×

Habari

Jengo la Makazi ya Askari wa FFU Lateketea kwa Moto Mjini Moshi

MOSHI: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika, umeteketeza jengo la ghorofa mbili la makazi ya Askari wa Kikosi cha...

READ MORE

Ghana, Misri Zaendelea Kuchanja Mbuga AFCON

Wachezaji wa Misri wakishangilia goli lililofungwa na Mohamed Sala. GABON: Michezo miwili ya mwisho ya hatua ya makundi ya michuano...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania, Leo Alhamisi Jan. 26, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, January 26, 2016. Ni yale ya Hardnews,...

READ MORE

Droo ya Kwanza Kutingisha Feb 8, Zawadi Kibao Kutolewa

Mr. Uwazi akiwaelekeza wasomaji Gazeti la Uwazi namna ya kushiriki Shinda Nyumba, juzi Jumanne maeneo ya Goba jijini Dar. BAHATI...

READ MORE

Mlinzi wa Trump alivaa mikono bandia kuficha bunduki (Pichaz + Video)

Mitandao ya kijamii imesambaza habari kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Donald Trump alivaa mikono ya bandia, huku mikono yake halisi...

READ MORE

Rais Barrow wa Gambia kurejea nyumbani leo

Rais mpya wa Gambia Adama Barrow anatarajiwa kurejea nyumbani leo Alhamisi, baada ya kiongozi wa zamani Yahya Jammeh kuondoka nchini...

READ MORE

Video Mpya ya Joh Makini – WAYA

Mwanamuziki Joh Makini kutoka River Camp Soldiers na Weusi Kampuni ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la...

READ MORE

Papa Francis amtimua kiongozi wa dini kwa kugawa kondomu

Kiongozi wa kanisa katoliki anayewasaidia raia wa Malta amejiuzulu kufuatia mgogoro na Vatican kuhusu mpango wa kusambaza mipira ya kondomu...

READ MORE

Trump Awatimua Wasomali 90 na Wakenya 2 Marekani

Raia takriban 90 wa Somalia na wawili wa Kenya wametimuliwa kutoka Marekani saa chache baada ya taarifa kuibuka kwamba Rais...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Alivyoendesha Basi la Mwendokasi

Rais Magufuli Aendesha Basi la Mwendokasi Mwenyewe

READ MORE

Ukweli Mwanaume Kujinyonga Kisa Mapenzi

    Fredrick Richard enzi za uhai wake. Waandishi: Gabriel Ng’osha, Boniphace Ngumije| RISASI MCHANGANYIKO, TANGA: Jumapili mchana, picha za kijana...

READ MORE

Kubenea Afutiwa Mashitaka ya Uchochezi Mahakamani Kisutu

  Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (katikati), akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo.  Pembeni mwake ni baadhi ya...

READ MORE

Wakongwe Hawa wa Bongo Fleva Wamerudi Tena

Pichani ni mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva. KATIKA maisha kuna wakati binadamu anakuwa chini na wakati mwingine juu, unaweza...

READ MORE

Kemikali za Sumu Zapatikana Ikulu ya Gambia

….Kiongozi mpya wa Gambia Adam Barrow. ASKARI wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (Ecowas) wamegundua kemikali ya...

READ MORE

Simbachawene, DC Ilala: Wamachinga Waondoke Haraka Kwenye Barabara za Mwendokasi

DAR ES SALAAM: Wakizungumza kuhusu utekelezwaji na uboreshwaji wa Mradi wa Mabasi Yendayo Haraka jijini Dar mara baada ya uzinduzi...

READ MORE

Tanzia: Pam D Afiwa na Baba Yake

  Shedrack Nyato enzi za uhai wake. Staa wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefiwa na baba yake, Shedrack...

READ MORE

Mambo Yaanza Kunoga Shinda Nyumba Watu Kulamba Pikipiki, Tv, Simu

Wasomaji wa magazeti ya Global wakiwa katika pozi baada ya kujaza kuponi ya Shinda Nyumba awamu ya pili. Mr Uwazi...

READ MORE

Bonge la Mtu Lenye ‘Maguvu’ na Mlo wa Kutisha

  Hayat alivyo. KWA kawaida, vibonge wengi, yaani watu wenye miili mikubwa hasa wanene, huchukuliwa kama watu wasio na nguvu...

READ MORE

JPM Aendesha Basi la Mwendokasi, Awaagiza Simbachawene na Mbarawa Kufikia Jioni Wampe Ripoti ya Makusanyo ya Mradi

        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia mkono pamoja na Makamu wa Rais wa...

READ MORE

Sabby: Siwezi kutoka na Bella

“Sabby Angel” MSANII wa filamu na Muziki wa Bongo Fleva, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amefungukia madai ya kutoka kimapenzi na...

READ MORE

United Inamuonea Zlatan Ibrahimovic

CHAMPIONI| MANCHESTER, England UKWELI unabaki palepale kuwa Manchester United ina wakati mgumu sana msimu huu wa Ligi Kuu England. Timu...

READ MORE

Kiungo Mtanzania amuita Msuva Ulaya

Sweetbert Lukonge| CHAMPIONI, Dar es Salaam WINGA wa Yanga anayefanya vizuri hivi sasa akiwa na kikosi cha timu hiyo, Simon...

READ MORE

Trump Kuzuia Wahamiaji Kutoka Nchi za Kiislamu Afrika na Mashariki ya Kati

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kutia saini sheria  ya kuweka masharti kuhusu wahamiaji wanaoingia nchini humo. Taarifa kutoka Marekani...

READ MORE

UVCCM Yatabiri Anguko la Vyama vya Upinzani

Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umesema kutokana na kushamili...

READ MORE

Maimartha Atoa Fundisho Kwa Wanaojitapa Kuhusu Wapenzi Wao

  Maimartha Jesse. MTANGAZAJI na Mshereheshaji wa vipindi vya Televisheni Bongo Maimartha Jesse jana ameandika ujumbe mwenye fundisho kwa watu...

READ MORE

Breaking News: Kahemele Aachia Ngazi Simba

Katibu Mkuu wa Simba, Patrick Kahemele ameachia ngazi. Taarifa tulizozipata kutoka kwa  Kahemele zinaeleza aliandika barua na kamati ya utendaji...

READ MORE

Video: Mauaji mengine yatokea Mkuranga, wauaji wachoma moto maiti

Mauaji mengine yatokea Mkuranga, wauaji wachoma moto maiti Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji la Dar es Salaam

READ MORE

Samatta, Juzi, Jana na Leo, Anaendelea Kuwanyoosha Ubelgiji, Apachika Bao Genk Ikiitwanga Kortrijk

atMshambuliaji Mbwana Samatta wa Genk kutupia mabao hii ikiwa ni mechi ya pili mfululizo. Samatta amefunga bao la pili katika...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania, Leo Jumatano Jan. 25, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, January 25 2016. Ni yale ya Hardnews,...

READ MORE

Kortini kwa kuendesha gari akiwa amesimama

Mtu mrefu ameshtakiwa kwa kuendesha gari akiwa amesimama baada ya kukiri kupeleka gari vibaya. Adam Elliott alituhumiwa kwa kuwaonyesha madereva...

READ MORE

Mkenya ajiunga na klabu ya China kwa Ksh. Mil 467

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars Michael Olunga amejiunga na klabu iliopandishwa daraja katika ligi ya China...

READ MORE

Trump Akubali Kuiuzia Kenya Ndege za Kivita

Marekani imekubali kuiuzia serikali ya Kenya ndege za kivita na vifaa vingine vya kijeshi, kwa kima cha Dola Milioni 418...

READ MORE

Mzee Majuto Awafungukia Wanaosambaza Taarifa Kuwa Amefariki

AKIFANYA Kipindi cha  XXL ya Clouds FM leo Januuary 24, 2017, mtangazaji Soudy Brown amezungumza na mchekeshaji maarufu hapa Bongo,...

READ MORE

Snura: Natamani kufanya Shoo, Wimbo au Filamu na Shilole

MWANADADA anayetamba na ngoma ya ‘Shindu’ Mwaga Maji Tucheze Kama Kambare, Snura Mushi (pichani) ameeleza kiu yake ya kutaka kufanya...

READ MORE

Orodha ya Wasanii na Filamu Zinazowania Tuzo za Oscar 2017

Filamu ya La La Land iliyotoka Disemba mwaka 2016 iweke rekodi katika tuzo za Oscar za mwaka huu baada ya kutajwa...

READ MORE

Rais Magufuli Kuzindua ‘Mwendo Kasi’ Dar, Kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dk. John Pombe anatarajia kufanya uzinduzi rasmi wa huduma ya mabasi yaendayo...

READ MORE

Kwa nini uchoshwe na chakula cha usiku?

Uhali gani shoga yangu? Kiafya mwenzako kama ulivyoniacha jana, kama ni mzima ni jambo la kumshukuru lakini pia kwa wale...

READ MORE

Picha: Wakazi wa Goba Wachangamkia Shinda Nyumba Awamu Ya Pili

Madereva bodaboda wakiangalia kuponi ya Shinda Nyumba kwenye Gazeti la Uwazi leo. Afisa Masoko, Kefa akiendelea kutoa elimu ya kujaza...

READ MORE

TFF yaipiga Yanga faini ya Tsh. Mil 1 kwa kuvunja sheria

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemwondoa Mwamuzi Hussein Athuman kwenye orodha ya waamuzi wa Ligi Kuu ya Vodacom...

READ MORE