×

Habari

Mtoto Achinjwa Kama Kuku Tandika Azimio jijini Dar

   UMESHAWAHI kushuhudia mtu akichinja kuku? Kama jibu ni ndiyo, basi ndivyo anavyoonekana kufanyiwa kitendo hicho mtoto Abdul Karim (pichani)...

READ MORE

VIDEO: Kauli ya Kamanda Mpinga Baada ya Kuteuliwa Kuwa RPC Mbeya

  IKIWA ni siku mbili tangu ateuliwe kuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, aliyekuwa Mkuu wa Polisi Kitengo...

READ MORE

VIDEO: Said Mrisho Aliyetobolewa Macho Afunguka Sakata la Kuitelekeza Familia

  SINEMA linaendelea. Ikiwa ni siku moja tu Bi. Stara Soud, mke wa kijana alinayedaiwa kutobolewa macho na mtu mmoja...

READ MORE

Loooh! UKIWA NA VIGEZO HIVI UMEMNASA LULU DIVA

DIVA anayekimbiza na Ngoma ya Utamu, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefungukia vigezo vya mwanaume anayeweza kumnasa lazima kwanza awe na...

READ MORE

Sumaye: Hatutanyamaza Hata Kidogo

  Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Halmashauri  Kuu Chadema, Frederick Sumaye amesema kuwa licha ya kukatazwa wasizungumze...

READ MORE

Sethi Augua, Kesi Yake na Rugemalira Yaahirishwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi inayowakabili mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder  Singh...

READ MORE

Breaking News: Mwakyembe Azindua Bodi ya Sanaa Bagamoyo

Waziri wa habari, Utanaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe leo amezindua rasmi bodi mpya ya Taasisi ya Sanaa Bagamoyo...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Kamishna wa Ardhi

  Rais Magufuli amewamteua Mary Gasper Makondo kuwa Kamishna wa Ardhi na Evelyne Mugasha kuwa Mthamini Mkuu wa Serikali.

READ MORE

Taiwan: Wabunge Wavurugana Bungeni, Wachapana Live

WABUNGE wa Taiwan leo walichapana makonde, wakarushiana viti na mabaluni ya maji baada ya kutofautiana kuhusu mradi mmoja wa miundombinu....

READ MORE

ACACIA Yakubali Kulipa Mirabaha Iliyomo Kwenye Sheria Mpya Madini

  Kampuni inayomiliki Makampuni ya Uchimbaji wa Madini ya ACACIA imesema italipa mirabaha iliowekwa katika sheria mpya za madini. Sheria...

READ MORE

Okwi Kuifuata Simba Sauzi

  MSHAMBULIAJI wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi anatarajia kukifuata kikosi hicho Afrika Kusini kwa ajili ya kambi ya...

READ MORE

Pichaz: AY Amvalisha Pete Mchumba Wake, Ndoa Yanukia

  Rapper nguli asiyechuja tangu kitambo hicho kutoka Bongo Fleva, Ambwene Allen Yessayah maarufu kama A.Y ama ‘Mzee wa Ankara’,...

READ MORE

Yanga Yamfuata Juuko

  KIKOSI cha Simba tayari kimeanza mazoezi yake ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza Agosti,...

READ MORE

Hatimaye Beyonce Awaanika Hadharani Mapacha Wake

  MWANAMUZIKI maarufu duniani, Beyonce Knowles kwa mara ya kwanza ameawaanika hadharani watoto wake mapacha ikiwa ni takribani mwezi mmoja...

READ MORE

Straika Mghana Anatua Simba Leo

  KAIMU Makamu wa Rais wa Simba, Idd Kajuna, Jumanne iliyopita alienda nchini Ghana kwa ajili ya kumalizana na straika...

READ MORE

Sabby Alia Filamu, Muziki Kumharibia Maisha

  SIKU chache baada ya kutangaza kuachana na sanaa, mrembo aliyekuwa akifanya filamu na muziki wa Bongo Fleva, Sabrina Omary...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa Julai 14, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Julai 14, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Pata Dakika Zaidi Kupiga Simu Mitandao Yote Na Zantel

PATA DAKIKA ZAIDI kupiga simu mitandao yote bila kikomo ukiwa na Zantel. #TwangaKotekote Piga *149*15# Bofya https://goo.gl/2peytZ

READ MORE

ALIYEJIFUNGUA NA KUAMBIWA MTOTO KAFA, UTATA WA MAITI WAIBUKA!

Mwanamke mmoja, Anita Shayo, mkazi wa Tabata aliyejifungua hivi karibuni kwenye Hospitali ya Amana jijini hapa, kisha mtoto wake ambaye...

READ MORE

VIDEO: Mtazame Wayne Rooney Alivyotikisa Nyavu za Gor Mahia

  Mjasiri haachi asili na akiacha asili si jasiri tena hiyo imedhihirika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam...

READ MORE

Waziri Ashutumu Fedha za Ujenzi Madarasa Kuhamishwa

  NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Stella Manyanya,  amelaani kitendo cha fedha zilizohamishwa kutoka Shule ya Sekondari ya...

READ MORE

MH! SHEMEJI YETU KWA WOLPER KULIKONI?

KAPO mpya inayotikisa kwa sasa Bongo ni ya muigizaji Jackline Wolper na baby wake, mwanamitindo anayeitwa Brown. Tangu kuibuka kwa...

READ MORE

VIDEO: Shabiki Amvaa Wayne Rooney Uwanjani Mechi Ikiendelea

  MMOJA wa mashabiki wa Tanzania waliofika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam amejitoa ufahamu na kumvamia mshambuliaji...

READ MORE

Yaliyojiri Kortini Kesi ya Kutumia Dawa za Kulevya Inayomkabili Masogange

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Julai 13, 2017 imekwama kuanza kusikiliza kesi kuhusu kutumia dawa za kulevya inayomkabili...

READ MORE

Mama Zari Apumulia Mashine ya Oksijeni!

  TUMUOMBEE! Mama mzazi wa Zarinah Hassan ‘Zari Boss Lady’, Halima Hassan anadaiwa kupumulia mashine ya oksijeni kwenye Kitengo cha...

READ MORE

Manyanya Ahimiza Elimu kwa Watoto Wenye Mtindio wa Ubongo

  Naibu Waziri wa Elimu na Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya amewahimiza wazazi wenye watoto walio na mtindio wa...

READ MORE

AVEVA, KABURU WAREJESHWA RUMANDE HADI JULAI 20

Inaonekana bado mambo ni magumu kwa Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ katika...

READ MORE

Mchele Wa Plastiki: Kama Siyo Huu Ni Nini?

HABARI kuhusu kuwepo kwa mchele wa plastiki zimekuwa zikienea miongoni mwa wananchi kila kukicha na hivyo kuendelea kuwatia wasiwasi kuhusu...

READ MORE

Amani latoa zawadi kwa wauza magazeti

Gazeti la Amani ambalo linachapishwa na Global Publishers pamoja na magazeti ya Championi, Uwazi, Risasi, Ijumaa, pamoja na Ijumaa Wikenda...

READ MORE

TRA Yazifunga Star TV na Radio Free Africa

Ofisi za Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki kituo cha televisheni cha Star na cha redio cha Radio Free Africa...

READ MORE

JAMII ISIWADHARAU MAKONDAKTA WA KIKE

IMEZOELEKA kazi ya ukondakta hapa nchini Tanzania inafanywa na wanaume lakini kutokana na ugumu wa maisha na kuongezeka kwa majukumu,...

READ MORE

Balozi Mwapachu Ang’atuka Ujumbe wa Bodi ya Acacia

  Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya uchimbaji ya Acacia, Balozi Juma Mwapachu amestaafu nafasi hiyo baada ya...

READ MORE

Bondia Mcongo Atamba Kumkalisha Mbongo Taji la Global TV

KATIKA historia ya mchezo wa ngumi za kulipwa duniani, DR Congo inakumbukwa kutokana na kufanyika kwa pambano kubwa katika uzito...

READ MORE

Mahakama ya Kisutu Yawaachia Huru Masamaki na Wenzake Watano

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, leo, Julai 13, 2017, imemuachia huru aliyekuwa Kamishna wa TRA, Tiagi Masamaki...

READ MORE

Sirro Amteua kamanda Mpinga Kuwa RPC wa Mbeya

  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP SAIMON SIRRO, amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani pamoja...

READ MORE

Tuhuma za Kufumaniwa; Said Aliyetobolewa Macho Afunguka Mazito!

  UKIMWAGA mboga, mimi namwaga ugali! Siku moja baada ya kuripotiwa kwa habari ya kufumiwa na mkewe wa ndoa, jamaa...

READ MORE

Yaliyojiri Lowassa Aliporipoti kwa DCI Kuhojiwa

  Nusu saa baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwasili katika ofisi ya mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa...

READ MORE

Said Mrisho Aliyetobolewa Macho na Scorpion Adaiwa Kufumaniwa!

  SAID Mrisho, yule kijana aliyedaiwa kutobolewa macho na mtu anayetambulishwa kwa jina la Salum Njwete ‘Scorpion’, baada ya kudaiwa...

READ MORE

Vijana Waelimishwa Mbinu za Kuendeleza Biashara

  MHAMASISHAJI mashuhuri wa kimataifa na Mwenyekiti Mtendaji wa Mawasiliano ya  Simu ya Econet  na Vyombo vya Habari na Teknolojia...

READ MORE