×

Kimataifa

Marekani Yaiwekea Vikwazo Uturuki

SERIKALI ya Marekani imetangaza rasmi kuiwekea vikwazo Uturuki baada ya Ankara kutekeleza mpango wake wa ununuzi wa mfumo wa kijeshi...

READ MORE

Malawi Yaamuru Nabii Bushiri, Mkewe Warudishwe Sauz

WAZIRI wa Usalama wa Ndani ya Nchi wa Malawi, Richard Banda, amesaini nyaraka kwa ajili ya mchungaji tajiri na maarufu...

READ MORE

Somalia Yasitisha Uhusiano na Kenya, Yatimua Wanadiplomasia

  SOMALIA imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba serikali ya Kenya inaingilia kati masuala yake ya ndani.  ...

READ MORE

Kenya Yaagiza Chanjo ya CORONA

KATIKA harakati za kupambana na  ugonjwa wa Covid-19, #Kenya imeagiza dozi milioni 24 za Chanjo ya #CoronaVirus zitakazotosha 20% ya...

READ MORE

Wajumbe Wamwidhinisha Biden Rais, Bye-Bye Trump!

JOPO la wajumbe maalumu lenye nguvu ya kumchagua rais wa Marekani, maarufu kama Electoral College limemthibitisha Joe Biden kuwa rais...

READ MORE

Museveni: Sijaona Mtu wa Kuiongoza Uganda

  RAIS Yoweri Museveni wa Uganda ambaye kwa sasa anawania muhula wa sita madarakani, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa...

READ MORE

Museveni: Nakasirika Sana Wakiniambia Niondoke Madarakani

  RAIS  wa Uganda, Yoweri Museveni, ambaye anawania muhula wa sita madarakani, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza Uganda...

READ MORE

Huduma za Google Zapotea Mtandaoni Duniani

  HUDUMA za mtandao wa Google ghafla leo (Jumatatu)  zilitoweka na kuleta athari kwa watumiaj iduniani.  Miongoni mwa watumiaji hao...

READ MORE

Rais Tshisekedi Atangaza Kuunda Serikali Mpya

KATIKA hotuba yake mbele ya wanaseta na wanabunge, Rais wa DRC, Felix Tshikedi ametangaza tena nia yake ya kuunda serkali...

READ MORE

Mfungwa Mwingine Mweusi Anyongwa Marekani

MWANAMME aliyemuua binti yake karibu miaka 20 iliyopita amekuwa mfungwa wa pili Marekani kuuawa. Kifo cha Alfred Bourgeois kwa sindano...

READ MORE

Polisi 9 Jela kwa Mauaji

Mahakama moja nchini Misri imewahukumu kifungo cha miaka mitatu maafisa tisa wa polisi kwa kosa la kumtesa na kupelekea kifo...

READ MORE

Lil Wayne Jela Miaka 10 Kukutwa Bastola, Madawa ya Kulevya

RAPA Lil Wayne amekutwa na hatia ya kubeba bunduki iliyokuwa imekokiwa mwaka 2019 akipanda Ndege binafsi huko Miami.   Alikutwa...

READ MORE

Mchungaji Ashambuliwa na Nyoka Akikemea Mapepo

HALI  ya kutatanisha imezuka Kasikeu, Makueni nchini Kenya wakati Pasta aliyeitwa kuwakemea mapepo aliposhambuliwa na nyoka katika nyumba ya jirani...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Eswatini Afariki kwa Corona

SERIKALI  ya Eswatini imesema Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Ambrose Dlamini, amefariki dunia, wiki nne baada ya kupatikana na virusi...

READ MORE

Google Yataja Maneno Yaliyotafutwa zaidi 2020, Tanzania Imo

KAMPUNI ya Google imetoa orodha ya maneno yaliyotafutwa zaidi katika nchi mbalimbali duniani mwaka 2020 ikiwemo Kenya.   Orodha hiyo...

READ MORE

Sekeseke Kung’olewa Spika DRC Lafika Pabaya

MUUNGANO wa vyama vya kisiasa wa FCC wa aliyekuwa rais wa Congo (DR), Joseph Kabila, umekiri kuwa kung’olewa kwa, Jeanine...

READ MORE

Uganda Yaagiza Dozi Mil. 2 Chanjo ya Covid-19

UGANDA  imeomba dozi zaidi ya milioni mbili za chanjo ya Covid 19, wakati idadi ya maambukizi ikiendelea kuongezeka katika taifa...

READ MORE

Aliyenyongwa na Trump, Kim Kardashian Ateseka!

KIM KARDASHIAN amempoteza mtu aliyekuwa miongoni mwa  aliokuwa akiwatetea kwenye kesi zao mahakamani. Brandon Bernard amenyongwa hadi kufa Jana mjini...

READ MORE

Trump Rais wa Kwanza Karne Hii Kunyonga Marekani

  HUKUMU ya kifo ya mfungwa Brandon Bernard imetekelezwa katika jimbo la Indiana baada ya ombi la dakika za mwisho...

READ MORE

Tanzia: Mwigizaji Tommy Lister Afariki Dunia

Mwigizaji Tommy Lister maarufu ‘Tiny’ amefariki dunia, imeripotiwa kwamba alikutwa akiwa na hali mbaya kwenye apartment aliyokua anaishi na kuwaishwa...

READ MORE

Facebook Yakabiliwa na Kesi ya Kutaka ‘Kuua’

KAMPUNI ya #Facebook Inc inaweza kulazimishwa kuuza mali zake ikiwemo #WhatsApp na #Instagram baada ya Tume ya Biashara ya #Marekani...

READ MORE

Wabunge DRC Kupiga Kura Kumwondoa Spika

ZAIDI ya wabunge mia mbili kati ya wabunge mia tano wameanza kikao cha kupiga kura ya  kumwondoa madarakani Spika wa...

READ MORE

Matokeo ya Urais Marekani Yatangazwa Rasmi

WAJUMBE  wa Kamati ya Uchaguzi ya majimbo yote wataenda katika mji mkuu wa Washington DC Jumatatu kufuatia uchaguzi wa urais...

READ MORE

Mahakama Yagoma Kubatilisha Ushindi wa Biden

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amepata pigo jingine katika juhudi zake za kutaka ushindi wa rais mteule, Joe Biden, ubatilishwe,...

READ MORE

Asimulia Anavyokung’utwa Kisa Michepuko ya Mumewe!

DAKTARI mmoja mwanamke nchini Nigeria ameibuka hadharani na kutoboa ukweli ya yanayotokea ndani ya ndoa yake kupitia manyanyaso mengi na...

READ MORE

Biden Ateua Mmarekani Mweusi Kuwa Waziri wa Ulinzi

RAIS mteule wa Mararekan,i Joe Biden,  amemteua Jenerali Mstaafu, Lloyd Austin, kuwa waziri wake wa ulinzi, vyombo vya habari vya...

READ MORE

Askari Aliyefanya Kazi ya Upelelezi Wakati ni Jambazi

DUNIANI wapo wahalifu wengi wa matukio mbalimbali lakini  Afrika Kusini haiwezi kumsahau jamaa huyu anayeitwa Andre Stander ambaye alikuwa askari...

READ MORE

Aongezewa Urefu Akihofia Kukosa Mke

KILA mwaka mamia ya watu kote duniani hufanya upasuaji wa miguu ili waongezewe urefu wa vimo vyao vya mwili.   ...

READ MORE

Tshisekedi Kuvunja Serikali ya Muungano DRC

RAIS  wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi, aweka wazi mpango wake wa kuvunja Serikali ya Muungano ambayo...

READ MORE

Gonjwa la Ajabu Lajitokeza India, Watu 140 Walazwa

MAOFISA nchini India wanachunguza ugonjwa ambao haujafahamika uliosababisha zaidi ya watu 140 kulazwa mwishoni mwa wiki hii. Wagonjwa hao kutoka...

READ MORE

Rais Trump Amshinikiza Gavana Kupindua Matokeo

Rais wa Marekani Donald Trump, amemshinikiza gavana wa Republican wa jimbo la Georgia kumsaidia kupindua ushindi wa Joe Biden jimboni...

READ MORE

Marekani Yaripoti Vifo vya Corona 2,700 kwa Siku Moja

RIPOTI kutoka Marekani zinasema watu 2,700 wameripotiwa kufa kwa siku moja ya Jumatano (Desemba 3, 2020) pekee ikiwa ni kiwango...

READ MORE

Ufaransa Yampongeza JPM Kuingia Uchumi wa Kati

BALOZI  wa Ufaransa nchini, Frederic Clavier, leo Desemba 2, 2020, amemkabidhi Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi, barua...

READ MORE

Namibia Yatangaza Kuuza Tembo kwa Mnanda

WIZARA ya mazingira ya Namibia imesema kwamba serikali ya nchi hiyo inapanga kuuza ndovu (tembo) 170 kutokana na hali mbaya...

READ MORE

UN Wapiga Kura Kuhalalisha Matumizi ya Bangi

TUME ya Umoja wa mataifa ya kudhibiti dawa za kulevya, imepiga kura na kupitisha pendekezo la Shirika la Afya Duniani...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Ufaransa Afariki kwa Corona

RAIS wa zamani wa Ufaransa, Valery Giscard, amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa virusi vya corona akiwa na umri miaka...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu Marekani: Hakuna Udanganyifu wa Kura

MWANASHERIA mkuu wa Marekani, William Barr, amepigilia msumari wa mwisho kwenye sakata la uchaguzi baada ya kusema  kwamba wizara ya...

READ MORE

Mwanasayansi wa Iran Aliuawa kwa ‘Remote-Control’

MKUU wa masuala ya usalama wa Iran, Ali Shamkhani, amesema  washambuliaji  walitumia kifaa cha kielekroniki  wakati gari la mwanasayansi  Fakhrizadeh...

READ MORE

Aliyekuwa Daktari wa Maradona Achunguzwa

WAENDESHA mashitaka nchini Argentina wanamchunguza daktari wa  Diego Maradona, Leopoldo Luque, wakimshuku kwa kuua kufuatia kifo cha nyota huyo wa...

READ MORE

Boko Haram Waua Wakulima 43 Nigeria

Kundi la Boko Haram la Nchini Nigeria limewaua  Wakulima 43 wa Jimbo la Borno katika mashamba yao ya mpunga yaliopo...

READ MORE