×

Kitaifa

Msukuma Atoa Neno Wanaobeza Phd Yake

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma, amesema kwamba kuhusu watu wanaobeza PhD yake mitandaoni atalizungumzia jambo hilo...

READ MORE

Marais Wanne, Wastaafu Wahudhuria Sherehe za Uhuru

MARAIS wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru zinazoendelea sasa...

READ MORE

Makomando Mbele ya Rais Samia – Video

  Makomando Wa JWTZ (Wanamaji na Nchi kavu) wakipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri...

READ MORE

Mwanafunzi Ahukumiwa kwa Kutoa Mimba

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Nyandeo (jina linahifadhiwa), amehukumiwa kifungo cha nje mwaka mmoja baada ya...

READ MORE

Rais Samia: Pato la Mtanzania Lakifia Tsh Milioni 2.6 – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wastani wa pato la mtanzania kwa mwaka 2020 ni...

READ MORE

Rais Samia: Miaka 60 ya Uhuru, Kiswahili Kimekua Kimataifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Tanzania. Mhe, Samia Suluhu Hassan kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru leo Disemba...

READ MORE

Mambo 6 Muhimu Hotuba ya Samia – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amelihutubia taifa, akibainisha mafanikio muhimu sita katika miaka 50 ya uhuru. Katika hotuba yake ya usiku...

READ MORE

Miaka 60 ya Uhuru: ZIC Kutoa Zawadi ya Mafuta kwa Wateja Wake

Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limezindua kampeni yake kabambe inayoitwa “WESE NDIO MCHONGO” inayotoa fursa kwa wateja wake kote nchini kujaziwa...

READ MORE

Kuelekea Miaka 60 ya Uhuru, GGML Yaibuka Mlipa Kodi Bora

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGML) imeibuka kuwa moja ya makampuni kinara kwa ulipaji kodi Tanzania kuelekea miaka 60 ya...

READ MORE

Rais Samia Afichua Siri ya Uhuru na Mapinduzi ya Zanzibar

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Uhuru wa Tanganyika ulikuwa chachu na mchango muhimu katika kuwezesha mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya...

READ MORE

Lissu Afutiwa Kesi Zote za Uchochezi, Atoa Masharti Kurejea

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mahakama, wamefuta kesi zote za uchochezi zilizokuwa zikimkabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu katika...

READ MORE

Afariki Kwa Kupigwa na Radi Akizini na Mchepuko

Mkazi wa Kijiji cha Masweya Kata ya Mtunduru Wilaya ya Ikungi, Vaileth Hassan Mtipa (32) amefariki dunia baada ya kupigwa...

READ MORE

Auawa kwa Kupigwa Risasi Kagera

MTU mmoja amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika vurugu zilizotokea kati ya wakulima na walinzi wa wawekezaji wa mifugo...

READ MORE

Kenyatta Mgeni Rasmi Sherehe za Uhuru TZ

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia kesho, Desemba 9 ambapo atakuwa...

READ MORE

Video: Mondi, Ummy, Kigwangalla, Wasira, Dewji Kwenye Mjadala Mzito

MAWAZIRI Ummy Mwalimu, Liberata Mulamula, Mbunge Hamis Kigwangala, mfanyabiashara Azim Dewji na mwanamuziki Diamond Platinumz, leo Desemba 07, wameshiriki kwenye...

READ MORE

Forbes Yamtaja Rais Samia Orodha ya Wanawake 100 Wenye Nguvu Duniani

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametajwa na Jarida maarufu duniani la takwimu na...

READ MORE

Jela Miaka 45 kwa Kumbaka na Kumpora Mwanamke Mjerumani

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa imemuhukumu Selemani Juma mwenye umri wa miaka 36 kwenda jela miaka 45 na...

READ MORE

RC Afuta Likizo za Watumishi

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amefuta likizo kwa watumishi wote wa Serikali ambao idara zao zinahusika na ujenzi...

READ MORE

Vyombo vya Habari Vilivyofungiwa Kufunguliwa Hivi Karibuni

SERIKALI imesema ipo mbioni kuvifungulia vyombo vya habari ambavyo bado vimefungiwa mara baada ya kumaliza mazungumzo yanayoendelea hivi sasa baina...

READ MORE

Mwalimu Aliyevujisha Mitihani ya Utabibu Diploma Kushitakiwa

Mitihani ya muhula wa pili kwa mwaka wa masomo 2020/2021 iliyofanyika kitaifa kuanzia Agosti 16, 2021 hadi Septemba 30, 2021...

READ MORE

Samia Awapongeza Tembo Warriors, Awatupia Dongo Namungo – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza Viongozi na wachezaji wa Timu ya Taifa ya...

READ MORE

Ndalichako Acharuka Rushwa ya Ngono Taasisi za Elimu

  Serikali imesema haitavumilia vitendo vya rushwa ya ngono katika Taasisi za elimu kwani ni ukosefu wa maadili na vinashusha heshima ya...

READ MORE

Mikopo kwa Watakaooana

  Mtia nia wa kugombea urais nchini Kenya ameahidi kutoa mikopo yenye thamani ya kati ya TZS milioni 10 hadi...

READ MORE

Mama Aliyeua Wanae Kwa Sumu Afunguka Mazito, Aomba Kifungo – Video

MAMA anayetuhumiwa kuwaua wanawe wawili na kujeruhi watatu kwa sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya, imebainika ametelekezwa na wanaume watano...

READ MORE

Auawa kwa Fumanizi, Muuaji Ajipeleka Polisi

MKAZI wa Kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa katwa na mapanga baada...

READ MORE

Ajinyonga kwa Kutotajwa na Padri Kwenye Misa ya Shukrani

MKAZI wa mtaa wa Kanisani B uliopo wilaya ya Ludewa mkoani Njombe anaefahamika kwa jina la Raban Razalo (48) amefariki...

READ MORE

Mahakama Yakataa Ombi la Kukamatwa Shahidi Kesi ya Sabaya

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali ombi la kutoa hati ya kukamatwa shahidi wa 10 wa Jamhuri, Francis Mroso...

READ MORE

Padri Alivyopata Mafunzo ya Kijeshi Cuba, Kenya

JAMBO kubwa lililopamba mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu Ardhi (ARU) yaliyofanyika juzi, ni uwepo wa mhitimu wa Shahada ya...

READ MORE

Sababu ya Mwanri Kuamrisha Shamba Livurugwe

Balozi wa zao la pamba nchini Aggrey Mwanri, ameamrisha shamba la Jeremia Kisumo na Laher Robert wakazi wa Mshinde, Kata...

READ MORE

Rais Samia: Nitaendelea Kuzunguka – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema safari ya uwekezaji kuna njia ndefu na ndiyo maana wakati mwingine analazimika kutoka kwa ajili...

READ MORE

Waliokufa Baada Ya Basi Kutumbukia Mtoni Wafika 32

Idadi ya watu waliopoteza maisha ya baada ya basi walilokuwa wakisafiria, kusombwa na maji katika Mto Enziu, Ngune, Kaunti ya...

READ MORE

Rais Samia Kumwaga Barabara, Kivuko Kikubwa Kigamboni – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea kilio cha wananchi wa Kigamboni kuhusu changamoto ya...

READ MORE

Samia: Kwa Mungu Kuna Kujibu, Nikifika Huko Nitasema – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku baadhi ya watendaji wanaofanya kazi kwa mazoea na...

READ MORE

Yanga Yafyeka Wanne, Yumo Kabwili

KUELEKEA usajili wa dirisha dogo, taarifa zinasema kuwa tayari Kamati ya Usajili ya Yanga imeanza kazi baada ya kuwafyeka wachezaji...

READ MORE

Msukuma ‘La Saba A’ Atunukiwa Udaktari

Mbunge wa Geita Mjini, Mhe. Joseph Kasheku maarufu kama “Msukuma” jana Jumapili, Desemba 6, 2021 ametunukiwa Udaktari wa Heshima katika...

READ MORE

Mtatiro Akamata Tani 10 za Korosho Zilizooza

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro ameendesha oparesheni ya mazao wilayani Tunduru kwa siku 2 mfululizo na kufanikiwa kukamata...

READ MORE

Mwigulu Ataka Wazazi Kuwasaidia Wahitimu Kujiajiri

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba amesema katika Taifa la Tanzania uhalisia ni kwamba kati ya vijana 100...

READ MORE

Samia: Mambo ya Hovyo Yalifanyika Huko Nyuma, Inabebeshwa Awamu ya Sita – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuna makundi ya watu ndani ya Serikali wamekuwa...

READ MORE

Rais Samia Abaini Madudu Bandari, Avunja Bodi TPA, Shirika la Meli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutangaza kuzivunja Bodi ya Mamlaka ya Badari Tanzania (TPA) na...

READ MORE

Njoo Uniambie ‘Dada Nimeshindwa’ – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, afanye...

READ MORE