×

Habari

Breaking News: Masogange Afariki Dunia

Video queen maarufu nchini, Agnes Gerald ‘Masogange’ amefariki dunia hivi punde (leo Aprili 20, 2018) katika Kituo cha Huduma za...

READ MORE

Muuaji Akosekana, DPP Afunga Jalada Mauaji ya Akwilina

MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amefunga rasmi jalada la kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha...

READ MORE

Nandy Akiwasili Sentro kwa Tuhuma za Kutoa Video Chafu

Mwanadada Faustina Charles ‘Nandy’ leo ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central) kufuatia kesi ya kuposti video chafu kwenye mitandao...

READ MORE

CHADEMA: Siyo Trilioni 1.5 Tu, Kuna Fedha Kibao ‘Zimepigwa’ – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanya mkutano na waandishi wa habari na kuudai kwamba ukiachilia mbali kiwango za zaidi...

READ MORE

AKUTWA LIVE CHUMBANI NA MUME WA MTU, KANGA MOJA – Video

  Amenaswa! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwanamke mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja kukutwa chumbani kwa mume...

READ MORE

Magufuli Afunguka Kuhusu Madai ya Kupotea kwa Sh. Trilioni 1.5 – Video

  Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa katika ripoti ambayo alipokea kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...

READ MORE

VIONGOZI CHADEMA WAWASILI SENTRO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Vincent Mashinji na viongozi wenzake ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi...

READ MORE

BUNGENI: KAULI RASMI YA SERIKALI KUHUSU TRILIONI 1.5 – VIDEO

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hakuna fedha taslimu kiasi cha shilingi trilioni 1.51 iliyopotea au...

READ MORE

BUNGE: Mkutano wa 11, Kipindi cha Maswali na Majibu – Video

Vikao vya Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vimeendelea Mjini Dodoma ambapo Naibu Waziri wa Uchukuzi Ujenzi...

READ MORE

Mfalme Mswati III Abadili Jina la Nchi Yake

MFALME Mswati wa III wa Swaziland amebadilisha jina rasmi la taifa hilo kutoka Swaziland na kuliita Ufalme wa eSwatini (The...

READ MORE

Baada ya Kuibiwa, Siwa ya Bunge Yakutwa Kwenye Flyover – Video

Baada ya watu wenye silaha kuvamia Bunge la Senate la Nigeria na kuiba siwa juzi, hatimaye imekutwa chini ya Barabara ya...

READ MORE

Binti Alia: Shemeji Kanilewesha, Kanibaka!

ARUSHA: Binti mwenye umri wa miaka 14 (jina tunalihifadhi), mkazi wa Njiro Kwa Msola Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha,...

READ MORE

Sakata la Kutelekezwa Watoto, Wabunge Wamjia Juu RC Makonda – Video

Mbunge wa Ulanga Gudluck Mlinga ameitaka Wizara ya Katiba na Sheria kutoa ufafanuzi wa kisheria kuhusiana na zoezi linaloendeshwa na...

READ MORE

MOTO WAZUKA KIWANDA CHA MAGODORO DAR

Kiwanda cha Magodoro cha Ocean Kiss kilichopo Tabata-Matumbi Jijini Dar leo asubuhi kilizua taharuki baada ya moto kuzuka sehemu ya...

READ MORE

ALIKIBA AFUNGUKA SABABU YA KUOA MREMBO WA KENYA – VIDEO

STAA wa Bongo Fleva, Alikiba ‘King Kiba‘ amefunguka na kusema kwamba, yeye alinusa tu na akajikuta amempenda binti mrembo Amina...

READ MORE

Diamond na Nandy Waitwa TCRA Kuhojiwa

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na  msanii Faustina Charles ‘Nandy’ leo wamefika Mamlaka ya Mawasiliano kuhojiwa kuhusu video zao...

READ MORE

KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI NA MATUKIO YOTE KIGANJANI MWAKO

KUWA wa kwanza kupata habari zote za michezo wakati wowote zinapotokea, Tuma SPORTS kwenda 15599 utapata habari za kitaifa na...

READ MORE

BABU SEYA, FAMILIA YAKE WATINGA BUNGENI – PICHA

  MWANAMUZIKI nguli wa dansi, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na watoto wake ambao ni Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ na Francis...

READ MORE

Breaking News: Kiwanda Cha Magodoro cha Ocean Kinaungua (Video)

Kiwanda cha Magodoro cha Ocean kilichopo Tabata Matumbi jijini Dar kinaungua muda huu, chanzo cha moto huo hakijajulikana. Breaking News:...

READ MORE

MSUKUMA: MLISEMA WAANDAMANE MBEBE MAJENEZA 200 – VIDEO

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma, amemuomba Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi, kupeleka bungeni muswada  kubadilisha...

READ MORE

MADAI YA KUTELEKEZA WATOTO WAWILI, MUME AMGEUZIA KIBAO MKE

WAKATI kasheshe la wanaume kutelekeza wanawake na watoto waliozaa nao likiendelea kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul...

READ MORE

MAUMIVU WANAYOPATA WATOTO HAWA… NI ZAIDI YA MATESO

WATOTO wawili wanaogua maradhi tofauti wapo katika mateso makubwa na wanahitaji msaada wa wasamaria wema ili waweze kupona. Mtoto Mudasili...

READ MORE

Breaking: JPM Afanya Ateua Mwenyekiti wa Tume ya Madini

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Idris Suleiman Kikula  Mwenyekiti wa Tume ya Madini kuanzia Aprili 17, 2018.

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA MRISHO GAMBO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amefika mtaa wa Muheza Kariakoo jijini Dar es salaam...

READ MORE

SAKATA LA CAG: POLEPOLE AONYESHA SH. TRILIONI 1.5 ZILIPO

  KATIBU wa Itikadi na uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amewashutumu baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa...

READ MORE

ZITTO: Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo), Zitto Kabwe amedai serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya...

READ MORE

OFISA CHUO KIKUU ASIMAMISHWA KWA KUMDHALILISHA MWANAFUNZI

KISUZE EDWARD ambaye ni Ofisa Utawala Mwandamizi Ofisi ya Usajili wa Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda, amesimamishwa kazi...

READ MORE

MKE WA RAIS BUSH AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 92

MKE wa rais wa 41 wa Marekani, George H W Bush, ambaye pia ni mama wa rais wa zamani wa...

READ MORE

KUZAA KILA MWAKA, LIKIZO YA UZAZI VYAZUA MJADALA BUNGENI

SERIKALI imesema hakuna haja ya kubadilisha sheria ya uzazi iliyopo kwa sasa, sababu inampa fursa mwanamke kupumzika kutozaa mara kwa...

READ MORE

Tunachojifunza Mauaji ya Kimbari Rwanda -4

Watanzania wengi hawajui nini kilisababisha mauaji ya kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha maelfu ya watu kuuawa kikatili. Naamini kama wakisoma...

READ MORE

JECHA ANG’ATUKA ZEC

MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha amestaafu baada ya kumaliza muda wake wa majukumu ya tume...

READ MORE

INATISHA Kifaranga Chatumika Mauaji ya Wanawake 3

INATISHA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kifaranga cha kuku kudaiwa kutumika kama ramli chonganishi iliyosababisha mauaji ya wanawake watatu waliokutwa wametelekezwa...

READ MORE

MAHAKAMANI: POLISI ‘WAWAZIBA MIDOMO’ MBOWE NA WENZAKE – VIDEO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho, akiwemo Katibu Mkuu, Vincent...

READ MORE

Mama Alia: DC wa JPM Kanizalisha, Kanitelekeza

WAKATI kizaazaa cha wanawake waliotelekezewa watoto na wanaume waliozaa nao kikiendelea kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

CBA YATOA BIL 10 ZA MIKOPO KWA WATEJA WAKE

HUDUMA ya M-Pawa inayotolewa na Benki ya Biashara ya Afrika (CBA) imetoa mikopo yenye thamani ya Sh10 bilioni kwa wateja...

READ MORE

Zitto Kabwe Afunguka Sakata la Sukari ya Zanzibar – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema hakuna umuhimu wa serikali ya Tanzania Bara kuzuia bidhaa...

READ MORE

HATARI KUBWA: Jengo Hili Dar Kuporomoka Muda Wowote – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema serikali inafanya uchunguzi kuhusu mkandarasi aliyejenga jengo la ghorofa kumi...

READ MORE

Breaking News: Mtoto Aliyedai Kutelekezwa na Lowassa Akamatwa na Polisi (Audio)

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema wanamshikilia Fatuma Chikawe kwa tuhuma za kudanganya...

READ MORE