×

Habari

Wanawake Watano Wauawa kwa Kuchomwa Moto

  WANAWAKE watano wameuawa kwa kuchomwa moto Kijiji cha Undomo, Uchama, Nzega mkoani Tabora kwa tuhuma za kuhusika na imani...

READ MORE

Kiongozi Mkuu wa Wapiganaji wa Mai-Mai Ajisalimisha Congo

Mmoja miongoni mwa wapiganaji wa vita maarufu sana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejisalimisha kwa walinda amani wa umoja...

READ MORE

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA OFA YA PUNGUZO LA BEI

ABU DHABI, UMOJA WA FALME ZA KIARABU – Shirika la anga la Etihad limetangaza punguzo la bei katika safari zake...

READ MORE

40 Ya mke wa Mzee Yusuf utata

  DAR ES SALAAM: Dua kwa ajili ya mke mdogo (wa pili) wa Alhaj Mzee Yussuf aliyefariki dunia Juni 18,...

READ MORE

VIDEO: Mzee Majuto Awajibu Waliomzushia Kifo, Tazama Video Hii

Msanii Mkongwe wa filamu na uchekeshaji Amri Athumani amekanusha uvumi unaoendelea kuwa amefariki dunia na kuhakikisha kuwa yupo vizuri kiafaya...

READ MORE

MR NICE AFANYIWA KITU MBAYA GESTI

DAR ES SALAAM: Mfalme wa Takeu, Lucas Mkenda maarufu kama Mr. Nice juzi Jumatatu alifanyiwa kitu mbaya mae­neo ya uswahilini,...

READ MORE

FLORA, MBASHA HEBU ACHENI UTOTO

  Hakuna kazi ngumu kama kutoa ushauri kwa watu wenye mgogoro unaohusisha uhusiano wa kimapenzi, kwa sababu ni lazima upande...

READ MORE

Wastara Akiri Sadifa Juma Kumharibu Kisaikolojia

STAA mahiri wa Bongo Muvi, Wastara Juma ameibuka na kusema aliyekuwa mume wake wa tatu ambaye ni Mbunge wa Donge,...

READ MORE

TAKUKURU YAWAHOJI SHAFFIH DAUDA, MWENYEKITI DRFA, WAACHIWA

Wadau mbalimbali wa soka wakiwemo wagombea wa uchaguzi katika nafasi mbalimbali za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wamekamatwa jijini Mwanza....

READ MORE

Bomoabomoa Kimara Yaanza Barabara ya Morogoro

BAADHI ya wakazi wa Kimara-Stop Over jijini Dar es Salaam leo walipatwa na taharuki baada ya bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa...

READ MORE

Majaliwa Afungua Maonyesho ya 12 Elimu Vyuo Vikuu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo  amefungua amefungua maonyesho ya 12 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yaliyoandaliwa na Tume...

READ MORE

Familia Yakomalia Ndoa ya Jokate na Kiba

  DAR ES SALAAM: Familia ya nyota wa Muz­iki wa Kizazi Kipya, Ali Kiba, imesema inahitaji ndoa kati ya kijana...

READ MORE

VILIO, SIMANZI VYATAWALA KUAGWA KWA MTOTO NORAH

  NI huzuni na simanzi kubwa kwa ndugu jamaa na marafiki iliyoambatana na vilio wakati wa shughuli yaa kuaga mwili...

READ MORE

Washindi Watatu wa ‘Shinda Nyumba’ Wachukua Zawadi Zao

  WASHINDI watatu wa droo ya tano ya shindano la ‘Shinda Nyumba’ leo wameondoka na zawadi zao katika ofisi za...

READ MORE

Makontena 10 ya Kemikali Bashirifu Yakamatwa Bandarini

Aidha mamlaka hiyo imebaini kuwa, kampuni inayotuhumiwa kwa sakata hilo imekuwa ikiingiza kemikali hizo tangu mwaka 2016, ambapo taarifa zinaonyesha...

READ MORE

Mwanaume Ajinyonga Kisa Wivu wa Mapenzi

MCHIMBA migodi mmoja huko Migori, Kenya, amejinyonga baada ya mkewe kudai kwamba alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwingine....

READ MORE

KILIMANJARO: Madiwani Watatu Chadema Wahamia CCM

PIGO jingine limekikumba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya madiwani wake watatu kujivua nyadhifa zao na kutangaza kujiunga...

READ MORE

Sakata la Kuibiwa Mtoto Kutua kwa JPM

  DAR ES SALAAM: Lile sakata la mwan­amama Asma Juma (29) aliyedai kujifungua watoto wawili mapacha katika Hospitali ya Temeke...

READ MORE

Mbunge Kibaha Vijijini Akabidhi Vitanda na Ambulance 3

    MBUNGE wa Kibaha Vijijini, Hamoud Jumaa jana alikabidhi magari ya wagonjwa (Ambulance’s) tatu kwa wananchi wa jimbo lake...

READ MORE

DROO YA 5 YA SHINDA NYUMBA… TV, SMARTPHONE, DINNER KUTOLEWA LEO

  WASHINDI wanne waliopatikana katika droo ndogo ya tano ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili iliyofanyika Alhamisi...

READ MORE

Inspekta Haroun: Ustaa, Ujana Vilinitesa

  MOJA kati ya changamoto kubwa inayowakabili mastaa wa fani mbalimbali duniani, ni kuishi maisha ndani ya ndoa. Ni jambo...

READ MORE

Marekani kuziwekea wikwazo Urusi, Iran na Korea Kaskazini

  Baraza la wawakilishi la Marekani limepiga kura kuweka vikwazo vipya dhidi ya Urusi, Iran na Korea Kaskazini. Urusi inaadhibiwa...

READ MORE

Shilole: Umama N’tilie Umeniteka Kuliko Muziki

  MWANAM-UZIKI wa miondoko ya mduara, Zuwema Mohammed ‘Shilole’ ameweka wazi kuwa huenda akaukacha muziki siku za usoni kutokana na...

READ MORE

YANGA YATANGAZA KUMSAJILI KIPA WA SERENGETI BOYS, ASAINI MIAKA MITANO

Baada ya tetesi ndani ya wiki kadhaa, hatimaye Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kipa chipukizi, Ramadhani Kabwili. Kipa huyo aliyekuwa...

READ MORE

SIMANZI! Mjomba Adaiwa Kumbaka, Kumnyonga Mpwa Wake

  SIMANZI! Mtoto Nora Jimmy (11), mkazi wa Sinza Mapambano jijini Dar aliyekuwa akisoma darasa la sita Shule ya Msingi...

READ MORE

UJIO MPYA WA MPOTO NA CASSIM MGANGA HAUTAMUACHA MTU SALAMA!

  Baada ya kufanya vizuri na kibao chake cha Sizonje, mwanamuziki wa miondoko ya Asili, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ ambaye aliamua...

READ MORE

Linah Ajifungua Mtoto wa Kike

  Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga maarufu kama Linah amejifungua mtoto wa kike salama katika hospitali ya...

READ MORE

Kisa Mjamzito… Waziri Amsimamisha Mganga Mfawidhi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Ummy Mwalimu, amemsimamisha kazi mganga mfawidhi (Clinical Officer)...

READ MORE

LIVE NGUMI ZA GLOBAL TV: NASIBU RAMADHANI VS YOHANE BANDA

TAZAMA LIVE MARUDIO YA MPAMBANO  WA NASIBU RAMADHANI VS YOHANE BANDA KUPITIA GLOBAL TV ONLINE   JUMLA ya mabondia sita...

READ MORE

Wafanyakazi 5 wa CI-Group Wahukumiwa kwa Kuishi Nchini Kinyemela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wafanyakazi watano wa Kampuni ya Uchapaji ya CI-Group Co. Ltd, kulipa Sh 52.5 milioni...

READ MORE

Masanja: Nisingeondoka Marekani Bila Kuwaona Watoto Waliopata Ajali

  MMOJA  wa wasanii wa vichekesho waliokuwa wakiunda kundi la Orijino Komedi ambaye kwa sasa ni mchungaji, Emmanuel Mgaya a.k.a...

READ MORE

VIDEO: Baba wa Watoto Waliozaliwa Wameungana Aomba Msaada

  BABA wa watoto waliozaliwa mwishoni mwa wiki iliyopita wakiwa wameungana miili yao katika Hospitali ya Misheni ya Berege, wilayani...

READ MORE

Mambo 5 ya Kuzingatia Siku ya Kwanza Kuonana na Mpenzi Wako

NI dhahiri kwamba mapenzi ni maisha na vita yake haijawahi kumuacha mtu salama, uwe mwanajeshi, mbunge, kinyozi, au hata komando...

READ MORE

Ndugai Athibitisha Kupokea Barua ya Lipumba Kuwafukuza Wabunge 8

Spika wa Bunge Job Ndugai amethibitisha kupokea barua ya Prof Lipumba kuwafukuza uanachama wabunge 8 na madiwani, anatafakari kuchukua hatua.

READ MORE

Halotel, Mercy Corps Waungana Kuwaiua Wakulima Nchini

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel kwa kushirikiana na taasisi ya kifedha ya MERCY CORPS leo wameanzisha mpango maalum...

READ MORE

Yaliyojiri Kisutu Kesi ya Agness Masogange

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Julai 25, 2017 imeshindwa kuanza kusikiliza kesi kuhusu kutumia dawa za kulevya inayomkabili video...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Awahutubia Wananchi wa Singida

Leo Julai 25, 2017, Rais John Magufuli anaendelea na ziara yake na leo yuko wilayani Itigi mkoani Singida kufungua Barabara...

READ MORE

Kabila Linalohusudu Vitambi, Linalotembea Utupu-5

TUNAENDELEA kuwaletea Kabila la Bodi ambalo wanaume hutembea uchi wa nyama na kujinenepesha ili wawe na kitambi kisha kushindana, endelea:...

READ MORE

TCU Yataja Vyuo Vilivyozuiliwa Kudahili Wanafunzi 2017/18

Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imetoa orodha ya vyuo vilivyozuiliwa kufanya udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa...

READ MORE

SHINYANGA: Mtoto Afariki kwa Kukanyagwa na Gari

Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa mwaka mmoja amefariki dunia papo hapo...

READ MORE