×

Habari

Nsekela: Wasilisheni Orodha ya Mali Zenu Kabla ya Desemba 31

  KAMISHNA wa Maadili Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu, Harold Nsekela, amesema sheria ya maadili ya...

READ MORE

Rais Magufuli Atunukiwa Tuzo ya Amani Sauzi

Johannesburg, Afrika Kusini: Rais John Magufuli ametunukiwa tuzo ya amani ya Mandela (Mandela Peace Prize) kwa kuendeleza shughuli ya kulinda...

READ MORE

Breaking: Mwanasoka George Weah Ashinda Urais wa Liberia

ALIYEWAHI kuwa mcheza soka bora duniani, George Opong Weah, ameshinda katika uchaguzi na kuwa Rais wa Liberia baada ya kushinda...

READ MORE

Fahamu Haya Kuhusu Televisheni za Ndani Kurusha Matangazo Bila Malipo ya King’amuzi

SERIKALI imesema jumla ya vituo 16 vya runinga vya ndani ya nchi, vikiwemo ITV, Channel 10, CloudsTV vimepewa leseni ya...

READ MORE

Nabii Kiboko ya Mapepo Kufanya Miujiza ya Funga Mwaka – Video

Kwa mara ya kwanza, Kanisa la Christ Mandate and Power Ministry International linawaletea kongamano la kuvuka mwaka 2017 kuingia mwaka...

READ MORE

Wazazi wa Wanafunzi 55 Kukamatwa Baada ya Watoto Wao Kupewa Ujauzito

Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya wa Tandahimba imegiza kukamatwa kwa wazazi wa wanafunzi 55 waliopata ujauzito na kuacha Shule miaka...

READ MORE

CUF ya Lipumba Kumvua Uanachama Mtatiro

MWENYEKITI wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Katibu Mkuu wa chama hicho Maalim Seif, Julius...

READ MORE

Nyoshi Ampotezea Patcho Mwamba

RAIS wa zamani wa Bendi ya FM Academia, Nyoshi El Saadat amempotezea mrithi wake, Patcho Mwamba kwa kusema hawezi kujibu...

READ MORE

ISHU YA MKEWE KUOLEWA NA KIBENTENI, MZEE ABDUL AWAKA!

BABA wa msanii wa Bongo Fleva, Abdul Juma ‘Mzee Abdul’, amejikuta akiwaka ile mbaya baada ya kuulizwa ishu ya aliyekuwa...

READ MORE

MWENYEKITI UVCCM TAIFA, JOKATE WATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL

MWENYEKITI wa taifa wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James,  leo ametembelea ofisi za Kampuni ya...

READ MORE

Lissu Aanza Mazoezi ya Viungo Nairobi Hospital

HALI ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na ameanza rasmi kufanya mazoezi ya viungo katika Hospitali ya...

READ MORE

Pigo Tena Upinzani: Wanachama Wengine 1,200 wa Chadema Watimkia CCM

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kumomonyoka baada ya wanachama wao zaidi 1,200, wakiwemo viongozi wakuu wa Wilaya ya...

READ MORE

DRC: Nyumba ya Rais Kabila Yachomwa Moto

NYUMBA ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila imechomwa moto katika shambulizi linaloshukiwa kufanywa na waasi, ambapo...

READ MORE

MPIGAPICHA WA AZAM TV AFARIKI DUNIA

Mpigapicha maarufu wa runinga ya Azam TV, Idd Salum Mambo amefariki dunia baada ya kuugua muda mfupi. Mambo amefariki dunia...

READ MORE

Linah, Petit Man Live!

AMA kweli mastaa hawaishiwi vimbwanga! Hayo yalidhihirika usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita baada ya staa wa kike wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Trump Ampa Mwaliko Kenyatta

SERIKALI ya Kenya chini ya Rais Uhuru Kenyatta imepokea mwaliko kutoka nchini Marekani kuhudhuria katika hafla ya kuwashukuru kwa kuendeleza...

READ MORE

Watoto Walivyosherehekea Krismasi Dar Live

  KATIKA kusherehekea sikukuu ya Krismasi watoto jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake leo wamesherehekea kwa furaha kubwa katika...

READ MORE

Malawi Yaichapa Tanzania Soka la Ufukweni

Timu ya Tanzania Bara kwa mchezo wa Beach Soka imefungwa mabao 7-6 na Malawi katika mchezo wa kwanza uliopigwa kwenye...

READ MORE

Breakings: Mwenyekiti wa CCM Mkoa Apata Ajali na Familia Yake

AJALI: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Juma Kilimba amepata ajali ya gari lake kupinduka leo akiwa na familia yake,...

READ MORE

Baba Mzazi Aliyenaswa Gesti na Mwanaye wa Kumzaa Kimenuka!

KIMENUKA! Fadhil Mshamu, mkazi wa Kibaha mkoani hapa anakula Krismasi na Mwaka Mpya wa 2018, akiwa na stresi kufuatia kusomewa...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo… Global Publishers Instagram Inakupa Zawadi ya X-Mass Bureee!

Ladies and Gentlemen!!!🔥 Leo ndio leooooooo!! Katika Kuhakikisha Tunasheherekea na Wewe Sikukuu ya 🎄X-MaX🎄….. Leo Desemba 25….. Nafasi za Kujishindia...

READ MORE

Muuza Bangi Aingia Kimakosa Ndani ya Gari la Polisi Akidhani ni Teksi

MTU mmoja anayedaiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya amejikuta akipata wakati mgumu katika kipindi hiki cha Sikukuu ya...

READ MORE

Ibada ya Misa ya Takatifu, Sikukuu ya X-Mass, Kanisa katoliki la Mt. Petro – Oyster Bay

Ibada ya Sikukuu ya Christmas, Parokia ya Mt. Peter- Oyster Bay

READ MORE

Sikukuu ya X-Mass… Neno la Rais Magufuli kwa Watanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kuwatakia heri Watanzania wote katika kusherehekea siku...

READ MORE

Rais Aachiwa Gerezani kwa Msamaha wa Rais Mwenzake

Rais wa zamani wa Peru, Alberto Fujimori ameachiwa huru kwa msamaha wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Pedro Pablo...

READ MORE

Msagasumu Vs Man Fongo, Pembeni Gigy Money… Hapatoshi Dar Live Leo!

DARR-RRR eeee salaa-aam! Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa pande zote za jiji na viunga vyake, hatimaye...

READ MORE

Majaliwa Avunja Mfuko wa Kuendeleza Pamba, Aagiza Wahusika Wachunguzwe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameuvunja Mfuko wa Wakfu wa Kuendeleza zao la Pamba (CDTF) na amegiza wahusika wote wachunguzwe ili...

READ MORE

Ujenzi wa Hospitali Ya Wilaya Arusha Wazinduliwa

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amezindua ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Arusha mjini katika eneo la Njiro...

READ MORE

Shein Awapa Kila Mmoja Kiwanja, Sh. Milioni Tatu Zanzibar Heroes

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein ametoa zawadi ya kiwanja kwa kila mchezaji...

READ MORE

Mbarawa: Ukitozwa Nauli Isiyo Rasmi Ripoti Vyombo Husika

  WAZIRI wa Kazi, Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, pamoja na kuwatakia Watanzania heri ya sikukuu ya Chrismas na...

READ MORE

Mwigulu Ataja Sababu Za Upinzani Kugomea Uchaguzi

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amezindua kampeni za Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mdogo jimbo la Longido unaotarajiwa...

READ MORE

Salamu za Krismas na Mwaka Mpya 2018 Kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM)

CHAMA Cha Mapinduzi kinakutakia Sikukuu njema ya Krismas na Mwaka Mpya 2018.

READ MORE

Jenerali wa jeshi aliyemng’oa Mugabe sasa ni naibu wa Zanu-PF

Jenerali wa Zimbabwe, aliyeongoza mapinduzi yaliyopelekea Robert Mugabe kuondoshwa madarakani, ameteuliwa kuwa naibu kiongozi wa chama tawala cha ZANU-PF. Uteuzi...

READ MORE

Basi la Abiria Likiendeshwa na Kijana wa Miaka 16 Latumbukia Mtoni na Kuua 32

Basi lililokua na abiria 50 nchini India limeanguka katika daraja moja na kuwaua takriban watu 32 lilipoingia katika maji Kaskazini...

READ MORE

Breaking News: Omog Afungashiwa Virago Simba

KLABU ya Simba leo Desemba 32, 2017 imeamua kuvunja mkataba na kocha wake mkuu, Joseph Omog ikiwa ni takribani siku...

READ MORE

Abiria Dar Walia Kukosekana kwa Usafiri Ubungo Msimu wa Sikukuu

  LICHA ya kuongezwa kwa mabasi yaliyokuwa  yakitoa huduma zake ndani ya Jiji la Dar es Salaam  yaliyopewa vibali vya...

READ MORE

Spika Ndugai Aikosoa Serikali Upangaji wa Vituo vya Kazi kwa Walimu Wapya

DODOMA: Spika wa Bunge, Job Ndugai amekosoa mpango wa TAMISEMI kuwapangia walimu wapya vituo vya kazi moja kwa moja akisema...

READ MORE

EFM REDIO YASHEHEREKEA SIKUKUU YA KRISMASI NA WASIKILIZAJI WAKE

Makapu ya sikukuu yakiwa tayari kukabidhiwa kwa washindi. Washindi wa kapu la sikukuu wakiwa katika picha ya pamoja na zawadi...

READ MORE

KAHAMA: Acacia Yatangaza Kupunguza Wafanyakazi 3,000

KAMPUNI ya Uchimbaji Madini ya ACACIA imetangaza kupunguza wafanyakazi wake zaidi ya 3,000. Hatua hiyo imesababishwa na gharama za uendeshaji...

READ MORE

MOROGORO: Mwanamke Ajifungua Mapacha Wanne

MWANAMKE mmoja mkazi wa Mkoa wa Morogoro, Asha Mashaka amejifungua watoto mapacha wanne katika Wodi ya Wazazi ya Hospitali ya...

READ MORE