×

Habari

TMA watoa utabiri wa hali ya hewa kwa Oktoba hadi Disemba

  Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi...

READ MORE

Lissu Apanda Kortini Kesi ya ‘Dikteta Uchwara’

MBUNGE wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Tundu Antipas Lissu leo Septemba 4, 2017 amefika...

READ MORE

Wafanyakazi Kampuni ya China ya Anhui Dar Wagoma

WAFANYAKAZI wa kampuni ya China ya Anhui Foreign Economic Construction Group Co. Ltd wanaojenga jengo moja mkabala na Ukumbi wa...

READ MORE

Shilole Adaiwa Kubondwa na Mchumba Wake

MKALI wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Zuwena Mohamed ‘Shilole au Shishi Baby’ anadaiwa kubondwa na mpenzi wake wa sasa...

READ MORE

‘Kinachomtesa Chid ni hiki!’

MTAALAM wa saikolojia, Mkang’u Lyadunda amesema kinachomtesa staa wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ ni kutopata tiba sahihi baada...

READ MORE

Mwijage Asema India Imeahidi Kuja Kuwekeza Tanzania

WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, leo amezungumzia ziara yake ya hivi karibuni nchini India ambapo alikwenda kwa...

READ MORE

Mahakama Yaruhusu Manji Akahojiwe Polisi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo September 4, 2017, imeruhusu mfanyabiashara Yusuf Manji na wenzake wahojiwe na Jeshi la Polisi ili...

READ MORE

Majimaji Yalamba Sh Milioni 150 za Udhamini Kutoka Sokabet

KAMPUNI ya Mchezo wa Kubashiri ya Sokabet, imezinduliwa rasmi leo Jumatatu, Septemba 4, 2017 katika Hoteli ya Protea jijini Dar...

READ MORE

Saida Karoli, Belle 9 na G Nako Kwenye Kichaka (VIDEO)

MSANII mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli ambaye hivi karibuni amekuwa akitamba na wimbo wake wa Orugambo baada ya...

READ MORE

Acacia Waamua Kupunguza Operesheni Mgodi wa Bulyanhulu

KAMPUNI ya Acacia imetangaza lengo lake la kupunguza shughuli za uendeshaji na uzalishaji katika Mgodi wa Bulyanhulu kutokana na upungufu...

READ MORE

Simon Msuva Awashangaa Yanga

KUFUATIA kuitungua timu ya taifa ya Botswana mabao mawili, winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, ameshangazwa na mashabiki wa...

READ MORE

Tshishimbi Afanyiwa Mazoezi Maalum Njombe

WAKATI wikiendi hii timu ya Njombe Mji ya Njombe ikitarajiwa kuwavaa Yanga, uongozi wa timu hiyo umeamua kuwapa mazoezi maalum...

READ MORE

Samatta: Msuva Anapita tu Morocco

NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, amemtaja kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Simon Msuva kuwa atafika mbali katika soka la...

READ MORE

Kijana wa Miaka 18 Kinara wa Kuteka Watoto Anaswa!

MATUKIO ya utekaji watoto mjini Arusha yameanza kupata mwelekeo wa ufumbuzi baada ya kijana wa miaka 18 kukiri kuwateka watoto...

READ MORE

KAJALA: Sina Mpango wa Kuolewa Tena

UKITAKA kutaja majina ya mastaa wakali katika kiwanda cha Bongo Muvi, huwezi kuacha jina la muigizaji Kajala Masanja ‘Kay’ ambaye...

READ MORE

SIKU YA DROO KUBWA… MAMBO HADHARANI

BAADA ya miezi sita ya wasomaji wa magazeti ya Global Publishers kupata kuponi zao na kuzituma kupitia kwa mawakala mbalimbali,...

READ MORE

DKT. HARRISON MWAKYEMBE AMPONGEZA BALOZI WA CHINA NCHINI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa pongezi za dhati kwa Balozi wa China nchini...

READ MORE

Mbunge Mteule Viti Maalum CUF, Bi Hindu Mwenda Azikwa (Video)

HATIMAYE Mbunge Mteule Viti Maalum Cuf, Hindu Mwenda,  aliyefariki usiku wa kuamkia jana nyumbani kwake Kibada Kigamboni amezikwa leo makaburi...

READ MORE

Tamasha la Mziki Mnene Lazinduliwa Kw Kishindo Tabata

Tamasha la Mziki Mnene linaloandaliwa na kituo kinachofanya vyema nchini Tanzania E-FM Radio, lilianza hivi karibuni kwa shauku kubwa ambapo...

READ MORE

Msekwa: Wakati wa Kupinga Matokeo ya Urais Mahakamani Umeshafika

Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Pius Msekwa amesema wakati wa kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais...

READ MORE

Uhuru Kenyatta Ampa Onyo Raila Odinga

  Aliyekuwa Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta amefunguka na kutoa onyo kwa mpinzani wake Raila Odinga kuwa asahu kuhusu...

READ MORE

JPM Achangia Mifuko 400 ya Saruji, Sh 5M Ujenzi Kanisa la Wasabato Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli, leo wameungana na waumini wa...

READ MORE

Taifa Stars Yaitwanga Botswana 2-0

TIMU ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars imeinyuka Timu ya Botswana bao 2-0, mchezo wa kirafiki wa Kalenda...

READ MORE

Meza ya Wazalendo… Makamba, Shaka, Shigongo Wafunguka

LILE Kongamano la MEZA YA WAZALENDO lililokuwa likisubiliwa kwa hamu hatimaye limefanyika leo katika Ukumbi wa Nkurumah uliopo Chuo Kikuu...

READ MORE

Hoteli Zitakazobomolewa Kupisha Makazi ya Waziri Mkuu Dodoma

IKIWA ni takribani ni miezi 11 tangu Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ahamie Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, viwanja...

READ MORE

MUHIMBILI: TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WAGONJWA WASIOFAHAMIKA WANAKOTOKA

Tunapenda kuwataarifu kuwa tulipokea wagonjwa wasiofahamika wanakotoka (unknown patients). Wagonjwa hawa wapata matibabu na afya zao zinaendelea kuimarika lakini hawajaweza...

READ MORE

LIVE: Matukio Yote Mahakama Kuu Ilivyofuta Uchaguzi Kenya

KUFUATIA Mahakama Kuu nchini Kenya kuyafuta matokeo ya Uchaguzi wa Rais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta kutokana na kile kilichobainika kuwa...

READ MORE

Global TV Online: Usikose Kutazama Jumba La Dhahabu Leo Saa 11:30

  GLOBAL TV Online inaendelea kukuletea mfululizo wa Tamthilia maarufu ya Jumba la Dhahabu. Naamini uliiona lakini haikua yote au...

READ MORE

Bweni la Wasichana Lateketea kwa Moto, Saba Wafariki Dunia!

Bweni la Shule ya Wasichana ya Moi iliyopo Kibera jijini Nairobi, limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha...

READ MORE

TANZIA: DC Rweyemamu Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga na mwandishi wa habari, Muhingo Rweyemamu amefariki dunia leo Jumamosi, Septemba...

READ MORE

Wasifu wa Jaji Mkuu wa Kenya Aliyefuta Uchaguzi

In obedience to God’s Command and Will, and guided by the Constitution, to serve humanity, and Kenyans in particular, with...

READ MORE

TANZIA: Mbunge Mpya wa CUF Afariki Dunia

MBUNGE mteule wa Chama cha Wananchi (CUF), Bi Hindu Mwenda amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa...

READ MORE

SHAKA SSALI KUONGOZA KONGAMANO LEO

MTANGAZAJI wa kimataifa kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika (VOA) ambaye ni mhariri wa idara hiyo na mtangazaji...

READ MORE

Wayne Rooney Atiwa Mbaroni

Mshambuliaji wa Everton Wayne Rooney amekamatwa na baadae kuachiliwa kwa kosa la kuendesha gari akiwa amelewa, polisi mjini Cheshire imesema....

READ MORE

Dar: Almasi Ya Bilioni 32.8 Yanaswa Airport Ikipelekwa Ubelgiji

JESHI la Polisi limekamata almasi yenye uzito wa kilo 19.5 inayokadiriwa kuwa na thamani ya Sh. bilioni 32.8 katika Uwanja...

READ MORE

LIVE: KENYATTA AHUTUBIA TAIFA BAADA YA UCHAGUZI KUFUTWA

IKIWA ni saa 5 baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kufuta matokeo ya Uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta...

READ MORE

LIVE: HOTUBA YA ODINGA BAADA YA UCHAGUZI KUFUTWA

Kiongozi wa Upinzani Kenya Raila Odinga amesema uamuzi wa mahakama wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais yanaashiria mwanzo wa...

READ MORE

Dar Washerekea Eid El HajjI Coco Beach

Watanzania  leo wamesherekea Sikukuu ya Eid El Hajji katika ufukwe wa Coco Beach uliopo Bahari ya Hindi, Masaki, jijini Dar....

READ MORE

Lissu, Zitto, Bashe Wafunguka Matokeo ya Urais Kenya Kufutwa

KUFUATIA Mahakama Kuu nchini Kenya kuyafuta matokeo ya Urais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta kutokana na kile kilichobainika kuwa uchaguzi huo...

READ MORE