×

Habari

MTANZANIA AWEKA REKODI, ASHINDA URAIS CHUO KIKUU URUSI

UMOJA WA WANAFUNZI NA VIJANA WA KIAFRIKA CHUO KIKUU CHA URAFIKI CHA URUSI (PEOPLES’ FRIENDSHIP UNIVERSITY OF RUSSIA) AU PATRICE...

READ MORE

MAGUFULI AWACHANA MWIJAGE, TIZEBA KISA CHA KUWATUMBUA – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha Mawaziri wawili na Naibu Mawaziri wanne ambao aliwateua...

READ MORE

Amber Rutty, Mpenzi Wake, Wakosa Wadhamini, Warudishwa Rumande

VIDEO vixen wa Bongo, Nascat Abubakary maarufu kwa jina la Amber Rutty na mpenzi wake, Said Bakari Mtopari,  wanaoshtakiwa kwa...

READ MORE

BASATA Yaufungia Wimbo wa Mwanza wa Rayvanny, Diamond – VIDEO

BARAZA la Sanaa Tanzania (Basata) leo Jumatatu, Novemba 12,2018, limetangaza kuufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny kwa maelezo kuwa unahamasisha masuala...

READ MORE

Mauaji Kigoma: Lugola Atoa Maagizo kwa IGP Sirro

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro kuwaondoa katika madaraka...

READ MORE

AJALI: Naibu Waziri Nditie Anusurika Kifo – Video

Naibu Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye jana Jumapili Novemba 11, alinusurika kifo baada kupata ajali eneo la...

READ MORE

Aliyewasafirisha Watekaji wa Mo Dewji, Asimulia A-Z Ilivyokuwa!! – Video

Nyumba inamodaiwa kufichwa Mohamed Dewji mara baada ya kutekwa Okotoba 11, 2018 katika Hoteli ya Colosseum imegundulika na imeoneshwa leo...

READ MORE

Kazi Imeanza! Manji Athibitisha Kurejea Rasmi Yanga

Baada ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuitaka Yanga kuitisha uchaguzi wake kwa ajili...

READ MORE

Umati Wafurika Shoo ya Bobi Wine Licha ya Manyanyaso ya Polisi

MAELFU ya watu walifurika katika ufukwe wa Kyarenga jana (Jumamosi) kushuhudia shoo iliyofanywa na mwanamuziki wa Uganda aliyejikita pia katika...

READ MORE

MAMA WA AMBER RUTTY AVAMIWA AUAWA !

DAR ES SALAAM: Majanga juu ya majanga! Ndivyo unavyoweza kusema, wakati msanii wa Bongo Fleva, Nascat Abubakary ‘Amber Rutty’ akiwa...

READ MORE

Kidato cha Pili Kuanza Mitihani wa Taifa Kesho Jumatatu – Video

Watahiniwa 544,866 wa shule za sekondari 4,725 wamesajiliwa kufanya mtihani wa upimaji wa kitaifa kidato cha pili kuanzia kesho Novemba...

READ MORE

TANZANIA KUKUMBUKA WALIOKUFA VITA YA DUNIA

TANZANIA inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 100 ya Mashujaa waliokufa kwenye Vita Kuu ya Kwanza ya...

READ MORE

SIMANZI! MUME AMUUA MKEWE GESTI

SIMANZI! Mfanyabiasha wa matairi eneo la Temeke Chang’ombe jijini Dar, Mussa Kalavya anashikiliwa na jeshi la polisi akiwa hoi Hospitali...

READ MORE

NYUMBA ALIMOFICHWA ‘MO’ YAFAHAMIKA, NI MBEZI BEACH DAR

NYUMBA inayodaiwa kuwa ndimo alifichwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’ baada ya kutekwa na watu ambao bado hawajajulikana hadi leo ipo...

READ MORE

MAMBOSASA: Mo Dewji Alifichwa Hapa Baada ya Kutekwa! – VIDEO

 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ameonyesha nyumba anayodaiwa kuhifadhiwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’...

READ MORE

MREMBO SUDAN AOLEWA KWA NG’OMBE 520, TOYOTA 3 KALI

HATIMAYE familia ya mrembo wa Sudan ya Kusini aliyekuwa anagombewa na waposaji kibao walioahidi kutoa mahali kubwa zisizo za kawaida,...

READ MORE

PUMA YATUMIA KLABU YA WANAFUNZI KUTOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

KLABU ya Usalama barabarani ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge wametoa elimu ya usalama wa barabarani kwa madereva wa...

READ MORE

Maalim Seif Afuguka: Mkataba wa Mafuta, Gesi ni Batili – VIDEO

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa mafuta na...

READ MORE

Rwanda Yataka Rwigara, Mama’ke Wafungwe Miaka 22

UPANDE wa mashitaka nchini Rwanda umeitaka Mahakama Kuu ya Kigali kutoa adhabu ya kifungo cha miaka 22 jela kwa Diane...

READ MORE

BREAKING: JPM AWATUMBUA TIZEBA, MWIJAGE, AMTEUA WAITARA

Rais Dkt. John Magufuli leo Jumamosi, Novemba 10, 2018 amefanya mabadiliko madogo ya Baraza lake la Mawaziri ambapo ametengua uteuzi...

READ MORE

MWILI WA MAMA MERCY MENGI WAZIKWA – PICHAZ

Mwili wa mmoja wa waanzilishi wa makampuni ya IPP, Mama Mercy Anna Mengi, umezikwa leo eneo la Wari Machame Moshi,...

READ MORE

SAMIA, MGHWIRA WAUAGA MWILI WA ANNA MENGI – VIDEO

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, ameungana na waombolezaji katika ibada ya kuuaga mwili Mercy...

READ MORE

BREAKING: HASHIM RUNGWE AFUNGUKIA USHOGA! – VIDEO

Mwenyekiti wa CHAUMA, Hashimu Rungwe amefunguka kuhusu masuala mbalimbali nchini ambayo yametokea kwa kpindi cha majuma kadhaa nyuma ikiwemo sakata...

READ MORE

JPM AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOSOMBA KOROSHO “SITIKISIKI HATA IWEJE” – VIDEO

Rais John Magufuli leo Jumamosi, Novemba 10, 2018 amekagua magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Usafirishaji cha...

READ MORE

Mhadhiri Makerere Agomea Dhamana, Ataka Museveni Afike Mahakamani

MHADHIRI katika idara ya utafiti ya Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda, Dr Stella Nyanzi, ameitaka mahakama ya Buganda Road Court...

READ MORE

SERIKALI IMEANZA KUJENGA DARAJA JIPYA LA MTO WAMI

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eliasi Kwandikwa, ameliambia Bunge jana (Ijumaa) Novemba 9, 2018 kuwa mkandarasi Power Construction...

READ MORE

Sakata la Ushoga: Benki ya Dunia Kusitisha Ziara Zake Tanzania

BENKI ya Dunia  imeungana na nchi kadhaa duniani zinazoishutumu Tanzania kuhusiana na kile kilichotajwa kuwa ni kuwadhalilisha mashoga ambapo imeamua...

READ MORE

NMB YAFANYA KONGAMANO LA MAWAKALA WAKE

BENKI ya NMB leo imefanya kongamano la mafunzo kwa mawakala mbalimbali wanaotoa huduma za kibenki kwa wateja wa benki hiyo,...

READ MORE

SAMATTA, DIAMOND, MAJUTO NI DARASA TOSHA!

 HAKUNA mtu ambaye anakataa kwamba pesa sasa hivi imekuwa ngumu kupatikana. Bila kufanya kazi kwa juhudi na maarifa utaishia kusema,...

READ MORE

HOTEL YA MAREHEMU ABDALLAH KIGODA YATEKETEA KWA MOTO

HOTELI ya aliyekua Mbunge wa Handeni mkoani Tanga marehemu Abdalah Kigoda inayoitwa Bwawani imeteketea kwa moto leo Ijumaa, Novemba 9,...

READ MORE

BABA MZAZI AFICHUA MAZITO YA AMBER RUTTY – VIDEO

AR ES SALAAM: Baba mzazi wa mwanamitindo Nascat Abukary ‘Amber Rutty’, Abubakary Abdul Milenga, mkazi wa Bomba Mbili Songea, ameibuka...

READ MORE

MUSUKUMA Ataka Bangi Iuzwe, ‘Awachamba’ Maprofesa Mdahalo wa JPM- VIDEO

Mbunge Joseph Kasheku ‘Msukuma’ akichangia bungeni Dodoma, leo Novemba 9, ameishauri serikali iruhusu kilimo cha bangi, awataka watalamu na watafiti...

READ MORE

LUGOLA: VIUNGO WANAVYOTUMIA MASHOGA VINA KAZI MAALUM – VIDEO

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameingilia kati suala la ampenzi ya jinsia moja ambayo hivi karibuni sakata hilo...

READ MORE

Jokate Mwegelo Awapandisha Ndege Madenti – VIDEO

KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Energy (T) LTD kwa kushirikiana na Kampuni ya Air Tanzania Limited imezindua mradi unaojulikana kama...

READ MORE

BANDA, HIMID HALI TETE KLABUNI KWAO

WALINZI wawili tegemeo wa Taifa Stars, Himid Mao na Abdi Banda timu zao ziko kwenye hali mbaya kwenye Ligi. Banda...

READ MORE

MCHEPUKO AUA MKE KWENYE FUMANIZI DAR

MWANAMKE Hajira Ramadhani (38) mkazi wa Mbagala, wilayani Temeke Dar, ameaga dunia; kilichomtoa uhai ni tukio la fumanizi.  Ijumaa limedokezwa na...

READ MORE

SIMBA YAPANGWA NA WABABE WA SWAZILAND

Klabu ya Simba imepangiwa kucheza mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Mbambane...

READ MORE

KABUDI: ZITTO ‘UMETUMWA?’ MTEGO WAKO SITOUINGIA KAMWE – VIDEO

Jumla ya mashauri 13 yamefunguliwa nje ya nchi dhidi ya Serikali tangu Novemba mwaka 2015 huku madai kwenye mashauri hayo...

READ MORE

TCU Yafuta Usajili wa Chuo Kikuu, Yaamuru Wanafunzi Wahamishwe – Video

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefuta usajili wa kituo cha Chuo Kikuu Kishiriki cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo)...

READ MORE

BREAKING: Serikali Yatoa Siku 4 kwa Wanunuzi wa Korosho – Video

SERIKALI imetoa siku nne kwa wanunuzi wote 35 waliojiandikisha kununua korosho wawe wamepeleka barua katika Ofisi ya Waziri Mkuu wakionesha ...

READ MORE