×

Kitaifa

JPM Awaapisha Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji Kiongozi

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Shaaban Ali Lila kuwa Jaji wa Mahakama...

READ MORE

‘Ijumaa’ Toleo Jipya lakubalika Kwa Wasomaji

Waendesha bodaboda ambao ni wadau wa gazeti la Ijumaa toleo jipya wa eneo la Magomeni, wakiwa katika picha ya pamoja...

READ MORE

Gulio la Simu lakuletea Simu halisi za gharama nafuu

Pia kutakuwepo simu za bure kwa ajili ya wateja Gulio la simu Expo litakalofanyika katika viwanja vya posta Kijitonyama jijini...

READ MORE

Pichaz: Muhammad Ali Alivyoagwa Kiislamu

Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa championi wa ngumi za kulipwa duniani, Muhammad Ali ukiwasili kwa ajili ya mazishi katika taratibu...

READ MORE

Aliyemtukana Rais Magufuli Achangiwa Pesa

VIJANA, wadau na wanaharakati wamefungua vikundi vya mtandao wa kijamii kwa ajili ya kuchanga fedha za kumsaidia kijana wa Arusha...

READ MORE

Kesi ya Bosi wa TRA na Wenzake Yarudishwa Tena Mahakama Kuu

Mahakama ya Rufani Tanzania, imeamuru jalada la kesi inayomkabili Kamishna Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry...

READ MORE

Hii Hapa Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza

Tarehe 08.06.2016 majira ya saa 08:00hrs hadi saa 15:00hrs katika kisiwa cha Maisome kambi ya uvuvi migongo kata ya Maisome...

READ MORE

Wasomaji wa Amani wachangamkia ‘Shinda Nyumba’ Biafra

Msomaji wa gazeti la Amani, Crispin Rojas (kushoto) akijaza kuponi  ili kushiriki bahati nasibu ya Shinda Nyumba. Katikati ni Ofisa...

READ MORE

Kanisa la Sinza Christian Center Latupiwa Vyombo Nje

Kanisa la Sinza Christian Center limetupiwa nje vyombo vyake nje kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kutokana na kanisa hilo kudaiwa...

READ MORE

Serikali kununua ndege tatu na meli moja

Serikali imejipanga kununua ndege tatu na meli moja kwa ajili ya kuboresha usafiri wa anga na majini katika maziwa makuu...

READ MORE

Huu Hapa Mchanganuo wa Bajeti ya Serikali 2016/ 2017

SERIKALI imewasilisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/2017 ya Sh trilioni 29.53, ambayo nguvu kubwa imewekwa katika kukusanya mapato kwa...

READ MORE

Hotuba ya Waziri wa Fedha Kuhusu Bajeti ya Serikali 2016/17

Hotuba Ya Waziri Wa Fedha Na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Philip I. Mpango (Mb), Akiwasilisha Bungeni Mapendekezo Ya Serikali Kuhusu Makadirio...

READ MORE

Naibu Spika Ashusha Rungu kwa Wanaosusia Bunge

Hatimaye Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa maamuzi kuhusu hoja ya wabunge...

READ MORE

Zitto Kabwe Ahojiwa Polisi, Apata Dhamana

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-WAZALENDO), Zitto Kabwe (kulia)  akitoka katika kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam baada ya...

READ MORE

Aliyemtukana Rais Magufuli Ahukumiwa Miaka 3 Jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa Wa Arusha,imemhukumu  Isack Habakuki(40) mkazi Wa Olasiti, kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini...

READ MORE

Dodoma: Bajeti ya JPM 2016/17 Hadharani Leo

TANZANIA kama zilivyo nchi nyingine za Afrika Mashariki, leo inawasilisha bungeni mjini Dodoma Bajeti ya Serikali ili Bunge liijadili na...

READ MORE

Bunge Lakanusha Uvumi Kuhusu Afya ya Spika wa Job Ndugai

Ofisi ya Bunge imesema Spika wa Bunge, Job Ndugai anatarajiwa kurejea nchini muda wowote akitokea India alipokuwa akifanya uchunguzi wa...

READ MORE

Zitto Kabwe Aitwa Polisi Kwa Mahojiano

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe jana tarehe 7/6/2016  aliitwa Polisi  na Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalumu ya...

READ MORE

Wapinzani Kuwasilisha Vipande vya Hotuba Kivuli ya Bajeti

Wakati hatua ya upinzani kumsusia Naibu Spika, Dk Tulia Ackson ikiingia siku ya nane, Kambi ya upinzani imesema leo itawasilisha...

READ MORE

Marekani yamwaga mbwa Airport Dar

Gladness Mallya na Ojuku Abraham, RISASI Mchanganyiko DAR ES SALAAM: Katika kudhibiti biashara ya usafirishaji wa madawa ya kulevya nchini, ...

READ MORE

Ili Uichukue Nyumba… Sikia Siri Hii Usiyoijua

  Na Mwandishi Wetu, Risasi Mchanganyiko NAAMINI kila mmoja anaufahamu ule usemi maarufu wa bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi....

READ MORE

Sababu 7 Mauaji ya watu 8 Tanga

       Na Dege Masoli, UWAZI TANGA: Mauaji ya watu nane katika Kitongoji cha Kibatini, Kata ya Mzizima, nje kidogo ya...

READ MORE

‘Shinda Nyumba’ yatikisa Vikindu-Mkuranga

Shukuru Chamu (katikati) akielekezwa na Ofisa Masoko wa Global,Yohana Mkanda namna ya kujaza kuponi yake kushiriki bahati nasibu ya Shinda...

READ MORE

Airtel na VETA Kutoa Mafunzo ya Ustadi kwa Njia ya Simu

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Ufundi...

READ MORE

NEC Iliokoa Bilioni 12 Uchaguzi wa Oktoba 25

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Mkurugenzi wa uchaguzi Bw.Kailima Ramadhani Kobwey...

READ MORE

Mwanakijiji Mlevi Kutozwa Faini ya Sh. 50,000

Serikali ya Kijiji cha Kikukwe, Kata ya Kanyigo wilayani Missenyi, imepongezwa kwa ubunifu wake wa kuunda Kamati ya Maadili chini...

READ MORE

Mikopo ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha St Joseph (SJUIT) Yafutwa

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha St Joseph (SJUIT) Kampasi ya Arusha (kilichofutiwa usajili), waliokuwa chini ya programu ya shahada ya...

READ MORE

Kanuni za Bunge zalinda posho za Upinzani

Naibu Spika, Dk Tulia Ackson. UDHAIFU wa Kanuni za Bunge katika kufafanua mambo mbalimbali ya uendeshaji wa Bunge, umeelezwa na...

READ MORE

Ugomvi wa Wazazi… Baba Amvunja Mguu Bintiye

Mtoto  Zainabu Shaban akiwa na magongo. Na Gladness Mallya, UWAZI DAR ES SALAAM: Ni shida! Mtoto  Zainabu Shaban, 16, (pichani)...

READ MORE

TRA Yakusanya Trilioni 1.032 Mwezi Mei

Ikiwa imewekewa lengo la kukusanya Sh12.054 kwa kipindi cha Julai 2015 hadi Mei 2016, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa...

READ MORE

Airtel na mhealth yawa msaada mkubwa kwa akinamama

Mratibu wa Kitaifa wa Uzazi Salama, Dr Koheleth Winani ( kulia) na Mkurugenzi Msaidizi Mkazi wa Center for Disease Control...

READ MORE

Naibu Waziri Mavunde: Nilivyomkamata Mmachinga wa Kichina

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde mwishoni mwa wiki iliyopita...

READ MORE

Ofisi ya Spika Yathibitisha Kupokea Hoja ya Kumwondoa Naibu Spika

Ofisi ya Spika imepokea taarifa ya kusudio la kuleta Bungeni Hoja ya kumwondoa madarakani Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri...

READ MORE

Mambo Matatu Yanayomkera Shehe Mkuu Mwezi Mtukufu

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salim. Na Mwandishi Wetu, UWAZI DAR ES SALAAM: Mwezi Mtukufu...

READ MORE

Vigogo Wizara ya Kilimo Wadaiwa Kutafuna Mamilioni!

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba Issa Mnally na Richard Bukos, UWAZI DAR ES SALAAM: Kimbembe Wizara...

READ MORE

Migogoro vyuo vikuu ishughulikiwe mapema isingoje vurugu

Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai leo na kutuwezesha kuwasiliana kupitia kona hii. Nianze kwa kusema kwamba wiki...

READ MORE

Vyandarua vya msaada vyazua tafrani Korogwe!

Na Mwandishi Wetu, Korogwe Wananchi wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga wamezua tafrani kufuatia kulalamikia mchakato wa ugawaji wa vyandarua vya...

READ MORE

Shinda Nyumba… Nunua kuponi leo, upate nyumba kesho

KUNA mtu mmoja aliwahi kusema, ukiona miti katika mitaa inayokupatia kivuli, usidhani ilijiotea yenyewe, isipokuwa mtu mmoja, miaka mingi nyuma,...

READ MORE

Idara ya Uhamiaji yafukuza raia wa kigeni 1,796

Kaimu Kamishna wa Idara ya Uhamiaji, Abbass Irovya akitoa taarifa yake mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Mratibu...

READ MORE