×

Kitaifa

Mikoa, Halmashauri Vinara wa Mapato Kitaifa

MAMLAKA ya Mapato Tanzania, TRA imetoa ripoti ya robo ya pili ya mwaka 2021, kwa kuziangazia Halmashauri, Mikoa amabyo imeongoza...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wagonga Mwamba Kesi Ndogo

MAHAKAMA Kuu Devisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na upande wa utetezi katika kesi...

READ MORE

Watu 12 Wafariki kwa Kujinyonga Njombe

MKUU wa Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, Lauteri Kanon amesema, wananchi 12 kuanzia Januari hadi Novemba, mwaka huu wamejinyonga katika...

READ MORE

Walioshambulia Gari la Serikali ‘Kukiona’

MKUU wa Wilaya ya Geita, Wilson Shimo ameeleza kuwa wananchi waliohusika kushambulia gari la askari wa Wakala wa Hifadhi za...

READ MORE

NCCR Yaungana na Chadema Kususia Mkutano

VYAMA vya NCCR-Mageuzi na Chadema vimeungana kususia mkutano ulioitishwa na Baraza la Vyama vya Siasa. Mkutano huo wenye la lengo...

READ MORE

Hakimu Kesi ya Kigogo Chadema Ahamishwa Mahakama

KESI inayomkabili Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Hashimu Juma Issa (63) imeahirishwa baada ya hakimu anayesikiliza shauri...

READ MORE

Kipindupindu Chapindukia Nkasi, 37 Walazwa

UGONJWA wa mlipuko wa Kipindupindu umeibuka wilayani Nkasi mkoani Rukwa ambapo wagonjwa 37 wameripotiwa katika kijiji cha Forodhani, Kata ya...

READ MORE

Kauli ya Polisi Nyumba ya Polepole Kuvunjwa na Kuvamiwa

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma, limesema lianendelea na uchunguzi pamoja na msako kuwabaini waliovamia nyumba ya Mbunge wa kuteuliwa,...

READ MORE

Ajali Zaambatana Mwisho wa Mwaka

MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za...

READ MORE

 Rufaa ya Sabaya Kusikilizwa Mwakani

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha imepanga kuanza kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Gari la Magazeti Laua Watu 9 Iringa

WATU 9 wamefariki dunia ikiwemo wanawake 4 na wanaume 5 na wengine 3 kujeruhiwa baada ya Gari ya magazeti aina...

READ MORE

Rais Samia Amlipua Diwani Mkorofi Kigamboni – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemlipua diwani wa Kigamboni ambaye amedai kuwa amekuwa kikwazo kikubwa...

READ MORE

Rais Samia: Moto wa Magufuli Sitauzima – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema moto wa kusimamia rasilimali za taifa yakiwemo madini uliowashwa na mtangulizi wake, Hayati Dkt. John...

READ MORE

Sabaya Aibuka na Mambo 14 Kupinga Kufungwa Miaka 30

MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Hospitali ya Benjamin Mkapa Kupandikiza Mimba

ZIKIWA zimebaki siku chache kufunga mwaka wa 2021, ndoto ya Tanzania kuanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kwa wanawake wenye...

READ MORE

Wafahamu Waasisi 17 wa Uhuru wa Tanganyika

Tanzania Bara jana imeadhimisha kutimiza miaka 60 tangu bendera ya mkoloni Mwingereza iliposhushwa na ile ya Tanganyika kupandishwa na hivyo...

READ MORE

Aliyemuua Bibi Kizee Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa

Mkazi wa Kijiji cha Genkuru, tarafa ya Ingwe, Tarime mkoani Mara, Buriani Chacha, amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana...

READ MORE

‘Wahuni’ Wavamia Nyumbani kwa Polepole

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa Mbunge wa CCM, Humphrey Polepole jijini Dodoma leo wakati yeye akiwa safarini mkoani Manyara. Kupitia...

READ MORE

Watakaowadanganya Mawaziri Kuvuliwa Nyadhifa Zao

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amesema meneja, mkuu wa taasisi na watendaji wa wizara hiyo wanaotoa majibu...

READ MORE

Polisi Amuua Mwenzake kwa Risasi Wakiwa Lindoni

Polisi mwenye cheo cha Konstebo, Onesmo Joseph, amekufa baada ya kupigwa risasi na askari mwenzake, aliyetajwa kwa jina la Joseph,...

READ MORE

Bashungwa Awataka Vijana Kuacha Chuki

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wasanii kushindana bila chuki na uhasama katika kukuza muziki na...

READ MORE

Polepole Alia na ‘Wahuni’ Ndani ya Serikali – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema kuna baadhi ya watu ndani ya Serikali (ambao hajawataja) wamekuwa wakifanya vitu vya hovyo...

READ MORE

Polepole: Siondoki CCM – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema hataondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kama ambavyo watu waekuwa wakimsema kwani anaamini...

READ MORE

Polepole Ataka Serikali Iwajibu Wanaohoji Deni la Taifa Awamu ya Tano – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amewataka viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza na kuwajibu watu wanaohoji kuhusu...

READ MORE

Polepole Aitwa Kujieleza TCRA “Siwezi Kunyamazishwa” – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema ameitwa na Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kujieleza kuhusu tuhuma zinazomkabili huku akidaiwa...

READ MORE

Polisi Kilimanjaro Wateketeza Mashamba ya Mirungi

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro leo tarehe...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idd Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa...

READ MORE

Waziri Mhagama Awataka Wenye Viwanda Kuimarisha Afya, Usalama na Maslahi ya Wafanyakazi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama, ametoa wito...

READ MORE

Ajali Ndani ya Hifadhi ya Mikumi Yaua Mmoja

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Joseph, Mkazi wa Makambako mkoani Iringa amefariki dunia huku wengine wawili wakijeruhiwa katika...

READ MORE

Benki ya BADEA Kuipa Tanzania Tsh Trilioni 7

Benki ya Maendeleo ya Kiarabu (BADEA) imeahidi kuipatia Tanzania mikopo yenye masharti nafuu pamoja na misaada inayokadiriwa kufikia dola za...

READ MORE

Maelekezo ya TCU kwa Waliotunukiwa Shahada za Heshima

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa shahada za heshima nchini Tanzania zinatolewa nana vyuo vikuu vinavyotambulika na vilivyoorodheshwa...

READ MORE

Wasifu wa CDF Jenerali Mabeyo JWTZ

Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa Februari...

READ MORE

Mara: Wanaotuhumiwa Kumuua Mwalimu Wakamatwa

JESHI la Polisi Mkoani Mara limefanya Operesheni maalumu kwenye Halmashauri zote na kukamata watuhumiwa 22 wakiwemo Wawili ambao wanahusishwa na...

READ MORE

Faru Rajabu Mtoto wa Faru John Kuoa Kenya – Video

MTOTO wa Faru John, maarufu kama Faru Rajabu huenda akapata ‘jiko’ jingine siku za hivi karibuni baada ya Rais Samia...

READ MORE

Rais Samia Amzawadia Kenyatta Korongo 20 – Video

Rais Samia Suluhu Hassan, amempa Rais Kenyatta ndege 20 aina ya Korongo kutokana na Kenya kuwa na idadi ndogo ya...

READ MORE

Njombe: Mwili wa Marehemu Wafukuliwa – Video

IKIWA ni siku chache tu baada ya Jeshi la Polisi Mkoani Njombe kutangaza kupatikana kwa baadhi ya viungo vya mwili wa mfanyabiashara...

READ MORE

Bunduki 5,000 Kuchomwa Moto Dar

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene anatarajiwa kuziteketeza kwa moto silaha zaidi ya 5,000 zilizokua zinamilikiwa kiholela....

READ MORE

Jela Miaka 14 kwa Kutorosha na Kubaka Binti

KIJANA, Hamad Ali Hamad (25) mkazi wa Chake Chake, Pemba ameanza kutumikia kifungo cha miaka 14 gerezani baada ya kupatikana...

READ MORE

Jaji Mkuu Awasajili Mawakili Wapya 313

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amekubali na kuwasajili mawakili wapya 313 katika sherehe ya 65 ya kuwakubali na...

READ MORE

#Miaka60YaUhuru: Silaha na Vifaa vya Kivita JWTZ

Onesho la silaha na vifaa vita na umahiri wa vikosi vya ulinzi na usalama vikipita mbele ya Rais na Amiri...

READ MORE