×

Habari

MO Dewji: Kijana Akifanya Haya Atatengeneza Mkwanja Kirahisi

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Mohammed Dewji ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group amefunguka na kuwapa siri...

READ MORE

Breaking News: Sadifa Aachiwa kwa Dhamana, Apewa Masharti Magumu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Dodoma iemwachia kwa dhamana aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sadifa Juma Khamis...

READ MORE

UVCCM Mmemsikia Rais Magufuli?

KAMA ilivyo kawaida yangu napenda tena kumshukuru Mungu kwa kuendelea kunipigania katika kutimiza majukumu yangu ya kila siku.   Katika...

READ MORE

Mambo 10 ya JPM Kukumbukwa 2017

  RAIS Dk. John Magufuli amefanya mambo mengi ndani ya mwaka huu, lakini haya 10 yatazidi kukumbukwa na Watanzania. BABU...

READ MORE

Fifa Yazuia Usajili wa Kwasi

USAJILI wa dirisha dogo Bongo uliofun­gwa usiku wa kuamkia juzi Jumamosi, ambapo Simba ilimnasa beki Asante Kwasi dakika za mwisho,...

READ MORE

Haya Ndiyo Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa CCM – Dodoma (Video)

Rais Dkt John Magufuli amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Shein Makamu Mwenyekiti Zanzibar na Philip...

READ MORE

Msafara wa IGP Sirro Wasimamishwa

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amesema Jeshi lake limeongeza nguvu ya ziada ya kupambana na uhalifu...

READ MORE

Kikwete: Mnasema Vyuma Vimekaza? Vumilieni Tu! – (Video)

RAIS Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watanzania kuwa wavumilivu...

READ MORE

Magufuli Ajiuzulu Uenyekiti wa CCM, Agombea Tena – Video

Mweyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli amejiuzulu nafasi hiyo kulingana na katiba ya chama hicho...

READ MORE

Wasira Aibukia kwa JPM, Awavunja Mbavu CCM, Dodoma – Video

HADITHI: SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WANGU – SEHEMU YA 1 (Audio) Nakuletea dakika 15 za kwanza za simulizi hii...

READ MORE

Airtel Yatangaza GB Zaidi Bando za Yatosha Intaneti

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imekutana na watangazi wa radio mbalimbali  nchini na kuongelea ongezeko la faida...

READ MORE

Yaliyojiri Kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Taifa – Dodoma

Hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha hoja ya utekelezaji wa ilani ya CCM ndani ya mkutano mkuu wa chama...

READ MORE

Mahakama Kuu Yamwachia Huru Sheikh Ponda

MAHAKAMA Kuu imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda katika rufaa iliyokatwa na Jamhuri kupinga...

READ MORE

Kinana Afunguka Ndani ya Mkutano Mkuu wa CCM – (Video)

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeanza mkutano wake mkuu wa Taifa Mjini Dodoma ambapo utafanyika  kwa siku mbili, Desemba 18-19, 2017....

READ MORE

INAUMA SANA: Zanzibar Heroes Wamwaga Machozi Hadharani – (Video)

NDOTO ya timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes kutwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji iliota mabawa jana Jumapili baada...

READ MORE

Hotuba ya Rais Magufuli Akifungua Mkutano Mkuu wa CCM – (Video)

MKUTANO Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umeanza Mjini Dodoma ambapo utafanyika  kwa siku mbili, Desemba 18-19, 2017...

READ MORE

JPM: Tumewaburuza Wapinzani Kata 42 kwa Sababu Hizi – (Video)

Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umeanza Mjini Dodoma ambapo utafanyika  kwa siku mbili, Desemba 18-19, 2017...

READ MORE

ACT Wazalendo Kususia Uchaguzi wa Wabunge Januari

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitasusia uchaguzi mdogo wa wabunge utakaofanyika Januari 13 mwaka kesho katika majimbo matatu.   Hayo...

READ MORE

Magufuli, Dkt. Shein na Philip Mangula Wachaguliwa Kuwania Uongozi CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuwajulisha wanachama wa CCM na Umma wa watanzania kuwa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya...

READ MORE

UZINDUZI WA GAZETI LA SPOTI XTRA ULIVYOBAMBA KITAA (Pichaz + Video)

GAZETI jipya la michezo la Spoti Xtra ambalo ni gazeti dada na Gazeti la Championi linalotolewa na Kampuni ya Global...

READ MORE

Bakwata Watoa Tamko Tishio La Kumuondoa Mufti

Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Dar es Salaam limewalaani vikali watu waliotoa na kusambaza taarifa za uongo...

READ MORE

Tundu Lissu Amjibu Job Ndugai Kuhusu Matibabu Yake

MBUNGE wa Singida Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefunguka na kumjibu Spika wa Bunge, Job...

READ MORE

Pialali Amchakaza Mhindi Bagamoyo (Video)

  BONDIA wa ngumi za kulipwa  nchini, Idd Pialali amefanikiwa kushinda ubingwa wa kimataifa baada ya kuchakaza mpinzani wake, Shiva...

READ MORE

Magufuli Ahudhuria Misa Kanisa Kuu Katoliki Dodoma Leo

RAIS   John  Magufuli na mkewe,  Mama Janeth Magufuli,  leo wameungana na waumini wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba,...

READ MORE

Takukuru inamshikilia aliyekuwa Rais wa CWT Gratian Mukoba kwa tuhuma za rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma inamshikilia aliyekuwa Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian...

READ MORE

Lukuvi Amtumbua Mkurugenzi Mkuu NHC, Nehemia Mchechu

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza kusimamishwa kazi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la...

READ MORE

Askari JWTZ Walionusurika Shambulio la DRC Wanaendelea Vizuri – Pichaz

  KUFUATIA wanajeshi 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), waliouawa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Kauli ya Ramsey Noah Baada ya Kufika Kaburini kwa Kanumba

NGULI wa filamu za Nigeria, Ramsey Noah amesema japokuwa miaka mingi imepita tangu kufariki dunia kwa aliyekuwa msanii mahiri wa...

READ MORE

Ramsey Noah Atembelea Kaburi la Kanumba – (Video)

MSANII nguli wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Noah, ametembelea kaburi la swahiba wake aliyekuwa gwiji wa filamu Bongo, Steven Kanumba,...

READ MORE

KINJE AMVUTA UWOYA KIMYAKIMYA, ATANGAZA BIFU NA DOGO JANJA

Msanii wa filamu za Kibongo anayekuja kwa kasi kwenye gemu, Chriss Lubango ‘Kinje’, amemvuta msanii mwenye mvuto wa kipekee Bongo,...

READ MORE

Spika Ndugai Asema Atakwenda Kwa Tundu Lissu Baada ya Krismasi

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (Mb.) ameusema kuwa atakwenda nchini Kenya kumuona Mbunge...

READ MORE

MASKINI: Miaka 20 ya Binti JUDITH Kitandani, Alizaliwa na Sura ya Ajabu!

Binti anayefahamika kwa jina la Judith Mwenye umri wa miaka 20, Mkazi wa Tabata Jijini Dar es Salaam, ambaye anaishi...

READ MORE

Wadada Wanaodaiwa Kujihusisha na Usagaji Waachiwa Kortini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mwanza imewaachia kwa dhamana wadada wawili waliokamatwa kwa tuhuma zinazoashiria kujihusisha na vitendo vya mapenzi ya...

READ MORE

Pesa ni M-Pesa, Lipa Kwa M-Pesa Pata Zawadi Za Papo Hapo

Katika kusherehekea msimu huu wa Sikukuu, kampuni ya mawasiliano nchini Vodacom Tanzania imewaletea wateja wake na Watanzania kwa ujumla kampeni...

READ MORE

Jaji Mkuu Awaapisha Mawakili Wapya 80

ZAIDI ya mawakili 80 wamehitimu mafunzo na kuapishwa kuanza kazi ya kuhudumu kama watetezi wa kisheria katika mahakama mbalimbali hapa...

READ MORE

LIVE: Mama Samia Suluhu Ahamia Dodoma Rasmi

MAKAMIU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan, leo Ijumaa, Desemba 15 amehamia rasmi makao...

READ MORE

Dongo la Polepole kwa Wapinzani, ‘Muulizeni Mwenyekiti Wenu Alikopeleka Pesa’

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amevipiga kijembe vyama vya upinzani akimtaka mwenyekiti wa...

READ MORE