarime, aliishi kijana aitwaye Benedicto. Alizaliwa katika familia ya kimasikini sana, familia ambayo mara nyingi ililala...

READ MORE