×

Habari

Jennifer Mgendi aibukia nyuma ya Mlima

JENNIFER MGENDI Mwimbaji wa Muziki wa Injili Nchini, Jennifer Mgendi ameibuka kwa kuachia album aliyoibatiza jina la  Nyuma ya Mlima....

READ MORE

Amuua Rafiki Yake kwa Mapanga, Ala Ubongo na Kutafuna Nyeti za Marehemu

MBEYA: JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya, linamshikilia mchimba dhahabu, Shija Salum (38), mkazi wa Kahama mkoani Shinyanga kwa tuhuma...

READ MORE

Siku Moja Baada ya Kifo cha Binti Yake, Mama wa Carrie Fisher Naye Aaga Dunia

IKIWA ni siku moja tu tangu mwanaye (Carrie Fisher) apatwe umauti kwa matatizo ya moyo wakati akiwa safarini kutoka London,...

READ MORE

Video: Akiwa Mahakamani, Simu ya Rais wa Bolivia Yapiga Kelele za Watu Wakifanya Mapenzi

HII ni miongoni mwa stori zilizotengeza headlines kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa, siyo nyingine bali ni stori inayomhusu...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Alhamisi Desemba 29, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 29, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Baada ya Kuwatimua Wahispania, Azam FC Yafanya Mipango Ya Kumrejesha Kocha Kali Ongala

IKIWA ni saa chache baada ya Azam FC kumtimua Kocha Mkuu, Zeben Hernandez, kuna taarifa imeanza mazungumzo na Kalimangonga Ongala....

READ MORE

Azam FC Yamtimua Kocha Wake na Benchi Lote la Ufundi

Bodi ya Wakurugenzi wa Timu ya Azam wamesitisha mikabata na makocha wake na benchi zima la ufundi wa klabu hiyo...

READ MORE

Chid Benz Abambwa ‘live’ Akibwia Unga, Ndani ya Chumba cha Hoteli

  Picha mbili juu zinamuonyesha Staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, akiandaa madawa kwa ajili ya kuvuta.  Na...

READ MORE

Barabara Jijini Dar Zapungua Foleni

Hali ilivyoonekana mchana wa leo Barabara ya Bibi Titi jijini Dar. Barabara ya kuelekea Posta Mpya nayo ilivyoonekana kutokuwa na...

READ MORE

‘Viuno Pub’ Yateketea Kwa Moto Sinza Dar

Gari la zimamoto likifika eneo la tukio. Kikosi kazi cha zimamoto kikiwa kazini kuuthibiti moto huo. Baa iliyoandikwa ‘Viuno Pub’...

READ MORE

ATN Inakuletea Youth Empowerment Night 2017, Inuka Uangaze!

ATN inakuletea Tamasha la Youth Empowerment Nignt 2017, Jifunze Jinsi ya Kuinuka! tamasha hilo litafanyika Desemba 30, 2016, Saa 3:00...

READ MORE

Darassa Asepa na Kijiji Ilala, Aonjesha Mashabiki Shoo Kali ya Bure!

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers ambao ni waandaaji wa shoo ya R.O.M.A na Darassa, Abdallah Mrisho akitoa ufafanuzi...

READ MORE

Mke wa Aliyetobolewa Macho na Scorpion Atoa Ushahidi Mahakamani

Salum Njwete ‘Scorpion’ akiingia Mahakama ya Mwanzo Ilala, Dar. Scorpioni (mbele) akitoka mahakamani chini ya ulinzi mkali wa Kikosi cha...

READ MORE

Dhamana ya Lema Bado Ngoma Nzito na Leo Imekwama, Kula Mwaka Mpya Gerezani

ARUSHA: Mahakama Kuu Kanda ya Arusha iliyokuwa isikilize leo kesi ya rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA),...

READ MORE

Wadaiwa Sugu Elimu ya Juu Kuanza Kusakwa Nyumba Hadi Nyumba

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu tanzania (HESLB), imesema itafanya kila liwezekanalo kuhakikisha linawatafuta wadaiwa sugu ambao watashindwa kurejesha...

READ MORE

Niyonzima: Tutapoza Machungu Na Mapinduzi

 Kiungo wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima. Said Ally na Omary Mdose; Championi Jumatano KIUNGO wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, ameweka...

READ MORE

Kim, Kanye Wamaliza Uvumi wa Talaka kwa Picha ya Krismasi

Zile tetesi za chini kwa chini kwamba ndoa ya mastaa wawili wakubwa nchini Marekani, Kim Kardashian na Kanye West ipo...

READ MORE

Beki Matata Yanga Apata Timu Uarabuni

Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya maombi na Kocha wao. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam : Championi Jumatano BEKI wa...

READ MORE

Aliyecheza Filamu ya Kivita ya Star Wars, Carrie Fisher Aaga Dunia

CARRIE FISHER aliyekuwa mcheza sinema maarufu wa kike wa Marekani akiwa amevuma zaidi katika filamu ya Star Wars alipotumia jina...

READ MORE

R.O.M.A, Darassa Kufanya Shoo ya Bure Karume Leo

Roma. Na Mwandishi Wetu WAKALI wanaosumbua katika Muziki wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Musa ‘R.O.M.A Mkatoliki’ na Shariff Thabeet ‘Darassa’...

READ MORE

Nyoka wa Maajabu Afa na Mmiliki Wake Mkoani Songea

Mkazi wa Mtaa wa Mateka, Manispaa ya Songea, Denis Komba (26) kufa baada ya nyoka wake aliyekuwa amembeba kwenye mfuko...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Desemba 28, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 28, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Producer Emma The Boy apata ajali mbaya

Producer maarufu wa THT, Emmanuel Maungu ‘Emma The Boy’ amepata ajali mbaya ya gari hivi punde maeneo ya Kabuku karibu...

READ MORE

Mjane wa Mtikila Avaa Viatu vya Mumewe, Asisitiza Mumewe Kauawa, Ataja Sababu

Elvan Stambuli na Sifael Paul | Gazeti la Uwazi, Toleo la Desemba 27, 2016 TUNAWEZA kusema ni mpiganaji wa kike,...

READ MORE

Meya wa Ubungo ataja sababu za kutoongozana na RC Makonda, Asema Siyo Bosi Wake!

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob (kulia) akiingia kwenye ofisi za Global Publishers, kushoto ni Mhariri wa Gazeti la...

READ MORE

Mke Akimbia Kuchinjwa Kafara la Utajiri

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan | Gazeti la Uwazi, Toleo la Desemba 27, 2016 Dar es Salaam: Ni tukio...

READ MORE

Exclusive: Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian Chali

Umeinyaka hii au kuisikia popote pale? Ile ndoa ya masupastaa iliyofungwa mwaka 2014 kati ya mwanamuziki, Kanye West na Kim...

READ MORE

AY Amtambulisha Kwa Mara Ya Kwanza Mpenzi Wake!

Mwanamuziki wa Bongo Fleva,  Ambwene Yesaya ‘AY’ akiwa katika mapozi na mpenzi wake anaishi nchini Rwanda, Remy. Mwanadada, Remy akijiachia...

READ MORE

Picha 28 Zitakazokufanya Uwaone Wazungu Nuksi Kwenye Utengenezaji Filamu

Labda una ndoto za kuwa mtayarishaji wa filamu mbalimbali hapo baadaye, au siyo? Au unataka kuweka rekodi kwa kutengeneza filamu...

READ MORE

Waziri Mahiga Apokea Dola 50,000 kwa Ajili ya Waathirika wa Kagera

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb) akipokea mfano wa hundi kutoka kwa...

READ MORE

‘Pedeshee’ Ndama Kula Mwaka Mpya Lupango

  Ndama Shaaban Hussein ‘Pedeshee Ndama’ (mwenye pingu) alipofikishwa mahakamani Kisutu leo. DAR ES SALAAM: KESI  ya mfanyabiashara wa jijini...

READ MORE

Zitto Kabwe Aanika Kilichomkuta Hospitalini Wakati Mkewe Akijifungua

Tujue ‘ blood Group ‘ zetu – Maana Hatujui Siku na Saa Zitto Kabwe Usiku wa kuamkia tarehe 26 Desemba...

READ MORE

Zitto Kabwe na Mkewe Wapata Mtoto wa Kike

    Nay wa Mitego Ametoboa Siri: Hiki ndicho Alichokimiss kwa Shamsa Ford

READ MORE

Mashushu Watanzania 8 Wadaiwa Kutiwa Nguvuni Malawi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga. Na Mwandishi Wetu, Risasi KARONGA: Watanzania...

READ MORE

Mazingira ya Kifo cha George Michael Yamegubikwa na Utata

KIFO cha aliyekuwa mwanamuziki wa Uingereza, Michael George, bado hakijaelezewa kihalisi na wataalam chanzo chake. Rafiki wa muda mrefu wa...

READ MORE

Mwanajeshi Anusurika Kufa Kwenye Ajali Ya Ndege Kimiujiza

Na Mwandishi Wetu   Bado Urusi ipo kwenye hali ya sintofahamu kufuatia ajali mbaya ya ndege, iliyotokea juzi na kusababisha...

READ MORE

Nyumba ya Karne ya 18 Inauzwa kwa Paundi 110,000, Iko Njiapanda Uingereza

NYUMBA ndogo iliyojengwa karne ya 18 ikiwa na chumba kimoja cha kulala na  sebule ghorofani na maliwato sehemu ya chini,...

READ MORE

TBL, CRDB Na MKCB Zaongoza Kwa Mauzo Soko La Hisa

Meneja wa Masoko Soko la Hisa na Biashara, Patrick Msusa akiongea na wanahabari (hawapo pichani) leo. …Akiendelea kutaja kampuni zilizo...

READ MORE

Kiongozi Ahama Kijiji kwa SMS za Kifo!

Richard Bukos na Issa Mnally, Gazeti la Uwazi, Toleo la Desemba 27, 2016. PWANI: Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya...

READ MORE

Wachezaji na Mashabiki Wafariki Dunia Baada ya Boti Kuzama Ziwani

Takribani watu 30 wanahofiwa kuwa wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Albert nchini Uganda mapema jana....

READ MORE