×

Habari

Mtazame LIVE Hans Poppe wa Simba Akifunguka Mazito Kupitia SpotiHausi ya Global TV Online

GLOBAL TV Online, Kupitia kipindi chake cha Michezo, SPOTI HAUSI, kinazungumza EXCLUSIVELY na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Timu...

READ MORE

ARUSHA: Diwani Chadema Ashinda Kesi ya Uchochezi Oparesheni UKUTA

Mahakama ya Wilaya ya Arusha imemuachia huru Diwani wa Kata ya Sombetini, Ally Bananga baada ya kukutwa hana hatia katika...

READ MORE

Wema Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na wenzake wawili, Matilda Abass na...

READ MORE

Gwajima Ajinasibu Kwa Utajiri

Stori: Brighton Masalu |Amani |Habari DES SALAAM: ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church (GCTC) ‘Ufufuo na...

READ MORE

SportPesa, Everton Wajionea Vipaji vya Soka kwa Vijana Nchini

Nahodha wa zamani wa Klabu ya Everton ya Uingereza, Leon Osman yuko nchini katika ziara fupi iliyoratibiwa na Kampuni ya...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Azindua Mfumo wa Serikali wa Ukusanyaji Mapato Kielektroniki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Alhamisi, Juni 1, 2017 amezindua rasmi Mfumo wa...

READ MORE

Simba Washindwe Wao Tu Kuwanasa Kapombe, Manula wa Azam

Mambo yanayoendelea ndani ya Klabu ya Azam yameendelea kuteka vichwa vya habari ambapo sasa yameibuka mapya. Wakati upepo ukiwa haujatulia...

READ MORE

Shabiki wa Simba Aliyefariki Ajalini Akitoka Dodoma, Kuagwa Leo – Dar

Mwili wa shabiki wa Simba, Shose Fidelis aliyefariki kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kushuhudia fainali ya Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Magavana Wawili wa Benki Kuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 31 Mei, 2017 amefanya uteuzi wa...

READ MORE

Jacqueline Wolper: Ilibaki Kidogo Niolewe Na Kiba

 Stori: Ally Katalambula, Amani, Habari UTAMU wa ubuyu ukae chini na umung’unye taratiiibu! Staa wa filamu za Kibongo asiyepungukiwa mbwembwe...

READ MORE

Mwanaheri Niacheni Na Funga Yangu

Stori: Mayasa Mariwata, Amani, Tatu Tamu MSANII wa filamu Bongo, Mwanaheri Ahmed amesema kuwa, anawashangaa watu wanaodhani kuwa katika kipindi...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi June 1, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 1, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom Yazinduliwa

Na Mwandishi Wetu   Dar es Salaam,31 Mei 2017. Huduma mpya yenye lengo la ukarimu, ushirika na utoaji,Imezinduliwa rasmi na...

READ MORE

VIDEO: Kauli ya Mbowe, Lema Kufuatia Taarifa ya Kifo Mzee Ndesamburo

DODOMA: KUFUATI kifo cha aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro na (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo aliyefariki...

READ MORE

Mwanajeshi wa Ghana Auawa na Wananchi Akidhaniwa Jambazi

KEPTENI Maxwell Mahama wa Jeshi la Ulinzi la Ghana, Jumatatu iliyiopita aliuawa na wananchi wa eneo la Denkyira-Obuasi kwa kupigwa...

READ MORE

VIDEO: Hali Ilivyokuwa Bungeni Mtoto wa Ndesamburo Alivyopata Taarifa za Kifo cha Baba Yake

BUNGENI, DODOMA: Hali ilibadilika ghafla Bungeni mjini Dodoma leo baada Mtoto wa Marehemu Mzee Philemon Ndesamburo, Lucy Owenya kupewa taarifa...

READ MORE

LIVE Kutoka Mbuga za Wanyama: Unforgettable Tanzania

GLOBAL TV Online, kwa hisani kubwa ya TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA), inakuletea kipindi cha FAHARI YA TANZANIA ambacho kinaonesha maisha...

READ MORE

Shabani Ngao Aibuka Mshindi wa Pikipiki Droo ya Nne ya Shinda Nyumba

                      ILE droo ndogo ya nne ya shindani la bahati...

READ MORE

Raha ya Chakula Kula Bila Kijiko!

SHANGINGI MSTAAFU | RISASI MCHANGANYIKO HAKUNA kitu ninachokichukia mwenzenu kama kusikia mtu anakula chakula kwa kuogopa, mpaka abembelezwe ndiyo apewe!!...

READ MORE

Godbless Lema: Yeriko Nyerere Amekamatwa au Ametekwa?

KUFUATIA kada wa CHADEMA na mdau wa mitandao ya kijamii, Yericko Nyerere kukamatwa na watu wanaodaiwa kuwa Polisi akiwa nyumbani...

READ MORE

Jike Shupa Akataliwa Ukweni

NA GLADNESS MALLYA | RISASI MCHANGANYIKO WAKATI akiwa na matumaini kuwa huenda naye akampata wake wa kutengeneza familia yake, muuza...

READ MORE

LIVE: Rais Kenyatta Azindua Treni Ya Kisasa Mombasa

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo amezindua treni ya kwanza ya kusafirisha mizigo na abiria katika reli mpya ya kisasa...

READ MORE

TANZIA: Mzee Philemon Ndesamburo Afariki Dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro na (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo ameafariki dunia muda mfupi...

READ MORE

BreakingNews: IGP Sirro Aanza na Mauaji Rufiji, Kibiti na Ikwiriri Mkuranga, Asema Ubaya Ubaya Tu!

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema moja ya majukumu yake makubwa atakayoanza nayo ni kumaliza mauaji yanayofanywa...

READ MORE

Licha ya Kuchemka Katika Premier League, Man U Inaongoza kwa Mkwanja Ulaya

Licha ya kushika nafasi ya sita katika Premier League msimu wa 2016/17, Manchester United imetajwa kuwa ndiyo klabu yenye thamani...

READ MORE

Mfuko wa PPF Waendelea Kukabidhi Vifaa Tiba

Mfuko wa Pensheni wa PPF umeendelea kukabidhi vifaa tiba katika hospitali na vituo vya afya nchini kulingana na sera yake...

READ MORE

Wanaohangaika Kutafuta Ajira, ni Vyema Wakayajua Haya!

Amran Kaima| RISASI MCHANGANYIKO NAOMBA nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mengi ambayo amekuwa akinitendea katika kila siku ipitayo ya...

READ MORE

Futatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Mei 31, 2017

VIDEO: Futatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Mei 31, 2017

READ MORE

Mtabiri: Majini ya Madini Yanawamaliza Mawaziri wa Tanzania

STORI: GLADNESS MALLYA, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutengua uteuzi wa Waziri...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Droo Ndogo Ya Shinda Nyumba Mwinjuma Mwananyamala

LEO ndiyo leo katika Viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wakati watu tisa, ambao ni wasomaji wa...

READ MORE

Maunda Zorro: Sibwii Unga

Stori: Brighton Masalu | RISASI MCHANGANYIKO MREMBO mkali wa Bongo Fleva, Maunda Zorro amebwatukia tuhuma za utumiaji wa madawa ya...

READ MORE

Nyota 10 Watemwa Simba SC Kubaki 15 Pekee Kati ya 25

Wilbert Molandi, Championi Jumatano, Habari KLABU ya Simba imepanga kuwabakiza wachezaji 15 pekee kati ya 25 iliowasajili msimu uliopita wa...

READ MORE

Fedha za Usajili Zaivuruga Yanga SC

Wilbert Molandi, Championi Jumatano, Habari SIKU chache baada ya timu ya Yanga kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara...

READ MORE

Hans Poppe: Namtaka Ngoma na Chirwa Simba

Wilbert Molandi, Championi Jumatano, Habari MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, amesema kama ikitokea akitaka kumsajili...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Droo Ndogo ya Shinda Nyumba

Makala: Risasi Vibes LEO ndiyo leo katika Viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wakati watu tisa, ambao...

READ MORE

Omog Kutumia Kombe la SportPesa Kuijenga Simba

Omary Mdose, Championi Jumatano, Habari KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, raia wa Cameroon, amepanga kuitumia michuano ya Kombe la...

READ MORE

Simba Yatenga Sh Milioni 600 Za Usajili

KATIKA kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara na bora kitakacholeta ushindani kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Kombe la...

READ MORE

Singida Yampa Mkataba Ndugu wa Niyonzima

Said Ally na Musa Mateja, Championi Jumatano, Habari KUONYESHA kwamba wamepania kufanya vyema kwenye msimu ujao wa ligi kuu, uongozi...

READ MORE