×

Habari

Zitto Kabwe: Nipo Tayari Kuwajibika Rais Akitekeleza Ombi Hili

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa atakuwa tayari kuwajibika endapo Rais Dkt...

READ MORE

Kardinali Pengo Aongoza Kuuaga Mwili wa Askofu Msemwa

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameongoza waumini na Maaskofu katika kuuaga...

READ MORE

Lulu Atimua Mbio Mahakamani, Baba Yake Atoa Povu la Mwaka

  MUIGIZAJI wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ametimua mbio katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda Maalum ya Dar es...

READ MORE

OFISA TRA KIZIMBANI KWA KUMILIKI NDINGA 19 ZISIOENDANA NA KIPATO CHAKE

    DAR ES SALAAM: Ofisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi amefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Kiongozi Chadema Aendelea Kusota Rumande

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesema itaendelea kumshikilia Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Kigaila Benson. Kigaila...

READ MORE

Serikali Yalifungia Gazeti La Tanzania Daima Siku 90

Serikali imelifungiwa Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Kampuni ya Free Media Limited (FML) kwa kipindi cha siku 90.  ...

READ MORE

Bahati Nasibu Shinda Nyumba Majaba Kukabidhiwa Mjengo Wake Wiki Ijayo

BAADA ya shughuli kubwa ya muda wa zaidi ya miezi sita ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili...

READ MORE

Askari Wa FFU Waamriwa Kuondoka Ukonga (Video)

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema ameamuru Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) waondoke kwenye maeneo ya wananchi katika eneo...

READ MORE

Mke wa Dkt. Slaa Atajwa Kesi ya Lulu Kifo cha Kanumba

KESI inayomkabili muigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, anayedaiwa kumuua muigizaji mwenzake, Steven Kanumba, bila kukusudia, iliendelea leo katika...

READ MORE

Wananchi Gongo la Mboto Kutembezewa Kipigo na Askari, DC Mjema Afunguka

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema Jumanne hii ametembelea maeneo ya Ukonga jijini Dar es salaam baada ya siku...

READ MORE

Prof. Luoga Afunguka Baada ya Kuteuliwa Kuwa Gavana Benki Kuu

Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga amesema amepokea kwa heshima kubwa dhamana aliyopewa na Rais...

READ MORE

MSAMA YAFANYA OPERESHENI WANAODURUFU CD ZA WASANII

    KAMPUNI ya Msama Promotions ambao ni wasimamizi na wasambazaji wa kazi za Muziki wa Injili, chini ya Mkurugenzi...

READ MORE

Ripoti Kamili ya Ushoga Unavyotikisa Tanzania

TANZANIA kwa sasa inatafunwa na janga kuu linalohatarisha uhai wa ustawi wa jamii mithili ya virusi vinavyoua mwili! Janga hili...

READ MORE

Majimaji Yataja Kinachowabania Pointi Ligi Kuu – Video

BAADA ya kuwa na mwanzo mbaya katika Ligi Kuu ya Vodacom, Majimaji sasa imesema inajipanga kuamka na kufanya vizuri huku...

READ MORE

“1ST HOUSING FINANCE” KUTOA MIKOPO NAFUU YA NYUMBA

  KAMPUNI ya kwanza ya utoaji wa mikopo ya nyumba nchini iitwayo 1st Housing Finance (Tanzania) Limited yenye makazi yake...

READ MORE

Picha za Wema, Bwana’ke Wakiwa Bafuni Zavuja

DAR ES SALAAM: MREMBO mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ ameendelea ‘ku-shine’, safari hii zimevuja picha mpya...

READ MORE

Jaji Amtwanga Lulu Swali Gumu Mahakamani

BAADA YA Muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’kuanza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar, kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Steven...

READ MORE

Lulu Mahakamani: Kanumba Alinikimbiza na Panga

MSANII wa filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ameanza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akieleza...

READ MORE

JPM Awaka… Mnafikiri Bombardier 6 Tumebadilishana na Migebuka? – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Oktoba, 2017 amewabeza baadhi ya wanasiasa...

READ MORE

Bahati Nasibu Shinda Nyumba… Siku 8 Zijazo, Mshindi Mjengoni

WAKATI washindi watatu waliopatikana katika droo kubwa ya Shinda nyumba wakipewa zawadi zao Jumatano iliyopita, mshindi wa Bahati Nasibu ya...

READ MORE

Kifo cha Kanumba, Lulu Akutwa na kesi ya Kujibu – Video

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemkuta muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ana kesi ya kujibu katika tuhuma zinazomkabili za...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Awatunuku Waliofanya Uchunguzi wa Makinikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Oktoba, 2017 amewatunuku vyeti wajumbe...

READ MORE

Kesi ya Lulu, Daktari Afafanua Alichokiona Katika Ubongo wa Kanumba

KESI inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’,  imeendelea kusikilizwa leo Jumatatu, Oktoba 23, katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

Kesi ya Kifo cha Kanumba, Lulu Mahakamani Tena Leo

KESI inayomkabili muigizaji wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  leo Jumatatu, Oktoba 23, inaendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE

Waheshimiwa Ummy na Ndugulile, Tekelezeni Alichokiagiza Mheshimiwa Rais Juu ya Aga-Khan

MOYO wangu uli­jaa hamu kubwa ya kufikisha ujumbe kwa Mtukufu Aga- Khan, tena mbele ya Mhesh­imiwa Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Rais Magufuli Kuwatunuku Waliofanikisha Uchunguzi wa Makinikia

IKULU: Rais Magufuli leo anatarajia kuwatunuku vyeti wote waliofanikisha uchunguzi wa makinikia na kufikiwa makubaliano kati ya serikali na Kampuni...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Oktoba 23, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Oktoba 23, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Tundu Lissu: Watanzania Wajiandae Kunipokea

  Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi,  amesema ameagizwa na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ...

READ MORE

Mwalimu Adaiwa Kujiua Kwa Kujikata Koromeo Rukwa

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mtenga wilayani Nkasi, Leonard Mwipugi (29) anadaiwa kujiua kwa kujikata koromeo akiwa nyumbani kwake.  ...

READ MORE

Wajumbe Saba wa ACACIA Kuamua Kulipa Sh Bilioni 700

HATIMA ya maridhiano katika maeneo 14 kati ya Serikali na Kampuni ya Kimataifa ya Uchimbaji wa Madini ya Barrick Gold,...

READ MORE

Msigwa Aeleza Anavyosuka Mpango Wa Kumuondoa Spika

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameelezea jinsi anavyosuka mpango wa kumng’oa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Msigwa...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Amteua Janeth Masaburi Kuwa Mbunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bi.Janeth Masaburi kuwa Mbunge wa Bunge la...

READ MORE

Kifo Tata cha Mtoto wa Sokoine, Azikwa Kwao Monduli

MTOTO mwisho wa waziri mkuu wa zamani, hayati Edward Sokoine, Tumaini Sokoine amezikwa leo Jumamosi nyumbani kwao Monduli Juu  mkoani...

READ MORE

Mganga Mbaroni kwa Kunajisi Watoto 14

JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga, Daud Idd (74), kwa tuhuma ya...

READ MORE

Breaking News: Zitto Afunguka Makubaliano ya Serikali na Barrick – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe, amefungukia madai ya kuitwa kibaraka wa wazungu kwenye sakata la makinikia, ambapo amesema...

READ MORE

Aliyedaiwa Kubeba Mimba ya Kiba Afunguka Live

DAR ES SALAAM: BAADA ya picha na habari kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ana ujauzito wa staa wa muziki...

READ MORE

Mbasha Aibuka na Kiki ya Mchumba

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili Bongo, Emmanuel Mbasha ameibuka na kiki ya aina yake tofauti na mastaa wengine baada ya...

READ MORE

Zitto Afunguka Kuitwa Kibaraka wa Wazungu Ishu ya Madini, Mwigamba Kuhamia CCM

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe amesema kwamba wanachama waliokihama chama hicho walikuwa na mlengo wa kutokuhitaji chama...

READ MORE