×

Habari

Siku Mwalimu Nyerere Alipofanya Maamuzi Magumu

ILIKUWA mwaka 1955 mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliamua kufanya maamuzi magumu ya kuamua kuachana na kazi yake ya ualimu kwenye...

READ MORE

Matukio Ya Bungeni Mjini Dodoma Leo

 Spika wa Bunge la Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiingia katika ukumbi wa Bunge kuongoza kikao cha...

READ MORE

Tanzania, Kongo kufanya kongamano la pamoja

TANZANIA kwa kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinatarajiwa kufanya kongamano la pamoja  la kibiashara kujadili ongezeko la biashara...

READ MORE

Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza...

READ MORE

Madereva Kutoka Tanzania Watekwa Nchini DRC

Baadhi ya magari yanayodaiwa kuchomwa moto. Chama cha Wamiliki wa Magari ya Mizigo nchini Tanzania (TATOA) kinaripoti kwamba, waasi wa Mai...

READ MORE

NIDA Yatoa Vitambulisho Vya Taifa Kwa Wabunge

 Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa jimbo la Musoma, Mhe.Profesa Sospeter Muhongoakipokea Kitembulisho chake cha Taifa chenye saini kwa...

READ MORE

Ester Kiama Atajwa Kujiuza, ang’aka (Video)

Muigizaji mrembo anayepanda kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kiama akifanya mahojiano na Boniface Ngumije (kushoto). Na Boniface Ngumije/Amani...

READ MORE

Mama Mzazi Asimulia Bintiye Alivyozikwa Akiwa Hai (Video ipo hapa)

Richard Bukos na Issa Mnally,  Risasi MCHANGANYIKO PWANI: Huu ni unyama asilimia mia! Ndivyo alivyoanza kusimulia mama wa marehemu Amina...

READ MORE

Mchungaji Akatisha Hotuba Ya Trump

Mchungaji wa kanisa moja la watu weusi katika jimbo la Michigan, Marekani amemkatisha mgombea urais wa chama cha Republican, bwana...

READ MORE

Ronaldo Avunja Rekodi, Madrid Yashinda

Madrid, Hispania. Mshambuliaji tegemeo wa timu ya soka ya Real Madrid, Christiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo kavunja rekodi ya...

READ MORE

Diamond Aanza Kupoteza Umaarufu

MWANAMUZIKI Diamond Platnumz wa Tanzania, anayefanya vyema kwenye ulimwengu wa muziki Bongo kwa maana muziki wa Bongo Fleva na nje...

READ MORE

Wakurugenzi Manispaa, Miji Na Halmashuri Waapishwa Dodoma

Baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri za wilaya wakila kiapo wakati  kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi...

READ MORE

Simbachawene Awapa Somo Wakurugenzi Wapya

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), George Boniface Taguluvala Simbachawene amewapa somo wakurugenzi...

READ MORE

Wanafunzi Wadaiwa Kuwacharaza Viboko Walimu Wao

Wanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Usevya wilayani Mlele Mkoa wa Katavi, wanadaiwa kuwashambulia kwa kuwacharaza viboko walimu...

READ MORE

Uingereza Lawamani Kwa Maauaji Ya Gaddafi

Ripoti ya kamati ya bunge nchini Uingereza imekosoa hatua ya Uingereza na Ufaransa kuingilia kati na kusaidia kuondolewa madarakani kwa...

READ MORE

Jamhuri Yajibu Kesi Ya Dada’ke Msuya

UPANDE wa Jamhuri leo umetoa majibu ya hoja ya kutaka kufutiwa mashtaka ya mauaji inayomkabili mke wa marehemu bilionea Erasto...

READ MORE

Wakazi Wa Airport, Ukonga Walipongeza Uwazi

WAKAZI mbalimbali wa maeneo ya Air Port na Ukonga-Banana, jijini Dar, leo Jumanne wamekutana uso kwa uso na promosheni ya...

READ MORE

Majaliwa Aongoza Harambe Kuchangia Waathirika Kagera

WAZIRI MKuu mheshimiwa Kassim Majaliwa jioni hii kaongoza harambe maalum iliyofanyika jijini Dar es Saalm ikiwakutanisha mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi...

READ MORE

Jahazi, Msagasumu Waacha Historia Dar Live Jana

KUNDI la Muziki wa Taarab lisilo na mpinzani Bongo, Jahazi Modern sambamba na Mfalme wa Singeli, Msaga Sumu jana waliandika...

READ MORE

Jahazi Msagasumu Waacha Historia Dar Live Jana

KUNDI la Muziki wa Taarab lisilo na mpinzani Bongo, Jahazi Modern sambamba na Mfalme wa Singeli, Msaga Sumu jana waliandika...

READ MORE

Polisi Nchini Zimbabwe Wapiga Marufuku Maandamano

  Mmoja wa wananchi akikimbia wakati wa maandamano ya awali HARARE, Jeshi la polisi nchini Zimbabwe wametangaza kuyapiga marufuku maandamano...

READ MORE

Hillary Clinton Afuta ziara Baada ya Kuugua

NEW YORK, MAREKANI MGOMBEA urais wa Chama cha Democratic nchini Marekani, Hillary Clinton, amefuta mkutano wake wa kampeni katika Jimbo...

READ MORE

Exclusive Picha za Marehemu Tupac Zavuja

  Leo tunaungana na mashabiki wa Hiphop duniani kote kumkumbuka rapper, Tupac Amaru Shakur ‘2PAC’ kifo chake ambacho kilitokea tarehe...

READ MORE

Taarifa Rasmi Ya Serikali Kuhusu Tetemeko La Ardhi Mkoani Kagera

1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera.   Kitovu...

READ MORE

Wahitimu Shahada Za Sayansi Kupatiwa Mafunzo Wakafundishe

Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo asema wahitimu shahada za sayansi ambao si walimu...

READ MORE

Ripoti yabaini Rais kiir na Machar wanafaidika na vita

Rais Salva Kiir (kulia) na aliyekuwa makamu wake bwana Riek Machar  Waziri wa habari Sudan Kusini amesema kuwa serikali haitajibu...

READ MORE

Sanamu Za Mugabe Zazua Utata

Rais Mugabe akiwa na mtengeneza sanamu Bwana Benhura. Sanamu mbili mpya za kiongozi wa muda mrefu wa Zimbabwe Robert Mugabe...

READ MORE

Wolper Na Harmonize Wala Bata Serengeti

WASANII wawili ambao ni wapenzi wanaogonga vichwa vya habari Bongo, Jaqueline Wolper na Rajab ‘Harmonize’ wikiendi iliyopita wamekula bata kwenye...

READ MORE

David Cameron Ajiuzulu Ubunge

Ametangaza uamuzi huo Jumatatu hii. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni karibu miezi mitatu baada ya Cameron kuachia ngazi kama waziri...

READ MORE

David Cameron Ajiuzulu Ubunge

Ametangaza uamuzi huo Jumatatu hii. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni karibu miezi mitatu baada ya Cameron kuachia ngazi kamna waziri...

READ MORE

Rais Kenyatta Atoa Msaada kwa Wahanga wa Tetemeko la Ardhi Bukoba na Mwanza

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameto pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na...

READ MORE

Baada ya Kufananisha na ‘Sikio la Kufa’, Barabara ya Mabatini Yawekewa Changarawe

IKIWA ni takribani siku 10 baada ya Mtandao huu kuripoti kupitia Mjumbe wa Mtaa wa Polisi Mabatini, jijini Dar es...

READ MORE

NIDA Kuanza Kutoa Vitambulisho Vyenye Saini, Septemba 12

MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA) KUANZA KUTOA VITAMBULISHO VIPYA VYA TAIFA VYENYE SAINI KWA WANANCHI WOTE WALIOKAMILISHA TARATIBU ZA...

READ MORE

Mzee Mwinyi Aongoza Eid El Hajj Kitaifa Kinondoni Dar

RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, leo amewaongoza waumini wa Kiislamu katika kusherehekea sikukuu ya Eid El...

READ MORE

Ndege Nyingine Yaanguka na Kujeruhi Wawili Nairobi

Naiobi, Kenya: WATU wawili ambao ni mkufunzi na mwanafunzi wake wamejeruhiwa vibaya baada ya ndege waliokuwa wakifanyia mazoezi kuanguka  jijini...

READ MORE

Watu Watatu Watiwa Mbaroni kwa Kuiba Ng’ombe wa Rais Museveni

Rais Museveni KAMPALA: Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Kampala, Uganda kwa tuhuma za kuiba ng’ombe ambao idadi...

READ MORE