×

Habari

Breaking News: Wanafunzi Zaidi ya 20 na Walimu Wao Wafariki Ajalini Karatu

ARUSHA: Wanafunzi zaidi ya 20 na walimu wao (idadi haijafahamika) wamefariki dunia baada ya basi la wanafunzi aina ya Coaster...

READ MORE

Bosi Ajitokeza Kuimwagia Mamilioni Simba SC

  NA WILBERT MOLANDI NA MUSA MATEJA | CHAMPIONI JUMAMOSI | DAR ES SALAAM SIMBA msimu huu imecheza bila mdhamini...

READ MORE

Vodacom Yasherehekea Miaka 23 Ya Uhuru wa Afrika Ya Kusini Jijini

Balozi wa Afrika ya  Kusini nchini, Thamsanga Dennis Msekelu akipongezwa na Meneja Ruzuku wa Vodacom  Tanzania Foundation, Sandra Oswald, kuhusiana...

READ MORE

VIDEO: Bongo Movies & Bongo Fleva Waibukia Bungeni Dodoma

DODOMA: WASANII wa filamu nchini, Bongo Movie pamoja na wale wa muziki, Bongo Fleva jana waliibuka kwenye Ukumbi wa Bunge...

READ MORE

Pointi 3 za Ubingwa Yanga Hizi Hapa

NA WILBERT MOLANDI NA MUSA MATEJA | CHAMPIONI JUMAMOSI | DAR ES SALAAM YANGA ina mambo matatu ambayo inaamini yataipa...

READ MORE

Sasha Achukizwa na Wanaobeza Umbo Lako

STORI: HAMIDA HASSAN | RISASI JUMAMOSI | TANO KALI VIDEO Queen Sasha Kassim ameibuka na kusema kuwa anachukizwa na wanaobeza...

READ MORE

Baraka Akiri Naj Kumpoteza Kwenye Media

STORI: BONIPHACE NGUMIJE |RISASI JUMAMOSI| Mikito Nusunusu MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Baraka...

READ MORE

Ajali ya Malori Kugongana Yaua Wawili Dar

DAR ES SALAAM: Watu wawili wamepoteza maisha na mmoja kujeruhiwa kwa kuvunjika mguu baada ya malori mawili kugongana eneo la...

READ MORE

Msuva Bhana, Eti Mbaraka, Abdulrahman Hawamtishi

Stori Musa Mateja | Championi Jumamosi | Habari SIMON Msuva wa Yanga ana mabao 12 katika Ligi Kuu Bara sawa...

READ MORE

Niyonzima: Yanga Msiogope, Tunapanda Ndege Kama Kawa

Stori: Wilbert Molandi na Ibrahim Mressy | Championi Jumamosi | Habari BAADA ya kulitema Kombe la FA, nahodha msaidizi na...

READ MORE

Simba: Lyon Mkijichanganya Imekula Kwenu

Na Khadija Mngwai na Sweetbert Lukonge | Championi Jumamosi | Habari SIMBA imekiri kwamba kweli iliteleza na kufungwa bao 1-0...

READ MORE

Aunty Lulu Awekwa Kinyumba

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassa, Risasi Jumamosi, Habari DAR ES SALAAM: Imevuja! Baada ya hivi karibuni kuamua kupima Ukimwi...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Mei 6, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 6, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Mambo 7 Ya Jakaya Kikwete Kuhusu Maisha Yake ya Sasa

STORI: BRIGHTON MASALU, IJUMAA , HABARI NI takriban miaka miwili sasa tangu Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya...

READ MORE

Bella Kutoa taji kwa Pam D, Gigy Dar Live kesho

WAKATI mambo yakizidi kuwa moto kuelekea Mei 6 (kesho) katika mpambano wa kuimba kati ya Pamela Daffa ‘Pam D’ na...

READ MORE

Kesi Ya Msichana Aliyejirusha Bahari Kutoka Kwenye Boti ya Azam

Jeshi la Polisi Zanzibar limesema kuwa limekamilisha kumhoji msichana aliyejitosa bahari ya hindi eneo la Chumbe alipokuwa akisafiri na boti...

READ MORE

Mauaji ya Raia Yaendelea Kutikisa Pwani

Mkazi wa kitongji cha Makaravati katika Kijiji cha Umwe Kusini wilayani Rufijii anayeitwa Amri Chanjale (55),  ameuawa kwa kupigwa risasi...

READ MORE

Kitilya, Wenzake Wataka Upelelezi Ukamilike

NA DENIS MTIMA/GPL UPANDE wa utetezi katika kesi inayomkabili Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA, Harry Msamire Kitilya,mshindi wa Mashindano ya...

READ MORE

VIDEO: Sugu Amvaa Bashite, Ataka Ashtakiwe, Awaponda Bongo Muvi

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemshambulia Bashite huku akisema kuwa mtu huyo alipaswa awe mahakamani na sio ofisini...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Anunua Hisa Vodacom

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amenunua hisa za kampuni ya Vodacom Tanzania Plc zenye thamani ya sh. milioni 10 pamoja na...

READ MORE

Professor Jay: Wasanii wa Tanzania Wamekata Tamaa (Video)

Mbunge wa Jimbo la Mikumi ambaye pia ni Mwanamuziki wa Hip Hop Tanzania, Joseph Haule ‘Professor Jay’ ameiomba serikali kuzingatia...

READ MORE

Mjema Atembelea Soko la Buguruni, Achukizwa Uuzaji Bidhaa Chini

Stori: Denis Mtima na Hilaly Daudi. MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema leo ametembelea soko la Buguruni jijini Dar...

READ MORE

VIDEO: Kama Tunakimbiza Mwenge Basi Tukimbize Jembe, Nyundo & Shoka – Sugu

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amelaumu kuwa baadhi ya viongozi wa serikali wamesahau misingi ya Muasisi wa Taifa,...

READ MORE

Tonto Nusura Aue Muendesha Baiskeli

MKONGWE wa filamu ambaye ameelekezea maisha yake kusaidia jamii, Tonto Dikeh amefanikiwa kuokoa maisha ya kijana mmoja ambaye jina lake...

READ MORE

Madaktari Bingwa India kutoa huduma Tanzania

MADAKTARI  Bingwa kutoka Hospitali ya Prince Aly Khan ya Nchini India kwa kushirikiana na Madaktari wa Aga Khan wameanza kufanya...

READ MORE

Genevieve: Miss Tanzania 2010 Anayevaa Viatu Vya K-Lyinn

NA ANDREW CARLOS | GAZETI LA IJUMAA | SHOWBIZ UKIAMBIWA utaje ma-miss walioteka katika Muziki wa Bongo Fleva moja kwa...

READ MORE

Hali ya Mbunge wa CHADEMA Siyo Nzuri, Alazwa Muhimbili

Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche alifikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jana akitokea Dodoma kwa ajili ya matibabu...

READ MORE

Mo Akabidhiwa Mzigo wa Mamilioni Simba

MWANACHAMA wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, endapo atafanikiwa kuimiliki klabu hiyo, atakutana na mzigo wa kulipia madeni ya kodi klabuni...

READ MORE

Mbaraka Amkana Aveva, Adai Hana Mkataba Simba

 Na Said Ally | Championi Ijumaa | Habari BAADA ya juzi Jumatano, Rais wa Simba, Evans Aveva kutangaza klabu hiyo...

READ MORE

Gigy Money Taa Nyekundu Yamuwakia

TAA nyekundu imeshamuwakia modo na msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kwani kura zake zinaonekana kutaka kupungua. Baada...

READ MORE

LIVE: Wabunge Viti Maalum Wacharuka Dhidi ya Wabunge wa Majimbo Kuhusu Pesa za Mfuko wa Bunge

Wabunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamecharuka Bungeni wakitaka wahusike kwenye mfuko wa Bunge ambao...

READ MORE

Pluijm Aihamishia Singida United Mwanza

CHAMPIONI IJUMAA TIMU ya soka ya Singida United ya mkoani Singida ambayo imepanda daraja hivi karibuni na itashiriki Ligi Kuu...

READ MORE

Ufafanuzi wa Taarifa Inayodai JPM Ametengua Agizo la Mwakyembe Kuzuia Redio na TV Kusoma Magazeti

Ufafanuzi wa taarifa inayodai Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametengua agizo la Waziri Dkt. Mwakyembe kwa vyombo vya habari kuhusu...

READ MORE

VIDEO: Manchester United Walivyoichapa Celta Vigo 0-1 (Europa)

Klabu ya soka ya Manchester United usiku wa kuamkia leo imechomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Celta Vigo...

READ MORE