×

Kitaifa

KIJANA ADAIWA KUUAWA KWA KIPIGO CHA POLISI

Kijana Allen Mapunda mkazi wa Kata ya Iyela anadaiwa amefariki jana Machi 25, 2018 saa chache baada ya kuachiwa kutoka...

READ MORE

TECNO YAZINDUA DUKA JIPYA LA ‘EXPERIENCE CENTER’ SAMORA DAR (Picha + Video)

KAMPUNI ya simu za mkononi, TECNO inayofanya kazi chini ya TRANSSION HOLDINGs imezidi kutanua wigo  wa soko la simu nchini...

READ MORE

MAALIMU SEIF AMTOLEA UVIVU PROF LIPUMBA

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha wanachi (CUF) , Maalif  Seif Sharif  Hamad amemtolea uvivi Mwenyekiti wa Chama hicho anayeungwa...

READ MORE

Askari Dodoma Wafanya Mazoezi ya Nguvu

ASKARI na maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Dodoma, leo Machi 24, 2018 wamefanya zoezi la utayari kwa...

READ MORE

Waraka Mzito wa Baraza la Maaskofu kwa Taifa Watikisa, Usome Hapa

BARAZA la Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wametoa waraka mzito wa Sikukuu ya Pasaka ambao umesainiwa...

READ MORE

Marekani: FBI Aliyetambua Shambulio la Osama Afariki kwa Sumu

SHIRIKA la Uchunguzi la Marekani (FBI) limesema limempoteza mwanamama mmoja ambaye ni miongoni mwa waliotambua shambilizi la kigaidi la Septemba 11,...

READ MORE

NACTE Yavifungia Udahili Vyuo 163, Vilivyoruhusiwa Hivi Hapa

BARAZA la Taifa la Elimu na Ufundi (Nacte) limezuia vyuo 163 kudahili wanafunzi katika kozi mbalimbali ngazi ya astashahada na...

READ MORE

JPM Afanya Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki

  Rais Dkt. John Magufuli amemteua Prof. Lazaro S.P. Busagala kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC)....

READ MORE

WAFANYAKAZI NMB WATOA MILIONI 13 KUFANIKISHA UPASUAJI UGONJWA WA FISTULA CCBRT  

    WAFANYAKAZI wa Benki ya NMB Tanzania Kanda ya Mashariki wametoa msaada wa Shilingi Milioni 13 kwa Hospitali ya CCBRT...

READ MORE

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MRADI WA UJENZI WA ‘TERMINAL III’

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Kutoka Mahakamani: Babu Seya, Papii Kocha Waruhusiwa Kudai Fidia

  Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu(AfCHPR), imesema Mahakama za ndani Tanzania katika kesi ya kubaka na...

READ MORE

Walimu Dar Waandaliwa Tuzo Maalum Kuinua Ufaulu

  WAALIMU wa shule za msingi na sekondari wa Kata ya Kijichi Mkoa wa Dar es Salaam, wameahidiwa kufanyiwa ziara...

READ MORE

MTENGENEZA KUCHA ANUSURIKA KUUAWA NA MUME WA AFANDE

KIJANA mmoja anayejulikana kwa majina ya Khamis Ally amejikuta akipitia wakati mgumu kutokana na aina ya kazi anayoifanya ya kupaka...

READ MORE

TAMASHA LA PASAKA LA MWANZA BAADAYE KUHAMIA  DODOMA

  KAMPUNI ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka nchini  ambalo ni la nyimbo za muziki wa Injili linalotarajiwa kufanyika...

READ MORE

MWITA ATAKA HALMASHAURI ZA DAR KUZIKA WASIO NA NDUGU

MSTAHIKI Meya wa  Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, amezitaka halmashauri zote  katika jiji lake  kuajiri watumishi watakaozika watu...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Kumkashifu Rais Magufuli

JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera linamshikilia mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Nyakisasa iliyopo Tarafa ya Rulenge wilayani Ngara,...

READ MORE

Halotel Yawapa Tabasamu Wateja Wenye Kipato cha Chini

  KATIKA kuendana na kasi ya ukuaji wa  teknolojia ya mawasiliano  nchini, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya...

READ MORE

Siri za Mauaji ya Kwenye Viroba Zafichuka!

  DAR ES SALAAM: Siri ya mauaji ya watu na miili yao kukutwa kwenye viroba kando ya bahari na mito...

READ MORE

KISA NGUO YA NDANI, BOSI AMPA KISAGO KIZITO HOUSE GIRL

MFANYAKAZI wa ndani (hausigeli) aliyefa-hamika kwa jina la Katalina John anayefanya kazi hizo kwa Lyina John (30) mkazi wa Mhongolo wilayani Kahama,...

READ MORE

JPM Amualika Benjamin Netanyahu wa Israel

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemualika Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kutembelea Tanzania pamoja na kufungua ofisi ya ubalozi...

READ MORE

Mnyika, Heche Wang’ang’aniwa Sentro, Wengine Waachiwa

  Viongozi watatu waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam leo,...

READ MORE

Imethibitika Korosho Zenye Kokoto Vietnam Zilitoka Tanzania – Video

SERIKALI imethibitishiwa kuwa makontena mawili yaliyokutwa nchini Vietnam na korosho zilizochanganywa na kokoto zilitoka Tanzania. Hayo yamethibitshwa leo Alhamisi, Machi...

READ MORE

Fatma Karume Kumrithi Tundu Lissu?

  WAKILI wa kujitegemea, Fatma Karume, amejitosa kumrithi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa kugombea urais wa Chama cha...

READ MORE

MREMBO ACHUNGULIA KIFO LIVE!

  KAMA siku yako ya kifo haijafika, haijafika tu, utadhurika na kuteseka ila hufi! Ndivyo walivyokuwa wakisema baadhi ya mashuhuda...

READ MORE

Sakata la Kufungiwa, Ishu ya Diamond Kuhama Nchi Yazua Mjadala

  HAPATOSHI! Ndivyo unavyoweza kusema. Siku chache baada ya serikali kufungia nyimbo zake mbili, mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul...

READ MORE

Mahakama Yasikiliza Kesi ya IGP, AG na CID, Sakata la Abdul Nondo (Video)

MAHAKAMA  Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo  imesikiliza kesi ya  Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo juu ya...

READ MORE

NECTA Yafanya Mabadiliko Maswali ya Mtihani wa Darasa la Saba

  BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limesema litafanya mabadiliko ya mfumo wa utungaji wa mtihani wa kuhitimu elimu ya...

READ MORE

Wawili Mbaroni kwa Kuhamasisha Maandamano

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano kupitia kwenye mitandao ya kijamii wakitumia...

READ MORE

Breaking News: Abdul Nondo Arudishwa Iringa, Apandishwa Kizimbani

Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi, Abdul Nondo amerudishwa mkoani Iringa na kufikishwa Mahakama ya Wilaya. Awali Nondo alitolewa Iringa baada...

READ MORE

TAARIFA YA MAKONDA KUHUSU KUSHAMBULIWA KWA OFISA UBALOZI WA SYRIA

KAMA Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar Es Salaam nimeshtushwa na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao...

READ MORE

Singida: Amuua Mkewe, Aificha Maiti Kwenye Mbuyu Miaka 8

MWANAMUME mmoja aliyejulikana kwa jina Bernard Shumba mkazi wa Singida anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa kumuua mke...

READ MORE

TANZIA: Kuga Peter Mziray Afariki Dunia

MWANASIASA mkongwe nchini, Kuga Peter Mziray aliyekuwa Mgombea urais mwaka 2010 kupitia tiketi ya APPT-maendeleo amefikwa na mauti alasiri leo...

READ MORE

Amuua Mama Mkwe, Amjeruhi Mkewe Kisha Ajiteketeza Ndani ya Nyumba

MWANAMUME mmoja Joseph Medadi (32) mkazi wa Kitongoji cha Nyakahanga Kata ya Rusumo Wilayani Ngara, Mkoani Kagera amejiua kwa kujichoma moto ndani...

READ MORE

SERIKALI YAZUA BALAA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME!

SIKU chache baada ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusa­jili na kuthibitisha dawa tano za...

READ MORE

JPM Amteua IGP Mangu Kuwa Balozi Rwanda

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua IGP Mstaafu, Ernest Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu...

READ MORE

MFANYABIASHARA MBARONI KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

  MFANYABIASHARA Hariri Mohammed (45) mkazi wa wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam,  amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

KWA MATUKIO HAYA KILA SIKU, WANANCHI: TUMECHOKA!

  KUFUATIA kukithiri kwa matukio ya uhalifu kila siku, wananchi wenye hasira kali wamevamia kituo cha polisi kisha kukizingira, wakitaka...

READ MORE

KIFO CHA TAJIRI SUPER SAMI, MKE MDOGO AMFICHUA MUUAJI! – VIDEO

  MAPYA yameibuka kufuatia kifo cha mfanyabiashara ambaye ni tajiri wa mabasi ya Kampuni ya Super Sami, Samson Josiah almaarufu...

READ MORE

Sakata la Abdul Nondo: IGP Sirro, DCI na AG Waitwa Mahakamani

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa wito wa kuwaita Mkrugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI),...

READ MORE