×

Habari

Breaking News: Rostam Aziz Atinga Ikulu, Akutana na Rais Magufuli – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara Rostam Aziz Ikulu...

READ MORE

Mwakyembe Kuhusu Yanga: Manji Asithubutu Kuichezea Serikali

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amemweleza wazi Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji, kuwa...

READ MORE

Marekani: Waliofariki kwa Moto wa Msituni ‘Camp Fires’ Wafikia 42

IDADI ya watu waliofariki kutokana moto wa msituni katika maeneo mawili ya jiji la Los Angeles,  Jimbo la California nchini...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMANNE, NOVEMBA 13, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 13, 2018. Ni yale ya Hardnews, Udaku...

READ MORE

Magufuli Ahudhuria Misa ya Shukrani Rais Mkapa Akitimiza Miaka 80

Rais John Magufuli amempongeza Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa kwa mchango mkubwa alioutoa wakati wa uongozi wake...

READ MORE

LEMA: Hali Mbaya, Watu Wanateswa, Nchi Itaendeshwaje? – VIDEO

MBUNGE wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema, leo bungeni amesema serikali inatakiwa kuhakikisha wafanyabiashara wote nchini wanakuwa na amani na...

READ MORE

Waziri wa Nishati Avunja Bodi ya REA

WAZIRI wa Nishati Dk Medard Kalemani leo (Novemba 12.2018) amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijiji REA kutokana...

READ MORE

Baba yamkuta kwa ubakaji ‘katoto’

MSALA mzito! Baba mmoja, Chuma Mwakawala (59), mkazi wa Kijiji cha Mapogolo Kata ya Chokaa Wilaya ya Chunya jijini hapa...

READ MORE

MBOWE, SERIKALI NGOMA NZITO MAHAKAMNI

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe leo Jumatatu, Novemba 12, 2018 ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa isimfutie dhamana baada...

READ MORE

HATIMAYE LULU AMALIZA KIFUNGO CHAKE JELA

HATIMAYE msanii wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amemaliza kutumikia kifungo chake cha miaka miwili jela leo Jumatatu, Novemba 12,...

READ MORE

Straika mpya ampa jeuri Zahera

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongoman, Mwinyi Zahera, amesema kuwa wale wanaoponda ushindi kiduchu wa mabao inaoupata timu yake, watanyamazishwa na...

READ MORE

Nape Aibua Suala la Korosho Bungeni, Naibu Waziri Amtuliza – Video

AKIULIZA swali bungeni jijini Dodoma leo, Jumatatu, Novemba 12, 2018, Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye,  ameitaka Serikali kutoa majibu ni...

READ MORE

JPM Apiga STOP Wanunuzi Korosho, Serikali Itainunua kwa 3,300/= – VIDEO

RAIS John Magufuli amemtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuachana na wafanyabiashara wa korosho waliopewa siku nne na serikali hadi leo...

READ MORE

Mdogo wa Rostam Aziz Afikishwa Tena Kortini, Arudishwa Rumande

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo  imeahirisha tena kesi inayomkabili mfanyabiashara Akram Aziz Abdul Rasool ya utakatishaji fedha wa Dola...

READ MORE

MTANZANIA AWEKA REKODI, ASHINDA URAIS CHUO KIKUU URUSI

UMOJA WA WANAFUNZI NA VIJANA WA KIAFRIKA CHUO KIKUU CHA URAFIKI CHA URUSI (PEOPLES’ FRIENDSHIP UNIVERSITY OF RUSSIA) AU PATRICE...

READ MORE

MAGUFULI AWACHANA MWIJAGE, TIZEBA KISA CHA KUWATUMBUA – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha Mawaziri wawili na Naibu Mawaziri wanne ambao aliwateua...

READ MORE

Amber Rutty, Mpenzi Wake, Wakosa Wadhamini, Warudishwa Rumande

VIDEO vixen wa Bongo, Nascat Abubakary maarufu kwa jina la Amber Rutty na mpenzi wake, Said Bakari Mtopari,  wanaoshtakiwa kwa...

READ MORE

BASATA Yaufungia Wimbo wa Mwanza wa Rayvanny, Diamond – VIDEO

BARAZA la Sanaa Tanzania (Basata) leo Jumatatu, Novemba 12,2018, limetangaza kuufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny kwa maelezo kuwa unahamasisha masuala...

READ MORE

Mauaji Kigoma: Lugola Atoa Maagizo kwa IGP Sirro

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro kuwaondoa katika madaraka...

READ MORE

AJALI: Naibu Waziri Nditie Anusurika Kifo – Video

Naibu Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye jana Jumapili Novemba 11, alinusurika kifo baada kupata ajali eneo la...

READ MORE

Aliyewasafirisha Watekaji wa Mo Dewji, Asimulia A-Z Ilivyokuwa!! – Video

Nyumba inamodaiwa kufichwa Mohamed Dewji mara baada ya kutekwa Okotoba 11, 2018 katika Hoteli ya Colosseum imegundulika na imeoneshwa leo...

READ MORE

Kazi Imeanza! Manji Athibitisha Kurejea Rasmi Yanga

Baada ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuitaka Yanga kuitisha uchaguzi wake kwa ajili...

READ MORE

Umati Wafurika Shoo ya Bobi Wine Licha ya Manyanyaso ya Polisi

MAELFU ya watu walifurika katika ufukwe wa Kyarenga jana (Jumamosi) kushuhudia shoo iliyofanywa na mwanamuziki wa Uganda aliyejikita pia katika...

READ MORE

MAMA WA AMBER RUTTY AVAMIWA AUAWA !

DAR ES SALAAM: Majanga juu ya majanga! Ndivyo unavyoweza kusema, wakati msanii wa Bongo Fleva, Nascat Abubakary ‘Amber Rutty’ akiwa...

READ MORE

Kidato cha Pili Kuanza Mitihani wa Taifa Kesho Jumatatu – Video

Watahiniwa 544,866 wa shule za sekondari 4,725 wamesajiliwa kufanya mtihani wa upimaji wa kitaifa kidato cha pili kuanzia kesho Novemba...

READ MORE

TANZANIA KUKUMBUKA WALIOKUFA VITA YA DUNIA

TANZANIA inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 100 ya Mashujaa waliokufa kwenye Vita Kuu ya Kwanza ya...

READ MORE

SIMANZI! MUME AMUUA MKEWE GESTI

SIMANZI! Mfanyabiasha wa matairi eneo la Temeke Chang’ombe jijini Dar, Mussa Kalavya anashikiliwa na jeshi la polisi akiwa hoi Hospitali...

READ MORE

NYUMBA ALIMOFICHWA ‘MO’ YAFAHAMIKA, NI MBEZI BEACH DAR

NYUMBA inayodaiwa kuwa ndimo alifichwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’ baada ya kutekwa na watu ambao bado hawajajulikana hadi leo ipo...

READ MORE

MAMBOSASA: Mo Dewji Alifichwa Hapa Baada ya Kutekwa! – VIDEO

 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ameonyesha nyumba anayodaiwa kuhifadhiwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’...

READ MORE

MREMBO SUDAN AOLEWA KWA NG’OMBE 520, TOYOTA 3 KALI

HATIMAYE familia ya mrembo wa Sudan ya Kusini aliyekuwa anagombewa na waposaji kibao walioahidi kutoa mahali kubwa zisizo za kawaida,...

READ MORE

PUMA YATUMIA KLABU YA WANAFUNZI KUTOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

KLABU ya Usalama barabarani ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge wametoa elimu ya usalama wa barabarani kwa madereva wa...

READ MORE

Maalim Seif Afuguka: Mkataba wa Mafuta, Gesi ni Batili – VIDEO

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa mafuta na...

READ MORE

Rwanda Yataka Rwigara, Mama’ke Wafungwe Miaka 22

UPANDE wa mashitaka nchini Rwanda umeitaka Mahakama Kuu ya Kigali kutoa adhabu ya kifungo cha miaka 22 jela kwa Diane...

READ MORE

BREAKING: JPM AWATUMBUA TIZEBA, MWIJAGE, AMTEUA WAITARA

Rais Dkt. John Magufuli leo Jumamosi, Novemba 10, 2018 amefanya mabadiliko madogo ya Baraza lake la Mawaziri ambapo ametengua uteuzi...

READ MORE

MWILI WA MAMA MERCY MENGI WAZIKWA – PICHAZ

Mwili wa mmoja wa waanzilishi wa makampuni ya IPP, Mama Mercy Anna Mengi, umezikwa leo eneo la Wari Machame Moshi,...

READ MORE

SAMIA, MGHWIRA WAUAGA MWILI WA ANNA MENGI – VIDEO

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, ameungana na waombolezaji katika ibada ya kuuaga mwili Mercy...

READ MORE

BREAKING: HASHIM RUNGWE AFUNGUKIA USHOGA! – VIDEO

Mwenyekiti wa CHAUMA, Hashimu Rungwe amefunguka kuhusu masuala mbalimbali nchini ambayo yametokea kwa kpindi cha majuma kadhaa nyuma ikiwemo sakata...

READ MORE

JPM AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOSOMBA KOROSHO “SITIKISIKI HATA IWEJE” – VIDEO

Rais John Magufuli leo Jumamosi, Novemba 10, 2018 amekagua magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Usafirishaji cha...

READ MORE

Mhadhiri Makerere Agomea Dhamana, Ataka Museveni Afike Mahakamani

MHADHIRI katika idara ya utafiti ya Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda, Dr Stella Nyanzi, ameitaka mahakama ya Buganda Road Court...

READ MORE

SERIKALI IMEANZA KUJENGA DARAJA JIPYA LA MTO WAMI

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eliasi Kwandikwa, ameliambia Bunge jana (Ijumaa) Novemba 9, 2018 kuwa mkandarasi Power Construction...

READ MORE