×

Habari

Njia 5 za kupata wazo la biashara litakalokufanikisha 2019

HABARI za wakati huu, nin­gependa kuanza na msemo kuto­ka wa Swami Vibekananda aliyenena; “Take up one idea. Make that one...

READ MORE

Zitto Kabwe Ahofia Usalama Wake, Aaandika Mazito!

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema anahofia usalama wake kutokana na taarifa alizozipata, akisema kuna mpango wa kumdhuru....

READ MORE

BENKI YA NMB YATUNUKIWA TUZO YA KUWA MSHIRIKA BORA KATIKA MASUALA YA KIFEDHA AFRIKA KWA MWAKA 2018

  NMB Bank PLC ilishinda tuzo na kutajwa kuwa Mshirika Bora katika Masuala ya Kifedha Afrika kwa benki zinazofanya kazi...

READ MORE

Serikali Yazima Jaribio Kuipindua Serikali ya Bongo

  WAZIRI wa mawasiliano nchini Gabon anasema wanajeshi waaminifu kwa serikali ya Rais Ali Bongo wamefanikiwa kuzima jaribio la mapinduzi...

READ MORE

Ndugai: CAG Ajisalimishe Mwenyewe, Vinginevyo Ataletwa kwa Pingu

SPIKA wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,  kuripoti...

READ MORE

Magufuli Apiga Marufuku Viongozi wa CCM Kuitwa Waheshimiwa

Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),  ameelekeza kuwa ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa...

READ MORE

Breaking: Jeshi Laipindua Serikali ya Bongo

KUNDI la wanajeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.   Wanajeshi wenye...

READ MORE

Ishu ya Yondani, Uongozi Yanga Wakubaliana na Zahera

UONGOZI wa Yanga umemaliza Sakata lililojitokeza hivi karibuni kati ya kocha mkuu wa timu hiyo raia wa DR Congo, Mwinyi...

READ MORE

Michelle Obama Kuwania Urais wa Marekani 2020?

  MICHELLE  ambaye ni mke wa rais wa zamani wa Marekani,Barack Obama, tetesi za yeye kuwania urais mwaka 2020 nchini...

READ MORE

Wanawake Kupewa Talaka Kupitia Ujumbe wa Simu

  SHERIA mpya nchini Saudia inawalinda wanawake kutopewa talaka bila kujua, lakini kuanzia siku ya Jumapili hii, mahakama zitatakiwa kuwaelezea...

READ MORE

Mkazi wa Zanzibar aondoka na 15m/ -za Tigo Jigiftishe

    Mkazi wa Unguja kisiwani Zanzibar Abdulrazak Abdallah, ameibuka mshindi wa zawadi ya shilingi 15m/- katika Promosheni iliyomalizika ya...

READ MORE

Yanga Princess Yaongeza Ushindani Ligi ya Wanawake

WAKATI Ligi Kuu Soka ya Wanawake Tanzania Bara (SWPL) iliyoanza hivi karibuni ikipamba moto, ushindani wa ligi hiyo umezidi kushika...

READ MORE

Mwinyi Zahera amuonya Chama

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, Amemuonya kiungo wa Simba, Claytous Chama raia wa Zambia, baada ya kusema kuwa, asitarajie...

READ MORE

MAJALIWA AZINDUA X- RAY YA KIDIGITALI KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA RUVUMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezidua  X-Ray ya kidigitali kwenye Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma, Januari 5, 2019.

READ MORE

DHAHABU NA MAMILIONI YA FEDHA VYAKAMATWA MWANZA (PICHA +VIDEO)

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limekamata kilo 323.6 za Dhahabu na fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni mia tatu na...

READ MORE

Matokeo Ya darasa la nne na kidato cha pili, Yapo Hapa

  Baraza la Mitihani la Taifa (Necta)  Ijumaa Januari 4, 2019 limetangaza matokeo ya mtihani wa Taifa wa darasa la...

READ MORE

Ukitaka Kumkera AUNT, Mchokonoe kwa IYOBO

SUPASTAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel, amesema kama unataka kumjua upande wake wa pili wa shilingi, jaribu kuyafuatilia mapenzi...

READ MORE

MAJALIWA: RC IRINGA NA WENZAKE WARIPOTI OFISINI KWANGU – VIDEO

WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa amewataka baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Iringa akiwemo Mkuu wa Mkoa huo, Ally Salum Hapi...

READ MORE

Kanisa Katoliki Laanika Hadharani Jina la Mshindi wa Urais Congo

Baraza Kuu la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (Cenco), lenye ushawishi mkubwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limesema linafahamu aliyeshinda...

READ MORE

MastaBata ya NMB yaendelea kutoa fedha kwa washindi, wengine 20 walamba

    SHINDANO la Benki ya NMB kuhimiza matumizi ya ‘NMB Mastercard’ au ‘NMB Masterpass’ linalojulikana kama ‘MastaBata’, limefanyika tena...

READ MORE

WATANO WAGONGWA NA LORI WAKITOKA HARUSINI, WAFARIKI – VIDEO

AJALI mbaya ya lori la mchanga lenya namba za usajili T155 ATC kugongana na gari la abiria aina ya Toyota...

READ MORE

Jux, Mbosso wazidi kupeta takwimu za Boomplay 2018

WASANII Jux na Mbosso wa kundi la WCB wamezidi kufanya vizuri katika soko la mziki baada ya nyimbo zao kusikilizwa...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato cha pili, Yapo Hapa

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk, Charles Msonde leo Ijumaa Januari 4, 2019 amesema watahiniwa 506,235...

READ MORE

MHE. JOKATE KUMPA SHAVU BONDIA DULLA MBABE

  SERIKALI ya wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani inatarajia kutoa eneo kwa ajili ya kujenga ukumbi utakaotumika kuwapatia mazoezi ya...

READ MORE

MGALU, VULLU WAUNGA MKONO KAMPENI YA TOKOMEZA ZERO KISARAWE

  WABUNGE wa viti maalum mkoani Pwani ,Subira Mgalu na Zainab Vullu wamechangia magodoro 20 ili kupunguza changamoto ya upungufu...

READ MORE

MWILI WA MSANII BONGO WAAGWA DAR

MWILI wa aliyekuwa mwanamuziki wa Bendi ya Vijana Jazz, Abdallah Mgonahazeru umeagwa leo Ijumaa, nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar es...

READ MORE

Alichokisema Rais Magufuli Leo IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 04 Januari, 2019 ameshuhudia utiaji saini wa...

READ MORE

Ridhiwani alivyomvaa Dk Kigwangalla

MBUNGE wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete amemvaa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala akimwambia kwamba bado hajafanya kazi...

READ MORE

WAZIRI MAKAMBA AONGOZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KATIKA MJI WA SERIKALI

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.  January Makamba hii leo ameongoza watumishi wa...

READ MORE

Maamuzi ya Mahakama Kuu Kesi ya Zitto na Wenzake Vs Mwanasheria Mkuu – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo Januari 4, 2019, imeahirisha kesi No. 31 ya mwaka 2018, ambayo...

READ MORE

Mkazi wa Simiyu ashinda Milioni 56.1 za M-bet

    Mkazi Bariadi Mkoa wa Simiyu, Golesu Maduhu (23) ameshinda Sh 56,137,550 baada ya kubahatisha kwa usahihi mchezo wa...

READ MORE

Huyu Ndo Rais Aliyekula Bata la Kutupwa, Alijenga Paradiso Kijijini Kwao – Video

ALIKUWA ni mmoja wa viongozi wa Afrika waliodaiwa kuwa wanapenda kuishi maisha ya anasa na kutumia vibaya fedha za nchi...

READ MORE

MSHTUKO! MUME, MKEWE WAJIUA WASIUONE MWAKA MPYA

WAKATI watu wengi wakiwa kwenye dua kuomba Mungu awafikishe Mwaka Mpya wa 2019, kuna wengine walijiapiza kutouona kwa kuamua kuuana,...

READ MORE

SIMULIZI YA FAMILIA HII INAUMA!

FAMILIA nyingi nchini huwa zinapata shida mbalimbali lakini simulizi ya familia hii ukiisikia, inauma sana. Ni kwamba msichana Hadija Abduli...

READ MORE

Wanachokiona watoto hawa ni Mateso 100%

PWANI: FAMILIA ya Hamisi Sabiri na mkewe Zena Mari, wakazi wa Kitongoji cha Mkanzi, wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani ipo...

READ MORE

Haya Hayatasahaulika 2018!

MIAKA mitatu iliyopita wakati Rais Dk John Magufuli akitangaza baraza lake la kwanza la mawaziri mara baada ya kushika nchi...

READ MORE

Maadui wa JPM Watikisa Morogoro RPC Awafungia Kazi

  WAKATI Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ ikipambana kwa kasi kubwa kuweka miundombinu...

READ MORE

Wakili Ahoji Rufaa ya Mbowe, Kesi Yapelekwa Januari 17

  Wakati Mwenyekiti wa CHADEMA ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko...

READ MORE

Halotel Yajivunia Mafaniko 2018, Yaibuka na wateja Mil 4

  MWAKA 2018 ulikuwa mwaka mzuri kwa Kampuni ya Halotel Tanzania ikiwa moja ya Kampuni ya Mawasiliano iliyosajiliwa nchini ikifanikiwa...

READ MORE