×

Habari

HATIMAYE MWILI WA LEYLA WAWASILI TANZANIA, KUZIKWA ARUSHA

  Mwili wa Mtanzania, Leyla Mtumwa anayedaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu na mumewe, Kema Kasambula, mwezi uliopita jijini London nvhini...

READ MORE

SPIKA EALA AIPONGEZA TANZANIA KWA MAENDELEO

SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Dkt. Martin Ngoga ameishukuru na kuipongeza Serikari ya Tanzania kwa ujenzi wa miradi...

READ MORE

HATIMAYE! MTOTO WA MASOGANGE KUSOMESHWA HADI CHUO KIKUU

MMILIKI wa Shule ya St. Patrick ya Jijini Dar es Salaam, Ndele Mwaselela amejitolea kumsomesha mtoto wa marehemu Agness Gerald...

READ MORE

MBALIZI YAFURIKA KUUPOKEA MWILI WA MASOGANGE

MAMIA ya wananchi wakazi wa Utengule, Mbalizi na maeneo ya karibu wamejitokeza kuungana na familia, ndugu, jamaa, marafiki na wasanii...

READ MORE

BELLE 9 AANGUA KILIO BAADA YA KUONA JENEZA LA MASOGANGE

MSANII wa Bongo Fleva Abernego Damian ‘Belle 9’ ameshindwa kujizuia na kujikuta akiangua kilio mara baada ya kuliona jeneza lenye...

READ MORE

SIMANZI NZITO WASANII WALIPOONA KABURI LA MASOGANGE

HAKIKA ni simanzi, vilio na majonzi baada ya wasanii kuwasili nyumbani kwao marehemu Agness Gerald Masongange na kuliona kaburi mabamo...

READ MORE

MSIBA WA MASOGANGE: HALI ILIVYO NYUMBANI KWA MZEE GERALD

MWILI wa msanii, Agness Gerald ‘Masogange’ tayari umeshawasili nyumbani katika kijiji cha Utengule, Mablizi, mkoani Mbeya tayari kwa taratibu za...

READ MORE

BELLE 9 ASIMULIA ALIVYOMPA JINA AGNESS MASOGANGE

MKALI wa Bongo Fleva, Abednego Damian ‘Belle 9′ ndiye ‘aliyembatiza’ jina la Masogange mrembo maarufu wa kuuza sura kwenye video...

READ MORE

KUTOKA BUNGENI: Mkutano wa Bunge – Maswali na Majibu (Aprili 23, 2018)

Mbunge Kassim Ally ameululiza Serikali ina mpango gani kuifanya TANESCO ijiendeshe kwa faida ambapo Naibu Waziri wa Nishati, amemjibu Serikali...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Benki ya Posta

Rais John Magufuli amemteua Dkt. Edmund Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania(TPB). Dkt. Mndolwa...

READ MORE

Mke Aliyeuawa Uingereza, Mwili Watua Bongo

MWILI wa Mtanzania, Leyla Mtumwa anayedaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu na mumewe, Kema Kasambula, mwezi uliopita unatarajiwa kutua nchini leo...

READ MORE

Mzee Gelard: Agness Aliniaga Kabla Hajafa, Nikalia!

MZEE Gerald Waya, ambaye ni baba mzazi wa aliyekuwa Msanii wa Bongo Movies na Model, Agness Gerald  ‘Masogange’, amesema mwanaye...

READ MORE

WASANII WALIVYOMUAGA MASOGANGE VIWANJA VYA LEADERS

  Wasanii mbalimbali nchini wakiwemo Jacqueline Wolper, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Anti Ezekiel, leo wameungana kuuaga mwili wa Masogange kwenye viwanja...

READ MORE

Breaking News: Msanii Jebby afariki dunia kwao Dodoma

Msanii Jebby amefariki dunia leo nyumbani kwao huko Dodoma ambapo taarifa zinasema alikuwa anasumbuliwa na uvimbe kwenye bandama. Msanii Jebby...

READ MORE

MSANII RAMMY GALIS AZIMIA WAKATI WA KUMUAGA MASOGANGE

MSANII wa filamu Rammy Galis aliyekuwa mpenzi wa zamani wa marehemu Masogange leo alizimia baada ya kuuona mwili wa mpenzi...

READ MORE

Diamond na Ali Kiba Walivyokutana Kumuaga Masogange

Mkali wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ni miongoni mwa wasanii waliofika viwanja vya Leaders, Kinondoni, kwa...

READ MORE

DC KINONDONI AONGOZA MAMIA KUMUAGA MASOGANGE

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, leo ameongoza wananchi wa Dar es Salaam wakiwemo wasanii waliofika viwanja vya Leaders,...

READ MORE

Wasanii Wajitokeza Kumuaga Masogange Leaders (Picha + Video)

WASANII mbalimbali leo wameungana na watu wengine katika kuuaga mwili wa marehemu Agnes Gerald ‘Masogange’ kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni,...

READ MORE

KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI ZA MICHEZO, JIUNGE HAPA SASA

KUWA wa kwanza kupata habari zote za michezo wakati wowote zinapotokea, Tuma SPORTS kwenda 15599 utapata habari za kitaifa na...

READ MORE

Umati Wa Watu Wajitokeza Kumuaga Masogange Leaders

Mwili wa marehemu Agness Gerald ‘Masogange’ ukiwa Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa. Masogange ambaye alikuwa...

READ MORE

Mwili wa Masogange Unapelekwa Leaders Kuagwa

Mwili wa marehemu Agness Gerald ‘Masogange’ umeshawekwa kwenye gari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, tayari kwa safari ya kuelekea...

READ MORE

Waziri Tizeba Aagiza Mkurugenzi Wa Bodi Ya Korosho Kusimamishwa Kazi (Video)

Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Methew Mtigumwe kusitisha...

READ MORE

Mwili wa Masogange Kuagwa Leo Leaders, Kuzikwa Mbeya

Mwili wa marehemu  aliyekuwa Video queen maarufu Bongo Agnes Gerald maarufu Kama Masogange anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwao Wilayani Mbozi, mkoani...

READ MORE

Mke, Mume Wazua Timbwili, Wausimamisha Mtaa!

TIMBWILI! Hicho ndicho kimetokea baada ya mwanamke Tausi Juma kuibua sekeseke na mumewe, Ally Hamis Makapila, wote wakazi wa mjini...

READ MORE

NI BALAA! MJAMZITO AKINUKISHA KWA MTABIRI

  NI mkosi juu ya balaa! Mama mjamzito aliyetambulika kwa jina la Nuru Abdallah, mkazi wa Magomeni jijini Dar, amekinukisha...

READ MORE

HUYU NDIYE MASOGANGE TUNAYEMJUA

KIFO cha ghafla cha mwa­namitindo au Video Queen wa Bongo Fleva, Agness Ger­ald almaarufu Masogange, kimeibua mshtuko mkubwa. Jana, jioni,...

READ MORE

TASWIRA YA MSIBANI NYUMBANI KWA  AGNES MASOGANGE

    KUELEKEA kifo cha mwanadada aliyekuwa Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ kufariki dunia jana jioni, baadhi ya ndugu jamaa...

READ MORE

RC Makonda Kupima Tezi Dume Nyumba kwa Nyumba

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salam, Paul Makonda anatarajia kuanza Oparesheni maalum wa kupima tezi dume kwa lazima nyumba...

READ MORE

Airtel Tanzania Yaongoza Katika Mitandao ya Kijamii

  Ripoti hii imetolewa na kampuni ya Socialbakers ambayo ni moja ya makampuni yanayoongoza duniani katika kutoa tathmini kuhusu namna...

READ MORE

Uingereza: Hatimaye Mwili wa Leyla Wakabidhiwa kwa Familia – Video

Mwili wa Mtanzania, Leyla Mtumwa, aliyeuawa Uingereza wiki chache zilizopita, umeachiwa huru leo na kukabidhiwa kwa ndugu zake ili kuusafirisha...

READ MORE

FAMILIA: MASOGANGE ATAAGWA KESHO JUMAPILI LEADERS

Msanii aliyekuwa akipamba video za muziki (video queen), Agnes Gerald ‘Masogange’ enzi za uhai wake. BAADA ya wadau wa sanaa...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Ujenzi wa Maghala ya Chakula na Vihenge – VIDEO

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, Kassim Majaliwa ameweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Maghala ya Chakula na Vihenge...

READ MORE

TCRA Yaanza Rasmi Usajili wa Blogu, Redio na TV za Mtandaoni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetangaza kuanza rasmi zoezi la usajili wa wamiliki wa Blogu, Majukwaa ya Mtandaoni (Online Forums),...

READ MORE

Zamaradi: Niliishi kwa Masogange Sauz, Msiba Umeniumiza Sana – Video

MTANGAZAJI Maarufu wa Televisheni na redio, Zamaradi Mketemea amefunguka na kueleza alivyoguswa na msiba wa msanii Agnes Gerard Masogange aliyefariki...

READ MORE

Steve: Tumependekeza Masogange Aagwe Leaders, Azikwe Mbeya – Video

KIONGOZI wa Chama cha Wasanii Nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ametoa taarifa rasmi ya chama hicho yenye mapendekezo kwa familia...

READ MORE

Alichokisema Wakili wa Masogange Baada ya Taarifa za Msiba – Video

KUFUATIA kifo cha ghafla cha Msanii wa filamu za Kibongo na video queen maarufu, Agness Gerald ‘Masogange’ katika Kituo cha...

READ MORE

TRIO 50KW: Mtambo Mpya wa Umeme wa Jua Kutoka ABB

UMEME wa jua umekuwa ukisaidia watu wengi si viwandani, ofisini bali hadi kwenye sekta binafsi. Wiki mbili zilizopita, nilihudhuria maonesho...

READ MORE

Mwili wa Masogange Ukitolewa Hospitali Baada ya Kufariki – Video

Mwili wa Msanii wa filamu za Kibongo na video queen maarufu, Agness Gerald Masogange ukitolewa katika Kituo cha Huduma za...

READ MORE

TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA MALARIA DUNIANI KASULU, KIGOMA

Tanzania inatarajia kuungana na nchi zingine duniani kwenye kuadhimisha siku ya Malaria Duniani ambayo ufanyika April 25 kila mwaka.  ...

READ MORE