×

Habari

Wasifu wa Wagombea 3 Uenyekiti CUF

Twaha Taslima. 1. Ndugu.Twaha Taslima (Wakili Msomi), Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa....

READ MORE

Fuatilia Live Mkutano Mkuu wa CUF Hapa

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika mkutano mkuu wa chama hicho. Mwenyekiti wa...

READ MORE

Mlipuko Harusini Waua 30 Uturuki

Taharuki baada ya mlipuko wa bomu harusini. Mkusanyiko wa watu baada ya mlipuko huo harusini. Ramani inayoonyesha Mji wa Gaziantep na...

READ MORE

Watangazaji 8 wa Runinga Wanawake Wasimamishwa Kazi Kisa Unene

Shirika la Utangazaji la Misri ‘Egyptian Radio and Television Union (ERTU)’ limewasimamisha kazi watangazaji wake wanane wa televisheni wa kike...

READ MORE

Jeshi la Polisi Likifanya Mazoezi ya Utayari wa Kukabiliana na Uhalifu

Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia wa wakiwa moja ya maozezi yao ya kupasha viungo kabla ya kuanza mazoezi ya...

READ MORE

Kamanda Mpinga Ahitimisha Kilele cha Shindano la Uchoraji

Hii ni zawadi ya heshima (tuzo) iliyotolewa na kampuni ya Puma Energy Tanzania na kukabidhiwa kwa mshindi wa kwanza, Mwanafunzi...

READ MORE

Prof. Safari wa Chadema na Katibu Mkuu Bavicha Wapata Ajali Singida

Singida Jana, Agosti 19, 2016, Makam Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Prof. Abdallah Saffari Katibu Mkuu...

READ MORE

Bi. Shakila Kuzikwa Leo Saa 10 Alasiri Charambe, Mbagala

MWIMBAJI mkongwe wa muziki wa taarab hapa nchini, Bi. Shakila Said aliyefariki dunia jana usiku, anatarajiwa kuzikwa leo Jumamosi, Agosti...

READ MORE

Soka ni ajira, DC Moro awambia vijana Airtel Rising stars

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mheshimiwa Regina Chonjo akikagua timu wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars mkoa wa Morogoro...

READ MORE

Moshi: Mfanyabiashara Ajimwagia Petroli na Kujipiga Kiberiti hadi Kufa

HILI ni tukio la aina yake ambalo limeacha gumzo na simanzi kubwa baada ya mfanyabiashara wa mjini Moshi, Romani Shirima...

READ MORE

Wapinzani Zambia Wapinga Matokeo ya Urais Mahakamani

Chama kikuu cha upinzani nchini Zambia kimepeleka kesi mahakamani kupinga ushindi wa Rais Edgar Lungu uliofanyika mapema mwezi huu. Mgombea...

READ MORE

Mwenyekiti wa Kampeni ya Trump Ajiuzulu

Mwenyekiti ya kampeni ya mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amejiuzulu miezi miwili tu baada ya...

READ MORE

Rais JPM Amuapisha Gambo Kuwa RC Arusha

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mrisho Gambo kuwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Muonekano Mpya wa Ijumaa Wavutia Mbezi-Inn

        Vasco Dau (kulia) na Sijali Khamis (katikati) wakifafanuliwa jambo na Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda. Mdau mkubwa wa...

READ MORE

Ajali Yaua 1 Maeneo ya Mlimani City Dar

Usiku wa kuamkia leo Agosti 19 maeneo ya mataa yaliyopo kati ya Mlimani City na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)...

READ MORE

Watoto wenye saratani wapatiwa msaada

 Mkuu wa Vodacom Tanzania Foundation, Renatus Rwehikiza akiongea na vyombo vya habari muda mfupi baada ya kukabidhi msaada wa kusaidia...

READ MORE

Sababu za Kutumbuliwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Zajulikana

Daudi Felix Ntibenda jana asubuhi alikuwa na majukumu ya kufungua mikutano miwili na kufanya shughuli nyingine kwa nafasi yake ya...

READ MORE

UN: Riek Machar Ametimkia DRC

Umoja wa Mataifa umesema Makamu wa Rais wa zamani wa Sudan Kusini Riek Machar ambaye alikuwa haonekani hadharani yuko nchini...

READ MORE

Rais Dkt Magufuli Ampatia Bajaji Mlemavu Thomas Kone Anayejituma

Kaimu Mnyikulu ambaye pia ni Naibu Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akimkabidhi funguo na nyaraka Bw. Thomas Kone (35)...

READ MORE

Wasomaji wa Amani, Majohe Wachangamkia Safari ya Dubai

George Msyaliha msomaji wa Amani, mkazi wa Kitunda (katikati) akilisoma gazeti hilo. Anayemshuhudia ni Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda....

READ MORE

IGP Mangu Awaaga Askari 14 wa Kikosi Maalum cha Polisi (S.F.U)

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akimuuaga PC Prosper Yenda yenda wa kikosi maalum cha Jeshi la...

READ MORE

Airtel Fursa, Veta Yawafikia Vijana 18,000 Kusoma Ufundi Stadi Kwa Simu

Toka kushoto ni Meneja wa Tawi wa Airtel  Ausha Bi Monica Ernest akiwa na Mkuu wa mauzo wa Airtel kanda...

READ MORE

Tembo Afariki Kwa Kutembea Zaidi ya Km 1,700

TEMBO mmoja aliyetenganishwa na wenzake kwa zaidi ya miezi miwili kutokana na mafuriko, alijikuta akitembea zaidi ya kilometa 1,700 kati...

READ MORE

Mtoto Ajeruhiwa Vibaya Katika Mashambulizi ya Ndege Syria

Omran Daqneesh ni mmoja wa watoto watano waliojeruhiwa vibaya katika mashambulio yaliyofanywa na ndege jana nchini Syria ambapo picha zinamwonyesha...

READ MORE

Riek Machar Aondoka Sudan Kusini

Dkt. Riek Machar. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Dkt Riek Machar, ameondoka nchini humo wiki chache baada ya...

READ MORE

Mrisho Gambo Ateuliwa Kuwa RC Mpya Arusha

Mkuu Mpya wa Mkoa wa Arusha, Bw. Mrisho Gambo RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli...

READ MORE

Lissu Amtetea Ester Bulaya Mahakamani Dhidi ya Wafuasi wa Wasira

Tundu Lissu, ambaye ni wakili wa Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya jana alitumia muda wa saa mbili kupangua maombi...

READ MORE

Sakata la Jaribio la Kumpindua Rais wa Uturuki Lachukua Sura Mpya

Waziri Mkuu wa Uturuki, amesema zaidi ya watu 40,000 wanashikiliwa na Polisi wakihusishwa na jaribio la kutaka kuipindua Serikali ya...

READ MORE

‘Mshikaki’ ya Bodaboda Bado ni Tatizo Sugu Dar!

LICHA ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kuwataka waendesha bodaboda (pikipiki) na abiria wao kutii sheria...

READ MORE

Orijino Komedi Wahojiwa, Washikiliwa na Polisi

Leo Agosti 17, 2016, wasanii wanne wa kundi la vichekesho la Orijino Komedi akiwemo meneja wao, wamekamatwa na kuhojiwa na...

READ MORE

Etihad Kuunganisha Abu Dhabi na Venice, Italia

Shirika la Ndege la Etihad katika nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu, linatarajia kupanua huduma za usafiri wa anga...

READ MORE

Walimu wakuu 90 shule za msingi, sekondari kuvuliwa vyeo kwa udanganyifu

  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Hapi akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mkuu huyo akionyesha msisitizo wa jambo wakati...

READ MORE

Blue Star Mabingwa Kinondoni Airtel Rising Stars

Mchezaji Israel Luvamba wa timu ya Blue Star na Salum Mkana wa Makongo Sekondari wakigombania mpira wakati wa fainali za...

READ MORE

Wateja wa Airtel Kuongeza Pesa Kadi Zao za Mabasi ya Mwendokasi

   Meneja wa kitengo cha Airtel Money, Asupya Naligingwa akiongea wakati wakuitambulisha huduma mpya itakayowawezesha wateja wa Airtel kuweza kuongeza...

READ MORE

Mtoto wa El Chapo Guzman Akamatwa kwa Uhalifu

Rival criminal group blamed for abduction of Jesús Alfredo Guzmán Salazar, son of imprisoned drug lord, in Puerto Vallarta A...

READ MORE