×

Habari

Tarehe ya Hukumu ya Tido Muhando Yatajwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Januari 25, 2019,  kutoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa...

READ MORE

LUKUVI: ‘ZEGE HAILALI’ ATOA SIKU 60 WAMILIKI WA VIWANJA DAR

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ametoa siku 60 kwa wamiliki wa viwanja vilivyopimwa kuviendelezwa ili...

READ MORE

JENERALI MABEYO: MAGHALA YOTE YAMEJAA KOROSHO MTWARA

JESHI la Wananchi  Tanzania limesema liko tayari kutumia meli yake yenye uwezo wa kubeba tani 500 kusafirisha korosho hadi jijini Dar es...

READ MORE

Mfungwa Apewa Adhabu Ya Kuangalia Filamu Jela

  Jangili mmoja nchini Marekani ameamriwa kuangalia filamu ya wanyama ya Bambi kila mwezi baada ya kukutwa na hatia ya...

READ MORE

BancABC yadhamini mkutano wa TWCC Wafanyabiashara

  BancABC Tanzania ambayo ni kampuni tanzu ya Atlas Mara na ambao imeorodhesha kwenye soko la hisa la London, mwishoni...

READ MORE

Vigogo Upinzani Wajichimbia Zanzibar, Wanachokifanya Huko…

VIONGOZI mbalimbali wa vyama vya siasa vya upinzani nchini, wakiwemo Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamadi, Mjumbe wa...

READ MORE

MUHIMBILI YATOA TAMKO MTOTO ALIYEKATWA MKONO

SAKATA la mtoto Issaya Merikioni aliyechomwa sindano na daktari na kunyauka mkono kisha ukakatwa linaendelea; sasa Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

Wazambia wakata tamaa Caf

LICHA ya Nkana FC juzi Jumamosi kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, lakini mashabiki wa timu hiyo...

READ MORE

Hotuba ya Rais Magufuli Kilele cha Miaka 50 Ya BAKWATA – Video

Leo Disemba 18, 2018 Kumefanyika kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza la Waislamu nchini BAKWATA ambapo katika sherehe...

READ MORE

Mshtakiwa Adai Waziri Lukuvi Alimkaba na Kumpora Begi Lenye Pesa

Mkurugenzi wa Kiluwa Group, Mohammed Kiluwa amedai mahakamani kwamba Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, alimkaba...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ALICHOKIFANYA KWA WAISLAM LEO – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 17 Desemba, 2018 ameungana na Baraza Kuu...

READ MORE

SPORTPESA YAMWAGA ZAWADI MOSHI

Zuberi Maeda (19) mkazi wa Kiterini, Moshi, mkoani Kilimanjaro,  amebahatika kuibuka kuwa mshindi wa Bajaj wa droo ya 71 ya...

READ MORE

Lukuvi, Makonda Wacharukia Migogoro ya Ardhi Gongo la Mboto – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,William Lukuvi, yupo Mkoani Dar es Salaam akitatutua kero mbalimbali za wananchi wenye...

READ MORE

Benki ya FINCA Yatoa  mil 10 kwa wajasiriamali shindano la ‘Kuza Ofisi na FINCA’

  Bugingo Emmanuel  ameibuka mshindi wa shindano la biashara la Kuza Ofisi na FINCA na kuondoka na kiasi cha TZS...

READ MORE

TCAA YAIPA SIKU 28 FAST JEST, VINGINEVYO ITAIFUTIA LESENI

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imelipa notisi ya siku 28 Shirika la Ndege la FastJet Tanzania kabla haijalifutia leseni kwa madai...

READ MORE

Mtoto Abakwa Na Zee La Miaka 40

  Binti wa miaka mitatu yupo mahututi hospitalini nchini India baada ya kubakwa Jumapili Desemba 17.Mtuhumiwa, mwenye umri wa miaka...

READ MORE

TUTUMIE VIDEO ZA MATUKIO TUKULIPE MKWANJA CHAPCHAP!

GLOBAL TV – RIPOTA ni Youtube Channel ya Jamii, inakupa nafasi wewe mdau ku share habari na matukio ya kipekee na...

READ MORE

Salum Mwalimu Atiwa Mbaroni Iringa

NAIBU Katibu Mkuu wa CHADEMA (Zanzibar), Salum Mwalimu, leo Jumapili, Desemba 16, 2018 amekamatwa na polisi Mafinga mkoani Iringa akiwa...

READ MORE

NBC yatoa elimu ya kifedha kwa mama na baba lishe soko la fer

    BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) Juzi ilikabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi kwa Mtendaji wa Soko la Samaki la...

READ MORE

SHANGWE ZA WASAFI FESTIVAL MWANZA USIPIME CCM KIRUMBA! (Picha +Video)

USIKU wa kuamkia leo Tamasha la Wasafi Festival lilofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza...

READ MORE

MSIMAMO WA GLOBAL PUBLISHERS SAKATA LA BUNGE LA ULAYA

TUMECHAGUA KUSIMAMA NA RAIS WETU Tumesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali...

READ MORE

Serikali yatoa siku mbili kwa Wamiliki wa viwanda vya kubangua Korosho

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda amewapa siku mbili wamiliki wa viwanda vya ubanguaji korosho kupitia mikataba waliyopewa...

READ MORE

ALICHOFANYIWA MTOTO HUYU… INAUMA MPAKA BASI

DAR ES SALAAM: AMA kweli kesho si siku ya kuitegemea sana; kwa sababu hujui kitakachotokea; mtoto Issaya Merikion ‘2’ mkazi...

READ MORE

AFUNGA NDOA NA WAKE WAWILI KWA MPIGO

  Morani mmoja katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya, Tom Mako, maarufu kama Junior, (27) ameacha watu midomo wazi baada ya...

READ MORE

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 – DAR

UTANGULIZI FINAL 2018.pdf SELECTION DSM 2019.htm TAARIFA KWA VYOMBO HABARI SELECTION 2019.docx

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2019 – Kilimanjaro

Machaguo Moshi DC Wavulana PLSE 2019.pdf Machaguo Wavulana Moshi MC 2019.pdf Machaguo Wavulana Rombo DC PLSE 2019.pdf Machaguo Siha-PLSE 2019-Wavulana.pdf...

READ MORE

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 – ARUSHA

Tazama Hapa  Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 Mkoa wa Arusha. Bonyeza Mkoa unaotaka kuona Majina hapo...

READ MORE

NAIBU WAZIRI KILIMO ATEMBELEA MAGHALA YA KOROSHO PWANI

…Mgumba akizungumza na viongozi wa vyama vya ushirika wa Mkoa wa Pwani.    Naibu Waziri  wa Kilimo, Mhe. Omary Mgumba...

READ MORE

WAZIRI ATAKA WALIOKOPA SACCOS WALIPE NDANI YA MIAKA MITATU

WAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga,  ameagiza kurejeshwa ndani ya miezi mitatu madeni yote yaliyokopwa kwenye vyama vya akiba na mikopo...

READ MORE

 MAKONDA: Picha za AMBER RUTTY Zinaongeza Joto DSM – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wasanii wote wenye mashabiki wengi kwenye mitandao ya kijamii pamoja...

READ MORE

MPANGO: Misaada ya Wafadhili Imepungua, Nchi Inapitia Kipindi Kigumu

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema nchi inapita kwenye kipindi kigumu kutokana na wafadhili kupunguza misaada na...

READ MORE

NISAIDIENI NIKATWE MGUU

DAR ES SALAAM: NI mtihani mzito! Peter Stewart (31), mkazi wa Ubungo – Maziwa, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye...

READ MORE

Asimulia Alivyomwagiwa TINDIKALI na MKE Mwenza – Video

INASIKITISHA SANA! MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Vumilia Sankemwa (32) amefanyiwa ukatili wa aina yake na mke mwenzake katika Kata ya...

READ MORE

BENKI YAFAFANUA MBUZI KUFUNGWA KWENYE TAIRI YA GARI LA SERIKALI

Benki ya Maendeleo (TIB) imetolea ufafanuzi kuhusu picha ya gari inayosambaa mtandaoni ikionyesha gari hiyo imebeba mbuzi aliyefungwa kwenye tairi...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Chanli ya Utalii ‘Tanzania Safari Channel’ – Video

Leo Desemba 15, 2018, Serikali kupitia wizara ya Maliasili na Utalii inazindua Channel ya Utalii inayoitwa ‘TANZANIA SAFARI CHANNEL’. Uzinduzin...

READ MORE

Lindi: Mvua, Upepo Mkali Vyabomoa Nyumba 157

NYUMBA 157 yakiwamo majengo ya serikali zimebomolewa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha juzi Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi....

READ MORE

NDOA YA PILI YA MCHUNGAJI ILIYOTIBULIWA KANISANI… MAPYA YAIBUKA!

DAR ES SALAAM: Lile sakata la Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Assemblies of God la Mlandizi, Julius Andrew aliyenaswa...

READ MORE

MKE: NIMEBAKWA, NIMETOBOLEWA MACHO! – VIDEO

SHINYANGA unaweza kujiuliza ni unyama wa kiwango gani wa mtu kumbaka mwanamke, halafu kama dhambi hiyo haitoshi anamuachia na kilema...

READ MORE