×

Kitaifa

Basi la Tahmed Lateketea Kwa Moto

Moto ukilipuka kwenye basi hilo. Basi likiteketea Eneo la tukio. Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmed lililokuwa likisafiri...

READ MORE

Polisi wakamata Majambazi, silaha Jijini Dar

   Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro akizungumza na wanahabari. Kamanda Sirro akisikiliza kwa makini...

READ MORE

Mkazi wa Tabora, Suzan Lukindo Akamata Mpunga wa Vodacom

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) akiongea kwa njia ya simu  na Suzan Lukindo,Mkazi wa Tabora aliyeibuka mshindi...

READ MORE

Shinyanga: Amnyonga Mkewe kwa Kuchelewa Kurudi Nyumbani!

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Graiftoni Mushi. Shinyanga: MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Rehema Tumbo amenyongwa hadi...

READ MORE

Ukweli afya ya Spika Job Ndugai

Spika wa Bunge, Job Ndugai. KUFUATIA uvumi wa mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii juu ya kufariki dunia kwa...

READ MORE

Mbuzi wa ajabu watikisa Dar

Mbuzi hao wakirandaranda. GLADNESS MALLYA NA GABRIEL NG’OSHA DAR ES SALAAM: Dunia ina mambo! Mbuzi wanaosemwa kuwa ni wa ajabu,...

READ MORE

Mbaroni kwa kuuza bangi mkesha wa mwenge!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuberi Mwombeji. SONGEA: Kijana Dickson Komba (22) mkazi wa eneo la Lizaboni mjini hapa,...

READ MORE

Vodacom yawatoa wasiwasi wateja wao

Zikiwa zimebakia siku mbili tu simu feki kuzimwa nchini kote, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, Imewahakikishia wateja wake kwamba...

READ MORE

Unganishwa na simu za “Bure na Halisi Kutoka Airtel”

Mkuu wa kitengo cha Internet Airtel Gaurav Dhingra akionyesha simu zinazopatikana kwenye maduka yote ya Airtel katika ofa iliyozinduliwa hivi...

READ MORE

Nani amewanyonga watoto hawa wa polisi

Marehemu Raphael Sammy. Na Issa Mnally, UWAZI DAR ES SALAAM: Ni unyama, ukatili wa aina yake! Malaika hawa wa Mungu...

READ MORE

Video: Vurugu za Waingereza na Warusi Kombe la Euro 2016 Usiombe Yakukute

Waziri wa maswala ya ndani wa ufaransa , Bernard Cazeneuve, ametoa ushauri kwa wakuu wa miji mbalimbali wenyeji wa kinyanganyiro...

READ MORE

CUF Wamkataa Prof. Lipumba

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba. Wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akitengua uamuzi wake wa kung’atuka...

READ MORE

Kesi ya wabunge Saddiq, Lugola na Mwambalaswa Kuunguruma Julai 4

Kutoka kushoto ni wabunge Mh. Kangi Lugola (Mwibara), Mh. Ahmed Saddiq (Mvomero)  na Mh. Victor Mwambalaswa (Lupa). Taasisi ya Kuzuia...

READ MORE

Wafugaji, wakulima wachomana mikuki!

Ramadhan Botea aliyejeruhiwa mkononi. Richard Bukos na Issa Mnaly, Uwazi PWANI: Hali si shwari katika Kijiji cha Geza Ulole, Kata...

READ MORE

Sukari yagota Sh. 3,000 bei ya chini

Na Gabriel Ng’osha, UWAZI Dar es Salaam: Machi 8, 2016 Serikali kupitia Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania, ilitangaza  kuwa...

READ MORE

Mwembe wenye taswira ya Nyerere Wazua Gumzo Tanga!

Mwembe wenye taswira ya sura ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere. Na Faki A. Faki, UWAZI TANGA: Mti aina ya...

READ MORE

Naibu Waziri Mavunde: Sasa sanaa Kuwainua vijana

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde hivi karibuni alifanya mahojiano...

READ MORE

Shinda Nyumba… Muda Unakimbia, Nyumba Inakusubiri

Na Mwandishi Wetu SIKU zote, muda huwa ni mali, ndiyo maana kwa wenye weledi zaidi, huona ni afadhali wapoteze fedha...

READ MORE

Saa 48 simu feki kuzimwa, TCRA hawakwepi mzigo wa lawama

JUNI 16, mwaka huu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) itazima simu zote ambazo ni feki, kufuatia kumalizika kwa muda uliotolewa...

READ MORE

Wanafunzi Chuo Kikuu Tumaini Mbeya usajili wawaliza

Na Mwandishi Wetu, Uwazi MBEYA: Kilio kimetawala katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Mbeya kutokana na wanafunzi 150...

READ MORE

Shehe mkuu wa mkoa atahadharisha wafungaji

Na Elvan Stambuli, Uwazi DAR ES SALAAM: Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salum (pichani) amewatahadharisha...

READ MORE

Mwigulu Apokelewa Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh, Mwigulu Nchemba(kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira(kushoto)...

READ MORE

Kilele cha Uelewa Kuhusu Ualbino chahitimishwa Dar

Miss Albino  2016 ambaye ni mlemavu wa ngozi, Evelyn Felix, akimpa mkono Naibu Waziri Katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,...

READ MORE

Zawadi za ligi Kuu ya Vodacom kutolewa mwezi ujao

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara, Yanga African Sports Club, Azam FC, Simba Sports Club na Prisons, Pamoja...

READ MORE

PSPF Yasifiwa kwa Ubunifu wa Bidhaa Mpya

Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya, Bi. Mariam Mtunguja, akifungua rasmi mkutano wa wadau wa PSPF  uliofanyika Jijini Mbeya hivi karibuni....

READ MORE

Mhandisi Dar afafanua Miradi ya Barabara kupunguza Msongamano

Mhandisi wa Miradi ya TANROADS Jijini Dar es Salaa, Eng. Ngusa Julius (kushoto) akitoa taarifa yake kwa wanahabari,kushoto kwake ni...

READ MORE

JPM Awaapisha Mwigulu Nchemba na Tizeba

Rais Magufuli akimuapisha Mh. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Leo Ikulu Jijini Dar es Salaam....

READ MORE

Baada ya Sintofahamu… Zitto Kabwe ajitokeza

Kiongozi Mkuu wa ACT Zitto Kabwe amejitokeza leo kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho, Kijitonyama jijini Dar es...

READ MORE

Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele

Rais wa Zimbabwe, Komrade Robert Mugabe WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti...

READ MORE

Mbunge: Simu za watu mil.6 kwenda na maji!

Stori: GABRIEL NG’OSHA, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Zikiwa zimebaki siku tatu sawa na saa 72 kabla ya kufungiwa kwa simu...

READ MORE

Gulio la Simu la Vodacom Kijitonyama Lilivyofana!

Wananchi wakipatiwa maelezo juu ya tofauti ya simu halisi (Original) na simu zisizo halisi (Fake), kutoka kwa maafisa wa kampuni...

READ MORE

Mbowe na Wenzake wa Chadema Wakamatwa, Alipo Zitto Bado ni Utata

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe Wakati Polisi ikimshikilia kwa saa mbili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe mkoani Mwanza, jeshi hilo...

READ MORE

JPM Awateua Mwigulu Kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Tizeba Waziri wa Kilimo

Waziri Mpya wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amemtangaza Mwigulu Lameck Nchemba kuwa...

READ MORE

Maadhimisho Wiki ya Utumishi wa Umma kufanyika Juni 16

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Jasmine  Kairuki akisoma tarifa yake...

READ MORE

Wawili wawachinja wake zao, mwingine amuua mama yake!

Matukio ya Dodoma Samson Joramu(44), mkazi wa Chololo, Kata ya Kikombo, alimchinja mke wake, Rehema Joram (43) kabla ya kujiua...

READ MORE

Mwanza: Kijana awafungia ndugu zake ndani na kuchoma moto nyumba

Wananchi wakitaharuki baada ya tukio hilo kutokea. Nyumba moja iliyopo mtaa wa Kiseke wilayani Ilemela mkoani Mwanza imeteketea kwa moto...

READ MORE

Ajali Mbaya Yaua 6 na Kujeruhi 8, Same kilimanjaro

Hiace ya abiria ikiwa nyang’anyang’a.Hali halisi ya ajali hiyo.Mashuhuda wa tukio hilo, wakitaharuki.Ajali ilivyotokeaMajeruhi wa ajali hiyo, Musa Chikira (35),...

READ MORE

Mauaji ya Anathe Msuya… Hawara wa House Girl Atiwa Mbaroni

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu wengine wawili, akiwamo mpenzi wa mfanyakazi wa ndani wa...

READ MORE

Bajeti ya JPM, mastaa watoa ya moyoni

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpang. Stori: Gladness Mallya, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Baada ya Serikali ya...

READ MORE

Mbona hujachelewa, nyumba haitembei

Mjengo unaoshindaniwa. JUZI mtu wangu mmoja wa karibu alinipigia simu na kuniuliza kama katika wiki hizi mbili na nusu zijazo...

READ MORE