×

Habari

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumapili Desemba 12, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 12, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Washindi Wa Tuzo Za EATV 2016 Hawa Hapa, King Kiba Noma, Atwaa Tuzo 3 (Video)

Mshindi wa tuzo tatu za EATV 2016 katika vipengele vya Video Bora ya Mwaka, Wimbo Bora wa Mwaka na Mwanamuziki...

READ MORE

Mchungaji Awanywesha Waumini Dawa ya Kuua Bakteria “Dettol”

MCHUNGAJI maarufu kwa jina la Rufus Phala kutoka kanisa la AK Spiritual Christian lililopo Makgodu, Limpopo, Afrika Kusini amewashangaza watu...

READ MORE

Video: JPM Akutana na Kuzungumza na Bilionea Dangote, Pia Amuapisha Ole Sendeka na Watumishi wa Wizara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Desemba 2016, amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

After School Bash: Escape One Kumenoga (Pichaz)

Video: After School Bash 2016 Video: After School Bash 2016, AY Alivyokinukisha

READ MORE

Zimebaki Saa Chache Historia Mpya Kuandikwa Tuzo Za EATV Mlimani City

Ukumbi utakaofanyika hafla ya utoaji tuzo wa Mlimani City kama unavyoonekana. Siti maalum kwa watakaowania tuzo hizo. Host wa tuzo...

READ MORE

Wanafunzi Vinara wa Insha Afrika Mashariki Kutoka Tanzania Hawa Hapa

Kutoka kushoto ni Sospeter Berling, Alex Joseph, Maria Erick na Hans Frank. Mshindi wa shindano hilo Alex Joseph (kulia) akifanya...

READ MORE

Upinzani Washinda Urais Ghana

GHANA: Mwanasiasa mkongwe ameshinda uchaguzi wa urais nchini Ghana kwa kupata asilimia 53 ya kura zote, ushindi ambao umepokelewa kwa...

READ MORE

Obama Aagiza Uchunguzi Ufanyike Kuhusu Tuhuma za Udukuzi Uliofanywa Urusi Kumsaidia Trump

Washington (CNN): Rais Barack Obama ameagiza uchunguzi ufanyike kuhusu tuhuma za udukuzi zilizofanywa na nchi ya Urusi katika kipindi cha...

READ MORE

Video: Alichokizungumza Mzee wa Miaka 76 Aliyeweka Bango Kutafuta Mwanamke wa Kuoa

MZEE WA MIAKA 76 ALEYETANAGAZA KUTAFUTA MKE “FULL EXLUSIVE INTERVIEW”

READ MORE

Msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane Adaiwa Kupotea Tangu Nov 18, Hata Simu Zake Hazipatikani

Moja kati ya wasaidizi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameripotiwa kupotea katika mazingira ya...

READ MORE

Mastaa Wa Bongo Washinda Tuzo Za Abryanz Style & Fashion Awards 2016, Kampala Uganda

Mwanamitindo Hamisa Mobeto akiwa na tuzo ya Fashionista Of The Year East Africa baada ya kushinda.Msanii wa Nigeria, Waje. Akosua...

READ MORE

Urais Gambia: Aliyekubali Kushindwa, Abadili Uamuzi, Apinga, Ataka Uchaguzi Urudiwe!

  MSHINDI wa Kiti cha Urais wa Gambia, Adama Barrow amenyimwa kutumia Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo huku Rais...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 11

ILIPOISHIA SEHEMU YA 10 YULE mzee sikuweza kumfahamu kwa kipindi kile lakini sauti yake, hapo baadaye nilimfahamu kwani nilikutana naye...

READ MORE

Polisi Wanaume Wavalia Moka za Wanawake, Watinga Mtaani!

Maafisa kadhaa wa Jeshi la Polisi wa kiume nchini Uganda, jana Desemba 9, 2026 walivalia viatu vya kike na kushiriki...

READ MORE

Sokwe Mvuta Sigara Awa Gumzo!

Baada ya kutengenishwa na mamake muda mfupi baada ya kuzaliwa, sokwe Manno alisafirishwa hadi nchini Iraq ambapo aliishi akivuta sigara...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Desemba 10, 2016 Yako Hapa

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 1o, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Wanasiasa wa Upinzani Burundi Wamkataa Rais Mkapa

BURUNDI: Wanasiasa wa upinzani nchini Burundi walio uhamishoni wamepinga jitihada za aliyekuwa rais wa Tanzania Benjamin William Mkapa za kutatua...

READ MORE

Darassa Atembelea Global, Anavutiwa Na Msuva Wa Yanga

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (kulia) akisalimiana na Rapa Shariff Thabeet maarufu kwa jina la Darassa alipotembelea leo...

READ MORE

Rais Magufuli: Maadhimisho ya Uhuru Dar Mwisho Leo, Yatakuwa Yakifanyikia Dodoma

DAR ES SALAAM: Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara zitakuwa zikifanyika mjini Dodoma kuanzia mwaka 2017...

READ MORE

Rais Magufuli Asamehe Wafungwa 5,678

Dar es Salaam. Rais John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 5,678 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya...

READ MORE

Yaliyojili Kwenye Sherehe za Maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

           DAR ES SALAAM: Leo Desemba 9 Tanzania Bara imeazimisha miaka 55 tangu ilipopata uhuru wake...

READ MORE

Lulu Diva Atambulisha Wimbo Wake wa ‘Milele’ Global TV

Muuza sura kwenye video za Kibongo na msanii mpya wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva,’ akiwa Global TV Online...

READ MORE

Mzee wangu Kilomoni Nakukumbusha… ‘Akili ya Kuambiwa Changanya na yako’

Na John Joseph | Championi TANGU naanza kupata uelewa wa kutambua vitu, nilizikuta Simba na Yanga zikiwa ni klabu kubwa...

READ MORE

Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara Yateketea Kwa Moto

      Bweni la wasichana wa shule ya sekondari ya Mtwara ufundi iliyoko katika Manispaa ya Mtwara Mikindani limeteketea kwa moto...

READ MORE

Tiwa Savage Arudiana Kimya Kimya na Mumewe Teja wa Madawa Teebillz

NIGERIA: MWANADADA maarufu kwenye tasnia ya muziki Barabi Afrika, Tiwa Savage amerudiana na mumewe Teebillz baada ya kuachana naye kwa kile...

READ MORE

LIVE: Kutoka Uwanja wa Uhuru Dar, Sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania

UHURU: Rais Magufuli amemaliza kuzungumza na Taifa, amesalimiana viongozi mbalimbali wa serikali na siasa na kuondoka kwenye Uwanja vya Uhuru...

READ MORE

Ishu ya Dhamana Mahakamani, Lema Akumbana na Kikwazo Kingine

ARUSHA: Jana, Desemba 8, 2016, Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, ilishindwa kusikiliza maombi ya kuongezewa muda wa kuwasilisha notisi ya...

READ MORE

‘Meneja wa Dangote Auawa kwa Kutoa Fedha Ndogo Kufidia Mateka’

Istifanus Bello enzi za uhai wake. WATU watatu wanaodaiwa kumteka na kumwua meneja raslimali watu wa kampuni ya Dangote Industries...

READ MORE

Sakata la Faru John: Maofisa 5 wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Mbaroni

ARUSHA: Maofisa watano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wanaotuhumiwa kushiriki kumwondoa faru John kutoka katika Creta hiyo walikamatwa...

READ MORE

‘Mchawi’ wa Diamond, Ali Kiba, Q-Chillah 2016 Huyu Hapa

    Mwaka 2016 unaelekea ukingoni lakini kuna vionjo vipya vimeingia kwenye tasnia ya Bongo Fleva! Hebu sikiliza kwa makini...

READ MORE

Miaka 55 Ya Uhuru Watanzania Vumilieni

Ni mwanzo wa safari ndefu, huwezi kuanza safari kwa kuwa barabarani ghafla bali utaanza kwa kuvaa nguo na viatu ndio...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Desemba 9, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 09, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Rais JPM Akutana na Ujumbe wa Sudan Kusini, Yumo Mtoto wa Rais Aliyetikisa Mitandaoni Kwa Mavazi Yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC Dkt. John Pombe...

READ MORE

Sirro: Mjimwage Mpendavyo Sikukuu ya Uhuru, Maulid

Dar es Salaam: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa limejipanga kuimarisha utulivu na amani kuelekea...

READ MORE

Manispaa ya China Kushiriki Maendeleo ya Wilaya ya Ilala, Dar

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, akiwa kwenye mkutano na wawakilishi kutoka China. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya...

READ MORE

Yanga Kumuaga Mbuyu Twite kwa Mechi Dhidi ya JKU J’mosi

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC keshokutwa Jumamosi watamuaga beki wao kiraka ambaye ni raia wa...

READ MORE

Pichaz: Magari 4 Yagongana Mbeya, ni Basi la Abiria, Malori Mawili ya Mizigo na Pick-Up

MBEYA: Basi la abiria mali ya Kampuni ya New Force, malori mawili ya mizigo (ambapo moja ni aina ya Scania...

READ MORE