×

Kimataifa

Video: Koffi alivyompiga Dansa wake wa kike baada ya kutua Nairobi

Koffi Olomide akimpiga mateke mnenguaji wake. JANA Ijumaa Standard Media Digital ya Kenya ilitoa video ikionyesha Staa wa Muziki wa...

READ MORE

Kisa nguo na kofia… amuua mdogo wake!

Kakamega TUKIO la aina yake limefanywa kijana Andrew Muganda (26) aliyeripotiwa kumpiga mdogo yake Wycliffe Shitanda (23) hadi kumuua, kisa kikidaiwa...

READ MORE

Analipwa pesa kwa kubikiri watoto, kufanya ngono na wajane!

Eric Aniva ‘Fisi ‘ mtajika aliyewabikiri zaidi ya watoto 10. Malawi KATIKA hali ya kawaida, tamaduni nyingi kote duniani mwanamke...

READ MORE

Aliyekuwa Kocha wa Nigeria Stephen Keshi Kuzikwa Julai 29

MAZISHI ya aliyekuwa Kocha Mkuu na nahodha wa Timu ya Taifa ya Nigeria (Super Eagles) Stephen Keshi, aliyefariki Juni 8...

READ MORE

Paul Okoye Ampa Jina Mtoto Mgonjwa Hospitalini

MMOJA wa watoto wagonjwa katika hospitali ya Hearts of Gold Children Hospice iliyoko Surulere, Lagos, nchini Nigeria, ambayo inauguza watoto...

READ MORE

Mbuzi azaa kichanga chenye sura ya binadamu

  Nigeria HAYA ni maajabu mengine kuwahi kutokea duniani! Mbuzi alyekuwa na mimba amejifungua kiumbe ambacho kina sura kama ya...

READ MORE

Maelfu Waandamana Kumuunga Mkono Mugabe

Na Leonard Msigwa/GPL Maelfu ya wafuasi wa chama tawala cha ZANU-PF nchini Zimbabwe wameandamana kwenye mji mkuu wa nchi hiyo...

READ MORE

Donald Trump Sasa Rasmi Kugombea Urais Marekani

Donald Trump ateuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican, uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi Novembea mwaka huu. Trump...

READ MORE

Mke wa Trump Aigiza Hotuba ya Michelle Obama

Mke wa Donald Trump, Melania Trump. Na Leonard Msigwa/GPL MKE wa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican, Donald...

READ MORE

Kijana Awashambulia Abiria Kwenye Treni Ujerumani

KIJANA mmoja aliyekuwa na kisu na shoka amewashambulia abiria waliokuwa kwenye treni huko Kusini mwa nchi ya Ujerumani jana usiku...

READ MORE

Watu 26 wameripotiwa kufariki China leo

Basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.  Wakiendelea kuzima moto huo. Watu...

READ MORE

Mmarekani Mweusi awaua Polisi 3

Rais Barrack Obama wa Marekani amewasihi Wamerakani wajizue dhidi ya hisia kali baada ya Mmarekani Mweusi kuwapiga risasi na kuwaua...

READ MORE

Magufuli ateua Makamu Mwenyekiti Bodi ya TCAA

Rais Magufuli (aliyekaa) akiwa na baadhi ya watendaji wa Ikulu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe...

READ MORE

Donald Trump na Vita ya Urais Marekani

Mgombea wa urais nchini Marekani kupitia chama cha Republican, Donald Trump. Na Leonard Msigwa/GPL DONALD TRUMP ndiye mgombea wa urais...

READ MORE

Huyu Ndiye Mgombea Mwenza Wa Donald Trump

Gavana wa Indiana Mike Pence (kulia) amechaguliwa kama mgombea mwenza wa Donald Trump. Gavana wa Indiana Mike Pence amechaguliwa kama...

READ MORE

Wanajeshi 104 wauawa wakitka kumpindua rais wa Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan (ktikati) baada ya kujitokeza. Istanbul, Uturuki Naibu Nkuu wa Jeshi la Uturuki ametangaza kwa...

READ MORE

Huyu ndiye mgombea mwenza wa Donald Trump

MGOMBEA wa Urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump amemteua Gavana wa Jimbo la Indiana, Mike...

READ MORE

A-Z Yaliyojiri kwenye jaribio la mapinduzi kwa rais Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan (ktikati) baada ya kujitokeza. 07:15 Shirika la Reuters limemnukuu afisa wa serikali ya Uturuki...

READ MORE

Dos Santos: Mmoja wa viongozi ving’ang’anizi matajiri Afrika!

JE, una umri usiozidi miaka 36 tangu uzaliwe?  Kama jibu ni “ndiyo’ basi ujue ulizaliwa baada ya Rais Jose dos...

READ MORE

Ufaransa ‘kimenuka’ tena… 80 wauawa kwa shambulizi

    Paris, Ufaransa Ufaransa kimenuka tena! Watu 80 wameripotiwa kufa ikiwa ni pamoja na watoto 18 katika shambulizi la kigaidi...

READ MORE

Waziri Mkuu Uingereza Achagua Mawaziri Wapya

Waziri mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May. WAZIRI mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May, ameanza kuchagua mawaziri wapya huku akiwaacha...

READ MORE

Makazi Mapya ya David Cameron

David Cameron. Makazi mapya ya Cameron. Cameron akiingia kwenye makazi yake mapya. Ulinzi katika makazi mapya ya Cameron. Makazi mapya...

READ MORE

Hizi ndizo Airports 10 Bora zaidi Barani Africa

1.Cape Town International Airport, South Africa (CPT) 2.Johannesburg O.R. Tambo International Airport, South Africa (JNB) 3.Algiers Houari Boumediene International Airport,...

READ MORE

Shirika la Ndege la Etihad Latunukiwa Tuzo 3 Kwa Ubora wa Huduma za Anga

Makamu wa Rais wa Huduma wa Shirika la Ndege la Etihad, Sajida Ismail, Makamu wa Rais wa Uhusiano wa shirika...

READ MORE

IS Wathibitisha Kifo cha Kamanda Wao Omar Shishani

Omar Shishani. Kundi la Islamic State limethibitisha kifo cha mmoja wa makamanda wake wa ngazi za juu kijeshi, Omar Shishani....

READ MORE

Juno Yatuma Picha ya Kwanza ya Jupita

Muonekano wa picha ya kwanza ya Sayari ya Jupita. Chombo cha anga za juu cha Shirika la Marekani la NASA...

READ MORE

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Hafsa Mossi Auawa

Hafsa Mossi. Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi, Hafsa Mossi ameuawa na watu wasiojulikana mjini Bujumbura leo. Bi....

READ MORE

Cameron Kuachia Ngazi Leo Uingereza

David Cameron . Theresa May leo anakuwa waziri mkuu wa pili mwanamke katika historia ya nchi ya Uingereza baada ya...

READ MORE

Treni zagongana na kuua 12 Italia

Andria, Italia  Treni mbili zimegongana kusini mwa nchi ya Italia na kuua watu 12 eneo la tukio na wengi wao...

READ MORE

Ethiopia Yazima Mitandao Yote ya Kijamii

SERIKALI nchini Ethiopia imefunga mitandao yote ya kijamii ya mitandao ya Facebook, Twitter, Instagram na Viber baada ya kuvuja kwa...

READ MORE

Hatimaye Mrithi wa David Cameron Apatikana

Theresa May. Mwanamama Theresa May amekuwa mgombea pekee ndani ya chama tawala cha Conservative nchini Uingereza, aliyebakia katika kinyanganyiro cha...

READ MORE

Mapigano yazuka tena Juba, Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umehimiza viongozi wa kisiasa kutuliza wanajeshi wao Juba, Sudan Kusini MAPIGANO yamezuka tena nchini Sudan Kusini saa...

READ MORE

Maandamano ya Wamarekani Weusi Yapamba Moto

  Wamarekani Weusi waliouawa na polisi Marekani, Alton Sterling (kushoto) na Philando Castile (kulia) enzi za uhai wao. Maandamano ya Wamarekani...

READ MORE

Maneno ya Rais Obama, Mastaa wa Marekani kuhusu mauaji ya watu weusi

KUFUATIA kuongezeka kwa matukio ya mauaji ya watu weusi nchini Marekani, Rais wa Nchi hiyo, Barack Obama na mastaa wakiwemo...

READ MORE

Polisi wanne wauawa Dallas, Marekani

Maafisa wanne wa polisi mjini Dallas nchini Marekani wamepigwa risasi na kuuawa huku wengine saba wakijeruhiwa wakati wa maandamano ya...

READ MORE

Ukweli mtu aliyekamatwa na kichwa cha mtu

Na Mwandishi Wetu, AMANI Mbeya: Taharuki Imezuka mjini hapa baada ya kuenea kwa picha za mtu (pichani) anayedaiwa kukamatwa mkoani...

READ MORE

Hatimaye Oscar Pistorius ahukumiwa kwenda jela

Oscar Pistorius Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini aliyejinyakulia mataji kibao ya Olympic, Oscar Pistorius leo amehukumiwa kifungo cha miaka sita...

READ MORE

Kisa kukataliwa kujiunga na ISIS, mapacha wamuua mama yao, wamjeruhi baba!

MAPACHA wawili wamemuua mama yao mzazi na kuwajeruhi baba mzazi na kaka yao kwenye makazi yao yaliyopo Riyadh, Saudi Arabia...

READ MORE

Donald Trump amkubali Saddam Hussein

Marekani MGOMBEA urais wa Chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amemsifu kiongozi wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein akisema...

READ MORE