×

Kitaifa

Zitto Ambana Mwigulu Risasi za Lissu, Azory, Ben Saa Nane – Video

MSIKIE Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Ziito Kabwe, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani, iliyowasilishwa...

READ MORE

Hatimaye Mzee Majuto Apelekwa India Kutibiwa – Video

Msanii Mkongwe wa filamu nchini, King Majuto, amesafiri leo kuelekea India kwa ajili ya matibabu kutokana na ugonjwa wa Nyonga...

READ MORE

Kaka Alikomalia Bunge Matibabu ya Lissu – Video

Kaka wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, aitwae Alute Mughwai, amezungumzia kuhusu na taratibu za Bunge juu ya suala...

READ MORE

JOTI AFUNGUKA BAADA YA ‘HEKALU’ LAKE KUPIGWA X

  KUFUATI nyumba yake iliyopo Kisarawe kupigwa alama ya X huku akisemekana anatakiwa aibomoe kupisha upanuzi, Komedian maarufu nchini, Lucas...

READ MORE

TUZO ZA RAIS KWA WAZALISHAJI BORA WA VIWANDA ZATIKISA JIJINI DAR

SHIRIKISHO  la Viwanda Tanzania (CTI) leo limetoa tuzo kwa viwanda vilivyofanya vizuri kwa mwaka uliopita wa 2017 ambazo zimekabidhiwa na Waziri...

READ MORE

MAAMUZI YA JOHN HECHE BAADA YA MAZISHI YA MDOGO WAKE

MBUNGE wa Tarime Vijijini kupitia (CHADEMA), John Heche amesema kutokana tukio la kuuawa kwa mdogo wake Suguta Chacha kwa kuchomwa...

READ MORE

MWENDOKASI WASITISHWA

KAMPUNI inayotoa huduma katika mradi wa usafiei wa mabasi yaendayo haraka (UDART) imsitisha usafirishaji wa abiria kwa baadhi ya njia...

READ MORE

JPM Ampigia Simu Prof. Kitila Mbele ya Wananchi, ‘Atumbua Jipu’ – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempigia simu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Prof. Kitila Mkumbo...

READ MORE

Breaking News: Mahakama Kuu Yazuia Kanuni za Maudhui Mtandaoni

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mtwara leo Ijumaa Mei 4, 2018 imetoa zuio la muda (Temporary Injuction) dhidi ya tangazo linalowataka...

READ MORE

Rais Magufuli Ahani Msiba wa Kandoro Iringa – Picha

Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli wamehani msiba wa Mkuu wa Mkoa Mstaafu, Marehemu Mzee Abbas Kandoro katika...

READ MORE

ALIYEIBA MAHINDI YAKANG’ANG’ANIA MABEGANI, ZIPU YAMUOKOA

PWANI: Frank Joseph (23) mkazi wa Dar es Salaam ambaye anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa tuhuma za...

READ MORE

Bwana Harusi, Mkwewe Mbaroni – Video

GEITA: Ukiambiwa usifanye hivi ukakaidi yatakukuta tu; ndivyo ilivyokuwa kwa bwana harusi, Saayai Petro na baba mkwe wake aitwaye Kashirimu...

READ MORE

MLINGA: Rais Anatukanwa Mitandaoni? IGP Tumia mamlaka Yako – Video

MBUNGE wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani amelitaka Jeshi la...

READ MORE

LIJUAKALI: Aliyemtishia Nape Bastola si Yupo? – Video

Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Peter Lijualikali, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani, amesema kuna mambo...

READ MORE

MAAMUZI YA RAIS KUUPANDISHA HADHI MJI WA DODOMA KUWA JIJI NI SAHIHI-MAJALIWA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema maamuzi ya  Rais Dkt John Magufuli ya kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma...

READ MORE

Mama Kanumba Ala Shavu Burundi

MAMA mzazi wa aliyekuwa staa maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa juzikati ametimkia nchini Burundi kwa mualiko maalum...

READ MORE

AJISALIMISHA POLISI BAADA YA MAHINDI ALIYOIBA KUNASA MABEGANI – VIDEO

KIJANA Frank Japhet (23), mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, amelazimika kujisalimisha katika Kituo cha Polisi Mlandizi, Kibaha, Pwani, baada...

READ MORE

MSIGWA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI ‘KUPELEKA PESA CHADEMA’ – VIDEO

Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amefagilia Rais  John Magufuli...

READ MORE

MLINGA ‘KUMCHOMA’ MWANAFUNZI SINDANO, WAZIRI UMMY: SI SAHIHI

  KUFUATIA picha zilizosambaa mitandaoni zikimuonyesha Mbunge wa Ulanga, Morogoro (CCM), Goodluck Mlinga, kuonekana ameshika sindano kama anamchoma mwanafunzi chanjo...

READ MORE

MAAJABU: Kutana na Mtanzania Anayehudumia Nyuki na Hawamng’ati – Video

Kijana anayefahamika kwa jina la Mwana Mayo, aishiye Mkoani Arusha ameonyesha maajabu yake ya uwezo wa kuwatuliza anapowakamata kuwahudumia lakini...

READ MORE

LIVE BUNGENI: Maswali ya Papo kwa Hapo kwa Waziri Mkuu

Kikao cha 21, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimeanza leo Mei 3,...

READ MORE

SAKATA LA DNA, NAIBU WAZIRI APIGA STOP

SERIKLI kupitia kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile imekataza Mamlaka ya...

READ MORE

MUME AMPA KIPIGO HEVI MKEWE, SHUHUDIA KILICHOJIRI – VIDEO

HABARI hii inasikitisha sana! Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Mudrick Abdallah amedaiwa kumpa kipigo mwanamke aliyekuwa mkewe, Fatma Addy kiasi...

READ MORE

MBATIA: Tumekumbatia Ujinga, Haya ni Maafa – VIDEO

MSIKIE Mbunge wa Jimbo la Vunjo, James Mbatia, akichangia hoja ya bajeti ya wizara wa Elimu, iliyowasilishwa Bungeni na waziri...

READ MORE

JPM: Mtoto Wangu na wa Lukuvi, Hawawezi Kupata Mkopo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuna vigezo muhimu ambavyo huzingatiwa katika utoaji wa...

READ MORE

StarTimes Yampa Wema Shavu Kombe la Dunia

  KAMPUNI ya StarMedia, imetoa shavu la ubalozi kwa staa wa filamu Bongo. Wema Sepetu na wenzake, ambapo atakuwa na...

READ MORE

Wafanyakazi Halotel Watoa Misaada Kwa Watoto MOI

WATOTO wachanga wanaozaliwa na walio na umri chini ya miaka mitano huwa katika athari ya kuzaliwa au kupata magonjwa ambayo...

READ MORE

Steve Nyerere, Aunt Ezekiel Kuibua Vipaji Pangani

  TIMU  ya wasanii wa Bongo Muvi ikiongozwa na msanii wa vichekesho, Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ inatarajiwa kutua Jumamosi wiki...

READ MORE

DKT. MWAKYEMBE AFANYA UTEUZI TASNIA YA FILAMU

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe ametua Bodi Mpya ya Filamu Tanzania. Bodi hiyo itaongozwa na...

READ MORE

JPM: Iringa Kuna Baridi, Lakini Jizuieni, Tupunguze Ukimwi – Video

Rais Dkt. John Magufuli amewasihi wakazi wa mkoa wa Iringa, kuchukua tahadhari kutokana na maambukizi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI...

READ MORE

JPM: TUMEPOTEZA WANANCHI WENGI SANA, SASA INATOSHA – VIDEO

  RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali kutokana na vifo vingi vya wananchi vikiwemo vingi vya watoto na akina...

READ MORE

Rais Magufuli: Mambo Haya Wabunge Hawapendi Niyaseme – VIDEO

RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wabunge kutumia fedha za mfuko wa jimbo, kutatua baadhi ya changamoto katika majimbo yao ikiwemo...

READ MORE

KANISA LAPIGA MARUFUKU SHELA KWA WAJAWAZITO WAKATI WA NDOA

KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, limewapiga marufuku wanawake wajawazito kuvaa shela wakati wa kufunga ndoa kwa madai vazi hilo...

READ MORE

Maajabu ya Gari Lililotumbukia Mtoni! – Video

  AMA kweli Mungu mkubwa! Dada mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amepata ajali kufuatia gari lake aina...

READ MORE

SHEREHE ZA MEI MOSI MKOA WA DAR ZAFANA

SHEREHE za Siku ya Wafanyakazi Duniani, leo zimefana jijini Dar es Salaam ambapo Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva, ...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Chief Mkwawa wa Iringa – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kiongozi wa kimila wa kabila la Wahehe...

READ MORE

EWURA YATANGAZA KUSHUKA KWA BEI YA PEROLI NA DIZELI

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji nchini (Ewura) imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta...

READ MORE

ANTY  EZEKIEL KUZINDUA FILAMU YA ‘MAMA’ MEI 13

  Msanii maarufu wa filamu nchini, Anty Ezekiel, anatarajia kuzindua filamu yake mpya aliyoipa jina la ‘Mama’, siku ya Jumapili...

READ MORE