×

Habari

Mwanamke ‘Mtanzania’ Ateuliwa Ubunge Pakistan, Avunja Rekodi

MWANAMKE mwenye asili ya Tanzania, Tanzeela Qambrania (39) amekuwa wa kwanza wa asili ya Afrika kuteuliwa kuwa mbunge nchini Pakistan, na...

READ MORE

TCDC YAELEZEA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UZAZI WA MPANGO DUNIANI

  KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Uzazi wa Mpango Duniani, Meneja wa Utekelezaji wa Miradi wa Asasi ya Tanzania Communication...

READ MORE

Sirro Afanya Mabadiliko Jeshi la Polisi, Amchomoa Msangi, Mwanza

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro,  amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mwanza na...

READ MORE

FAMILIA YA WATATU, 35 WAFARIKI AJALI YA DARAJA KUVUNJIKA

                               Enzi za wanafamilia waliofariki  wakati...

READ MORE

Valencia Achukizwa na Rafu Mbaya Aliyochezewa Mtanzania – Video

BEKI wa Manchester United ya Uingereza, Antonio Valencia ameonyesha hisia zake juu ya kitendo cha mchezaji wa timu ya taifa ya...

READ MORE

Kikwete Amjulia Hali Kigwangalla Muhimbili – Pichaz

  Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya tarehe...

READ MORE

MAKAMPUNI MAKUBWA, YENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI

1. Industrial and Commercial Bank of China Benki hii ni kubwa na yenye uwezo zaidi duniani ikijulikana kwa kifupi ICBC...

READ MORE

Mara: Watano Wafariki Dereva Ajalini Akikimbia Askari

WATU watano wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa mkoani Mara baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Busurwa mwambao...

READ MORE

Mstaafu JWTZ Mbaroni Akituhumiwa Kukodisha Silaha kwa Majambazi

ASKARI mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) anashikiliawa na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukodisha...

READ MORE

ZAMU YA LOWASSA KURUDI CCM!

DAR ES SALAAM: Tufani ya Chama Cha Mapin­duzi (CCM) kuwazoa wapin­zani bado inapiga. Duru za kisiasa zinaonesha kuwa sasa anayesubiriwa...

READ MORE

Bagamoyo: Meli ya Yawaka Moto Bandarini

 MELI mali ya kampuni ya Ocean Enterprises Limited ya Zanzibar imeungua moto wakati ikiwa imeegeshwa kwenye ufukwe ya Bahari ya...

READ MORE

Baada ya Dereva Wake Kuuawa, Bobi Wine Akamatwa

Mbunge nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu kama Boni Wine amekamatwa na polisi saa kadhaa baada ya dereva wake kuuawa kwa...

READ MORE

Maamuzi ya Basata Kuhusu Rich Mavoko Vs Diamond – Video

KUFUATIA sakata linayoendelea kati ya Mwanamuziki Rich Mavoko na Lebo ya WCB inayoongozwa na Diamond Platnumz, suala hilo limetua mikononi...

READ MORE

Edwin Van Der Sar Mbioni Kutangazwa Mkurugenzi Man United

Klabu ya Man United iko katika mpango wa kumtangaza Mkurugenzi wa michezo wa timu hiyo baada ya klabu hiyo kushindwa...

READ MORE

Kalanga, Waitara na Mzava Wapitishwa Kugombea Ubunge CCM

  Kikao cha Kamati Kuu Maalum cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya uteuzi wa wagombea wakatika uchaguzi mdogo wa ubunge:...

READ MORE

Mwakyembe Afunguka Channel 10, Clouds TV, ITV, Kuondolewa Azam TV

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwanyembe, amezitaka kampuni za visimbuzi za DSTV, Azam na Zuku kwenda kwenda...

READ MORE

BREAKING: CCM Yakanusha Kumpitisha Kalanga Monduli – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Loata Sanare amesema kuwa chama hicho bado hakijampitisha Julius Kalanga (aliyetoka...

READ MORE

Hali ya Kingwalla Yazidi Kuimarika – Picha

HALI ya Waziri wa Maliasili na Utali, Dkt. Hamisi Andrea Kigwangalla imeendelea kuimarika vizuri kutokana na matibabu anayopatiwa katika Hospitali...

READ MORE

USIKOSE KIPINDI KIPYA, ONLINE TUITION GLOBAL TV, JUMANNE SAA 8 MCHANA

Global TV Online, kituo chako bora cha runinga ya mtandaoni, kinazidi kukudondoshea vitu exclusive ambavyo huwezi kuvipata sehemu nyingine yoyote...

READ MORE

Dereva wa Mbunge Auawa kwa Risasi Kwenye Kampeni

Mbunge wa Jimbo la Kyaddondo Mashariki nchini Uganda ambaye pia ni msanii wa muziki nchini humo, Robert Kyagulanyi Ssentamu maarufu...

READ MORE

GLOBAL TV YAPATA SHAVU MKUTANO WA KIMATAIFA

GLOBAL TV ONLINE ambayo ni televisheni namba moja ya mtandao nchini Tanzania, imepata shavu baada kualikwa kushiriki katika semina ya...

READ MORE

DK BASHIRU: Nimemwagiza Lugola Anipe Maelezo, Haiwezekani! – Video

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Bashiru Ally, amesema amempa maagizo Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ampe...

READ MORE

VIGOGO CHADEMA WAOMBA KESI ISIMAME KUNGOJEA RUFAA

VIGOGO  tisa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe wamewasilisha maombi  ya kutaka kesi hiyo...

READ MORE

AANGUSHA BONGE LA PATI KUWASUTA MASHOGA ZAKE

DAR ES SALAAM: Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Rehema Mohammed Mkome ‘Rais wa Charambe’, mkazi wa Mbagala jijini Dar...

READ MORE

Prof. Chiza Akabidhiwa Hati ya Ushindi Ubunge Buyungu

MBUNGE mteule wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani Kigoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Prof. Christopher Chiza Kajoro aamepokea hati...

READ MORE

BREAKING: MBUNGE ZUBERI WA CUF AHAMIA CCM – VIDEO

Mbunge wa Liwale, Lindi kwa tiketi ya CUF, Zuberi Kuchauka ametangaza kukihama chama hicho leo Agosti 13, 2018 na kurejea...

READ MORE

KATIBU MKUU CCM: WANANCHI WAMETUELEWA – VIDEO

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema wananchi wamezidi kukiamini na kukielewa ndiyo maana kimekuwa kikiibuka na ushindi katika chaguzi mbalimbali ambazo...

READ MORE

Orodha ya Wakurugenzi Walioteuliwa na Magufuli Leo – Video

RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko ya wakurugenzi wa wilaya, manispaa, miji na majiji na ambapo ameteua wakurugwenzi wapya 41 na...

READ MORE

BREAKING: Madiwani Wawili CUF Wahamia CCM – Video

Chama Cha Wananchi (CUF) kimeendelea kupata pigo, baada ya madiwani wake wawili kujivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama...

READ MORE

Breaking News: Prof. Chiza (CCM) Aibuka Kidedea Ubunge Buyungu

ALIYEKUWA mgombea Ubunge wa Jimbo la Buyungu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Prof. Christopher Chiza ameibuka mshindi katika...

READ MORE

NAPE: ZITTO WAJUA NAKUHESHIMU?

KUFUATIA Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kuweka mtandaoni matokeo ya awali ya Ubunge wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani...

READ MORE

Duuh Coastal ya Kiba Siyo kwa Mikwara Hii Aise

UONGOZI wa Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ umesema kuwa malengo yao msimu huu katika Ligi Kuu Bara ni kushinda kila...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATATU, AGOSTI 13, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Agosti 13, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

TAARIFA YA MULTICHOICE KUONDOLEWA KWA CHANELI ZA UMMA

Katika kutekeleza maagizo ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) na agizo la Waziri wa ujenzi na Uchukuzi na...

READ MORE

CHADEMA WAJITOA UCHAGUZI SONGORO JIJINI ARUSHA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo mchana Jumapili Agosti 12, 2018 wametangaza kujitoa katika uchaguzi kata ya Songoro wilayani...

READ MORE

KAMANDA ARUSHA ATHIBITISHA KUJERUHIWA KWA KADA WA CCM

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikiliza mmoja wa wanachama wa Chadema kwa tuhuma za kumjeruhi kada wa CCM aliyefahamika...

READ MORE

MGOMBEA UDIWANI CHADEMA ASHAMBULIWA (Picha +Video)

Mgombea udiwani kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Kaloleni jijini Arusha, Boniface Kimaro ameshambuliwa na watu wasiojulikana...

READ MORE

Majaliwa Azindua Uwanja wa Ruangwa

…Akisalimiana na wachezaji wa Simba. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Andrea Chezue (kushoto) akiwa Msemaji wa Simba Haji...

READ MORE

Mwalimu Mkuu Akamatwa Akimfanyia Mtihani Mwanajeshi

Mwalimu mkuu wa shule nchini Burundi amekamatwa kwa kudanganya kuwa yeye ni mwanafunzi akiwa na lengo la kumfanyia mtihani mtu...

READ MORE

MTOTO AFA AKIMUAGA MAMA YAKE!

DAR ES SALAAM: AMA kweli hakuna ajuaye saa ya kufa kwake; anayebisha aungane na Risasi Jumamosi katika tukio hili la...

READ MORE