×

Kitaifa

Abiria Waliokwama kwa Treni Morogoro Wapata Usafiri

MORORGORO: Abiria wapatao 802 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Dar es Salaam kwenda Bara kukwama Lukobe, Morogoro wamefanikiwa kusafirishwa kwa...

READ MORE

Mpaka Home: Nicole Apata Kigugumizi Kumzungumzia MC Pilipili

NA MAYASA MARIWATA | RISASI JUMAMOSI| MPAKA HOME KAMA ilivyo kawaida ya kolamu hii ya Mpaka Home kuwatembelea mastaa mbalimbali...

READ MORE

Picha: Treni ya Abiria Yapata Ajali, Morogoro

MOROGORO: Treni ya abiria iliyokuwa inakwenda Bara imepata ajali usiku wa kumakia leo majira ya saa 5:25 katika eneo la...

READ MORE

VIDEO: Hali Ilivyo Sasa kwa Wanafunzi Walionusurika na Ajali Arusha

ARUSHA: TAARIFA rasmi kutoka chumba cha Mganga Mkuuwa Hospitali ya Rufaa ya Mt. Meru, Arusha, zimeeleza kuwa hali ya watoto...

READ MORE

Lowassa, Kinana, Polepole, Mbowe Kukutana Uso Kwa Uso Kesho

ALIYEKUWA mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Ngoyayi Lowassa; Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

JPM Atuma Salam za Rambirambi Vifo vya Sozigwa na Mwambungu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametuma Salam za Rambirambi kufuatia vifo vya viongozi wawili...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa mgeni rasmi Mkutano wa Tasnia ya Korosho

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya Korosho utakaofanyika kwa siku...

READ MORE

Mvua Zabomoa Daraja, Barabara Bukoba

Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Kagera, Daraja la Kemondo lililoko Barabara Kuu ya Bukoba – Mwanza, Bukoba –...

READ MORE

Mmiliki wa Shule ya Lucky Vincent Afikishwa Kortini, Aachiwa kwa Dhamana

ARUSHA: Mmiliki wa shule ya Lucky Vincent iliyopo Kwa Morombo ambaye anatambulika kwa majina ya Innocent Mushi na Makamu Mkuu...

READ MORE

Watoto Walionusurika Ajali Karatu, Kuagwa Jumapili Kwenda Marekani

ARUSHA: Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amesema kuwa, tayari ndege aina ya DC 8 imepatikana ambayo itawasafirisha watoto watatu...

READ MORE

Ofisi Ya Rais Yakanusha Taarifa Hizi za Utoaji Ajira

Ofisi ya Rais yakanusha taarifa inayosambazwa mitandaoni kuhusu vigezo vya utoaji ajira

READ MORE

TANZIA: Sozigwa na Mwambungu Wafariki Dunia Muhimbili

#TANZIA: Tanzania imepata misiba miwili baada ya kuondokewa na watu wawili ambao waliwahi kushika nyadhifa za juu kwenye uongozi wa...

READ MORE

Benki Nyingine Yafutiwa Leseni na Kufungwa

Benki Kuu ya Tanzania imeifungia Mbinga Community Bank PLC, kusitisha shughuli zake zote za kibenki na kufuta leseni yake ya...

READ MORE

VIDEO: Eneo la Ajali Mazito Yaibuka Karatu, Viongozi wa Kijiji, Madereva Wanena

IMENDIKWA NA HILALI DAUDI, GABRIEL NG’OSHA NA GLADNESS MALLYA |AMANI ARUSHA: Siku nne baada ya kutokea kwa ajali iliyosababisha vifo...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Ijumaa, Mei 12

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili na kupitisha...

READ MORE

VIDEO: Hashim Rungwe Aomba Kukutana na Rais Magufuli Amshauri

Mwenyekiti wa Chama Cha Umma (Chauma), Hashim Rungwe amesema ingefaa Rais Dk. John Magufuli akawaalika viongozi wa siasa ili waweze...

READ MORE

IYF Yatoa Elimu ya Maadili ya Wanafunzi kwa Walimu

Mkurugenzi wa IYF hapa nchini, Jeon Hee Yong akizungumza na wanahabari. Mkurugenzi Msaidizi wa IYF, Levin Ndengerio naye akifafanua jambo....

READ MORE

Kampuni za Jumia, Tecno Kuuza Bidhaa Kwa Mtandao

KAMPUNI ya Jumia Tanzania inayouza bidhaa kwa njia ya mtandao, itashirikiana na kampuni za simu za Tigo na Tecno kuuza...

READ MORE

Toeni Taarifa Kwenye Tatizo Kipindi cha Mvua-TANESCO

  SHIRIKA la Umeme Tanzania(TANESCO) limetoa taadhari kwa Wananchi wote kutoa taarifa kipindi hiki cha mvua mara inapotokea hitilafu yoyote...

READ MORE

Kauli ya Rais Zuma kwa JPM Kuhusu Ujenzi wa Reli ya Kisasa

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Gedleyihlekisa Zuma amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...

READ MORE

Wako Wapi Wenzetu?

STORI: MWANDISHI WETU | GAZETI LA AMANI | ARUSHA Mungu mkubwa! Hali za wanafunzi manusura watatu wa ajali iliyosababisha vifo...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni – Dodoma

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili bajeti za...

READ MORE

VIDEO: Lijualikali Asimulia Mengi Yaliyomkuta Jela

MBUNGE wa Ulanga kwa tiketi ya Chadema, Peter Lijualikali jana alisimulia mengi yaliyomkuta wakati akitumikia kifungo cha miezi sita jela...

READ MORE

Cheka, Mbelwa Wasimulia Walivyong’atana Ulingoni

Na Ibrahim Mussa | Championi Jumatano | Makala ZIMEPITA takribani siku 136 sawa na miezi minne na siku 11 tangu...

READ MORE

Mwanafunzi Akamatwa na Bastola, Risasi 13

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph, Lazaro Mbise (23) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kukutwa na...

READ MORE

Maalim Seif Aibukia Kanisani Kwa Askofu Gwajima

LEO Mei 10, 2017, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hammad amekwenda kumtembelea Mchungaji wa Kanisa...

READ MORE

Musukuma: Wabunge Wawili ndo Hawakwenda kwa Waganga Wakati wa Uchaguzi

Mbunge wa Geita kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amezua mvutano bungeni kufuatia kile alichokisema kuwa...

READ MORE

Arusha: Mmiliki wa Shule ya Lucky Vincent Akamatwa na Polisi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha ( RPC ), Charles Mkumbo amesema wanamshikilia mmiliki wa basi dogo aina ya...

READ MORE

VIDEO: Askari Wanaochoropoka na Tochi Vichakani Hawana Mafunzo -Kangi Lugola

DODOMA: Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola amesema kuwa majeshi ya usalama hapa nchini yamesahaulika na yanachukuliwa kama ni ya kawaida...

READ MORE

Askofu Gadi Aomboleza Vifo vya Wanafunzi 32

ASKOFU wa Kanisa la Good News For All Ministry la jijini Dar es Salaam, Dkt. Charles Gadi ameomboleza vifo vya...

READ MORE

Yaliyojiri Bungeni Leo Jumatano

Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Upendo Pendeza kwenye viwanja vya bunge...

READ MORE

VIDEO: Mama wa Mtoto Aliyenusurika kwa Mabomu Akafariki kwa Ajali Karatu

KUFUATIA tukio la ajali mbaya iliyoondoka na roho za watu 35 miongoni mwao wakiwemo wanafunzi 32 wa Shule ya Lucky...

READ MORE

Fuatilia Live Yanayojiri Bungeni Leo Mei 10

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili bajeti za...

READ MORE

‘Watanzania Wengi Hawana Taaluma ya Kusimamia Miradi’

BAADHI ya Watanzania wamekuwa wakikwama kuendeleza miradi yao kutokana na kukosekana kwa wataalam wenye taaluma ya kuratibu miradi hiyo. Hayo...

READ MORE

Majaliwa: Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi Zingatieni Mipaka ya Madaraka Yenu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuzingatia mipaka ya madaraka yao na kuhakikisha...

READ MORE

SportPesa Yazinduliwa Rasmi Hapa Nchini

  Kampuni ya SportPesa yenye makao yake makuu nchini Kenya ambayo hivi karibuni ilikuwa ikitajwa kutaka kuzidhamini Simba na Yanga,...

READ MORE

Mapacha Walioungana: Tuna Ndoto za Kuolewa

   STORI: MWANDISHI WETU | UWAZI NJOMBE: Mabinti pacha walioungana kiwiliwili ambao ni yatima, Consolata na Maria Mwakikuti (19) wa...

READ MORE