×

Kitaifa

Pingamizi la Mbowe Lagonga Mwamba

JAJI Joachim Tiganga ametupilia mbali pingamizi lililowekwa na upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Serikali Kuruhusu Biashara ya Usafirishaji Wanyamapori Nje ya Nchi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amesema Serikali itaondoa zuio la biashara ya usafirishaji wa wanyamapori...

READ MORE

Nape Ataka Deni la Taifa, Mikopo Awamu ya Tano Ichunguzwe – Video

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, ameitaka Serikali kufanya ukaguzi kuhusu Mikopo iliyokopwa na Serikali katika kipindi cha awamu ya...

READ MORE

Joto Laongezeka Tanzania, Kilimanjaro Ndio Usipime

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuongezeka kwa vipindi vya joto nchini Tanzania ambavyo vitaendelea hadi Desemba 2021...

READ MORE

TIRA, BOT Wavutiwa na Huduma Mpya ya Bima Benki ya Exim

Dar es Salaam; Novemba 08, 2021: Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Nchini (TIRA) pamoja na Benki Kuu ya Tanzania...

READ MORE

Binti Atupa Kitoto Kichanga cha Siku 1

MTOTO mchanga mwenye umri wa siku moja amekutwa amefariki dunia baada ya kutupwa kwenye kichaka na kufunikwa majani katika Kijiji...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hamza Azikwa, Ndugu Ataja Kilichomuua – Video

Mama mzazi wa kijana Hamza Mohammed aliyewashambulia na kuwaua askari wanne kwa risasi kisha na yeye kuuawa kwa kupigwa risasi...

READ MORE

Mbowe Aweka Pingamizi Mahakamani

Mahakama Kuu ya Tanzania Divesheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi inatarajia kesho imepanga kutoa Uamuzi mdogo wa pingamizi...

READ MORE

Mwenyekiti Amuua Mkewe, Naye Ajinyonga

MWENYEKITI wa Kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi (35) anadaiwa kumuua mkewe, Anastasia Agustine (31)...

READ MORE

CHADEMA Yasusia Uchaguzi Ngorongoro

TAARIFA KWA UMMA Katibu Mkuu John Mnyika ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuitaarifu rasmi kuwa Chadema hakitashiriki...

READ MORE

Mwanza: Watano wa Familia Moja Wafariki Ajali ya Moto

WATU watano wa familia moja wamefariki dunia, baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuteketea kwa moto wakati wakiwa wamelala usiku wa...

READ MORE

Soko la Gikomba Lateketea kwa Moto

MOTO mkubwa umeteketeza upande mmoja wa Soko la Gikomba jijini Nairobi na kuharibu mali ya thamani isiojulikana mapema leo Jumatatu,...

READ MORE

Shahidi wa nane kesi ya kina Mbowe leo

BAADA ya mapumziko ya weekend, leo Jumatatu, Novemba 8,2021 kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Bastola ya Marekani Ilivyokamatwa Tanga

Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga, limekamata Bastola aina ya Trurus ambayo imetengenezwa nchini Marekani, ikiwa na risasi 5 pamoja...

READ MORE

Musiba Akata Rufaa Hukumu ya Tsh. Bilioni 6 za Membe

MMILIKI wa vyombo vya habari vya Tanzanite, Cyprian Musiba, ameazimia kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda...

READ MORE

Mama Mzazi wa Marehemu Hamza Afariki Dunia

MAMA mzazi wa kijana  Hamza Mohammed aliyeshambulia na kuua askari wanne kwa risasi kabla ya yeye kuuawa kwa kupigwa katika...

READ MORE

Watu Watano Wadaiwa Kupotea Lindi

WATU watano wakazi wa Kijiji cha Rutamba Halmashauri ya Mtama wanadaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepotea...

READ MORE

GGML Yaendeleza Kusaidia Upasuaji Midomo Sungura

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Rafiki Surgical Mission ya Australia kwa mara nyingine mwaka huu...

READ MORE

Muonekano Mpya wa Soko Kuu la Kariakoo

Picha za litakavyokua Soko jipya la Kariakoo baada ya ujenzi wake kukamilika zimeachiwa ikiwa gharama ya ujenzi wote itakua TZS...

READ MORE

Ummy: Changamoto Hazikosekani, Miji Lazima Ipangwe

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amesema changamoto hazikosekani lakini...

READ MORE

Breaking News: Mlipuko Waua 84 Sierra Leone

Takriban watu 84 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya mlipuko mkubwa kutokea katika mji mkuu wa Sierra Leone,...

READ MORE

Unyama wa Kutisha! Kijana Auawa, Atobolewa Macho

KIJANA ambaye hajafahamika jina wala makazi yake, anaye kadiliwa kuwa na umri wa miaka (25-30), amekutwa ameuawa na kutobolewa macho,...

READ MORE

Dodoma: Mtoto wa Miaka 11 Ajinyonga

NI SIMANZI na huzuni kubwa baada ya mtoto Leila Selemani Kitenge mwenye umri wa miaka 11, ambaye jana November 4,...

READ MORE

Ummy Ashusha Neema Gharama za Maegesho – Video

Serikali imepunguza faini ya kupitiliza muda wa malipo ya maegesho kutoka Sh30,000 hadi Sh10,000 huku muda wa malipo ukiongezwa kutoka...

READ MORE

Inspekta Mahita Kizimbani Ushahidi Kesi ya Mbowe

IKIWA ni muendelezo wa kesi namba 16/2021 ya Uhujumu Uchumi na makosa ya kupanga njama za kupanga kutekeleza matukio ugaidi...

READ MORE

Msukuma: Sijauza Duka Siku 7 Kariakoo, Watu Wanakuja na Makande – Video

Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma Novemba 4, 2021 wakati akichangia mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa Serikali wa...

READ MORE

Rais Samia: Maalim Seif Alikuwa Daraja na Mwalimu – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Hayati...

READ MORE

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Maadhimisho Miaka 10 ya LSF

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika madhimisho ya miaka 10 ya Shirika la Legal Services Facility (LSF)...

READ MORE

Afa kwa Kipigo, Ndugu Wasusia Maiti Kituo cha Polisi – Video

Maisha ya Akilwa Emanuel Mbise, mlinzi wa kampuni binafsi ya Speed Security Guard iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam, yamekatishwa...

READ MORE

Mvua Songwe: Mmoja Afariki Dunia, Nyumba 40 Zabomolewa

Mtu mmoja mepoteza maisha na watatu kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa zilizonyesha kuanzia siku ya tarehe 2 hadi 3 Novemba,...

READ MORE

LSF na Mpango wa Uwezeshaji Wanawake Kutambua Haki Zao Kiuchumi

Mwaka 2018 LSF ilizindua mpango wake wa uwezeshaji wa wanawake waishio mijini ili wapate uelewa wa kisheria kuhusu masuala ya...

READ MORE

NACTE Yafuta Matokeo ya Mtihani wa Diploma ya Utabibu

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), limeifuta matokeo ya mitihani ya Dimploma (NTA-Level 5) ya Utabibu iliofanyika kati...

READ MORE

Mwigulu: Tanzania ina Mabilionea 5,740

WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania ina jumla ya mabilionea 5,740 wanomiliki asilimia 4.2 ya utajiri wa mabilionea...

READ MORE

Wakili Afunguka Ugonjwa Unaomsumbua Sabaya

WAKILI namba mbili wa Mshitakiwa Lengai Ole Sabaya, Faudhia Mustapha ameieleza mahakama kuwa, jana jioni alienda kumjulia hali Mteja wao...

READ MORE

Rais Samia Arejea Kutoka Glasgow

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

READ MORE

Maajabu! Kakakuona Aonekana Kibaha – Video

KIUMBE maarufu aina ya kakakuona ambae ni nadra sana kuonekana hadharani amekutwa katika eneo la Mpiji lililopo Maili Moja wilayani...

READ MORE

Ndugai: Watanzania Wanalalamikia Mfumo wa Elimu

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema ipo haja ya kufungua Mjadala wa Elimu, na...

READ MORE

Serikali Yapongeza Jitihada za ZIC Kuboresha Upatikanaji Huduma

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Dk. Juma Malik Akili amepongeza jitihada zinazoendelea kufanywa na Shirika la Bima Zanzibar (ZIC)kwa...

READ MORE

Msanii Vitali Maembe Akamatwa

IKIWA ni siku moja baada ya msanii Vitali Maembe kukamatwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Bagamoyo, Chama Cha ACT-Wazalendo...

READ MORE

Mafao ya Wastaafu Yalivuruga Bunge – Video

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Novemba 3, 2021 limechachamaa huku likiitaka Wizara ya Utumishi kuhakikisha wanawalipa mafao...

READ MORE