×

Habari

Majivu ya Mwili wa Fidel Castro Yazikwa Santiago, Cuba

SANTIAGO, CUBA: Majivu ya aliyekuwa rais wa Cuba, Fidel Castro yamezikwa katika kiunga cha makaburi mjini Santiago, na hivyo kumaliza...

READ MORE

Mchezaji wa Mbao FC Agongana na Mchezaji wa Mwadui FC, Afariki Uwanjani!

Mshambuliaji wa timu ya vijana ya Mbao FC U-20 ya mkoani Mwanza, Ismail Mrisho Khalfan anayevalia jezi nambari 4 amefariki...

READ MORE

Mzee wa Upako: Tajeni Nilikunywa Pombe Gani na Katika Baa Gani

DAR ES SALAAM: Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ baada ya kudaiwa kumfanyia fujo jirani...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu ya Disemba 5, 2016

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 05, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Miili ya Waliouawa Kwenye Mapigano Uganda Yazikwa

MIILI ya watu takriban 51 wasiojulikana, waliouwawa kwenye mapambano baina ya askari wa usalama na wapiganaji wanaotaka kujitenga na walio...

READ MORE

Mnigeria Ateuliwa Katika Bodi ya Washauri wa Uchumi wa Donald Trump

RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump, amemteua mfanyabiashara raia wa Nigeria, Adebayo Ogunlesi (pichani juu), kuwa mmojawapo katika bodi ya...

READ MORE

Rais Magufuli Asikitishwa na Taarifa za Uongo Kuwa Amezuia Mizigo ya Mama Salma Kikwete Bandarini

RAIS Dk. John Pombe Magufuli ameeleza kusikitishwa kwake na uzushi unaofanywa kwa lengo la kumchafua Rais Mstaafu wa Awamu ya...

READ MORE

Video: Diamond, Jah Prayzah Walivyokinukisha Kwenye Tamasha la Watora Mari Zimbabwe

STAA wa Bongo Fleva, Diamomnd Platnumz juzi (Ijumaa) alifanya shoo ya pamoja na staa wa Zimbabwe, Jah Prayzah katika Tamasha...

READ MORE

Rais Barrow Kuwaachia Wafungwa wa Kisiasa, Kuibakiza Gambia ICC

RAIS Mteule wa Gambia, Adama Barrow ameliambia Shirika la Habari la Associated Press (AP) kuwa atawaachia huru kutoka gerezani wanasiasa...

READ MORE

Serikali Yakanusha Tetesi za Katibu Mkuu Utumishi wa Umma, Dkt. Ndumbaro Kujiuzulu

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro. KANUSHO: Serikali imekanusha tetesi katika mitandao ya...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili Desemba 04, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 04, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Waziri Mhagama Aongoza Maadhimisho Ya Kitaifa Ya Watu Wenye Ulemavu

Waziri Jenista Mhagama akisoma hotuba yake katika maadhimisho hayo. Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA),...

READ MORE

Trump Aaanza Kuitibua China

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uchina, Wang Yi Wizara ya mashauri ya nchi za nje ya Uchina,...

READ MORE

Q-Chief Aweka Bayana Bifu Lake na Director Hanscana, Bofya Hapa!

Na Mwandishi wetu NGULI wa Bongo Fleva, Q-Chief, ameweka bayana kuhusu kuwepo na bifu kati yake na mwandaaji wa vodeo...

READ MORE

Shehe Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Atembelea Global Publishers

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (katikati) akiwa na wafanyakazi wa Global Publishers juzi alipowatembelea...

READ MORE

Kelly Rowland Awaandikia Kitabu Akina Mama Kuwafunda Malezi Bora (‘Whoa, Baby!’)

Kelly Rowland amefanya jina lake kuwa kama sehemu ya msaada kwa maisha ya mtoto na amekuwa akiwasaidia hata mama wengine...

READ MORE

New Music: John Legend feat. Miguel – ‘Overload’

John Legend – Overload (Audio) ft. Miguel

READ MORE

Rais wa Angola, Dos Santos Hatogombea Kwenye Uchaguzi Mkuu Mwakani

ANGOLA: Kituo cha radio cha Angola kinasema kwamba, Rais Jose Eduardo dos Santos, ambaye ametawala taifa hilo kwa karibu miongo...

READ MORE

Cheka: Mke Wangu Ameniroga! (+Video)

Fransic Cheka akikagua zana zake kazi. Na Imelda Mtema |Risasi Jumamosi Spidi yetu inaendelea kuwa ileile ya 120, kuhakikisha tunakupa...

READ MORE

El Clasico, Leo ni Vita ya Real Madrid Vs Barcelona

GUERRA de El Clasico yaani Vita ya El Clasico ndiyo habari ya leo. Guerra de El Clasico ni maneno ya...

READ MORE

Shehe Mkuu Dar: Nipo Tayari Kuwafungisha Ndoa Diamond & Zari Bure! (Video)

Stori: AMRANI KAIMA, RISASI JUMAMOSI SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameweka wazi kutopendezwa na...

READ MORE

Q Chilla Apaa Kimataifa na Patoranking

MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q Chillah’ baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu ameibuka kwa kishindo...

READ MORE

Polisi Yakamata Watuhumiwa 586 Dar

Kamishna wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro akizungumza na wanahabari. Sirro akiwaonyesha wanahabari baadhi ya vitu...

READ MORE

Upinzani Washinda Urais Gambia

Mgombea wa upinzani, Adama Barrow aliyeshinda urais kwa kupata kura 263,515. Mgombea wa upinzani, Adama Barrow ameshinda uchaguzi wa urais nchini...

READ MORE

Ajali ya Colombia: Ndege Ilichelewa Kupata  Mafuta Kituo Kilichofuata

  Mabaki ya ndege iliyoanguka nchini Colombia ikiwa na wachezaji wa klabu ya Chapocoense ya Brazil. Eneo la milima ilipoanguka ndege...

READ MORE

Lema Akata Tamaa ya Rufaa ya Dhamana, Adai Yuko Tayari Kusota Rumande, Kesi Yake Kutajwa Februari Mwakani

NA MWANDISHI WETU, ARUSHA: Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) leo Desemba 2, 2016, amewataka mawakili wake kutokukata rufaa...

READ MORE

NMB Yadhamini Semina ya Bloggers

Ofisa Uhusiano wa Benki ya NMB, Doris Kilale (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya milioni kumi Mwenyekiti wa Wamiliki wa...

READ MORE

Serikali Yairuhusu Yanga kutumia Uwanja wa Taifa

Serikali imesaini Mkataba na Klabu ya Yanga kutumia Uwanja Mkuu wa Taifa pamoja na Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya...

READ MORE

Trump Amteua Jenarali ‘Mad Dog’ Kuwa Waziri wa Ulinzi Marekani

Jenerali James Mattis maarufu kama ‘Mad Dog’. Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump amefanya mkutano wa kwanza wa hadhara tangu...

READ MORE

Vikongwe Wafanya Ibada Kusherehekea Miaka 60 ya Ndoa Yao

Padre wa Kanisda Katoriki, Parokia ya Roho Mtakatifu, Kiwanja cha Ndege, Mjini Morogoro, Fr. Melkades Mogella (kushoto) akiongoza ibada ya...

READ MORE

Idris Aingilia Bifu la Diamond, Dimpoz, Kiba

MUSA MATEJA, Dar es Salaam WAKATI gumzo la mvu­tano na kutupi­ana vijembe kwa wasanii watatu, Diamond Plat­numz, Ommy Dimpoz na...

READ MORE

Soyinka Aichana Green Card Yake, Ni Baada ya Kutoa Ahadi Hiyo Iwapo Trump Angeshinda Uchaguzi

MWAFRIKA wa kwanza kupata Tuzo la Nobel ambaye ni raia wa Nigeria anayeishi nchini Marekani, Wole Soyinka (pichani juu), ametimiza...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa Desemba 2, 2016 Yako Hapa

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 2, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mvua Yaharibu Makazi ya Kaya Zaidi ya 100, Butiama

BUTIAMA: Mvua kubwa ambayo imeambatana na upepo mkali, imesababisha maafa makubwa katika vijiji vitatu vya wilaya ya Butiama mkoani Mara...

READ MORE

Twaweza: Asilimia 88 ya Wananchi Wataka Bunge Lirushwe Live

Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). DAR ES SALAAM: UTAFITI wa taasisi ya Twaweza umeonyesha...

READ MORE

Kesi ya Vijana 7 wa Chadema ya Ukusanyaji Matokeo ya Uchaguzi 2015 Yafutwa

DAR ES SALAAM: Kesi ya ukusanyaji matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 iliyokuwa ikiwakabili vijana saba wa Chama Cha...

READ MORE

Kiungo Mkabaji, Justine Zulu Asaini Miaka 2 Yanga

Zulu akisaini mkataba wa miaka miwili na Yanga. Kiungo mkabaji raia wa Zambia, Justice Zulu leo amesaini mkataba wa miaka...

READ MORE