×

Habari

LIGI KUU TANZANIA BARA SASA TIMU KUWA 20 BADALA YA 16

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litapandisha idadi ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu msimu ujao...

READ MORE

Mkojo wa Manji Wazua Utata Mahakamani

WAKILI wa utetezi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara Yusuf Manji ya kutumia madawa ya kulevya, Hoodson Ntisiepo, amemuuliza mtoa ushahidi kutoka...

READ MORE

SHAKA SSALI KUPAMBA KONGAMANO LA WAZALENDO SEPT. 2

MTANGAZAJI maarufu duniani kutoka Kituo cha Redio cha Sauti ya Amerika (VoA), Shaka Ssali anatarajiwa kupamba kongamano la Meza ya...

READ MORE

Polisi Wampeleka Tundu Lissu Nyumbani Kwake Kumpekua

MWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amepelekwa nyumbani kwake na polisi kwa ajili ya kupekuliwa....

READ MORE

Shuhudia Haji Manara Alichomfanyika Shabiki wa Yanga (Video)

Katika kuelekea mchezo wa leo Jumatano, Agosti 23 wa watani wa jadi katika Dimba la Taifa, Msemaji wa Klabu ya...

READ MORE

RC Gambo Alivyofunga Mjadala wa Rambirambi za Lucky Vincent

Hatimaye utata uliokuwa umeenea wa kuwepo kwa ufujaji na matumizi mabaya ya fedha kiasi cha milioni 285.49 zilizokuwa zimechangwa na...

READ MORE

Mwakifwamba Adaiwa Kutafuna Fedha za Shirikisho

DAR ES SALAAM: Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya vyama saba kati ya kumi vina­vyounda Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’...

READ MORE

LIVE: Samia Ahutubia Mkutano wa National Summit on Food Foundation

LIVE: Mama Samia Mgeni Rasmi Kwenye Mkutano wa National Summit on Food Foundation

READ MORE

Shose Sinare Aweka Rekodi Miss TZ

DAR ES SALAAM: Mrembo Shose Sinare, ambaye alitwaa taji la Miss Tanzania mwaka 1996, ameweka rekodi inayoweza kuwa ngumu kuvunjwa,...

READ MORE

Ajali ya Basi, Lori na Trekta Yaua Kwimba, Mwanza

WATU ambao idadi yao bado haijafahamika wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Frester, lori na trekta lilolokuwa...

READ MORE

Man Fongo Adondoka Juu ya Paa

MSANII wa muziki wa Singeli nchini, Amani Fongo ‘Man Fongo’ mwishoni mwa wiki iliyopita alinusurika kifo baada ya kutereza juu...

READ MORE

Lissu Ahojiwa Kuhusu Uchochezi wa Bombardier ya Serikali

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye alikamatwa na polisi mapema leo wakati anatoka Mahakamani,...

READ MORE

Sumaye Aanika Mazito Serikali Kumnyang’anya Mashamba Yake

Waziri  Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amevunja ukimya na kusema  kwamba watawala wanaendesha nchi  kwa visasi ndiyo maana tangu ahame Chama...

READ MORE

KUELEKEA DROO KUBWA… SHINDA NYUMBA SASA GUMZO KILA KONA

  WAKATI siku za kuchezeshwa kwa droo kubwa katika Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili zikikatika kwa kasi,...

READ MORE

Alichokisema Waziri Mahiga Mapokezi ya Waziri wa Uingereza

Waziri wa Nchi anayeshughulikia Masuala ya Afrika kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza, Mhe. Stewart Rory, amewasili nchini...

READ MORE

MTUHUMIWA SHAMBULIO LA BARCELONA AFIKISHWA MAHAKAMANI

  WATU wanne wanaoshikiliwa na polisi kwa kushukiwa kuhusika na shambulio la Barcelona, wamefikishwa mahakama kuu ya Madrid kujibu mashitaka...

READ MORE

WATEJA WA ZANTEL KUFURAHIA HUDUMA 4G PEMBA

Dar es Salaam. Wateja wa Zantel sasa wataendelea kufurahia huduma zenye ubora wa hali ya juu kwenye upigaji wa simu na...

READ MORE

EFM Kuzindua Tamasha la Muziki Mnene Jumamosi

KWA mara nyingine tena kituo cha redio cha Efm kinatarajia kuzindua Tamasha lake la kila mwaka lijulikanao kama muziki mnene....

READ MORE

Manji Apinga Mkojo Wake Kukutwa na Madawa

KESI inayomkabili mfanyabiashara Yusuf Manji ya kutuhumiwa na matumizi ya dawa za kulevya leo Ijumaa, Agosti 22, 2017 imeanza kutolewa...

READ MORE

Breaking News: Tundu Lissu Akamatwa na Polisi Kisutu

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Tundu...

READ MORE

Simba SC Wajifua Kuikabili Yanga Kesho

Klabu ya Simba leo imefanya mazoezi yake ya mwisho kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (Mchezo wa...

READ MORE

Paparazzi Maarufu Akutwa Amejinyonga

Wakazi wa Chalinze na vitongoji vyake mkoani hapa, Jumatano iliyopita walikumbwa na simanzi baada ya paparazzi na mpiga picha wao...

READ MORE

32 Kizimbani kwa Mauaji ya Wanawake Tabora

Watu 32 wamefikishwa mahakamani kujibu shtaka  la mauaji ya wanawake watano yaliyotokea katika Kijiji cha Undomo Kata ya Uchama wilayani...

READ MORE

Mwili wa Mwanaharakati wa Tembo Kuagwa Leo, Dar

MWILI wa mwanaharakati wa kupinga ujangili na biashara haramu ya meno ya tembo wa nchi za Afrika Wayne Lotter, aliyepigwa...

READ MORE

Wahindi Wekundu; wanaotembea bila nguo, walaji wa nyani!

KATIKA mfululizo wa makala za safu hii, tuliwaeleza kuhusu watu weusi wa Papua New Guinea ambao licha ya kukaa bila...

READ MORE

Kiburi cha Costa na Jeuri ya Chelsea

  SAKATA la Die­go Costa kugoma kurejea Chelsea bado li­nashika kasi na kuwa gum­zo duniani kote. Straika huyo yupo nchini...

READ MORE

MSUVA: LUGHA NI TATIZO KWANGU MOROCCO

KADIRI siku zinavyokwen­da, matajiri wa timu ya Difaa El Jadidi ya Morocco waliopata nafasi ya kumnasa nyota wa Yanga, Simon...

READ MORE

Rekodi… Yanga Ilivyoipoteza Simba Ngao ya Jamii

  UHONDO wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba ni keshokutwa Juma­tano. Hii itakuwa ni mechi ya nne...

READ MORE

Maiti 15 Zaopolewa Zikiwa Kwenye Viroba

Kuwapo kwa idadi kubwa ya miili inayoopolewa kutoka baharini au kukutwa fukweni ikiwa imefungwa kama mzigo kumefanya wavuvi na wafanyabiashara...

READ MORE

MPANGAJI AMSULUBU MTOTO WA MWENYE NYUMBA!

Mwanadada ambaye ni mpangaji aliyetajwa kwa jina la Magdalena Chata, anadaiwa kumsulubu mtoto wa mwenye nyumba, Aidath Ramadhani ambaye aliachiwa...

READ MORE

Daktari Feki Aliyenaswa Muhimbili, Adakwa Tena Hospitali ya Amana

Mkazi  wa  jiji la Dar es Salaam, Abdallah Juma aliyewahi kukamatwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akidaiwa kujifanya daktari...

READ MORE

BINSLUM NA COASTAL UNION SASA KAZI TU

  MFANYABIASHARA na mdau mkubwa wa soka hapa nchini, Nassor Bin­slum, kwa muda mrefu amekuwa mwanafamilia wa mchezo wa soka...

READ MORE

JPM Amteua Brigedia Mbungo TAKUKURU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Brigedia Jenerali John Julius Mbungo kuwa Naibu...

READ MORE

KAJALA, WEMA VISASI HADI KIFO

Chuki na visasi bado vimetawala kwa mastaa wakubwa wawili waliokuwa marafiki wa sinema za kibongo, kajala Masanja ‘kay’ na Wema...

READ MORE

JPM Akutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan

Baada ya Lissu Kuliamsha Dude, Serikali Yafunguka Sakata la Bombadier Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App Sikiliza Hadithi za...

READ MORE

Picha za JK na Mkewe Wakivuna Mahindi Gumzo Mitandaoni

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe, Mama Salma...

READ MORE

BOSI ADAIWA KUMZALISHA HAUSIGELI, AMTELEKEZA GESTI

DUNIA uwanja wa fujo! Bosi mmoja aliyejulikana kwa jina la Jackson mkazi wa Mbagala-Mwanamtoti, Dar, anadaiwa kumzalisha mfanyakazi wake wa...

READ MORE

Ester Bulaya Hoi, Apewa Dhamana, Ahamishiwa Hospitali ya Bugando

MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya (Chadema) amepewa dhamana baada ya kutimiza masharti ya wadhamini watatu na shilingi milioni 20,...

READ MORE

Simba SC Warejea Dar ‘Kuimaliza’ Yanga SC

Kikosi cha Klabu ya Simba kimemaliza kambi ambayo ilikuwa imewekwa kisiwani Unguja, Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo ujao...

READ MORE