×

Habari

Mtoto Miaka 5 Ampeleka Polisi Baba Yake Kisa Shamba – Video

MTOTO mmoja mwenye umri wa miaka mitano amemfikisha katika Kituo cha Polisi Ngara, mkoani Kagera baba yake mzazi baada ya...

READ MORE

KUBENEA: TUMEFUKUZWA NA MKUU WA WILAYA, HATUNA OFISI WILAYANI

  Mbunge wa Ubungo, Saed kubenea amesema Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi kumufukuza kwenye ofisi yake ya ubunge...

READ MORE

GLOBAL RIPOTA VIDEO: Ajali Mbaya Yafunga Barabara Maeneo ya Mwananchi

 Ajali imetokea leo karibu na Ofisi ya Mwananchi na kufunga barabara baada ya lori lilokuwa limebeba mbao kuacha njia...

READ MORE

BABU WA MIAKA 79 ALIYEKUWA DARASA LA KWANZA AKACHA SHULE

  NDOTO ya elimu ya Mzee Nyamohanga Suguta mwenye umri wa Miaka 79 ambaye mwaka jana alianza masomo ya darasa...

READ MORE

Kaburu Azikwa Kigoma

  Mwili wa Mwenyekiti Mstaafu wa hama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma, Dkt.Walid Amani Kaburu umezikwa leo nyumbani kwake...

READ MORE

Makonda: Polisi Iringa Mleteni Abdul Nondo Dar

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda amewataka Polisi wa Mkoa wa Iringa wakimalizana na Mwenyekiti wa Mtandao wa...

READ MORE

Polisi: Atakayeandamana Asitulaumu

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa kikundi kinachohamasisha maandamano kupitia mtandao wa Telegram na kusema litafanya kila liwezekanalo kisheria kukizuia....

READ MORE

Mwigulu Afungukia Maiti Zilizookotwa Coco Beach

Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba amezungumzia maiti zinazookotwa baharini na kusema kuwa kama zingekuwa za Watanzania basi...

READ MORE

Rais Kenyatta, Odinga Waahidi Kuwaunganisha Wakenya

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amekutana na kiongozi wa muungano wa upinzani nchini humo, Raila Odinga, katika ofisi yake ya...

READ MORE

JPM: Kama Wametumwa na Baba Zao Kuandamana, Watasimulia – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John  Magufuli amevionya vyama vya siasa na wananchi ambao wamepanga kufanya maandamo...

READ MORE

Daraja la Kivule Lakatika Tena – Video

Daraja la Kivule jijini Dar es Salaam limekatika tena kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini. Popote ulipo unapokutana na...

READ MORE

AJALI MBEYA: Wanne Wafariki Dunia, 20 Wajeruhiwa Vibaya

  MBEYA: Watu wanne wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Super Rojas...

READ MORE

Trump Akubali Kukutana na Kim Jong Un

RAIS wa Marekani, Donald Trump amekubali kukutana na Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un baada ya kuahidi kusitisha mpango...

READ MORE

MAMA AKUTWA AMEKUFA KORIDONI AKIWA MTUPU!

  MOROGORO: Hiki ni kifo tata! Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Vicky Urambo, mkazi wa Mtaa wa Kiswanya A,...

READ MORE

Hussein Bashe Afunguka LIVE Kuhusu Mauaji Yanayoendelea – Video

AKIZUNGUMZA na waandishi wa habari leo, Machi 8, 2018, Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe amesema.   “Wanaosema Bunge halina...

READ MORE

ALIYEDAIWA KUUA MKE, MTOTO KWA JEMBE HUYU HAPA KORTINI!

  DAR ES SALAAM: MKAZI wa Goba Matosa, Ammy Lukule (49), aliyedaiwa kumuua mkewe, shemeji yake na mtoto, amewahenyesha askari...

READ MORE

“JPM Nisaidie, Nasubiri Kifo Tu!” – Mama Shimeda (Pichaz + Video)

  DAR ES SALAAM: MKAZI wa Kibamba Kwembe Jijini Dar, Beatrice Shimeda (54) analia na mateso ya mguu wake tangu...

READ MORE

MFUMUKO WA BEI FEBRUARI 2018 WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 4.1

  OFISI  ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei wa taifa kwa mwezi  Februari 2018, umeongezeka kidogo hadi...

READ MORE

UTAJIRI WA TRUMP WAPUNGUA KWA DOLA MIL 500

  UTAJIRI  wa Rais wa Marekani, Donald Trump, umeporomoka mwaka huu baada ya kupungua kwa Dola milioni 500 ambazo ni...

READ MORE

Mbunge Adai Kutekwa na Kuuawa ni Jambo la Kawaida

  MBUNGE wa Singida Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Elibariki Kingu amedai kuwa vitendo vya watu kutekwa na kuuawa...

READ MORE

Polisi Wafungua Jalada Kuchunguza Iwapo Nondo Alitekwa au La! – Video

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limefungua kuchunguza ili kubaini kama ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP),...

READ MORE

Wakali Wanne wa Kimataifa Waitwa Taifa Stars

KOCHA wa Timu ya Taifa ya Soka Tanzania (Taifa Stars), Salum Mayanga, leo Machi 8, ametaja majina ya wachezaji 23...

READ MORE

Manyara: Mbunge CCM Ahojiwa Sentro kwa Amri ya DC

MBUNGE wa Jimbo la Hangang kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Mary Nagu amehojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi kwa...

READ MORE

Breaking News: Abdul Nondo Apatikana Mafinga Akiwa Ametupwa

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo, ambaye pia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...

READ MORE

Sharobaro Yamkuta Mazito Muhimbili!

SHAROBARO mmoja ambaye jina lake halikujulikana mara moja wikiendi iliyopita alikutwa na mazito ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili...

READ MORE

Mtoto wa Mchungaji Apewa Kipigo Kanisani, Apasuliwa Kichwa

  DUNIA inatisha! Katika hali ya kushangaza mtoto wa mchungaji wa Kanisa la Emmaus Bible Church Pentecost lililopo Mlandizi, Pwani,...

READ MORE

MUME WA MJAMZITO ATEKWA USIKU! -VIDEO

  BADO pepo mchafu wa utekaji yupo kazini hivyo anahitaji kukemewa! Wakati mke wa Mwandishi wa Habari wa Kujitegemea wa...

READ MORE

Utekaji na Mauaji; Nape Ataka Bashe Aungwe Mkono

  MBUNGE wa Jimbo la Mtama (CCM), Nape Nnauye leo Machi 07, 2018 amewataka wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

KAMATI YA USHAURI MKOA WA DAR YAMPONGEZA MAKONDA

  IKAO cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) kimepongeza kazi inayofanywa na Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

WATUHUMIWA SABA WIZI WA KOROSHO MAHAKAMANI

WATUHUMIWA saba raia  wa Zambia, leo Machi 7,  wamepandishwa katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na tuhuma za kula...

READ MORE

Mwenyekiti Mtandao wa Wanafunzi Hajulikani Alipo

TAARIFA zilizoenea mchana huu zinadai kuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo, ambaye pia ni mwanafunzi wa...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Mbunge Dkt. Kaburu

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa masikitizo kifo cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

Zantel Yakabidhi Zawadi Kampeni Yake Ya ‘Jero Yako Tu’

ZANTEL leo imekabidhi gari aina ya Toyota Suzuki Carry kwa mshindi wa kwanza wa zawadi kuu baada ya mshindi huyo...

READ MORE

BODI YA BARABARA DAR YAANZA VIKAO KUJADILI KUBORESHA MIUNDOMBINU

  BODI  ya barabara ya Mkoa wa Dar es Salaam, inayoongozwa na Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda ambaye ni Mwenyekiti...

READ MORE

Pugu Wampongeza Meya Dar Kwa Huduma ya Maji  

    WANANCHI wa Kata ya Pugu, Mtaa wa Mustafa, wamempongeza Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya...

READ MORE

Freeman Mbowe Aruhusiwa Kutoka Hospitali

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) ameruhusiwa kutoka hospitali hapo...

READ MORE

Bashe Aibua Mjadala Matukio Yanayotishia Umoja, Usalama Nchini

Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe leo amewasilisha barua ya  hoja binafsi kuunda Kamati ya Bunge ili ichunguze matukio mbalimbali...

READ MORE

Ajali Mbaya Yatokea Kimara Mwisho Dar (Video)

Ajali mbaya imetokea Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam ambapo gari aina aya Toyota Noah namba T.871 BTU iliyokuwa ikitokea...

READ MORE

BREAKING NEWS: MOTO WAUNGUZA SOKO MBAGALA – VIDEO

Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi...

READ MORE