×

Habari

Mgomo Waibuka Kenya, Ndege Zaelekezwa Kutua Tanzania

Ndege za uchukuzi wa abiria na mizigo zilizoratibiwa kutua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi Kenya zimeelekezwa kutua...

READ MORE

KILICHOTOKEA MAHAKAMANI RUFAA YA MBOWE, KESHO MAAMUZI

MAWAKILI wa upande wa Freeman Mbowe na Ester Matiko, Peter Kibatala na Jeremia Mtobesya wameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE

BETIKA LAZIDI KUTIKISA KITAA

  LIKIWA limetimiza mwezi mmoja tangu liingie mtaani, Gazeti la Betika limezidi kutikisa ambapo kila siku wasomaji wamekuwa wakilimwagia sifa...

READ MORE

MAGUFULI ASHIRIKI JUMATANO YA MAJIVU KANISA LA MT. JOSEPH

…Akipokea mkate wa Sakramenti Takatifu. Sehemu ya waamini  kanisani hapo. …Akiwaaga waamini wenzake. PICHA NA IKULU

READ MORE

BREAKING NEWS: Mwalimu Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa Bukoba

Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba imemhukumu kunyongwa hadi kufa mwalimu Respicius Mutazangira kwa mauaji ya aliekuwa mwanafunzi wa shule ya msingi Kibeta, Sperius...

READ MORE

BREAKING: MGEJA ACHOMOKA CHADEMA, AMFUATA LOWASSA CCM – VIDEO

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja, ambaye aliondoka chama hicho na kuhamia Chadema, leo Machi 06, 2019...

READ MORE

Rwanda: Kagame awakamata majenerali watatu wa jeshi

MAJENERALI  Joseph Nzabamwita (kusho juu, picha ya chini), Fred Ibingira (kulia juu) na Emmanuel Ruvusha, wamekamatwa na kuwekwa chini ya...

READ MORE

Mwanamke Mwingereza Aliyejiunga ISIS Aomba Kurejea Nchini

BAADA ya kuvuliwa uraia wake wa Uingereza, Shamima Begum (pichani) aliyejipatia umaarufu wa ghafla dunia nzima, ameipigia magoti nchi yake...

READ MORE

Breaking: WAFANYAKAZI WA CLOUDS WAPATA AJALI WAKITOKA KUMZIKA RUGE

  TIMU ya Uzalishaji wa Vipindi wa kituo cha Clouds Media cha Dar es Salaam leo imepata ajali ya gari...

READ MORE

Mgomo wa Wafanyakazi Uwanja wa Ndege Waleta Mzozo

  USAFIRI wa ndege umetatizika na abiria wamekwama katika uwanja mkuu wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) jijini Nairobi, Kenya....

READ MORE

MAJONZI: MAZISHI ya Sheikh Zuberi Yahya Dar – Video

Mazishi ya aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Mtoro, Sheik Zuberi Yahya Mussa, yamefanyika jana Jumanne, Machi 5, 2019, katika Makaburi...

READ MORE

PRINCE STATIONERY WAONGEZA OFA PUNGUZO LA VIFAA VYA SHULE

  WAUZAJI bingwa wa vifaa vya maofisini na shuleni, kwa bei za jumla na rejareja, Prince Stationery ambao Januari mwaka huu...

READ MORE

Dada Aliyetoka Njombe Hadi Bukoba Kumzika Ruge, Afunguka! – Video

Kauli ya kwamba marehemu, Ruge Mutahaba alikuwa kipenzi cha watu imezidi kujidhihirisha zaidi kwenye msiba wake kwani watu kutoka maeneo...

READ MORE

Wafungwa 340 Wakutwa na Ukimwi, Waziri Afunguka!

WAFUNGWA na mahabusu 340 kati ya 15,250 nchini waliopimwa Virusi vya Ukimwi (VVU) wamekutwa na maambukizi baada ya Jeshi la...

READ MORE

NMB YAKABIDHI MSAADA WA MABATI 1248, MADAWATI 62 SHULE 8 MKOANI KATAVI

  BENKI ya NMB imetoa msaada wa mabati 1,248 na madawati 62 kwa ajili ya Shule 5 za Sekondari na...

READ MORE

Aliyedai Jambazi Ajisalimisha kwa RPC Muroto, Apokelewa – Video

KIJANA mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Emmanuel amejisalimisha katika Jeshi la Polisi jijini Dodoma na kudai kuwa alikuwa mharifu wa...

READ MORE

Nditiye Apiga Marufuku Gari za Abiria Kusafirisha Vifurushi na Barua

NAIBU Waziri wa ujenzi,uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amepiga marufuku magari yote ya abiria kusafirisha vifurushi vya aina yoyote...

READ MORE

EXCLUSIVE na Mganga Aliyemfufua Mtoto MSUKULE Kilimanjaro – Video

Mganga Moto wa Radi ambaye ameendelea kujizolea umaarufu baada ya ‘kumfufua’ mtoto aliyedaiwa kufariki tangu mwaka jana katika maeneno ya...

READ MORE

HATIMAYE RUGE AZIKWA KISHUJAA BUKOBA – PICHAZ

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba umezikwa Machi 4, 2019 kishujaa nyumbani...

READ MORE

Basi la BM Lapinduka Likikwepa Treni – Pichaz

BASI la Kampuni ya BM Coach limepata ajali ya kupinduka jana Jumatatu, Machi 4, 2019 majira ya alasiri wakati likijaribu...

READ MORE

Wateja wa DStv waula kwenye Promosheni ya “Tia kitu pata vituz” 

  Wateja 15 wa DStv wameibuka washindi wa wiki ya kwanza ya promosheni ya “Tia kitu pata vituz” inayoendeshwa na MultiChoice Tanzania....

READ MORE

Alichokisema Balozi Mahiga Baada ya Kuapishwa – VIDEO

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi ameanza kazi rasmi kwa kumtaka Katibu Mkuu...

READ MORE

Prof. Kabudi Atoa ONYO kwa Wanaoichafua Tanzania – Video

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, amewataka watu wanaoisema vibaya Tanzania kukaa kimya...

READ MORE

PRINCE STATIONERY WAJA NA OFA YA PUNGUZO VIFAA VYA MAOFISINI

Prince Stationery, wauzaji bingwa wa vifaa vya maofisini na shuleni kwa jumla na rejareja, wametangaza ofa kubwa katika msimu huu...

READ MORE

YANAYOJIRI GYMKHANA BUKOBA KWENYE MAZISHI YA RUGE – PICHAZ

MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, marehemu Ruge Mutahaba umeagwa katika ibada maalum iliyofanyika kwenye...

READ MORE

JPM: Mo Dewji Alionekana Akinywa Chai na Mambosasa – Video

RAIS  John  Magufuli ameonyesha kutoridhishwa na namna ambavyo suala la upelelezi wa tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo...

READ MORE

Rubani wa Makamu wa Rais Afariki kwa Ajali ya Ndege

CAPTAIN Mario Magonga, aliyekuwa rubani wa Makamu wa Rais wa Kenya,  William Ruto,  amefariki katika ajali baada ya ndege aina...

READ MORE

Zahera avunja na kuweka rekodi mpya Yanga

UKIWA ni msimu wake wa kwanza katika Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, amefanikiwa kuvunja rekodi ya...

READ MORE

BENKI YA NMB YASAIDIA KITUO CHA AFYA MIRERANI

  BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda vya kujifungulia pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh Milioni 10 katika...

READ MORE

MWILI WA RUGE WAFIKISHWA GYMKHANA KUAGWA- PICHAZ

MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba tayari umefika katika Viwanja vya Gymkhana mjini Bukoba...

READ MORE

BREAKING: JPM Aanika Sababu za Kuwabadilisha Kabudi na Mahiga – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, leo Machi 04, amewaapisha Balozi Dk. Augustine Phillip Mahiga kuwa...

READ MORE

NDIKILO AKARIBISHA KAMPUNI 13 KUJENGA VIWANDA KWENYE MKOA WAKE

SERIKALI ya Mkoa wa Pwani,kupitia Mkuu wa Mkoa huo Mhandisi Evarist Ndikilo amesema hawako  tayari kuzikosa kampuni 13 ambazo zimepelekwa...

READ MORE

LISSU AFUNGUKA LOWASSA KUREJEA CCM

MBUNGE wa Singida Mashariki na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu amejitokeza na kumtakia heri Waziri Mkuu...

READ MORE

Mtanzania ashinda mbio za Tigo Kili Half Marathon  

  MTANZANIA Emmanuel Giniki ameibuka mshindi wa mbio za kilomita 21 maarufu kama Tigo Kili Half Marathon zilizofanyika mjini MoshI....

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Anusurika Kifo

MKUU wa Wilaya ya Newala, Aziza Mangosongo na watu wengine watatu wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata ajali...

READ MORE

Wakazi wa Polisi Mabatini Dar walia na ujenzi mbovu wa mifereji, wamuita Makonda

    WAKAZI wa eneo la Kituo cha Polisi cha Mabatini kilichopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam, wamelalamikia ujenzi mbovu...

READ MORE

Lowassa Amjulia hali Balozi wa zamani Dr. Ahmed kiwanuka

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa leo amefika kumjulia hali mwanadiplomasia mkongwe na Balozi wa zamani Dr. Ahmed M kiwanuka...

READ MORE

MWILI WA RUGE MUTAHABA WAWASILI BUKOBA (PICHA +VIDEO)

Mamia ya wakazi wa Bukoba na vitongoji vinavyoizunguka Wilaya hiyo wamejitokeza kwa wingi kuupokea  Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi...

READ MORE