×

Kitaifa

JPM: Hakuna Uhuru, Haki Usio na Wajibu, Kosoeni kwa Hoja – Video

RAIS  John  Magufuli amesema kuwa siku zote uhuru unakwenda na haki pamoja na uwajibikaji hivyo serikali yake itahakikisha mambo hayo...

READ MORE

Dongo la Gwajima kwa Ndugai: Wagogo Walipanua Masikio – Video

  MBUNGE wa Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amesema wabunge wengi wa chama hicho wameshinda kutokana...

READ MORE

Jamaa Aliyejifanya Katibu wa Kangi Lugola Afikishwa Mahakamani

Mkazi wa jiji la Dar es Salaam, Godfrey Haule amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu...

READ MORE

DC Chongolo Afanya Ziara ya Ukaguzi Miundombinu Shule ya Msingi Boko

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo ametembelea  Shule ya Msingi Boko kwa lengo la kukagua changamoto zilizojitokeza katika...

READ MORE

JPM: Nitatumbua Majipu, TZ Iwe ya Mabilionea… – Video

  RAIS John Magufuli amesema kuwa hatosita kuwawajibisha watendaji wake ambao watakuwa wazembe ama watafanya kazi kinyume na taratibu na...

READ MORE

Breaking: JPM Aanza na Mawaziri Hawa…

RAIS John Magufuli amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuanzia leo...

READ MORE

Trump Mahakamani Kupinga Matokeo ya Uchaguzi

MAOFISA wa kampeni wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wamefungua kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais katika...

READ MORE

Mfahamu Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

MAJALIWA Kassim Majaliwa, ambaye amethibitishwa leo Alhamisi, Novemba 12, 2020 na Bunge la 12 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea...

READ MORE

Dkt. Tulia Ashinda Unaibu Spika – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson, amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge...

READ MORE

Majaliwa Athibitishwa na Bunge Zima Kuwa Waziri Mkuu – Video

MBUNGE wa Ruangwa, Kassim Majaliwa Majaliwa, amethibitishwa kwa kupigiwa kura za NDIYO  na wabunge wote 350 waliokuwemo Bungeni leo Alhamisi,...

READ MORE

Breaking: JPM Apendekeza Majaliwa Kuwa Waziri Mkuu – Video

RAIS John  Magufuli amempendekeza na kumteua tena Mbunge wa Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu...

READ MORE

Unakosaje Hii Kwa Mfano? Furahia Sauti za Wanyama Kutoka Msituni

Furahia sauti za wanyama wa msituni kwenye sloti ya Forest Rock kutoka Expanse Studios. Cheza kwa kutumia pesa halisi kwenye...

READ MORE

Wafanyabiashara Wawili Wanaswa na Bangi, Sare za JWTZ – Pichaz

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia wafanyabiashara wawili wanaofahamika kwa majina ya Husein Sadick Juma (29) mkazi wa Kimara Temboni jijini Dar...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuita Maalim Seif Kuridhiana – Video

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema yuko tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa, kuendesha serikali kama ambavyo...

READ MORE

Mzee Miaka 60 Kortini Akituhumiwa Kubaka

MZEE mwenye umri wa miaka 60 mkazi wa shehia ya Finya Wilaya ya Wete amefikishwa katika mahakama ya Mkoa wa...

READ MORE

TANZIA: Mwakilishi Mteule ACT-Wazalendo Afariki Dunia

MWAKILISHI Mteule wa Pandani kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Abubakar Khamis Bakar (69) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatano tarehe...

READ MORE

Biden Kumpendekeza Obama Balozi Uingereza

VYOMBO vya habari vya Uingereza vimesema, kama Joe Biden akiapishwa kuwa rais, huenda atampendekeza rais wa zamani wa Marekani, Barack...

READ MORE

Magufuli Kuhutubia Bunge Ijumaa

  RAISDk John Magufuli anatarajiwa kulihutubia Bunge la 12 Ijumaa Novemba 13, 2020,  saa 3:00 asubuhi, Dodoma,  kuashiria kuanza rasmi...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni Kunajisi Mwanafunzi wa Miaka 10

KAMANDA wa Polisi mkoani Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema wamemkamata mwalimu Eneza Eneza (27) wa Shule ya Montfort iliyopo Kola B,...

READ MORE

Spika Awaonya Wabunge CHADEMA – Video

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai,  amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge hilo, wabunge 19 wa...

READ MORE

Fahamu Kilivyotokea Kifo cha Diwani, Wajukuu Zake Waliochomelewa Ndani – Video

MWILI wa aliyekuwa Diwani mteule Kata ya Kikongo Kibaha Vijijini (CCM), Fatuma Ngozi na wajukuu zake wawili waliokufa baada ya...

READ MORE

Magufuli Amtumia Ujumbe Biden

RAIS John Magufuli amempongeza Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden, na makamu wake Kamala Harris kwa kushinda katika uchaguzi mkuu...

READ MORE

Tanzia: MC Zipompapompa Afariki Dunia, Ndugu Aanika Mazito – Video

MUIGIZAJI maarufu wa Bongo Movies, MC Zipompapompa amefariki dunia jana Jumanne, Novemba 10, 2020 nyumbani kwake baada ya kuugua kwa...

READ MORE

🔴#LIVE: Shigongo Aapishwa Kuwa Mbunge wa Buchosa, Bungeni Dodoma

Leo Jumatano, Novemba 11, Eric James Shigongo ameapa kuwa Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Bungeni jijini Dodoma. Zoezi la kuwapisha...

READ MORE

Lissu Aondoka nchini, Atoa Kauli Hii – Video

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameondoka nchini...

READ MORE

Wabunge Waendelea Kuapishwa na Spika Ndugai Dodoma – Video

BUNGE la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililoanza rasmi leo Jumanne, Novemba 10, 2020, linaendelea jioni hii ambapo...

READ MORE

Majaliwa Ala Kiapo Ubunge Ruangwa

WAZIRI Mkuu Mstaafu, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa, akiapa kuwa mbunge wa Ruangwa, Bungeni jijini Dodoma Novemba...

READ MORE

Askofu Gwajima Aapishwa Ubunge – Video

Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima akila kiapo cha kuwa Mbunge wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Mwana FA Ala Kiapo Uunge Muheza – Video

Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’,  akila kiapo cha kuwa Mbunge wa Muheza katika Bunge la 12 la Jamhuri...

READ MORE

Afya za Watoa Huduma za Hsafi Simiyu Hatarini

  AFYA za wafanyakazi katika sekta ya usafi hususani watoa huduma ya kutapisha vyoo katika mji wa Maswa na Bariadi...

READ MORE

Dkt. Abbas Awashukia Chadema, Ajibu Hoja Zao

MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Dkt. Hassan Abbasi ameliambia Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa Watanzania wamemaliza uchaguzi...

READ MORE

Maswa Waeleza Siri Kutokomeza Kipindupindu

MAMLAKA ya mji mdogo wa Maswa mkoani Simiyu imeeleza kuwa kupungua kwa kasi ya magonjwa ya mlipuko hususani kipindupindu katika...

READ MORE

Ndugai: Ukiwa Mbunge Bubu Umekwisha, Hakuna Kubebana – Video

  MBUNGE wa Jimbo la Kongwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Job Ndugai, amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 12...

READ MORE

Ndugai Akutana na ‘Kigingi’, Mbunge Chadema Asimama – Video

MBUNGE wa Jimbo la Kongwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Job Ndugai, amekutana na kigingi cha kwanza bungeni wakati akiomba...

READ MORE

Saruji Kupanda Bei…! Kiwanda cha Dangote Chaomba Radhi

UONGOZI wa kiwanda cha Dangote kinachozalisha saruji mkoani Mtwara kilisimamisha uzalishaji kwa takribani wiki mbili ili kusafisha mashine za kiwanda....

READ MORE

Mwl. Kashasha Afungukia Bao Lake Bora Ligi Kuu Bara – Video

  KWA mara ya kwanza, mchambuzi mahiri wa masuala ya soka, maarufu kama Mwalimu Kashasha, ametembelea ofisi za Global Group...

READ MORE

Live: Bunge la 12 Laanza Dodoma, Tazama Kinachofanyika Leo – Video

KIKAO cha kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 12 kinatarajiwa kufanyika leo jijini Dodoma baada ya kukamilika kwa...

READ MORE

Lema Aachiwa, Apewa Hifadhi Kenya

ALIYEKUWA mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, ameachiliwa na polisi nchini Kenya baada ya kukamatwa kwa madai ya...

READ MORE

Ujenzi wa Vyoo Kwenye Mikusanyiko Waanza Simiyu

  ILI kuepuka na magonjwa ya mlipuko katika kipindi hiki cha mvua za vuli, Serikali ya wilaya ya Bariadi mkoani...

READ MORE