×

Habari

Zitto Kabwe: Nipo Kama Mwendawazimu

KIONGOZI wa ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini, Mh. Zitto Kabwe amefunguka na kusema kwamba uchungu anaoupata baada ya...

READ MORE

Polisi Yawakamata Waliovamia Ofisi za Mawakili wa Manji -Video

JESHI la Polisi  Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu watano wanaodaiwa kuvamia, kuvunja na kuiba pesa kwenye...

READ MORE

Mpambano wa Juma Nkamia na John Heche Ngoma ni Nzito!

MBUNGE wa Chemba (CCM), Juma Nkamia na John Heche wa Tarime Vijijini (Chadema), wanatarajia kupambana bungeni wakati kila mmoja atakapowasilisha...

READ MORE

Prodyuza Zest Afungukia Maajabu ya Aslay

MWIMBAJI wa Nyimbo za Injili ambaye pia ni prodyuza wa nyimbo za msanii, Aslay Isihaka, Zest Daud, ameshangazwa na maajabu...

READ MORE

Breaking News: Serikali Yalifungia Gazeti la MwanaHalisi

SERIKALI kupitia  Idara ya Habari Maelezo, imelifungia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa muda wa miaka miwili kuanzia leo...

READ MORE

NACTE YATANGAZA KUTOTAMBUA KOZI ZA NURSING ASSISTANT NA MEDICAL ATTENDANTS

  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwataarifu wadau wa Elimu na Umma kwa ujumla kwamba mafunzo...

READ MORE

Hii Ndiyo Miji Yenye Utulivu na Amani Zaidi Duniani

IWAPO amani ya mawazo au akili inamaanisha kutembea kwa utulivu nyumbani ukipita kwenye miti na maua, kuwa na fedha za...

READ MORE

Uchaguzi wa Rais Kenya Huenda Ukaahirishwa

UCHAGUZI wa marudio wa urais nchini Kenya huenda ukaahirishwa kutoka tarehe 17 mwezi ujao. Tume ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC,...

READ MORE

Simanzi, Vilio Vyatawala Mazishi ya Watoto Waliolipukiwa na Bomu Monduli

NI SIMANZI na vilio vimetawala  katika Kijiji cha Nafco Kata ya Loksale, wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maziko ya...

READ MORE

Mfanyabiashara Avamiwa na Watu Wasiojulikana, Auawa kwa Risasi

MFANYABIASHARA mmoja katika Mji wa Lupa Tingatinga, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, ajulikanaye kwa jina Nestroy Kyando ameshambuliwa kwa risasi...

READ MORE

Rais Magufuli Aomboleza Vifo vya Watanzania 13 Uganda

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi aliyewahi kuwa Naibu Waziri...

READ MORE

Peter Msigwa: Jamani Polisi Msinivizie

MBUNGE wa Iringa Mjini kwa tiketi ya CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa amepata taarifa jeshi la polisi...

READ MORE

‘Faru John’ Ajisalimisha kwa Kamanda Mambosasa

ASKARI wa Jeshi la Polisi Dar, anayejiita Faru John ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es...

READ MORE

Polisi Dar: Hatukukamata Waliovaa Fulana za Tundu Lissu

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum jijini Dar es Salaam Lazaro Mambosasa, amesema watu waliokamatwa na polisi hapo jana kwa kufanya...

READ MORE

Msigwa, Lema Watema Cheche Nairobi Wakihojiwa Kuhusu Lissu -VIDEO

  WABUNGE wawili wa Chadema wametumia mahojiano nje ya nchi kuzungumzia matatizo ya Tanzania wakisema hayawezi kumalizwa na mtu mmoja...

READ MORE

Zitto Kabwe Aanika Alichojionea Nairobi kwa Tundu Lissu

MBUNGE wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amefunguka na kudai amerudi nchini akiwa na unyenyekevu mkubwa zaidi kwa sababu ya nguvu...

READ MORE

Watanzania 13 Wafariki kwa Ajali Uganda

WATANZANIA 13 wamefariki na wengine nane kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la biashara Lubanda takribani...

READ MORE

Miili ya Watoto 3 Waliolipukiwa na Bomu Yaagwa

MIILI ya watoto watatu waliofariki dunia kwa mlipuko wa bomu kwenye eneo la mazoezi ya kijeshi wilayani Monduli, mkoani Arusha...

READ MORE

LWANDAMINA, BENCHI LAKE LA UFUNDI WAMFUATA MANJI KISUTU

KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina amekwenda moja kwa moja hadi katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam na...

READ MORE

Manji Aomba ‘Poo’ Mahakamani Kesi Yake ya Madawa

KESI inayomkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji anayotuhumiwa kutumia madawa ya kulevya imeshindwa kusikilizwa leo katika Mahakama...

READ MORE

Cannavaro Amfuata Manji Mahakamani Kisutu -Video

NAHODHA wa Klabu ya Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, leo Septemba 18, ameibuka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar na...

READ MORE

Yanga Wafunguka Hatima ya Lwandamina

BAADA ya kuzagaa kwa taarifa za Klabu ya Yanga kupanga kuachana na kocha wa timu hiyo, George Lwandamina, Kaimu Makamu...

READ MORE

Kamusoko Ashusha Presha Yanga

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, ameshusha presha ya timu hiyo, baada ya kupona majeraha yake ya nyonga huku...

READ MORE

Kesi ya Aveva, Kaburu Upelelezi Wakamilika

KESI inayowakabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake, Godfrey Nyange maarufu kama Kaburu upelelezi wake umekamilika...

READ MORE

MKUTANO WA 20 WA SIKU YA BIMA YAIUNGA MKONO UCHUMI VIWANDA

Wadau mbalimbali wa sekta ya bima wakifwatilia kwa makini mkutano wa 20 wa siku ya bima nchini uliofanyika mwisho wa...

READ MORE

Familia Yaanika Kuhusu Dereva wa Tundu Lissu

IKIWA ni siku 10 baada ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi, familia yake...

READ MORE

Usichokijua Kuhusu Vita ya Marekani Vs Korea Kaskazini – 3

KATIKA mfululizo wa makala haya, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo Urusi na China zilivyoachana na mfumo wa Kikomunisti na kuiachia...

READ MORE

Sababu za Mbunge Msukuma Kutiwa Mbaroni na Polisi

JESHI la Polisi mkoani Geita linamshikilia Mbunge wa jimbo la Geita Vijijini, Joseph Kasheku ‘Musukuma’ kutokana na vurugu zilizotokea eneo...

READ MORE

Droo Kubwa ya Shinda Nyumba, Mjengo Huu si wa Kukosa Aisee!

  WAKATI siku za kuelekea kuchezwa kwa droo kubwa ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili zikizidi kukatika, imefahamika kuwa mjengo...

READ MORE

ACACIA Wafanya Sherehe Kuwaaga Wafanyakazi Wao

Acacia yakamilisha usitishaji wa uchimbaji mgodi wa Bulyanhulu. Mgodi huo umepunguza wafanyakazi 1,200, wakandarasi 800, sasa wamebaki wafanyakazi 200. Ilielezwa...

READ MORE

Watatu Wakamatwa na Polisi Tip -Sinza, Kisa Maombi Kwa Lissu (Video)

  Watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa Chadema wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa kuhojiwa kuhusu mpango wa...

READ MORE

Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Kuanza Kesho

Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kinatarajiwa kufanyika kesho Sepetemba 18 mwaka huu chini ya Makamu...

READ MORE

Madenti Mashindano ‘Genius Cup’ Watunukiwa Vyeti

WANAFUNZI 60 kutoka katika Shule za Sekondari za Feza jijini Dar es Salaam, jana walitunukiwa vyeti vya ushindi baada ya...

READ MORE

Polisi Wafanya Doria Sinza Kuzuia Maombi Ya Bavicha

Watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa Chadema wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa kuhojiwa kuhusu mpango wa maombezi...

READ MORE

RC Mrisho Gambo Apiga Marufuku Watumishi wa Umma Kukamatwa

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuwakamata na kuwaweka rumande watumishi wa umma bila...

READ MORE

Zitto Anena Nyumba Yake Kuteketea Moto Kigoma

  Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amewataka wananchi kuwa watulivu wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi kubaini chanzo...

READ MORE

Mbunge wa CCM Amtembelea Lissu Hospitalini Nairobi

MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu (CCM) amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliylazwa...

READ MORE

Breaking News: Nyumba ya Zitto Kabwe Yateketea kwa Moto

  NYUMBA ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT – Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yateketea kwa moto. Habari...

READ MORE

Mwanamke Mkongwe Zaidi Duniani Afariki

MWANAMKE mmoja wa Jamaica anayedhaniwa kuwa mtu mkongwe zaidi duniani, Violet Mos Brown amefariki akiwa na umri wa miaka 117 ...

READ MORE

Jukata Wasema Serikali Haijatenga Fedha Kukamilisha Katiba Mpya

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema limebaini kwamba baada ya kuifuatilia na kuichambua bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria...

READ MORE