×

Kitaifa

Muuguzi Mount Meru Asimamishwa Kazi Mwaka Mzima kwa Ulevi

MUUGUZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru Arusha, Martin Chama amesimamishwa kazi ya kutoa huduma za uuguzi na ukunga...

READ MORE

MTOTO ALIYENUSURIKA KUUAWA NJOMBE AFARIKI DUNIA – VIDEO

Mtoto Meshack Myonga (4)mkazi wa mji mwema Halmashauri ya Mji wa Njombe Mkoani Njombe aliyejeruhiwa kwa kukatwa koromeo amefariki dunia...

READ MORE

DKT BASHIRU: Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi!

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amesema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), anaumwa ugonjwa...

READ MORE

Wananchi Waangusha Maombi Maalum Dhidi ya Mauaji ya Watoto Njombe

MKUU wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri (pichani) jana ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa...

READ MORE

SIMIYU: Mwanafunzi Darasa la Pili Atekwa, Auawa!

MWANAFUNZI wa shule ya msingi Lukungu kata ya Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu, Joyce Joseph miaka 8 aliyekuwa akisoma darasa...

READ MORE

Wasafirishaji wa Mirungi Waja na Mbinu Kujifanya Wanafunzi

WAFANYABIASHARA na Wasafirishaji wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamekuja na mbinu nyingine mpya ya kujigeuza wanafunzi na kisha...

READ MORE

Mbunge Aliyehama Adai Chadema Waliratibu Mpango wa Lissu Kupigwa Risasi – Video

MBUNGE wa Siha (CCM), Dk Godwin Mollel amesema tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 jijini Dodoma...

READ MORE

MUSUKUMA: Dhahabu Siyo Korosho, Tusiiwekee Masharti Kabisa! – Video

MBUNGE wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma‘ ameishauri serikali kuondoa baadhi ya masharti yaliyowekwa kwa wanaoingiza madini ndani ya nchi kutoka...

READ MORE

KASHESHE ZA RC MWANRI ZINAENDELEA “NAWACHOTA JUMLA JUMLA” – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameendelea na kampeni yake ya kukomesha mama wajawazito na watoto wenye umri chini...

READ MORE

Wanafunzi Wagoma Wakidai Kudhalilishwa Kingono na Walimu

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro jana Ijumaa lililazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Majengo baada...

READ MORE

DEREVA WA LISSU ASIMULIA “WALIVAA KOFIA NA MIWANI MYEUSI”

KWA mara ya kwanza, dereva wa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyekuwa naye siku ya kushambuliwa kwake, Adam...

READ MORE

BREAKING: SUMAYE Augua GHAFLA, Akimbizwa Hospitali, CHADEMA Wafunguka! – VIDEO

WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye ameumwa ghafla akiwa Mkoani Tanga kwenye shughuli za Chama chake cha CHADEMA ambapo yeye ni...

READ MORE

BABU AKIONA CHA MOTO Anaswa na Denti Wakifanya Mapenzi – Video

Dunia kuna mambo! Babu mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto, Mkazi wa Kitangini kata ya Chanika jijini Dar es salaam,...

READ MORE

Tundu Lissu atarejea, hatarejea nchini?

TAKRIBAN mwaka mmoja na ushee sasa Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu...

READ MORE

MJADALA MZITO UMEIBUKA: LISSU VS NDUGAI, MTANDAONI PACHAFUKA!

MJADALA HOT: TUNDU LISSU Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amefanya ziara barani Ulaya na Marekani na kuisema Serikali....

READ MORE

ACB YAJIDHATITI KUWAINUA WAJASILIAMALI WADOGO

  Mkurugenzi  Mtendaji wa ACB, Augustine Akowuah akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).     BENKI ya Akiba Commercial...

READ MORE

Breaking News: Spika Ndugai Kusimamishia Mshahara wa Tundu Lissu – Video

SPIKA wa Bunge Job Ndugai amesema ipo haja ya kusimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu...

READ MORE

Bukoba: Kesi ya Walimu Kumuua Mwanafunzi Yaanza Kusikilizwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Bukoba imeanza kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia jana inayomkabili Mwalimu Herieth Jerald wa shule ya...

READ MORE

UNHCR Yamwomba Radhi JPM kwa Kuingiza Nguo Zinazofanana na za Jeshi

KAMISHNA Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Filippo Grandi amemwomba radhi Rais wa Tanzania, John...

READ MORE

Makambako: Mwili wa Mtoto Watelekezwa Kwenye Ndoo

WANAWAKE mkoani njombe wametakiwa kuacha Tabia ya kutoa ujauzito na kutupa watoto wachanga wasio na hatia kwa kisingizio cha Ugumu...

READ MORE

Mkulima Aliyedaiwa Kupigwa Risasi Kanisani na Mkurugenzi Azikwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,  Selemani Jafo amelaani vikali vitendo cha watumishi...

READ MORE

HOTUBA: MAGUFULI Amshangaa JAJI MKUU “Umeongea Nini?”

Rais Dkt John Magufuli leo Februari 06, 2019, amekuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Tanzania...

READ MORE

Jaji Mkuu Aagiza Sheria Zote Kuwekwa Mtandaoni – Video

JAJI Mkuu Profesa Ibrahimu Juma, amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuweka sheria zote mtandaoni ili Watanzania wote wapate kuzifahamu. Amesema...

READ MORE

IGP SIRRO APANGUA MAKAMANDA WA POLISI, AMWONDOA SHANA MWANZA

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro amefanya mabadiliko ya makamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza na...

READ MORE

BREAKING: JPM Afanya Ziara Channel 10, Magic FM, Awapa Mamilioni na Mjengo – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli leo Jumanne, Februati...

READ MORE

BREAKING NEWS: WABUNGE WATIMUA BUNGENI BAADA YA ALAMU – VIDEO

TAHARUKI imeibuka Bungeni huku Kikao cha Bunge kikivunjika kwa muda huku wabunge wakilazimika kukimbia kutoka ndani ya Ukumbi wa Bunge...

READ MORE

DED WA ADAIWA KUUA MKULIMA KANISANI KWA RISASI – VIDEO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, mkoani Singida, Pius Luhende na Askari wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za...

READ MORE

Nape Nnauye Ajiuzulu

KATIBU wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai amethibitisha kupokea barua ya mbunge wa Mtama Mh. Nape Nnauye kujiuzulu nafasi ya Mwenyekiti...

READ MORE

Ndugai Aitaka Serikali Ieleze Kuhusu Mauaji ya Watoto Njombe

Spika wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Serikali kutoa kauli kuhusu mauaji ya watoto yanayoendelea mkoani Njombe kabla ya kuahirishwa kwa...

READ MORE

Kesi ya Lissu Yafufuka, Wadhamini Wake Waitwa Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru wadhamini wa Mbunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya Chama cha Chadema, Tundu Lissu...

READ MORE

Serikali Yafanunua Inavyonunua Korosho Chini ya Bei Elekezi ya Sh 3,300 – Video

SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu madai ya watu wa kada mbalimbali, akiwemo Mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali,  kuwa korosho inanunuliwa...

READ MORE

HII NDO MBINU MPYA YA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA

WAFANYABIASHARA wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamebuni mbinu mpya za kusafirisha Dawa hizo kwa kutumia magari ya Kifahari...

READ MORE

MJALIWA AKUTANA na Mwinyi, Lugola, Kabudi na Mahiga

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global...

READ MORE

MGUNDUZI WA TANZANITE, MZEE NGOMA AZIKWA SAME

MGUNDUZI wa madini ya Tanzanite na Madini ya Jasi Marehemu Jumanne Ngoma ambaye alifariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini...

READ MORE

CHADEMA WAINGIA VITA NA KARIA, WAMTAKA AMUOMBE RADHI LISSU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeingia vitani na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wallace Karia baada ya kutoa...

READ MORE

Baada ya Kuhamishiwa Muhimbili, Rais Magufuli Amtembelea Kitwanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo Jumamosi, Februari 2, 2019 amemtembelea na mjulia Mbunge wa...

READ MORE

Kampeni ya Binti CCM kutua Ocean Road

Mwenyekiti wa Binti CCM Kampeni, Debora Charles, amesema kuwa kesho wanatarajia kukutana na wasina na wadau mbalimbali  ili kuweza kuwatia...

READ MORE