×

Habari

WALIOJIFANYA WAMEROGWA KWA KUIBA GARI KUMBE MATAPELI

  KATIKA jiji la Mombasa, kuliibuka kioja cha aina yake siku ya Jumanne baada ya kuonekana  wanaume wawili walioukuwa uchi...

READ MORE

Kanisa la Gwajima Labomolewa, Waumini Wahaha

KANISA la Ufufuo na Uzima lililopo Mbezi Inn linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima limebomolewa. Nyumba hiyo ya ibada ambayo pia...

READ MORE

Kauli ya Rais Magufuli Baada ya Kupata Taarifa za Lissu

RAIS John Magufuli ameeleza kusikitishwa kwake kutokana na kushambuliwa kwa kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema). “Nimepokea...

READ MORE

NEC yateua Mbunge na Madiwani 3 wa Viti Maalum

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemteua Ndugu Rehema Juma Migilla kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

DEREVA, FUNDI WATUSUA MAPENE YA VODACOM MCHANA KWEUPEEEEEE!

  PROMOSHENI inayoendelea ya Kampuni ya Mtandao wa Simu ya Vodacom leo imekabidhi fedha kwa Washindi wa Promosheni ya ‘Tusua...

READ MORE

Mbowe Afunguka Sakata la Tundu Lissu Kushambuliwa kwa Risasi (Video)

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, ameongea na wanahabari nje ya Hospitali ya Mkoa wa Dodoma...

READ MORE

Mameya wa Dar es Salaam, Shanghai Wafanya Mazungumzo

MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Meya wa Jiji la...

READ MORE

RPC Dodoma: Tusaidieni Kuwapata Waliomshambulia Lissu (VIDEO)

Dodoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amezungumzia tukio la kupigwa risasi mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,...

READ MORE

Chadema: Taarifa Ya Awali Kuhusu Shambulio La Kupigwa Risasi Tundu Lissu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kupigwa risasi Mwanasheria Mkuu wa Chama ambaye pia...

READ MORE

Tundu Lissu Avamiwa, Apigwa Risasi, Akimbizwa Hospitali

MBUNGE wa Singida Mashariki, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu amevamiwa na...

READ MORE

Hashimu Rungwe Afunguka Baada ya Kukaa Mahabusu Siku 7 (Video)

MWENYEKITI wa Chama cha Umma (Chaumma) na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka...

READ MORE

Kutajwa Sakata la Madini… Waziri Simbachawene, Ngonyani Wajiuzulu

WAZIRI wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene na Naibu Waziri wa Ujenzi,...

READ MORE

Live Spoti Hausi: Kutana na Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas leo Saa 10: Jioni

#SpotiHausi ni kipindi cha #Michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi Ni hapa hapa #GlobalTVOnline Fanya kuingia hapa www.youtube.com/user/uwazi1  SUBSRIBE #YouTube...

READ MORE

Breaking News: Mtekaji Wa Watoto Arusha Auawa Kwa Kupigwa Risasi

Kijana aliyehusika na matukio ya utekaji watoto mkoani Arusha, Samson Petro (18) amefariki dunia kwa kupigwa risasi na polisi. Kamanda...

READ MORE

JPM Afanya Maamuzi Magumu kwa Mawaziri Waliotajwa Ripoti za Madini

HAFLA fupi ya Rais John Magufuli kukabidhiwa Ripoti mbili za Kamati Maalum kuchunguza biashara ya madini ya Almasi na Tanzanite...

READ MORE

Baba Alivyowaona Watekaji wa Watoto, Polisi Wakachelewa

KUFUATIA tukio la utekaji watoto Arusha, imeelezwa kuwa Askari wa Jeshi la Polisi hawakufika eneo ambalo watu wanaodhaniwa kuwa ni...

READ MORE

CHEMICAL: SIJAWAHI KUPENDWA NA STEREO KWA DHATI

RAPA wa kike anayefanya vizuri kwenye Hip Hop Bongo, Claudia Lubao ‘Chemical’, amefunguka kuwa, msanii Stereo ambaye amekuwa akijanasibu kwenye...

READ MORE

NIKKI WA PILI: NILIWAHI KUWA WA MWISHO DARASANI

  MKONGWE asiyechuja kwenye Hip Hop Bongo ambaye pia ni msomi wa Shahada ya Uzamivu (Master Degree), Nickson Simon ‘Nikki...

READ MORE

Kigogo wa Tshishimbi Atua Mazoezini Yanga, Afanya Kikao cha Siri

KATIKA kuhakikisha kikosi cha Yanga kinamaliza tatizo la beki wa kati, mmoja wa wapenzi wa timu hiyo, Shabani Hussein ‘Papaa...

READ MORE

Sakata la Almasi na Tanzanite, Mbowe Ampa Tano Ndugai

  KUFUATIA Ripoti iliyowasilishwa leo na Kamati ya Bunge iliyoundwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuchunguza biashara ya madini...

READ MORE

JPM Kupokea Taarifa ya Uchunguzi wa Tanzanite na Almasi

Rais Dkt. John Magufuli kesho Septemba 7 anatarajia kupokea taarifa ya uchunguzi ya madini ya Tanzanite na Almasi kutoka kwa...

READ MORE

Huyu Ndo Prodyuza Aliyetengeneza Zimbabwe ya ROMA

UKISIKILIZA ngoma mpya ya mkali wa HipHop Bongo, ROMA Mkatoliki, aliyoiachia mwezi uliopita, Zimbabwe lazima utatamani kumfahamu mtayarishaji wa ngoma...

READ MORE

Washindi Benki ya CBA Promosheni ya Weka Amana Wapatikana

WASHINDI wawili wa promosheni ya ‘Weka Amana Ushinde’ kutoka Benki ya CBA leo wamepatikana na kujishindia fedha ambapo mkazi wa...

READ MORE

Wakongwe wa Soka Wasifia Sokabet Kumwaga 150 kwa Majimaji

BAADA ya kuanza kimyakimya kupiga mzigo na kuwawezesha Watanzania wengi kuneemeka kutokana na kupatia katika michezo ya kubashiri matokeo, hatimaye...

READ MORE

Msama Awaonya Vinara Wizi Kazi za Wasanii

MKURUGENZI wa Msama Promotions, wasimamizi na wasambazaji wa kazi za Muziki wa Injili, Alex Mwita Msama, amewataka wauzaji wa CD...

READ MORE

Mwenyekiti Kamati ya JPM ya Makinikia, Muhongo, Ngeleja Kitanzini

KAMATI ya Bunge iliyoundwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuchunguza biashara ya madini ya Almasi na Tanzanite imependekeza wajumbe...

READ MORE

DAR: Polisi Wamwachia Hashim Rungwe

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemwachia kwa dhamana mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Hashim Rungwe,...

READ MORE

SportPesa Yaitunuku Global Publishers Tuzo

KAMPUNI ya kubashiri matokeo ya SportPesa imeikabidhi Kampuni ya Global Publishers kupitia Gazeti la Championi tuzo kutokana na ushirikiano mzuri...

READ MORE

CUF ya Maalim Watoa Kauli Nzito kwa Wabunge wa Lipumba -Video

VIONGOZI wa Chama cha Wananchi (CUF) wametoa kauli nzito kuhusu wabunge wa chama hicho wanaomuunga mkono Mwenyekiti anayetambulika na Msajili...

READ MORE

Manji Pigo Tena, Avuliwa Udiwani

MFANYABIASHARA Yusuf Manji amepoteza sifa ya kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita...

READ MORE

Miaka 20 Tangu Princess Diana Azikwe, Dunia Bado Inamkumbuka

Princess Diana enzi za uhai wake. Siku ya mazishi ya Princess Diana. Siku ya mazishi ya Princess Diana. Mahali alipozikwa....

READ MORE

KAHABA MZUNGU ATIKISA DAR! AHOFIWA KUSAMBAZA VIRUSI

  DAR ES SALAAM: Kabaaang! Changudoa mmoja wa Kizungu raia wa Uholanzi aliyefahamika kwa jina moja la Monica ametikisa Jiji...

READ MORE

TAHARUKI, MWILI ULIOZIKWA JULAI WAFUKULIWA SEPTEMBA

  KILIMANJARO: Taharuki! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati mkubwa wa watu kujitokeza jana wakati polisi walipoongoza ufukuaji wa kaburi...

READ MORE

Kiba King Anatembea Njia za Darassa?

SEDUCE ME, ndiyo habari ya mjini, hili halina ubishi. Kwamba King Kiba, amerejea kwenye ubora wake wa enzi baada ya...

READ MORE

Tatizo la Nguvu za Kiume Lazua Mjadala Bungeni

SWALI la Mbunge wa Konde (CUF), Khatib Said Haji kuhusu upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume nchini,  limewaibua wabunge...

READ MORE

Acacia Yaanza Kukabidhi Mgodi wa Buzwagi kwa Serikali

BAADA ya Acacia kutangaza kupunguza operesheni zake Bulyanhulu, kampuni hiyo imeanza kuikabidhi Serikali baadhi ya mali zake kwenye Mgodi wa...

READ MORE

Arusha: Miili ya Watoto Wawili Yaopolewa Shimoni

SAKATA la kutekwa kwa watoto wawili jijini hapa limechukua sura mpya baada ya jana miili miwili ya watoto kuopolewa shimoni...

READ MORE

BREAKING NEWS: Viongozi Wanne wa CUF Wamefariki Kwenye

VIONGOZI wanne wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaomuunga mkono mwenyekiti wa chama hicho anayetambulika na Msajili wa Vyama, Prof. Ibrahim...

READ MORE

Harmorapa Kujifunza Kingereza kwa Mr. English

BWA’MDOGO asiyekaukiwa matukio, Harmorapa anatarajia kuanza kujinoa katika suala zima la Lugha ya Kingereza kwa mtaalam wa kufundisha lugha hiyo,...

READ MORE