×

Habari

Kura Zamgomea Anti Lulu Ijumaa Figa Pomba (IFG)

BAADA ya msanii wa Bongo Muvi ambaye pia ni video queen, Asha Salum ‘Kidoa’ kuchapa lapa wiki iliyopita, wiki hii...

READ MORE

Baada ya Wimbo wa Nay Kufunguliwa, na hizi nazo vipi?

Na ANDREW CARLOS| GAZETI LA IJUMAA| SHOW BIZ MWISHONI mwa wiki iliyopita gumzo kubwa kunako burudani hususan katika Muziki wa...

READ MORE

TANZIA: Mbunge Dkt. Elly Macha wa Chadema Afariki Dunia

Mbunge wa Viti Maalum wa CHADEMA, Dkt. Elly Marko Macha amefariki dunia leo katika Hospitali ya New Cross Uingereza alikokuwa...

READ MORE

Live Kutoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere.. Mapokezi ya Waziri Mkuu wa Ethiopia

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn tayari ameshawasili Katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na...

READ MORE

Miamala ya Huduma ya M-Pesa Yarahisishwa Zaidi

o   Ni kutokana na kuboreshwa zaidi kwa programu mpya ya mtandao huo Wateja wa mtandao wa mawasiliano wa Vodacom Tanzania...

READ MORE

Skendo Zampa Stress Davido, Alazwa Hospitali!

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| KUTOKA NAIJAS MKURUGENZI wa Lebo ya HKN, David Adeleke ‘Davido’ amekimbizwa hospitali na kulazwa...

READ MORE

Wasomi Vyuo Vikuu, Wanafunzi Sekondari Kushiriki DSE Scholar Investment

WANAFUNZI wa Vyuo vya Elimu ya Juu na Shule za Sekondari Nchini wameaswa kushiriki katika Shindano la Soko la Hisa...

READ MORE

Ahukumiwa Mahakamani kwa Kumtisha Mwanamke Anayempenda

MUTARE, Zimbabwe Inaweza ikakushangaza lakini ndiyo ukweli wenyewe uliotokea nchini Zimbabwe ambapo jamaa aitwaye Allan Zarema amejikuta akikamatwa na kufikishwa...

READ MORE

Pacha wa Wema: Mimi Kauzu, Simshobokei Wema!

DAR ES SALAAM: Kuna imani kuwa duniani wawiliwawili! Hii inajidhihirisha kwa mwanadada Lisa Deedee `Tuerny’ ambaye amejipatia umaarufu mitandaoni kutokana...

READ MORE

#ProfessionalGathering Jumapili… Kukuza Uchumi Wako Kwenye Kipindi Hiki cha JPM

Isikupite #ProfessionalGathering Jumapili hii… Jinsi ya kukuza uchumi wako kwenye kipindi hiki cha uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli....

READ MORE

Nuh: Mtoto Kanipa Mzuka Kimuziki!

STORI: IMELDA MTEMA | GAZETI LA IJUMAA | SHOWBIZ BAADA ya hivi karibuni mkewe kujifungua mtoto wa kike aitwaye, An­yagile,...

READ MORE

Rais Jacob Zuma Kawatumbua Mawaziri Wake 15

  Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amewafukuza kazi mawaziri wake 15 akiwemo Waziri wa Fedha Pravin Gordhan pamoja na naibu...

READ MORE

Chirwa Anyoa Upara Awafunge Azam FC

Wilbert Molandi |CHAMPIONI IJUMAA| Dar es Salaam STRAIKA wa Yanga, Mzambia, Obrey Chirwa, amebadili mwonekano mpya kichwani kwake baada ya...

READ MORE

Kuwahi Kupoteza Uwezo wa Kuzaa kwa Mwanamke

TATIZO hili linaambatana na mwanamke kukoma uzazi kabla ya muda wake, yaani anazeeka mapema. Mwanamke mwenye tatizo hili hupatwa na...

READ MORE

Siwema: Nay Anakurupukaga

  Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA IJUMAA| SHOWBIZ MZAZI mwenziye na Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,  Siwema Hudson amesema...

READ MORE

Hapa Nimekuwekea Magazeti Yote ya Tanzania Leo Ijumaa, Machi 31, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 31, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

VIDEO: Mbwembwe za Nay wa Mitego Akiwasili Ofisini kwa Mwakyembe, Dodoma

DODOMA: Rapper Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amewasili mjini  Dodoma na kufanikiwa kufanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...

READ MORE

VIDEO: Hii ni Kauli ya Nay wa Mitego Baada ya Kuibuka Dodoma kwa Mwakyembe

HATIMAYE Rapper Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amewasili mjini  Dodoma na kufanikiwa kufanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...

READ MORE

Serengeti Boys Si ya Mchezo… Yapiga Mtu 3-0

Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi...

READ MORE

Diamond Adhihakiwa Mtandaoni na Mashabiki wa Muziki

Na Salum Milongo/GPL MASHABIKI  wa muziki wa  Bongo Fleva nchini wamekuwa wakisambaza picha ya mwanamuziki nyota, Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’, ...

READ MORE

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Kuanzisha Kambi Maalum Matibabu ya Watoto

Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mishipa ya Damu, Bashir Nyangasa amesema: “Katika...

READ MORE

Tume Haki za Binadamu Yalaani Ufukuaji Makaburi ya Albino

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora leo imelaani ufukuaji makaburi ya watu wenye ualbino. Hayo yamesemwa na wadau...

READ MORE

#GlobalUpdates: Samsung Wanatuambia Wao Ndio Wa Kwanza Kuwa Na Upgrade Hii Kwenye Soko La Simu Duniani – (Video)

Moja kati ya habari zinazobamba kwenye mitandao leo Machi 30 2017 ni pamoja na toleo jipya la simu ya Samsung...

READ MORE

Ronaldinho Ahamia Kwenye Muziki, Aachia Ngoma Yake ya Kwanza -Sozinho… Icheki Hapa

VETERANI wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Brazil, Ronaldinho Gaucho ameamua kujitosa kwenye tasnia ya muziki ambapo ameachia...

READ MORE

Shinda Nyumba’ Yatingisha Wasomaji Riverside, Ubungo

BAHATI nasibu  ya Shinda Nyumba inayoendelea  chini ya Kampuni la Global Publishers wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Ijumaa, Amani...

READ MORE

Madaktari Bingwa wa India Wafanya Upasuaji wa Wagojwa Muhimbili Dar.

MADAKTARI  Bingwa sita kutoka Hospitali ya Saifee nchini India wamefanya upasuaji wa wagojwa 12 waliokuwa wamelazwa katika Taasisi ya Moyo...

READ MORE

Breaking News: Hatimaye Mbunge Peter Lijuakali Kuachiwa Huru

DAR ES SALAAM: Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali (CHADEMA) anatarajiwa kuachiwa huru baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

READ MORE

DC Ilala Atembelea Familia ya Mwanamke Aliye Angukiwa na Mti

MKUU wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema, ameitembelea familia ya mwanamama aliyeangukiwa na mti katika kibanda chake cha biashara na...

READ MORE

Kukosana Mkosanie Chumbani Mitandaoni Inahuu?

Na TAUSI MDEGELA| GAZETI LA AMANI| SINDANO ZA MASTAA PENZI msomaji wa Sindano za Mastaa, wiki iliyopita ulikuwa na staa...

READ MORE

LIVE: Waziri Ummy Azindua Ujenzi wa Kiwanda cha Dawa za Binadamu Bagamoyo

TAZAMA TUKIO ZIMA LIVE HAPA Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Pwani, Happines...

READ MORE

Heh! Kumbe kuna Harmonize!

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA AMANI| HABARI NI nadra sana kwa sasa kama utatembelea kwenye mitandao ya kijamii usikutane na...

READ MORE

Mama Mobeto Amtolea Povu Zari!

NA IMELDA MTEMA| GAZETI LA  AMANI| HABARI DAR ES SALAAM Skendo ya mjini iliyotapakaa mjini na kwenye mitandao ya kijamii...

READ MORE

Rammy Amtupia Ndoano Sanchi

STORI: IMELDA MTEMA | AMANI | Showbiz Xtra STAA wa sinema za Kibongo, Rammy Galis amedai kuwa baada ya kumwagana na...

READ MORE

Mashehe Waliokwenda kwa Gwajima Yawakuta

Na GABRIEL NG`OSHA| GAZETI LA AMANI| HABARI DAR ES SALAAM: Soo! Siku nne tu baada ya watu waliotajwa kama mashehe...

READ MORE

Nature: Singeli Haiwezi ‘Kufa’

STORI: NA ANDREW CARLOS | AMANI | Showbiz Xtra MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Nature’ amefungukia baadhi ya...

READ MORE

Usikose Kutazama SpotiHausi Leo Alhamisi, Saa 10:00 Jioni -Global TV Online

#SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni. Wachambuzi wa michezo Saleh Jembe, Wilbert Molandi, Philip...

READ MORE

Koletha: Kulea ni kazi ngumu

SIKU chache baada ya kujifungua mtoto wa kike, msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Koletha Raymond amefunguka kuwa tofauti...

READ MORE