PENGINE haikuchukua muda mrefu kwa Tiziana Cantone kuanza mfululizo wa matukio ambayo yalisababisha kujikatisha uhai. Mwezi Aprili mwaka 2015,...
READ MOREKIONGOZI wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un, amekubali kuwa mpango wake wa kiuchumi wa miaka mitano kwa nchi hiyo ambayo imejitenga,...
READ MORECHAMA cha Democratic cha rais mteule, Joe Biden, sasa kina udhibiti wa mabunge yote mawili ya Marekani baada ya kuibuka...
READ MOREWATU wanne wamefariki dunia akiwemo mwanamke mmoja aliyepigwa risasi kufuatia vurugu zilizoibuka baada ya wafuasi wa Rais wa Marekani, Donald...
READ MOREMgombea wa wa chama cha Democratic Raphael Warnock ameibuka mshindi katika uchaguzi wa maseneta dhidi ya mgombea wa chama cha...
READ MORERais wa Uganda,Yoweri Kaguta Museveni, ameamua kumteua Brigedia Kayanja Muhanga, kusimamia masuala ya usalama wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu nchini...
READ MOREMBUNGE mmoja wa chama cha Trump (Repulican) ameahidi kutembea na bunduki wazi mitaani. Mbunge huyo mpya mwanamke ameahidi kutembea na...
READ MOREWANAUME wawili waliopatikana na hatia ya mauaji ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Kabila, miaka...
READ MORERAIS wa Marekani, Donald Trump, amerekodiwa akimwambia afisa mkuu wa uchaguzi Georgia atafute kura za kutosha kuwezesha kubadilishwa kwa matokeo...
READ MOREBILIONEA wa China, Jack Ma inasemekana hajulikani alipo baada ya kutoonekana hadharani kwa zaidi ya miezi miwili. Aidha, alishindwa...
READ MOREIran inapanga kuanza tena kurutubisha madini yake ya uranium, kwa asilimia 20, hayo ni kulingana na Shirika la Umoja wa...
READ MORESERIKALI ya Zimbabwe jana imesitisha shughuli za kawaida za kila siku kote nchini humo kufuatia kuongezeka kwa visa vya...
READ MOREUINGEREZA imeanza ukurasa mpya wa kujitegemea kwa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (EU), baada ya usiku wa kuamkia jana kukamilisha...
READ MOREKATIKA kipindi cha sikukuu ya Krimasi kumetokea kisanga cha kipekee katika baa moja iliyopo mjini Embu jijini Nairobi nchini Kenya...
READ MOREWAKATI barani Afrika ikiwa bado ni mchana (wakati wa kuandika habari hii), nchini New Zealand na Australia ambako ni mashariki...
READ MORESAMUEL LITTLE, mtu aliyetajwa na shirika la upelelezi la Marekani (FBI) kama muuaji mkubwa wa kuvizia katika historia ya Marekani, ...
READ MOREWATU wasiopungua watano wameuawa na makumi kadhaa kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa katika uwanja wa ndege wa mjini Aden, Yemen, muda...
READ MORERAISwa Afrika ya Kusini, Cyril Ramaphosa, amesema hali ya maambukizi nchini humo ni mbaya sana, hivyo serikali ya nchi hiyo...
READ MOREAINA mpya ya kirusi cha corona kinachoaminka kusambaa kwa kasi, imeripotiwa kwa mara ya kwanza nchini Marekani na Amerika ya...
READ MORERAIS wa Marekani, Donald Trump, hatimaye ameusaini muswada wa sheria wa dola bilioni 900 unaokusudia kutoa misaada kwa watu walioathiriwa...
READ MOREMWANZILISHI wa kampuni la Amazon, Jeff Bezos, ndiye mtu tajiri zaidi duniani kwa sasa, kulingana na orodha ya jarida la...
READ MOREMWANDISHI wa habari wa China aliyekamatwa kwa ‘kuripoti ukweli’ kuhusu janga la ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona...
READ MORERIPOTI za vyombo vya habari nchini Uganda zimesema kuwa, baadhi ya mashahidi wameripoti kwamba mlinzi wa mgombea urais kupitia National...
READ MORESERIKALI ya Uganda imesitisha kampeni zote za uchaguzi wa Urais katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala na wilaya nyingine...
READ MOREKITUO cha kutafiti uchumi na biashara kilicho na makao yake huko Uingereza CEBR kimesema kuwa Uchumi wa taifa la China...
READ MOREHATIMAYE mchekeshaji Eric Omondi amejipatia jiko ambalo ni mrembo anayefahamika kwa jina la Carol, kupitia ‘The Wife Material Show’ kipindi...
READ MORERAIS Vladimir Putin wa Urusi amesema nchi hiyo inamiliki kombora ambalo haliwezi kutunguliwa na linaweza kufika pahala popote duniani huku...
READ MOREShirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), limesema kuwa litamfungulia mashtaka ya jinai rais wake wa zamani Sepp Blatter, kwa...
READ MOREBAADA ya zaidi ya miaka 400, jana (Jumatatu) usiku sayari mbili kubwa zaidi katika mfumo wetu wa jua, sayari ya...
READ MOREJARIDA la Forbes, linamtaja kijana #RyanKaji, mwenye umri wa miaka tisa, kuwa ndiye Youtuber (mpandisha maudhui kwenye mtandao wa...
READ MOREMADAKTARI wanaofanya kazi kwenye hospitali za umma nchini Kenya, wameungana na wahudumu wengine kwenye mgomo kulamamikia kutopewa bima ya afya...
READ MORETangu hapo jana Jumapili, mataifa kadhaa ya Umoja wa Ulaya yamekuwa yakipiga marufuku kuingia kwa ndege za abiria zinazotokea nchini...
READ MORERAIS Mteule wa Marekani, Joe Biden anatarajiwa kulindwa na kampuni maalum ya ulinzi ambayo italipwa mamilioni ya fedha kwa ajili...
READ MOREBUNGE la Seneti limemuondoa madarakani Gavana wa Nairobi, Mike Sonko, baada ya maseneta 27 kupiga kura za ndiyo kuunga mkono...
READ MOREMAMIA ya wavulana waliotekwa wiki iliyopita kutoka shule ya bweni kaskazini-magharibi mwa Nigeria wameachiliwa huru, mamlaka katika eneo hilo zimeliambia...
READ MOREMAISHANI watu wengi hutaka kuishi katika nyumba nzuri na za kifahari. Wengi huwa hawafanikiwi. Lakini nchini Mexico, ambapo ulanguzi wa...
READ MORERAIS wa Ufaransa,, Emmanuel Macron (42), amekutwa virusi vya corona na ana dalili za wazi hivyo atajitenga kwa siku saba. ...
READ MOREDAKTARI bingwa wa tiba ya uzuiaji wa magonjwa, James Hamblin, alifanya utafiti kuhusu utakatishaji wa ngozi ambao hivi karibuni umechapishwa...
READ MOREMAJIMBO manne nchini Nigeria yametoa amri ya shule kufungwa baada ya wanafunzi zaidi ya 100 kutekwa katika jimbo la Katsina. ...
READ MORERAIS wa Uganda, Yoweri Museven,i ambaye pia ni amiri jeshi mkuu, amefanya mabadiliko katika jeshi la Uganda (UPDF) na...
READ MORE